Vita ya Kagera: Nimemaliza kutoa Mahari, Simu inaita naambiwa haraka niende Vitani

1
1978 kulikuwa na simu za vibrate? Kwanza hizo simu zwnyewe za ttcl hazikuwepo mitaani. Ni baadhi tu ofisi. So huu ni upuuzi kama upuuzi mwingine.

Mods pelekeni huu uzi kwenye jukwaa la utani na joke.
 
1978 ulikuwa na simu ya kuvibrate?
 

Mnakosa subra vijana wa leo. Subra nayo ni ibada. Mngesubiri nimalize kazi then niwape mkasa wote. Ni tukio ambalo siwezi sahau. Hasa nlipoenda field kwenyewe..ukiuliza kikosi cha 20kj wananifahamu vizuri
Vita ya kagera?.....wanajeshi kwenda vitani walichaguliwa kwa majina?.........mwanajeshi mstaafu aliepigana vita ya kagera anaijua JF?.......WALIOENDA VITANI KAGERA LEO NI MAHAYATI NA WAZEE WA KUANZIA MIAKA 70 NAKUENDELEA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…