Vita ya madhabahu: Pale falme mbili zinapotunishiana misuli

Vita ya madhabahu: Pale falme mbili zinapotunishiana misuli

Eti nabii,kimzaha mzaha neno nabii lilianza tumika mwanzoni 2000,hata wakristu walipinga,lakini sasa wamekubali,limekubalika kwamba kuna manabii siku hizi,na wanachangisha pesa hatari
Nabii , Nabiii Mkuuu, halafu kuna Mitume, halafu kuna Rais wa Mitume watu wana mbwembwe
 
Busara ilikuwa ni kurudisha gari Si kuichoma,

Imagine umeokota hirizi ya mganga, Kisha unaichoma!!
sometimes hakuna jinsi ili kuua ile nguvu na kukata connection inabidi kuchoma
ili anyonywe damu vizuri sio?
 
Back
Top Bottom