Vita ya kisiasa baina ya Tanganyika na Zanzibar ipo wazi sasa

Vita ya kisiasa baina ya Tanganyika na Zanzibar ipo wazi sasa

Huenda unasema kweli!! Ndio maana wao wana serikali yao, Watanganyika hawana; ndo maana wana bunge lao,Watanganyika hawana; ndo maana wana Rais wao, Watanganyika hawana. Ee Mungu wape moyo hawa Wazanzibari - wapumbavu - waendelee na huu upumbavu wao.

Sisi Waswahili huwa tunasema 'akili nyingi huondoa maarifa'. Sisi tunachanja mbuga, nyinyi endeleeni kuchenjebua watu.
 
Mwalimu alisema mficha maradhi kifo kitamfichuwa. Muundo wa muungano wetu wakati wote umekuwa ukihojiwa. Watawala wamechaguwa njia ya kuulinda kwa nguvu zote. Yanayojiri ni matokeo ya kupuuza ukweli.
 
sikiliza nikuambie nyie hamjitambui nyie na hao watanganyika ndio mlikuwa mnamnanga Mgufuli eti anafukuza wageni kuwekeza, mwenzenu alitaka serikali imiliki biashara kamaz zte mkasema eti ni kichaka cha kujipatia pesa .

Huo ndio uwekezaji mnaotaka mmepewa , pambaneni sasa.!
Wasamehe bure wote waliomnanga Magufuli kwani wengi wao wameanza kuelewa uzalendo wake uliomjengea jeshi la maadui.
Ukweli unabaki kuwa sio CCM wala wapinzani wanaoweza kubadilisha huu upepo mbaya wa siasa za Tanzania.

Sisi wananchi tusio na wadhifa kwenye vyombo vya maamuzi, tunapaswa kuamka usingizini na kudai chetu kama wale vijana wa Kenya Gen Z wanavyofanya...Hiyo ndio njia sahihi, tuanze na Katiba mpya + Referendum!
 
Wasamehe bure wote waliomnanga Magufuli kwani wengi wao wameanza kuelewa uzalendo wake uliomjengea jeshi la maadui.
Ukweli unabaki kuwa sio CCM wala wapinzani wanaoweza kubadilisha huu upepo mbaya wa siasa za Tanzania.

Sisi wananchi tusio na wadhifa kwenye vyombo vya maamuzi, tunapaswa kuamka usingizini na kudai chetu kama wale vijana wa Kenya Gen Z wanavyofanya...Hiyo ndio njia sahihi, tuanze na Katiba mpya + Referendum!
Watanganyika hatujielewa wazanzibar wana haki ya kupigania kwao , na sisi tupiganie kwetu ...Magufuli alipombana Manji wakaibuka na mihemko ya ushabiki wa mpira hasa watu wa Ynga eti kamfilisi Manji.

Sio rahisi Rais achukie watu kuna sababu tu , walikuwa wanakwepa kodi ...Kuna mashikria kibao Ya serikali kama NASACO yamevunjwa halafu wakapewa private ...Private wenyewe ndio hao waarabu na wahindi wanavuna pesa wafanyakazi wao wana mishahara midogo .
 
ni mzanzibar gani aliyegombea ubunge bara? hebu tupe ufafanuzi wa hili, na huyo aliyepo si aliwekwa na JPM na wala hakuchaguliwa wala kupendekezwa na wazenji, na pia baba yake ni mbara, sasa Mungu awape nini tena.
Dr. Husein Mwinyi aliwahi kuwa mbunge wa Mkuranga.
 
Tangu lini maslahi ya Tanganyika hajawa hayapo? Hayo maslahi mumeyaina saizi ambapo Rais ni Mzanzibari?

Miaka yote Rais akiwa mbara mbona hamjawahi lalamika badala yake Zanzibar ndio imekuwa ikilalamika?

Acha upumbavu,vunjeni Muungano kama mna jeuri Ili tuone nani ataumia
Kama hukuwepo wakati wa G55 kaa kimya na upumbavu wako.
 
Muungano wa kijinga sn kwanza umejaa udinni tupu, hakuna mbunge au mwakilishi mkristo kutoka Zanzibar hata kwenye baraza la mapinduzi

Rais wa Zanzibar anapigiwa salute na JWTZ,Police,Magereza;Uhamiaji........... Gharama za uendeshaji hatoi hata ndururu.Huu muungano umekaa kimchongo mchongo.
 
Punguani mkubwa,Haki ipi wewe fukara wa nanyumbu umeikosa?

Rais ndio Huwa anatunga sheria za kufanya udalali? Au Serikali imejaa Watanganyika wangapi na Wazanzibar wangapi?

Huku ni kukosa akili
Bila hata kumtusi mtu, hoja yako ni ya msingi sana. "Wazanzibari ni wachache bungeni kuliko watanganyika"...hao ndio wanaopitisha sheria mbovu anazotumia Rais mzanzibari kuuza nchi...
Tujilaumu Sisi wenyewe kwa ujinga wetu au tamaa zetu za mali na madaraka. Tuaamke tu tudai chetu bila kutegemea vyama.
 
Kama hukuwepo wakati wa G55 kaa kimya na upumbavu wako.
Napo Rais alikuwa Mzanzibari ndio maana chokochoko zilikuwepo.

Hoja Iko wazi hamtaki Rais awe Mzanzibari,Sasa Kwa nini muwalazimishe Wazanzibar kwenye Muungano ambao hamuwezi kutenda Haki?
 
Bila hata kumtusi mtu, hoja yako ni ya msingi sana. "Wazanzibari ni wachache bungeni kuliko watanganyika"...hao ndio wanaopitisha sheria mbovu anazotumia Rais mzanzibari kuuza nchi...
Tujilaumu Sisi wenyewe kwa ujinga wetu au tamaa zetu za mali na madaraka. Tuaamke tu tudai chetu bila kutegemea vyama.
Hakuna mahala Rais kauza Nchi maana hayuko kwenye Timu ya majadiliano Wala popote.

Kwanza hii ya kuuza Nchi inatoka wapi?
 
Acha uchochezi threads za hovyo kama hizi za Hawa vijana wavivu ambao hawana shughuli za kufanya sijui kwanini hazifutwi kuna mambo mengi ya msingi ya kujadili kuhusu maendeleo ya uchumi hasa kwenye kilimo na masoko mnatuletea mada za kusambaza chuki hapa.
 
Zanzibar na Tanganyika ni nchi mbili tofauti kila moja ina Rais wake, jeshi lake, bendera yake, wimbo wa Taifa lake, benki kuu yake , passport yake, je bado tu hamuelewi?
Passport yake!
Benki kuu yake!
Sidhani kama ni kweli.
 
Bila hata kumtusi mtu, hoja yako ni ya msingi sana. "Wazanzibari ni wachache bungeni kuliko watanganyika"...hao ndio wanaopitisha sheria mbovu anazotumia Rais mzanzibari kuuza nchi...
Tujilaumu Sisi wenyewe kwa ujinga wetu au tamaa zetu za mali na madaraka. Tuaamke tu tudai chetu bila kutegemea vyama.
Nchi ya Zanzibar ina idadi ya watu 836,000 ina wabunge 80.

Mkoa wa Dar idadi ya watu 8,120,000 wabunge 13.

Uwalikolishi wa Zanzibar ni mkubwa sana ukilinganisha na idadi ya watu na ukubwa wa eneo.

Hao wabunge 80 wanajadili na kupiga kura hata kwa masuala ambayo si ya muungano.Mfano masuala ya kilimo,Tamisemi,Maji na nk.

Wazanzibari wana baraza lao la Wawakilishi ambalo Mtanganyika ni haramu kuingia huko kwakuwa wanajadili masuala yao ikiwemo kutunga sheria mbali mbali kama kumtambua Rais wa Zanzibar kama Mkuu wa nchi.Kutengeneza sheria ya uRaia wa Zanzibar na nk.
 
Wazanzibar wanaona Kama wanatukomoa Tanganyika Ila Tanganyika itakapoamka wanaweza kuchinja viongozi wao
 
Back
Top Bottom