Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mbona hatari hii sasa itakuwajeMoto huungaza mpaka vilivyo hai.. Kumbuka Sodoma na Gomorrah iliyeketezwa kwa moto
Zaidi soma
Kafara la kukimbiza moto linavyoligharimu Taifa
Kwa mujibu wa simulizi za kidini, ulimwengu umewahi kuadhibiwa mara mbili na mwenyezi Mungu kwa mapigo mawili makubwa. Pigo la kwanza wakati wa Nuhu, Pigo la gharika hili lilipozwa kwakuwa maji ni uhai na watu walipewa muda wa kujiandaa. Hili ni pigo takatifu lenye nafasi ya uhai ndani yake...www.jamiiforums.com
Mshana Jr naomba kuuliza et ukiwa unaota upo kijinini na angali upo mjini ina maanisha nini?? Je na nini kifanyike kuondokana na hii hali mkuuBangi ni external stimulant yenye kufumua fahamu na kumpa mtu uthubutu wa juu sana.. Kibinadamu tayari hili ni tatizo kwa wachawi
💯Lakini ukiangalia mwenendo wake wa maisha huyo Gozbert mbona Kama haukuwa Sawa hata kabla hajapewa hilo Gari.
Kuota juu ya kuokota sarafu kwa ujumla huchukuliwa kuwa ishara nzuri, mara nyingi huashiria bahati nzuri, fursa zinazowezekana, faida ndogo, na thawabu za bidii zinazokuja; inaweza pia kuonyesha mtazamo chanya kuhusu maisha yako ya baadaye na hali ya matumaini kuhusu njia yako ya sasa ya maisha.Mshana Jr mtani nimeota naokota hela nyingi maeneo ya stendi. Hela zenyewe ni coin za 100 na 200 maana yake ni nini kiuchumi
Mafanikio ama maanguko yana mengi nyuma yake na yamebeba siri kubwa sana na nyingine hazisemwiIla naona huyo jamaa aliyepewa gari itakuwa na yeye kaagizwa na madhabau yake ya kuteketeza Mali zake ili aanze upya kustawi.
Mwaka Jana 2024 kuna jamaa alichoma duka lake kubwa ambalo Kwa kuliangalia lilikuwa halikosi mtaji wa 20M.
Na alikuwa hana BIMA ya majanga wala nini.
Ila baada ya hapo Kwa sasa amestawi Sana Duka jipya alilofungua ni Mara 3 ya liloungua.
Matukio yapo mengi Sana watu hufanya .
Dr. Joe Dispenza kanisaidia sanainaweza pia kuonyesha mtazamo chanya kuhusu maisha yako ya baadaye na hali ya matumaini kuhusu njia yako ya sasa ya maisha.
EZawadi ni kitu kizuri sana hasa pale unapopewa na mpendwa wako
Zawadi ni kitu kizuri sana hasa pale unapopewa kama motisha wa kufanya vizuri zaidi
Zawadi ni kitu kizuri sana hasa pale unapopewa kama ishara njema kwa jambo zuri ulilofanya
Zawadi ni kitu kizuri sana hasa pale unapopewa kwa nia ya kudumisha, undugu urafiki na ushirika wa kazi ama Kazini
Kinyume chake zawadi ni kitu kibaya mno pale kinapotolewa kama msaada wenye agenda ya siri ama nia ovu nyuma yake.. Kuna baadhi ya zawadi badala ya kufanyika baraka hufanyika balaa na kusababisha kila aina ya matatizo
Vyovyote iwavyo kuhusu zawadi.. Tambua zawadi ni deni
Ni deni la utu
Ni deni la wakati
Ni deni la nyakati
Ni deni la kitu/vitu
Ni deni la madhabahu...!
Gozbeth kapewa zawadi la mtumba akalipokea kwa furaha kubwa na kwa shukrani sana.. Lakini ilipofika usiku zawadi ikawa deni.. Na shida ilianzia hapo
Kwa mujibu wa 'mtumishi' aliyekuwa anamhudumia alisema jamaa alipewa ile Benz kwakuwa alienda na Harrier ya mkopo..
Logik hapo kwa kutumia common sense rahisi kabisa ni kumlipia mkopo au ni kumpa gari lingine huku lile akiendelea kudaiwa?
Kuna baadhi ya vitu watu hupewa kama zawadi lakini vimenenewa .. Na usiku ndotoni huletewa ujumbe wenye masharti ya kuweza kudumu na hiyo zawadi.. Maranyingi hayo masharti ni ya aibu na ya kudhalilisha utu..
kafara la moto
Pamoja na wengi kudhani kwamba kule kulichoma lile gari kulikuwa ni kick ama kuchanyikiwa.. Lakini ukweli ni kwamba kuna kitu dogo alichokutana nacho kuihusu zawadi ambacho kiliamsha mashetani ya mizimu yote! Wala asisingizie Mungu
Gozbeth kaingia kwenye mfumo wa nabii mwenye kashfa na tuhuma nyingi.. Lakini kabla hajapelekwa kibla kuna nguvu ikamgutua..
Sasa ni vita ya madhabahu kupitia falme za giza.. Je nani ataibuka kidedea ? Gozbeth au nabii?
Ogopa sana kafara la moto..!!!
Akatambike mkuu mshana.Mara ya mwisho kwenda ni lini? Jitahidi uende hiyo hali itaisha
Mkuu kule hakuendeki mkuu mambo ni mengi mno kuleMara ya mwisho kwenda ni lini? Jitahidi uende hiyo hali itaisha
Mkuu upande wa baba na mama hawajai kuelewana nyumban wameleta mahari mara mbili wanichukue niende kwenye ukoo wa baba uapande wa mama kina babu wanagoma mkuuBasi ndio maana kunakudai uende.. Ukiwa tayari nitakupa mbinu
Naogopa vichomi🤣😂🙌🙌Basi ndio maana kunakudai uende.. Ukiwa tayari nitakupa mbinu