Kama haiwezekani kuwa na Tanzania kwa sababu ya kulinda uwepo wa "Zanzibar" nami naungana na wewe moja kwa moja kuukataa muungano.Uvunjwe hatuutaki kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama haiwezekani kuwa na Tanzania kwa sababu ya kulinda uwepo wa "Zanzibar" nami naungana na wewe moja kwa moja kuukataa muungano.Uvunjwe hatuutaki kabisa
Naomba tu ufafanue, hizo tatu ni za nini hasa!.hicho kitu hakipo, ni either 3 au watu wagawane mbao
Hapa ni Katiba ya CCM sio Mwendazake.Hapo ndipo tunapomlaumu mwendazake.
Marekani ili ungana kwa kura ya wananchi??Heshima sana wanajamvi,
Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar ambao uliasisiwa na watu wawili ambao sasa hawapo, tena bila ridhaa ya wananchi wa pande zote mbili sasa unapitia katika msuko suko mkubwa.
Ni wazi Mwl Nyerere na Sheikh Abeid Aman Karume waliziunganisha zao Tanganyika na Zanzibar pasipo ridhaa za wananchi wa pande zote mbili.
Muungano wao (Nyerere & Karume) kwa hakika umejaa kasoro nyingi mno, kuubadili au kuufanyia marekebisho kutahitaji kuzifumua katiba za nchi zote mbili jambo ambalo kwa sasa ni vigumu sana.
Zanzibar wana serekali yao, wana bunge lao, wana wimbo wao wa taifa lao, wana bendera yao, wana uraia wao (Uzanzibari), wana mkuu wao wa nchi, wana ardhi yao (nchi) wana kila kitu chao.
Tanganyika hawana wimbo wa taifa, hawana mkuu wao wa nchi, hawana ardhi yao, hawana bendera yao, kifupi Tanganyika hawana chochote.
Kuna Taifa la Tanzania (JMT) ambalo limepora kila kitu cha nchi ya Tanganyika. Bendera? Wimbo wa taifa, Bunge.
Tanganyika haina mtetezi wa rasilimali zake eg misitu, ardhi, bandari.
Raia wa nchi ya Zanzibar anaiongoza Tanganyika kupitia mgongo wa Muungano anauza kila rasilimali ya Tanganyika bila huruma kwakuwa hazina mtetezi.
Watanganyika wameamka sasa lugha ya Mch. Mtikila na sasa Mheshimiwa Lissu imeanza kueleweka hadi ndani ya CCM. Ugomvi mkubwa wa Kinana, Makamba na wanaCCM wengi ni Tanganyika kutawaliwa na Rais kutokea nchi ya Zanzibar ambaye amekuwa dalali mkubwa wa kuuza rasilimali za Tanganyika.
Wanaoitaka Tanganyika sasa ni Watanganyika wote bila kujali mipaka ya vyama.
Ngongo kwasasa Mjini Magharibi.
Pia soma
- Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?
MkuuHuu mjadala nautaka sana, na ninajuwa wewe na mimi hatupo mbali mbali kuhusu hili swala la huu muungano wetu.
Nikukumbushe pia, siyo muda kitambo sana tumejadili haya haya; hasa kuhusu "waZanzibar kutoutaka muungano", jambo ambalo hatukuafikiana juu yake.
Msingi wangu wa kutaka serikali moja ni ule ule, uliokuwepo tangu kuasisiwa kwa muungano wenyewe. Lengo lilikuwa kufikia serikali moja baada ya hofu za "kumezwa" kufifia.
Hoja yangu ni kwamba hiyo hofu ya Zanzibar kumezwa haipo tena; kwani wengi wao tayari tunao hapa hapa Tanganyika. Hawa ni waTanzania, siyo waZanzibar tena.
Kelele za kikundi kidogo cha akina OMO na maJussa hakiwezi kamwe kuwa ndicho kiwe na uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania.
Kwa bahati mbaya sana, CCM ndiyo imekuwa mlezi mkuu wa hiki kikundi na kusababisha hata waZanzibari walikokuwa tayari kuwa waTanzania kuanza kuwa na mashaka juu ya hatua hiyo. Kwa hiyo, kuondoka kwa CCM; kazi ambayo waTanzania sasa wapo ayari kabisa kuitekeleza kukiwepo na uongozi imara, hiyo ndiyo hatua muhimu itakayo tuelekeza kwenye serikali moja.
Serikali tatu, ni za nini tena! Miungano ya aina hiyo tuishiriki tukiwa huko kwenye EAC au huko SADC.
Ni matumaini yangu utaelewa msingi huu wa hoja yangu; na kusema kweli sidhani kuwa nitakuwa na hoja zaidi nje ya msingi huu katika majadiliano haya. Kwa hiyo naomba tusiyapanue sana bila ya sababu, kwa vile tunayo mambo mengine ambayo yanahitaji muda wetu.
Hakuna muungano hapo zaidi ya utapeliKama haiwezekani kuwa na Tanzania kwa sababu ya kulinda uwepo wa "Zanzibar" nami naungana na wewe moja kwa moja kuukataa muungano.
Mkuu, tuchukue ya msingi zaidi, tusikazie haya ya kuudhiana ndiyo tuyaweke mbele zaidi.Mkuu
Ni kweli Wazanzibar wengi wanaishi Tanganyika kama Watanzania. Hofu ya 'kumezwa' ilitakiwa imalizwe na waasisi , lakini historia inatueleza Nyerere na Karume hawakuwa pamoja kwasababu ya identity.
Muungano uliundwa kama ''marriage for convinience' kwa matumaini ya ''assimilation '' hilo halikutokea badala yake ufa unapanuka zaidi
Akina OMO si kikundi kidogo.
Mfano, Mbunge wa ACT kutoka kwa OMO alisimama Bungeni na kuukana Utanzania.
Hakuna! hakuna ! Mbunge hata mmoja wa Zanzibar aliyesimama na kumkemea.
Hakuna kiongozi wa SMZ aliyesimama na kumkemea, maana yake, kauli inaungwa mkono na Wazanzibar
Juzi, katibu mkuu wa Wizara ya watoto, jinsia na wazee SMZ amewaita watoto kutoka Tanganyika wahamiaji haramu. Hakuna kiongozi au Mzanzibar yoyote aliyekemea wakiwemo CCM na OMO team.
Hii maana yake ni kwamba wanaunga mkono '' uharamu wa Watanganyika'' kwa identity ya Uzanzibar
Identity ya Uzanzibar haiwezi kufutika, ina wafanya wasiwajibike na inawapa fursa.
Mfano, kauli ya '' Wazanzibar ni Watanzania na si kila Mtanzania ni Mzanzibar' inaeleza hivyo.
Tukiongelea muungano, gharama anazibeba Mtanganyika kwasababu wao ni Wazanzibar
Wakitaka ardhi wanatumia Utanzania lakini kwao ardhi ni ya Wazanzibar
Kuna nafasi za ajira maalumu kwa Wazanzibar na teuzi za siku hizi zinazingatia Uzanzibar kwa mambo ya Tng
Kuna mgao wa rasilimali za Tanganyika kwa Zanzibar kwasababu ya identity ya Uzanzibar
Juzi wameongeza pesa kwa wanafunzi wa High education kutoka Zanzibar kwasbabu ya Uzanzibar.
Pesa wanazopata HESLB ni za Tanganyika halafu wameongezewa kutoka Zanzibar kwasababu ya Uzanzibar
Mifano ni mingi, na katika muungano wanatumia identity ya Uzanzibar kunufaika.
Siyo akina OMO hata CCM Zanzibar wakitaka ku ''abuse'' wanatishia neno '' KERO'
Kwao identity ni mtaji na huwezi kuwanyang'nya kwa kuwa na serikali 1
Nchi zinaungana kwa ''mutual benefit''. Katika serikali 1 Tanganyika ina 'gain' nini? Katika serikali 2 Tanganyika inapata 'benefit' gani! Na bila muungano Tanganyika ina 'lose' nini!
Hivi huoni kwamba Serikali 3 ni '' favor and to the best interest ya Zanzibar'' !
Nitakwambia kitu kimoja cha kuudhi kidogo. Mgomo wa Wafanyabiashara wa Kariakoo unawagusa sana Watanganyika kuliko mgomo wa Wafanyabiashara wa boti za Zanzibar kuja Dar es salaam.
Haswaaa, huwezi kupanda mchicha ukavuna nyanya. CCM, chama cha matapeli ni baba lao katika utapeli na huu muungano ni mfano halisi wa utapeli wao uliokufuru!Hakuna muungano hapo zaidi ya utapeli
Acha bange wewe chawa!!!Usijitoe ufahamu, structure ya Muungano ilivyowekwa ni kuwabembeleza Wazanzibar ambao hawajawahi uhitaji huo Muungano Bali Bara so ulisema hamtaki wawe Marais ni nonsense.
Nakubaliana nawe 100%. Nyerere alidhani misingi aliyoweka ni ya kudumu. Baada ya kizazi chake, viongozi waliofuata hawajali tena ule uadilifu , uaminifu na ushawishi aliokuwa nayo.Mwalimu Nyerere kudhani kwamba tawala zitakazo fuata zitakuwa na ushawishi na nguvu za kuendelea kuwabana watu wenye misimamo ya akina OMO Hii ilikuwa ni 'assumption' ambayo ni dhahiri ilikuwa na kasoro kubwa ndani yake.
AbsolutelySote tumeona, badala ya kundi hili la akina OMO kufifia, CCM imeendelea kulirutubisha zaidi wakitumia zile njia za "kero za muungano," moja baada ya nyingine.... Matokeo yake tukafikia kuwa na Zanzibar kuwa nchi kamili sasa.
Kwa hiyo, kama sasa tuna Zanzibar kama nchi, tunataka Tanzania ya nini tena, wakati muungano hapo tena; muungano ambao umeondolewa na uwepo wa Zanzibar kama nchi. Zanzibar haiungani na Tanzania kuwepo taifa la Tanzania!
Hapana, Mzee Warioba na Tume yake waliweka wazi. Zanzibar ina structure kamili, inayotakiwa ni Tanganyika.Ukitaka kuwepo serikali tatu, inabidi uanze taratibu mpya za kuirudisha Tanganyika, ambayo italazimu kujadiliana na nchi ya Zanzibar kuunda muungano wao mpya. Huwezi kutumia 'Tanzania' ijadili makubaliano ya muungano na nchi ya Zanzibar kuunda muungano.
Yes ndio maana nilisema '' it's to the best interest of Zanzibar to defend the Union'' kwa serikali 3 kama wanataka.Kwa hiyo, hapa ni wazi ninakubaliana na wanao shauri kuuvunja muungano huu uliokwisha vunjwa na uwepo wa Zanzibar kama nchi. Kitakacho fuata baada ya kuuvunja, sishauri kuunda muungano tena ili kuwe na serikali tatu; miungano ya aina hiyo tayari tunayo kiaina kupitia hizi shirikiano tulizo nazo, kama EAC, SADC, n.k..
Neno!Ukimya wa viongozi wa CCM kwenye maswala haya, nalo kweli linahitaji kujibiwa? Hivi umesikia kiongozi yeyote akijibu hoja ya uwepo wa Tanganyika; na kero nyingi mbalimbali za upande huo wa Tanganyika kuhusu muungano? Ukimya huo toka CCM maana yake ni nini; kwamba na wao hawautaki muungano? Umemsikia nani akizungumzia swala lolote ukamwelewa vizuri?
Karume hakuutaka?Unamlaumu nan sasa? Nyerere ndio alilazimisha huo muugano.
Labda nimalizie mjadala huu; au niamshe mjadala mzima upya kwa hili swala la uwepo wa serikali moja, ambalo namsisitizia kila mara mkuu 'JokaKuu kila ninapo msoma akidai serikali tatu. Na kwa bahati nzuri au mbaya sijapata joto kutoka upande wako kuhusu jambo hili.Neno!
Tanganyika ndio Tanzania.Heshima sana wanajamvi,
Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar ambao uliasisiwa na watu wawili ambao sasa hawapo, tena bila ridhaa ya wananchi wa pande zote mbili sasa unapitia katika msuko suko mkubwa.
Ni wazi Mwl Nyerere na Sheikh Abeid Aman Karume waliziunganisha zao Tanganyika na Zanzibar pasipo ridhaa za wananchi wa pande zote mbili.
Muungano wao (Nyerere & Karume) kwa hakika umejaa kasoro nyingi mno, kuubadili au kuufanyia marekebisho kutahitaji kuzifumua katiba za nchi zote mbili jambo ambalo kwa sasa ni vigumu sana.
Zanzibar wana serekali yao, wana bunge lao, wana wimbo wao wa taifa lao, wana bendera yao, wana uraia wao (Uzanzibari), wana mkuu wao wa nchi, wana ardhi yao (nchi) wana kila kitu chao.
Tanganyika hawana wimbo wa taifa, hawana mkuu wao wa nchi, hawana ardhi yao, hawana bendera yao, kifupi Tanganyika hawana chochote.
Kuna Taifa la Tanzania (JMT) ambalo limepora kila kitu cha nchi ya Tanganyika. Bendera? Wimbo wa taifa, Bunge.
Tanganyika haina mtetezi wa rasilimali zake eg misitu, ardhi, bandari.
Raia wa nchi ya Zanzibar anaiongoza Tanganyika kupitia mgongo wa Muungano anauza kila rasilimali ya Tanganyika bila huruma kwakuwa hazina mtetezi.
Watanganyika wameamka sasa lugha ya Mch. Mtikila na sasa Mheshimiwa Lissu imeanza kueleweka hadi ndani ya CCM. Ugomvi mkubwa wa Kinana, Makamba na wanaCCM wengi ni Tanganyika kutawaliwa na Rais kutokea nchi ya Zanzibar ambaye amekuwa dalali mkubwa wa kuuza rasilimali za Tanganyika.
Wanaoitaka Tanganyika sasa ni Watanganyika wote bila kujali mipaka ya vyama.
Ngongo kwasasa Mjini Magharibi.
Pia soma
- Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?
Naomba tu ufafanue, hizo tatu ni za nini hasa!.
Bado tu huridhiki na EAC na SADC na sasa hizo zinazoitwa 'Tri-partite', sijui na matakataka mengi mengine? Haya yote ni ya nini kama siyo kuvuruga tu akili za watu.
Labda nimalizie mjadala huu; au niamshe mjadala mzima upya kwa hili swala la uwepo wa serikali moja, ambalo namsisitizia kila mara mkuu 'JokaKuu kila ninapo msoma akidai serikali tatu. Na kwa bahati nzuri au mbaya sijapata joto kutoka upande wako kuhusu jambo hili.
Kwa kuwa lengo tokea mwanzo lilikuwa ni kuundwa kwa nchi moja na serikali moja; na tukitambua kelele za nchi ya Zanzibar inatoka wapi na inadaiwa hasa na nani (kundi la akina Jusa), ambao hata siku moja hawa huwezi kuwabadili waachane na mawazo hayo...
Hong Kong ipo pale kama mfano. Eneo hilo hadi hii leo wamo wasio jitambulisha kuwa wao ni sehemu ya China. Taiwan iko njiani, hakuna atakayezuia sehemu hiyo kuwa sehemu ya China. Leo hii hapo Taiwan ukisikiliza serikali ya kisiwa hicho na baadhi ya raia, utafikiri kwamba eneo hilo haitatokea hata siku moja liwe sehemu ya China. Hao ndio akina OMO wetu hapa leo.
Tunahitaji tu uongozi wenye dhamira hiyo ya kuwa na nchi moja basi. Maswala mengine ya kubembelezana yatashughulikiwa na wakati.
Ukiniita dikteta juu ya hili, ni sawa tu. Lakini najuwa zipo njia nyingi za kuwashawishi wananchi pande zote mbili kuupa uhalali muungano huo. Ni swala tu la kuwapata viongozi walio tayari kuifanya kazi hiyo; kama tunavyo himiza sasa hivi kuwapata viongozi wa kusimamia uwepo wa Tanganyika yetu.
Nimalize na jambo lisilo husiana na mada. Mag3 ni nadra sana namwona maeneo haya siku hizi; kama ilivyo kwa wewe mku Nguruvi3. Enzi zile za mijadala humu JF, watu hawa walikuwa ni ngozo muhimu ya mijadala humu; na kwa bahati nzuri nilijikuta nikiwa sehemu ya upande wao mara kwa mara.
Ni hayo tu.
Labda nimalizie mjadala huu; au niamshe mjadala mzima upya kwa hili swala la uwepo wa serikali moja, ambalo namsisitizia kila mara mkuu 'JokaKuu kila ninapo msoma akidai serikali tatu. Na kwa bahati nzuri au mbaya sijapata joto kutoka upande wako kuhusu jambo hili.
Kwa kuwa lengo tokea mwanzo lilikuwa ni kuundwa kwa nchi moja na serikali moja; na tukitambua kelele za nchi ya Zanzibar inatoka wapi na inadaiwa hasa na nani (kundi la akina Jusa), ambao hata siku moja hawa huwezi kuwabadili waachane na mawazo hayo...
Hong Kong ipo pale kama mfano. Eneo hilo hadi hii leo wamo wasio jitambulisha kuwa wao ni sehemu ya China. Taiwan iko njiani, hakuna atakayezuia sehemu hiyo kuwa sehemu ya China. Leo hii hapo Taiwan ukisikiliza serikali ya kisiwa hicho na baadhi ya raia, utafikiri kwamba eneo hilo haitatokea hata siku moja liwe sehemu ya China. Hao ndio akina OMO wetu hapa leo.
Tunahitaji tu uongozi wenye dhamira hiyo ya kuwa na nchi moja basi. Maswala mengine ya kubembelezana yatashughulikiwa na wakati.
Ukiniita dikteta juu ya hili, ni sawa tu. Lakini najuwa zipo njia nyingi za kuwashawishi wananchi pande zote mbili kuupa uhalali muungano huo. Ni swala tu la kuwapata viongozi walio tayari kuifanya kazi hiyo; kama tunavyo himiza sasa hivi kuwapata viongozi wa kusimamia uwepo wa Tanganyika yetu.
Hapana. Katika hili natoa a 'firm NO'.Kuhusu 'udikteta' mbona Nyerere amejaribu ! ''Wanafunzi '' akina Mkapa , Warioba n.k wakajaribu.
Nguvu ile ya ''udikteta'' inakuwa 'diluted' kwasababu ya kizazi na ukosefu wa misingi imara, Serikali 2 ikiwemo
'Model' ni hiyo hiyo hata hapa kwetu. Hii inatambulika kuwa ni "Jamhuri ya Muungano wa Tanzania", nchi moja, 'indivisible'. Sehemu yoyote ya muungano isichewe na mtu yeyote. Tena sisi tayri tulikuwa katika hali nzuri kabisa kuwashinda hao waChina. Lakini sasa unaona hata Mwinyi anakagua vikosi vyake vya ulinzi! Wanalinda kitu gani hao? Zote hizo ni juhudi tu za kujionyesha kuwa wao ni nchi; na siku moja watawakaribisha waarabu kuleta majeshi yao hapo kukabiliana na majeshi yetu! Huu ndio upumbavu wetu mkubwa.Kuhusu Taiwan na Hong Kong mazingira ni tofauti na hali yetu na Zanzibar
Taiwan kama sikosei ndiko wanasema '' where east meets west' . Ni eneo la kiusalama kutokana na ''polarity'
China inalipa gharama si kwa mapenzi bali kwa usalama. Hong Kong pia na zote, zina uwezo wa kujitegemea
Uwepo wa hao wote hakutishii usalama wetu na muungano wetu bila ya kuchokozana nao. 'At least' kulinda 'sovereignty' yetu ingekuwa ni sababu kubwa na muhimu kabisa kuwatia aibu ya kutuvamia. Hivyo visheria wamevitunga wao.Kwetu, sababu za kiusalama tulizoambiwa hazipo. Tuna US military base kubwa hapo Mombasa
Tuna US Embassy kubwa Sub Sahara , tuna China kule deep sea n.k.
Ngoja nimalize, lakini siyo kwa kukutia aibu wewe au kukusuta, na wengine, wote wanaokimbilia urahisi wa kuvunja muungano..., kwamba 'inadvertently', nyote mnashirikiana na akina OMO katika kazi hiyo hiyo moja. Maana yake ni kwamba wote wanaokimbilia kwenye kuvunja muungano kwa sababu moja au nyingine, ni kundi hilo hilo moja, liwe Zanzibar, au liwe Tanganyika, lengo lenu ni moja'Wazanzibar wana machaguo haya '' cut and run or submit to 3 tier system''
Watanganyika hawana chaguo, wana majibu
1. Serikali 2 ' failed system''
2. Serikali 3 ' wata benefit na nini''
3. Serikali 1 'wata gain nini''
4. Vunja Muungano '' wata lose nini''
China aliwashawishi na nini HongKong?Hakuna njia ya kuwashawishi wazanzibari kuwa na Serikali moja, Ikiwa mbili hamuzitaki.
Hio ipo very logic hawawezi kukubali kupotea.
Hata siku moja haitatokea upate muungano utakao kubaliwa na kila mtu ndani ya nchi yoyote. Natumaini utanielewa ninacho kisema hapa.Suluhisho la huu Muungano ni kuvunjwa tu mkuu, hauwezi ku work, uliletwa kibaba na waasisi ila haukukubalika wala hauwezi kukubalika.
Kuhusu Serikali tatu ndio maoni ya wengi ambao wanahisi ndio suluhisho la matatizo, ila kiupande wangu ni kuvunjwa tu. Ni bora tuishi majirani wema kuliko kulazimisha udugu kwa nguvu ambao unaweza kuja kutuletea madhara makubwa baadae.