Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hapo kila mmoja ana baba yake eeeh! Naona mama aligawa hasa mwili wake kama ndivyo.
Kwanini watoto wasitafute mali zao? Mentality za hovyo za LumumbaMuwe mnagawa Mali Kwa watoto kila mwaka
Sijui waafrika tunakwama wapiHii ni mali ya mama. Mitoto inakuwa mijinga hizo mali zitapotea sababu wanakaribisha wanasiasa. Kama kaburini kuna dirisha la kuona duniani basi Mama yao atakuwa anahuzuni sana.
Hakika na itatoa mtu roho kweli hapoSasa ni mali ya mama inanitoa roho
Kwenye kuzaa na malezi. Unafuga furushi la mitoto isiyo na akili.Sijui waafrika tunakwama wapi
Kwenye kuzaa na malezi. Unafuga furushi la mitoto isiyo na akili.
Muta atawasumbua hao ndugu zake , tapeli sana ameliza watu wengi viwanja akiona kiwanja hakijaendelezwa anakitengezea hati anakiuza anafanya utapeli wa kivuli cha udiwani
Watagombea hata hicho kidogo ulichokuwa nacho....Muwe mnagawa Mali Kwa watoto kila mwaka