Vita ya madaraka Makanisani ilivyoanzisha Kanisa halisi kutoka Siloam!

Wachokonozi wako sahihi sena watu wanawapuuzia tu
Ukimsikiliza yule jamaa utagundua kuwa binadamu ni kitu dhaifu mno na ndo maana akina KIBOKO YA WACHAWI na MWAMPOSA wanaishi maisha mazuri kupitia shida za wengine,, its just a simple thing ila inahitaji knowledge kubwa.
 
Ukimsikiliza yule jamaa utagundua kuwa binadamu ni kitu dhaifu mno na ndo maana akina KIBOKO YA WACHAWI na MWAMPOSA wanaishi maisha mazuri kupitia shida za wengine,, its just a simple thing ila inahitaji knowledge kubwa.
Wafia dini hawamuelewi sema mi namuelewa sana anaongea vitu vina make sense kabisa
 
Uwendawazimu kama uwendawazimu mwingine..
 
hilo sio kanisa, ni cult ya munuo, mchaga mmoja wa bombang'ombe aliyekuwa anasali lutheran akaamua kufungua kituo chake. ni kanisa la kupumbavu kuliko yote kwasababu hata wanachoongea hawakijui, na wanachofanya hawakijui. na mpaka leo wanaamini munuo alikuwa mbadala wa Yesu, na alipaa wakati alikufa kwa kuugua tetenas akakalishwa mochwari pale lugalo walipoona ataoza wakaenda kuzika kule njia ya bagamoyo. hawa ndio wakristo pekee duniani wanaoamini Damu ya Yesu na Jina la Yesu vimepungua nguvu, haviokoi tena, mapepo na mashetani yameshazoea nguvu za JIna na Damu ya Yesu, hivyo wanapoomba wanaomba kwa mungu baba. pia, munuo aliwaaminisha kwamba yeye alishapigana na shetani na alishamuua shetani, wanaamini hadi leo kwamba shetani alishakufa na aliuawa na mtume Munuo. ajabu yake, shetani bado yupo anaendelea kuwatawala na kuwadanganya. kati ya uwongo uliowahi kuanzishwa kidini, huu wa hawa jamaa ni wa kwanza. ajabu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…