Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 43,242
- 60,939
Proof me wrongPassport yake!
Benki kuu yake!
Sidhani kama ni kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Proof me wrongPassport yake!
Benki kuu yake!
Sidhani kama ni kweli.
..tena kati ya hao 80,kuna Wabunge toka Baraza la Wawakilishi, nadhani wapo watano(5) eti kwa ajili ya kulinda MASLAHI ya Znz,kana kwamba hawa 75 hawawezi kulinda wala kutetea maslahi ya Znz..Nchi ya Zanzibar ina idadi ya watu 836,000 ina wabunge 80.
Mkoa wa Dar idadi ya watu 8,120,000 wabunge 13.
Uwalikolishi wa Zanzibar ni mkubwa sana ukilinganisha na idadi ya watu na ukubwa wa eneo.
Hao wabunge 80 wanajadili na kupiga kura hata kwa masuala ambayo si ya muungano.Mfano masuala ya kilimo,Tamisemi,Maji na nk.
Wazanzibari wana baraza lao la Wawakilishi ambalo Mtanganyika ni haramu kuingia huko kwakuwa wanajadili masuala yao ikiwemo kutunga sheria mbali mbali kama kumtambua Rais wa Zanzibar kama Mkuu wa nchi.Kutengeneza sheria ya uRaia wa Zanzibar na nk.
I'm not certain of what credentials you expect me to bring forth so as to "prove" you wrong, ila I am well informed on the matter na Zanzibar pamoja na kuwa na immigration service ya kujitegemea, haina passport yake yakujitegemea. Iliyokuwepo ni ya miaka ya zamani kabla ya muungano. Na pia Zanzibar haina benki kuu yake as you say.Proof me wrong
Kama upo uwezekano wa Mtanganyika kugombea ubunge Zanzibar au kuongoza nchi ya watu wa Zanzibar bila vizingiti vya kusheria muungano ungeeleweka.
Kama Mtanganyika angeweza kununua ardhi kama raia wa Tanzania huu muungano tusingeupigia kelele.
Nyumbu? Siyo.Punguani mkubwa,Haki ipi wewe fukara wa nanyumbu umeikosa?
Rais ndio Huwa anatunga sheria za kufanya udalali? Au Serikali imejaa Watanganyika wangapi na Wazanzibar wangapi?
Huku ni kukosa akili
Kwahiyo uvunjwe au ???!Rais wa Zanzibar anapigiwa salute na JWTZ,Police,Magereza;Uhamiaji........... Gharama za uendeshaji hatoi hata ndururu.Huu muungano umekaa kimchongo mchongo.
Nchi ni Nchi na mkoa ni mkoaNchi ya Zanzibar ina idadi ya watu 836,000 ina wabunge 80.
Mkoa wa Dar idadi ya watu 8,120,000 wabunge 13.
Uwalikolishi wa Zanzibar ni mkubwa sana ukilinganisha na idadi ya watu na ukubwa wa eneo.
Hao wabunge 80 wanajadili na kupiga kura hata kwa masuala ambayo si ya muungano.Mfano masuala ya kilimo,Tamisemi,Maji na nk.
Wazanzibari wana baraza lao la Wawakilishi ambalo Mtanganyika ni haramu kuingia huko kwakuwa wanajadili masuala yao ikiwemo kutunga sheria mbali mbali kama kumtambua Rais wa Zanzibar kama Mkuu wa nchi.Kutengeneza sheria ya uRaia wa Zanzibar na nk.
Hakuna mambo ya kuchinjana hapa !Wazanzibar wanaona Kama wanatukomoa Tanganyika Ila Tanganyika itakapoamka wanaweza kuchinja viongozi wao
Kama ni lawama basi sisi wenyewe ndo wakujilaumu maana aliye leta haya mamno ya mungano ni mtu toka bara(JKN) na sasa wazanzibari wanatutawala kwahiyo tutulie dawa ituingieHeshima sana wanajamvi,
Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar ambao uliasisiwa na watu wawili ambao sasa hawapo, tena bila ridhaa ya wananchi wa pande zote mbili sasa unapitia katika msuko suko mkubwa.
Ni wazi Mwl Nyerere na Sheikh Abeid Aman Karume waliziunganisha zao Tanganyika na Zanzibar pasipo ridhaa za wananchi wa pande zote mbili.
Muungano wao (Nyerere & Karume) kwa hakika umejaa kasoro nyingi mno, kuubadili au kuufanyia marekebisho kutahitaji kuzifumua katiba za nchi zote mbili jambo ambalo kwa sasa ni vigumu sana.
Zanzibar wana serekali yao, wana bunge lao, wana wimbo wao wa taifa lao, wana bendera yao, wana uraia wao (Uzanzibari), wana mkuu wao wa nchi, wana ardhi yao (nchi) wana kila kitu chao.
Tanganyika hawana wimbo wa taifa, hawana mkuu wao wa nchi, hawana ardhi yao, hawana bendera yao, kifupi Tanganyika hawana chochote.
Kuna Taifa la Tanzania (JMT) ambalo limepora kila kitu cha nchi ya Tanganyika. Bendera? Wimbo wa taifa, Bunge.
Tanganyika haina mtetezi wa rasilimali zake eg misitu, ardhi, bandari.
Raia wa nchi ya Zanzibar anaiongoza Tanganyika kupitia mgongo wa Muungano anauza kila rasilimali ya Tanganyika bila huruma kwakuwa hazina mtetezi.
Watanganyika wameamka sasa lugha ya Mch. Mtikila na sasa Mheshimiwa Lissu imeanza kueleweka hadi ndani ya CCM. Ugomvi mkubwa wa Kinana, Makamba na wanaCCM wengi ni Tanganyika kutawaliwa na Rais kutokea nchi ya Zanzibar ambaye amekuwa dalali mkubwa wa kuuza rasilimali za Tanganyika.
Wanaoitaka Tanganyika sasa ni Watanganyika wote bila kujali mipaka ya vyama.
Ngongo kwasasa Mjini Magharibi.
Pia soma
- Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?
Kuna sehemu nimeongelea kuchinjana, kile ni kisiwa ambacho kinameguka Kila siku au hufahamu mpango wa UNESCO kukihifadhi, Kama wanakosa Had mchanga wa kujengea unategemea niniHakuna mambo ya kuchinjana hapa !
Marehemu Karume alisemaga tangu Enzi hizo kwamba huu Muungano ni kama mtu amevaa koti, ukiona limekubana unalivua tu na maisha yanaendelea kama kawaida !😅🙌👍
Niliwahi kusikia kuwa JKN ilimbidi kuhangaikia kuungana na Zanzibar kama clause moja wapo kati ya nyingi tulizopewa na Richard Turnbull wakati wa kuhangaikia uhuru na wala haikuwa kwa mapenzi yake mwenyewe. Hivyo maslahi ya muungano hayapo kwa CCM tu, nadhani hata Uingereza inahusika.Kama ni lawama basi sisi wenyewe ndo wakujilaumu maana aliye leta haya mamno ya mungano ni mtu toka bara(JKN) na sasa wazanzibari wanatutawala kwahiyo tutulie dawa ituingie
Yes naweza kukubaliana na wew japo sina hakika kama hao mabeberu wanafaidika mpaka sasaNiliwahi kusikia kuwa JKN ilimbidi kuhangaikia kuungana na Zanzibar kama clause moja wapo kati ya nyingi tulizopewa na Richard Turnbull wakati wa kuhangaikia uhuru na wala haikuwa kwa mapenzi yake mwenyewe. Hivyo maslahi ya muungano hayapo kwa CCM tu, nadhani hata Uingereza inahusika.
Ni ujuha wa hali ya juu Baada ya mkoloni kuitawala tanganyika sasa ni zamu ya mzanzibar.Halafu huyu Mama kutoka nchi ya Zanzibar (In Lissu voice) kakuta Watanganyika wanaunganishiwa umeme wa REA kwa 27,000 huku Tanganyika kauondoa wakati huo huo kasamehe deni la Umeme nchi ya Zanzibar!.
Uhamiaji, Polisi, JWTZ, TISS ni Jamhuri ya Muungano. Hakuna Hati ya kusafiria ya Zanzibar.I'm not certain of what credentials you expect me to bring forth so as to "prove" you wrong, ila I am well informed on the matter na Zanzibar pamoja na kuwa na immigration service ya kujitegemea, haina passport yake yakujitegemea. Iliyokuwepo ni ya miaka ya zamani kabla ya muungano. Na pia Zanzibar haina benki kuu yake as you say.
Wananchi wa kawaida wa Tanzania(Watanganyika na Wazanzibari) wanapenda muungano kwa kuwa unawapa fursa zaidi za kiuchumi.Heshima sana wanajamvi,
Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar ambao uliasisiwa na watu wawili ambao sasa hawapo, tena bila ridhaa ya wananchi wa pande zote mbili sasa unapitia katika msuko suko mkubwa.
Ni wazi Mwl Nyerere na Sheikh Abeid Aman Karume waliziunganisha zao Tanganyika na Zanzibar pasipo ridhaa za wananchi wa pande zote mbili.
Muungano wao (Nyerere & Karume) kwa hakika umejaa kasoro nyingi mno, kuubadili au kuufanyia marekebisho kutahitaji kuzifumua katiba za nchi zote mbili jambo ambalo kwa sasa ni vigumu sana.
Zanzibar wana serekali yao, wana bunge lao, wana wimbo wao wa taifa lao, wana bendera yao, wana uraia wao (Uzanzibari), wana mkuu wao wa nchi, wana ardhi yao (nchi) wana kila kitu chao.
Tanganyika hawana wimbo wa taifa, hawana mkuu wao wa nchi, hawana ardhi yao, hawana bendera yao, kifupi Tanganyika hawana chochote.
Kuna Taifa la Tanzania (JMT) ambalo limepora kila kitu cha nchi ya Tanganyika. Bendera? Wimbo wa taifa, Bunge.
Tanganyika haina mtetezi wa rasilimali zake eg misitu, ardhi, bandari.
Raia wa nchi ya Zanzibar anaiongoza Tanganyika kupitia mgongo wa Muungano anauza kila rasilimali ya Tanganyika bila huruma kwakuwa hazina mtetezi.
Watanganyika wameamka sasa lugha ya Mch. Mtikila na sasa Mheshimiwa Lissu imeanza kueleweka hadi ndani ya CCM. Ugomvi mkubwa wa Kinana, Makamba na wanaCCM wengi ni Tanganyika kutawaliwa na Rais kutokea nchi ya Zanzibar ambaye amekuwa dalali mkubwa wa kuuza rasilimali za Tanganyika.
Wanaoitaka Tanganyika sasa ni Watanganyika wote bila kujali mipaka ya vyama.
Ngongo kwasasa Mjini Magharibi.
Pia soma
- Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?