U r off point.sikiliza nikuambie nyie hamjitambui nyie na hao watanganyika ndio mlikuwa mnamnanga Mgufuli eti anafukuza wageni kuwekeza, mwenzenu alitaka serikali imiliki biashara kamaz zte mkasema eti ni kichaka cha kujipatia pesa .
Huo ndio uwekezaji mnaotaka mmepewa , pambaneni sasa.!
Muungano wa kijinga sn kwanza umejaa udinni tupu, hakuna mbunge au mwakilishi mkristo kutoka Zanzibar hata kwenye baraza la mapinduziHaki ya kuchagua Rais wa Zanzibar au Mtanganyika kugombea uRais wa Zanzibar. Mzanzibar anaweza kugombea ubunge wa Temeke au Kinondoni bila vikwazo vya kisheria.
Mtanganyika hawezi kugombea ubunge au uwakilishi wa jimbo lolote nchi ya Zanzibar.
Usawa uwepo.matabaka ya raia wa upande mmoja wa muungano kupewa haki zote huku raia wa upande mwingine wakikosa ndipo tatizo au matatizo yanapoanzia.Tanganyika y Mjerumani hatuitaki, tunaitaka Zenjbar.
Sahivi tunaongozwa na Nyerere? hatuwataki hukuNyerere vipi, mmepelekea habari airudishe Tanganyika?
Siyo Zenjbar?Usawa uwepo.matabaka ya raia wa upande mmoja wa muungano kupewa haki zote huku raia wa upande mwingine wakikosa ndipo tatizo au matatizo yanapoanzia.
Tiba ni kuirejesha serekali ya Tanganyika.
Kwa hiyo huyo Rais aligeombea ?U r off point.
Wale wote ni waislamu wa asili , ile ni nchi sio mkoa .Muungano wa kijinga sn kwanza umejaa udinni tupu, hakuna mbunge au mwakilishi mkristo kutoka Zanzibar hata kwenye baraza la mapinduzi
Kwamba hakuna wakristo huko? ni wabaguzi snWale wote ni waislamu wa asili , ile ni nchi sio mkoa .
Kabisaasikiliza nikuambie nyie hamjitambui nyie na hao watanganyika ndio mlikuwa mnamnanga Mgufuli eti anafukuza wageni kuwekeza, mwenzenu alitaka serikali imiliki biashara kamaz zte mkasema eti ni kichaka cha kujipatia pesa .
Huo ndio uwekezaji mnaotaka mmepewa , pambaneni sasa.!
ni mzanzibar gani aliyegombea ubunge bara? hebu tupe ufafanuzi wa hili, na huyo aliyepo si aliwekwa na JPM na wala hakuchaguliwa wala kupendekezwa na wazenji, na pia baba yake ni mbara, sasa Mungu awape nini tena.Haki ya kuchagua Rais wa Zanzibar au Mtanganyika kugombea uRais wa Zanzibar. Mzanzibar anaweza kugombea ubunge wa Temeke au Kinondoni bila vikwazo vya kisheria.
Mtanganyika hawezi kugombea ubunge au uwakilishi wa jimbo lolote nchi ya Zanzibar.
Hapo ndipo tunapomlaumu mwendazake.Hapo patamu Rais wa Zanzibar ni Mzanzibar,Rais wa Tanganyika ni Mzanzibar !.
Nchi mbili zote zinaongozwa na Raia kutoka nchi moja ya Zanzibar.Tanganyika hakuna watu wa kuongoza Tanganyika.
Hapa tatizo ni katiba mbovu ambayo imeizika Tanganyika.
Tangu lini maslahi ya Tanganyika hajawa hayapo? Hayo maslahi mumeyaina saizi ambapo Rais ni Mzanzibari?Wewe ndiye mpumbavu kabisa,sisi tunaongelea maslahi ya Tanganyika ndani ya huu muungano wa mchongo wewe unaongelea mambo ya CCM. Sisi tunataka muundo wa muungano urekebishwe kwa maslahi mapana ya Tanganyika na kama hilo lisipofanyika ndiyo tunaona bora uvunjike.
Technically ni sawa Kwa sababu walioweka hivyo walikuwa wabobezinwa sheria na waliona inafaaMwl wako wa Civic form 2 alipata shida sana.
Hivi wewe unaona ni sawa raia wa upande mmoja wa muungano kuwa na haki zote za kuchagua na kuchaguliwa huku raia wa upande wa pili wakinyimwa haki hizo !.
Ni sawa na ni haki mzanzibar kumiliki ardhi Tanganyika lakini ni haramu mtanganyika kumiliki ardhi Zanzibar!.
Ni sawa na ni haki Mzanzibar kutawala huku Tanganyika lakini ni haramu Mtanganyika kutawala Zanzibar !.
Ni sawa Mzanzibar kuongoza wizara ambazo si za Muungano lakini ni haramu kwa Mtanganyika.
Ni halali kuajiriwa huku Tanganyika katika taasisi ambazo si za muungano lakini ni haramu kwa Mtanganyika kuajitiwa mamlaka ya bandari huko Zanzibar?.
Huu ujinga wote bado unajaribu kuwaingiza CDM.
Tangu lini Makamba na Kinana waipiganie Tanganyika ???!!!Heshima sana wanajamvi,
Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar ambao uliasisiwa na watu wawili ambao sasa hawapo,tena bila ridhaa ya wananchi wa pande zote mbili sasa unapitia katika msuko suko mkubwa.
Ni wazi Mwl Nyerere na Sheikh Abeid Aman Karume waliziunganisha zao Tanganyika na Zanzibar pasipo ridhaa za wananchi wa pande zote mbili.
Muungano wao (Nyerere & Karume) kwa hakika umejaa kasoro nyingi mno,kuubadili au kuufanyia marekebisho kutahitaji kuzifumua katiba za nchi zote mbili jambo ambalo kwa sasa ni vigumu sana.
Zanzibar wana serekali yao,wana bunge lao,wana wimbo wao wa taifa lao,wana bendera yao,wana uraia wao (Uzanzibari),wana mkuu wao wa nchi, wana ardhi yao (nchi) wana kila kitu chao.
Tanganyika hawana wimbo wa taifa,hawana mkuu wao wa nchi,hawana ardhi yao,hawana bendera yao, kifupi Tanganyika hawana chochote.
Kuna Taifa la Tanzania (JMT) ambalo limepora kila kitu cha nchi ya Tanganyika.Bendera?,Wimbo wa taifa,Bunge........
Tanganyika haina mtetezi wa rasilimali zake eg misitu,ardhi,bandari....
Raia wa nchi ya Zanzibar anaiongoza Tanganyika kupitia mgongo wa Muungano anauza kila rasilimali ya Tanganyika bila huruma kwakuwa hazina mtetezi.
Watanganyika wameamka sasa lugha ya Mch Mtikila na sasa Mheshimiwa Lissu imeanza kueleweka hadi ndani ya CCM.Ugomvi mkubwa wa Kinana,Makamba na wanaCCM wengi ni Tanganyika kutawaliwa na Rais kutokea nchi ya Zanzibar ambaye amekuwa dalali mkubwa wa kuuza rasilimali za Tanganyika.
Wanaoitaka Tanganyika sasa ni Watanganyika wote bila kujali mipaka ya vyama.
Ngongo kwasasa Mjini Magharibi.
Kwa hiyo unakubalina na hoja kwmaba kumbe shida sio Muungano bali Mzanzibari hatakiwi kuwa Rais? Kuna haja ya Muungano mpaka hapo?..Ccm walikuwa wanakataa serikali 3 kipindi kile Raisi wa muungano ni Mtanganyika.
..baada ya Samia kuwa Raisi, Ccm wameona madhara ya serikali 2 na kuwa na Rais toka Zanzibar.
..Tanganyika ingekuwa na serikali yake malalamiko dhidi ya Raisi Mzanzibari yasingekuwa na mantiki.
Naisubiri hiyo siku kwa hamu kubwa.Heshima sana wanajamvi,
Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar ambao uliasisiwa na watu wawili ambao sasa hawapo,tena bila ridhaa ya wananchi wa pande zote mbili sasa unapitia katika msuko suko mkubwa.
Ni wazi Mwl Nyerere na Sheikh Abeid Aman Karume waliziunganisha zao Tanganyika na Zanzibar pasipo ridhaa za wananchi wa pande zote mbili.
Muungano wao (Nyerere & Karume) kwa hakika umejaa kasoro nyingi mno,kuubadili au kuufanyia marekebisho kutahitaji kuzifumua katiba za nchi zote mbili jambo ambalo kwa sasa ni vigumu sana.
Zanzibar wana serekali yao,wana bunge lao,wana wimbo wao wa taifa lao,wana bendera yao,wana uraia wao (Uzanzibari),wana mkuu wao wa nchi, wana ardhi yao (nchi) wana kila kitu chao.
Tanganyika hawana wimbo wa taifa,hawana mkuu wao wa nchi,hawana ardhi yao,hawana bendera yao, kifupi Tanganyika hawana chochote.
Kuna Taifa la Tanzania (JMT) ambalo limepora kila kitu cha nchi ya Tanganyika. Bendera? Wimbo wa taifa, Bunge.
Tanganyika haina mtetezi wa rasilimali zake eg misitu, ardhi, bandari.
Raia wa nchi ya Zanzibar anaiongoza Tanganyika kupitia mgongo wa Muungano anauza kila rasilimali ya Tanganyika bila huruma kwakuwa hazina mtetezi.
Watanganyika wameamka sasa lugha ya Mch. Mtikila na sasa Mheshimiwa Lissu imeanza kueleweka hadi ndani ya CCM. Ugomvi mkubwa wa Kinana, Makamba na wanaCCM wengi ni Tanganyika kutawaliwa na Rais kutokea nchi ya Zanzibar ambaye amekuwa dalali mkubwa wa kuuza rasilimali za Tanganyika.
Wanaoitaka Tanganyika sasa ni Watanganyika wote bila kujali mipaka ya vyama.
Ngongo kwasasa Mjini Magharibi.
1. Makamu Mwenyekiti CDM Salim Mwalimu.ni mzanzibar gani aliyegombea ubunge bara? hebu tupe ufafanuzi wa hili, na huyo aliyepo si aliwekwa na JPM na wala hakuchaguliwa wala kupendekezwa na wazenji, na pia baba yake ni mbara, sasa Mungu awape nini tena.
Uchaguzi wa 2024/25 unapaswa kuaihirishwa ili nchi iondokane na ndoa hii ya utotoni.Mwl Nyerere hayupo, Karume hayupo sisi tupo ni wakati wa kusahihisha huu muungano unaoinyonya Tanganyika.