Vita ya kugombea mali za aliyekuwa Mchungaji, Marehemu Getrude Rwakatare sasa imeshika kasi

Vita ya kugombea mali za aliyekuwa Mchungaji, Marehemu Getrude Rwakatare sasa imeshika kasi

Muta atawasumbua hao ndugu zake , tapeli sana ameliza watu wengi viwanja akiona kiwanja hakijaendelezwa anakitengezea hati anakiuza anafanya utapeli wa kivuli cha udiwani

Huyo tibe mwenyewe ni balaa. Nimesoma shule zao kitamboo. Namkumbuka swaga zake. Watoto wake kazaa na mchina walati anaishi USA kisha akawabeba kibabe kuwaleta bongo
 
Back
Top Bottom