Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
- Thread starter
-
- #21
Mnakosa subra vijana wa leo. Subra nayo ni ibada. Mngesubiri nimalize kazi then niwape mkasa wote. Ni tukio ambalo siwezi sahau. Hasa nlipoenda field kwenyewe..ukiuliza kikosi cha 20kj wananifahamu vizuriNaunga mkono hoja.
Mnakosa subra vijana wa leo. Subra nayo ni ibada. Mngesubiri nimalize kazi then niwape mkasa wote. Ni tukio ambalo siwezi sahau. Hasa nlipoenda field kwenyewe..ukiuliza kikosi cha 20kj wananifahamu vizurihamna
Wakati ule hata simu za mezani zilikuwa maofisini na kwa watu wachache wenye uwezo mjini. Mtunzi kapitiwa kidogoIli vibrate kama mara 20
1978 simu ili vibrate 😇😇
Vizee bwana yaani vikianza kuonja msoto wa mtaani ,vinakuja nduki kuandika uongo lengo viheshimiweKuna mzee mmoja nae juz kaleta story za hii vita na watu walimcrash sana hasa hasa hapo kwenye sm mpaka alikimbia uzi
Pia alijichanganya kwenye mwezi ambapo idd alivamia tz
Acha uongo wewe humu tupo vizazi vilivyo bobea siyo GEN Z. Mwaka huo hakukuwa na MOBILE PHONES Kwahiyo acha kuwadanganya wasomaji. Simu za mikononi zimeanza miaka ya 1996/1997. Na vita vya Kagera ilikuwa mwaka 1978-1979Wallah hili lilikuwa ni moja ya jaribu zito maishani mwangu. Baada ya kukata ile simu nlikuwa kama nimemwagiwa maji ya baridi. Nlinywea.... Nakumbuka mshenga na mjomba wangu walikuwa wa kwanza kuniuliza "Yusuf umepatwa na nini ?"
Nlianza kuwaza ina maana sasa yule binti nitamwoa au inakuaje? Mara tena simu ikaanza ku vibrate.....safari hii sikutaka hata kufikiria kupokea. Ili vibrate kama mara 20 hivi nikaona isiwe kesi ngoja nipokeee ila nijifanye nimelala naumwa.
Nilipopokea nilisabahiwa na tusi kwanza " we falah unajifikiria kupokea simu upo juu ya demu nini?"
Kabla.sijajibu rafiki yangu Majariwa aliendelea. " Mwanangu kaza matakoh....tunaondoka.wote kwenda Kagera Idd Amin kavamia Tz. Nawe jina lako limetAjwa katika wanaoondoka. Fanya fanya tusepe kesho"
Nlimshanga Majariwa anaongea kama jambo la kufurahisha wakati mwenzie ndo nimetoka kulipa mahari....nikawaza hapa nisije nikawa mahari nimewalipia watu wengine....sikuwa na namna. Nikarudi ndani ukweni nikiwa na mawazo mengi sana....
ITAENDELEA.....
Mnakosa subra vijana wa leo. Subra nayo ni ibada. Mngesubiri nimalize kazi then niwape mkasa wote. Ni tukio ambalo siwezi sahau. Hasa nlipoenda field kwenyewe..ukiuliza kikosi cha 20kj wananifahamu vizuriAcha uongo wewe humu tupo vizazi vilivyo bobea siyo GEN Z. Mwaka huo hakukuwa na MOBILE PHONES Kwahiyo acha kuwadanganya wasomaji. Simu za mikononi zimeanza miaka ya 1996/1997. Na vita vya Kagera ilikuwa mwaka 1978-1979
iPhone 1Mwaka 1978 ulikua unamiliki simu.
Mnakosa subra vijana wa leo. Subra nayo ni ibada. Mngesubiri nimalize kazi then niwape mkasa wote. Ni tukio ambalo siwezi sahau. Hasa nlipoenda field kwenyewe..ukiuliza kikosi cha 20kj wananifahamu vizuri. Hivi vita siwezi visahau. Simu nlikuwa natumia ilikuwa ni motorolla.Umeyakanyaga kijana mwenzangu. Chai imekuwa ya moto sana
Mnakosa subra vijana wa leo. Subra nayo ni ibada. Mngesubiri nimalize kazi then niwape mkasa wote. Ni tukio ambalo siwezi sahau. Hasa nlipoenda field kwenyewe..ukiuliza kikosi cha 20kj wananifahamu vizuri. Hivi vita siwezi visahau. Simu nlikuwa natumia ilikuwa ni motorolla.Kwaiyo simu ili vibrate mara 20 huo mwaka 1978.
Jamaa usiendee na stori usije kutuambukiza ujinga wako.
Uwongo wa mchana kweupe...Wallah hili lilikuwa ni moja ya jaribu zito maishani mwangu. Baada ya kukata ile simu nlikuwa kama nimemwagiwa maji ya baridi. Nlinywea.... Nakumbuka mshenga na mjomba wangu walikuwa wa kwanza kuniuliza "Yusuf umepatwa na nini ?"
Nlianza kuwaza ina maana sasa yule binti nitamwoa au inakuaje? Mara tena simu ikaanza ku vibrate.....safari hii sikutaka hata kufikiria kupokea. Ili vibrate kama mara 20 hivi nikaona isiwe kesi ngoja nipokeee ila nijifanye nimelala naumwa.
Nilipopokea nilisabahiwa na tusi kwanza " we falah unajifikiria kupokea simu upo juu ya demu nini?"
Kabla.sijajibu rafiki yangu Majariwa aliendelea. " Mwanangu kaza matakoh....tunaondoka.wote kwenda Kagera Idd Amin kavamia Tz. Nawe jina lako limetAjwa katika wanaoondoka. Fanya fanya tusepe kesho"
Nlimshanga Majariwa anaongea kama jambo la kufurahisha wakati mwenzie ndo nimetoka kulipa mahari....nikawaza hapa nisije nikawa mahari nimewalipia watu wengine....sikuwa na namna. Nikarudi ndani ukweni nikiwa na mawazo mengi sana....
ITAENDELEA.....
Kijana wa 2005 huyu, anadhani mwaka 1978 kulikuwa na simu za kiganjani. Rudi ukajipange upya ndugu.Wallah hili lilikuwa ni moja ya jaribu zito maishani mwangu. Baada ya kukata ile simu nlikuwa kama nimemwagiwa maji ya baridi. Nlinywea.... Nakumbuka mshenga na mjomba wangu walikuwa wa kwanza kuniuliza "Yusuf umepatwa na nini ?"
Nlianza kuwaza ina maana sasa yule binti nitamwoa au inakuaje? Mara tena simu ikaanza ku vibrate.....safari hii sikutaka hata kufikiria kupokea. Ili vibrate kama mara 20 hivi nikaona isiwe kesi ngoja nipokeee ila nijifanye nimelala naumwa.
Nilipopokea nilisabahiwa na tusi kwanza " we falah unajifikiria kupokea simu upo juu ya demu nini?"
Kabla.sijajibu rafiki yangu Majariwa aliendelea. " Mwanangu kaza matakoh....tunaondoka.wote kwenda Kagera Idd Amin kavamia Tz. Nawe jina lako limetAjwa katika wanaoondoka. Fanya fanya tusepe kesho"
Nlimshanga Majariwa anaongea kama jambo la kufurahisha wakati mwenzie ndo nimetoka kulipa mahari....nikawaza hapa nisije nikawa mahari nimewalipia watu wengine....sikuwa na namna. Nikarudi ndani ukweni nikiwa na mawazo mengi sana....
ITAENDELEA.....
Mnakosa subra vijana wa leo. Subra nayo ni ibada. Mngesubiri nimalize kazi then niwape mkasa wote. Ni tukio ambalo siwezi sahau. Hasa nlipoenda field kwenyewe..ukiuliza kikosi cha 20kj wananifahamu vizuriKwaiyo simu ili vibrate mara 20 huo mwaka 1978.
Jamaa usiendee na stori usije kutuambukiza ujinga wako.