Nakimbizwa
Senior Member
- Jun 19, 2023
- 154
- 302
NdiyoUna uhakika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdiyoUna uhakika?
Ukimsikiliza yule jamaa utagundua kuwa binadamu ni kitu dhaifu mno na ndo maana akina KIBOKO YA WACHAWI na MWAMPOSA wanaishi maisha mazuri kupitia shida za wengine,, its just a simple thing ila inahitaji knowledge kubwa.Wachokonozi wako sahihi sena watu wanawapuuzia tu
Namkubali sana huyo mwambaNaambatanisha picha
Nchi Inachezewa Sana HiiHii nchi kila sehemu wahuni wanawaibia tu wajinga.
AaahaaaHawaiti kufa wanasema kuhama kituo, unapewa majina mapya
Wafia dini hawamuelewi sema mi namuelewa sana anaongea vitu vina make sense kabisaUkimsikiliza yule jamaa utagundua kuwa binadamu ni kitu dhaifu mno na ndo maana akina KIBOKO YA WACHAWI na MWAMPOSA wanaishi maisha mazuri kupitia shida za wengine,, its just a simple thing ila inahitaji knowledge kubwa.
Uwendawazimu kama uwendawazimu mwingine..UMEWAHI kusikia kanisa liitwalo KANISA HALISI LA MUNGU BABA? Wanavaa nguo nyeupe kanisa zima, ibada zao nyingi zinarushwa STAR TV?Hawataji jina MUNGU wala YESU wao wanaita CHANZO HALISI 😁Hapa nakuletea historia fupi ya kiongozi huyo maarufu kwa jina la ELISHA ELIYA MIAKA 1000 (anaandika michuzi blog)
Rusomo ambaye baadae alijulikana kwa jina la Elisha Eliya Miaka1000 akiwa na matatizo mbalimbali ambapo aliombewa na kufunguliwa kisha akajiunga na huduma ya Siloam Bible School ambapo alifundishwa utumishi.
Wakati tayari akiwa kuhani wa kanda ya Dar es Salaam Miaka 1000 alisaliti kiapo cha utumishi, kwani baada ya kiongozi mkuu wa huduma hiyo kutwaliwa na kabla ya mchakato wa kumpata kiongozi mwingine, yeye alijivua safu ya ukuhani na akajipa cheo cha Mzeituni, Mpaka Mafuta, Mzee wa Siku, Wakili wa Mungu, mungu aliyetuma wote, baba wa uzao, baba halisi nk.
Mpaka aliacha kabisa imani aliyoikuta Siloam na aliazimia kupora thamani, uzuri na kibali cha kusanyiko la Siloam akiwa kwenye majengo ya Siloam.
Aliwapindua waumini kwa kuingiza mafundisho yaliyoacha maswali na hadithi za Kanisa Halisi la Mungu baba. E. E. Miaka1000 alitumia mbinu mbalimbali za kuvuruga safu za makuhani mikoani ambapo aliwashawishi waungane naye kusaliti maono ya mwanzilishi wa Huduma.
Ili kuhalalisha mapinduzi hayo alitunga Katiba yake akitaka kusajili The Pool of Siloam Church lakini haikupitishwa na Serikali kwa kuwa hakuwa mmoja wa viongozi wa Kikatiba. Hivyo, alizalisha mzozo ili Serikali ifute usajili halali wa Siloam Ministry InternationaI.
Hata hivyo hilo nalo halikufanikiwa.
Hivyo yeye na kundi lake la waumini aliofanikiwa kuwashaiwishi katika vituo mbalimbali waliendelea kutumia mali na majengo ya SMI kufanyia ibada na kuondoka na sadaka.
Serikali, viongozi na makuhani waaminifu walijitahidi kunusuru mgogoro huo lakini Miaka 1000 alikataa utengamano kwa madai kuwa yeye ni mungu na hawezi kujadiliwa, kuhojiwa wala kushauriwa.
WAUMINI WAKE MJE HAPA 😂😂😂TUNA KIKAO
Itabidi niende nao KigomaSijui Kwann ila kgm ndo uwa kuna sehem yao takatifu kila mwaka wanakwenda