Vita ya madhabahu: Pale falme mbili zinapotunishiana misuli

Vita ya madhabahu: Pale falme mbili zinapotunishiana misuli

Ile haikuwa gari,

Alichoma nyoka na madhabahu ya Nabii fake,

Vita inayokuja Kwa kijana ni ngumu mno, tuendelee kumuombea, vita zingine ni Bora kuziepuka, Yesu mwenyewe Kuna wakati alihama mji walipomkataa na kumpinga sana,

Busara ilikuwa ni kurudisha gari Si kuichoma,

Imagine umeokota hirizi ya mganga, Kisha unaichoma!!
 
1.kulikuwa na ulazima gani wa Goodluck kupewa zawadi ya gari?
2.Hivi hapo kanisanai hakuna wahitaji wengine wenye kuhitaji msaada wa hali na mali?
3.Kwa nini kipaumbele kiwe kwa huyu Kijana mwenye gari tayari?

Wakati wageni wakipewa magari.
Wenyeji hali zao ni mbaya

Hapa uhalali wa kuiba nyota za wengine unapata nguvu.
 
1.kulikuwa na ulazima gani wa Goodluck kupewa zawadi ya gari?
2.Hivi hapo kanisanai hakuna wahitaji wengine wenye kuhitaji msaada wa hali na mali?
3.Kwa nini kipaumbele kiwe kwa huyu Kijana mwenye gari tayari?

Wakati wageni wakipewa magari.
Wenyeji hali zao ni mbaya

Hapa uhalali wa kuiba nyota za wengine unapata nguvu.
Wakati wageni wakipewa magari.
Wenyeji hali zao ni mbaya📌🔨
 
Ile haikuwa gari,

Alichoma nyoka na madhabahu ya Nabii fake,

Vita inayokuja Kwa kijana ni ngumu mno, tuendelee kumuombea, vita zingine ni Bora kuziepuka, Yesu mwenyewe Kuna wakati alihama mji walipomkataa na kumpinga sana,

Busara ilikuwa ni kurudisha gari Si kuichoma,

Imagine umeokota hirizi ya mganga, Kisha unaichoma!!
Busara ilikuwa ni kurudisha gari Si kuichoma,

Imagine umeokota hirizi ya mganga, Kisha unaichoma!!
sometimes hakuna jinsi ili kuua ile nguvu na kukata connection inabidi kuchoma
 
Mkuu upande wa baba na mama hawajai kuelewana nyumban wameleta mahari mara mbili wanichukue niende kwenye ukoo wa baba uapande wa mama kina babu wanagoma mkuu
Tatizo ni kubwa zaidi kumbe.. Hapo ni lazima watengeneze suluhu kwanza la sivyo unaweza kuwa mbuzi wa kafara
 
Nimesikiliza interview yake, story yake ni tofauti kabisa, kuchoma gari hakuhusiani na nabii. Atakayepata muda acheki YouTube
Anahamisha magoli angechoma kingine au nyingine.. Ama tayari ameshaanza kutishwa
 
Anahamisha magoli angechoma kingine au nyingine.. Ama tayari ameshaanza kutishwa
Oh! Haoni tena mbele iko wapi. Ni sawa na kuvaa suruali halafu njiani siafu wakakupandia na ukifika penye halaiki ya watu na umejitulia zako unataka kutoa neno; siafu hao wakaanza kukushugulikia tena kwa bidii. Je; utapotezea, utavua au
 
Tatizo ni kubwa zaidi kumbe.. Hapo ni lazima watengeneze suluhu kwanza la sivyo unaweza kuwa mbuzi wa kafara
Mkuu ni noma ndio maana nasema siwezi kwenda huko lkn hata hivyo unaweza ukaniambia ni namna gani naweza jisaidia au kutoka kwa namna yeyote
 
Sasa anatakiwa kusimama imara sana kwakuwa nabii hatakubali kuwa outshined
shetani alishashindwa na Yesu wa MSALABA. Dogo akae vizuri na Mungu, huyu nabii ambaye ni wakala wa shetani anakwenda kuumbuka sana! sana! mchana kweupe
 
Back
Top Bottom