Vita ya marafiki ni kali sana kwenye mafanikio kuliko mtu baki

Vita ya marafiki ni kali sana kwenye mafanikio kuliko mtu baki

Unataka niweke hadharani nikuoneshe Bank statements na financial status zangu humu za Swiss bank, Swiss Credit, HSBC na Deutsch bank? Ma offshore tax haven huko. Niziweke hadharani?? Nikuwekee humu hadharani mkataba nilioingia wa miaka 10 na price water coopers katika maswala ya kunishauri kulipa kodi na auditing? Niweke hapa stocks zangu lukuki Amazon, Microsoft na Tesla?
kaka hapana usiweke ,tupo chini ya miguu yako USIWEKE KAKA TAFADHALI......
 
Unataka niweke hadharani nikuoneshe Bank statements na financial status zangu humu za Swiss bank, Swiss Credit, HSBC na Deutsch bank? Ma offshore tax haven huko. Niziweke hadharani?? Nikuwekee humu hadharani mkataba nilioingia wa miaka 10 na price water coopers katika maswala ya kunishauri kulipa kodi na auditing? Niweke hapa stocks zangu lukuki Amazon, Microsoft na Tesla?
Dm hata moja usifanye forgery maana huko ntaitambua mapema..
 
Wakate kwenye circle mzee, be careful with who you put in your inner circle man, ndio mana me saivi nimegundua my inner circle inawazee madingi wenye experience ya maisha kubwa na hawez kukuletea usela mavi kwenye ishue important kama hizi masta….hawa madingi ukiwa mwaminifu ni waelewa sana vinana wenzetu bora aangushe jaga masta 3 wavuvi pale ila sio akuungie laki tano ukamilishe mipango yako….
Ni kweli mkuu...Mbona mm nawasave sana mkuu!...
 
Kuna kazi nimefanya mahali...sasa kuna mpunga mrefu natakiwa nipewe...kikwazo ikaja kuna documents inatakiwa (CODE) Na hiyo code ni hela inatakiwa 2,500,000 nikapambana nikatoa 1.5 bado 1m nikakwama...!

Nikiri na umri huu nimejifunza kitu kipya ambacho nilikua nakiskia na kukiona kwa watu sa hv kimenitokea...

Nikawafata ma hommies wale wa ndani kabisa (Inner Circle) nikiwaomba wanisaidie hiyo 1m...

Hola...wa kwanza akaniambia ni mtee kabisa...!
Hola... wa pili mtee
.
.
.
.wa sita akaniunganisha mahali nikope....baadae mkopeshaji na alienipeleka hawashiki simu

Nikakaa nikawaza nimekosea wapi?

Kumbe nawachana live kwamba nadai so na so...aisee kumbe wanapanick...uzuri deal nimekamilisha ila kulipwa bado na mzigo ushatumika....so lazma nilipwe...

Nimeweka pozi...

Nasubiria mda wowote nitamalizia hiyo 1m ila nimejifunza kitu..hawa hawa ndio mm huwaokoa kwenye angle ngumu sana..mmmoja kodi..mmoja central mmoja harusi...na hela yenyewe wanarudisha dusco dusco...ila this tyme wataniona kauzu kama sielewi hv..!

Usimtegemee Mtu Yoyote...Yoyote ukiwa na shida!
!
Mkuu usiwape watu majukumu ya kukusaidia, kila mtu anapambana na yake kimya kimya
 
kaka hapana usiweke ,tupo chini ya miguu yako USIWEKE KAKA TAFADHALI......
Ngoja nipotezee tu basi. Kwasababu watu watashikwa na presha na cardiac arrest bure waende kwenye permanent coma wakati kwenye ukoo wao ndo sole bread winners washindi wakuu wa mkate.

Mkuu asante kwa ushauri umeokoa maisha ya wengi sana.
 
Mwandiko wako haunishawishi sana kama unastahili. Mimi nina wana wakipiga simu kukopa hela siulizi unarudisha lini wala unafanyia nini, najua ziko mikono salama.
Wapo wengine ambao bila kujiridhisha anaenda kufanya nini, utakuta anaenda kut0mb£a mkopo na hajui hela atarejeshaje. Hivyo ni lazima niwaulize kwa kina wanaenda kufanya nini, na evidence nione.

It's very likely ungeniomba hiyo hela (assume ni kiwango kidogo chini ya hapo) kwa maelezo hayohayo nisingekupa. Juzi Jumamosi nilichukua hela ofisi ya rafiki yangu niirudishe jioni, mvua ikanyesha nikaenda hivyohivyo usiku kabla msaidizi wake hajafunga, kumbe ile hela alibidi aongezee kesho yake aitume nje kuongeza mzigo. Na mimi kesho yake Jumapili (jana) nilitoka usiku kupiga kazi moja niliyomaliza usiku hata match ya Chelsea vs Man City sijaona. Sasa imagine nisingepeleka ile hela Jmosi.
 
Ngoja nipotezee tu basi. Kwasababu watu watashikwa na presha na cardiac arrest waende kwenye permanent coma wakati kwenye ukoo wao ndo sole bread winners washindi wakuu wa mkate.

Mkuu asante kwa ushauri umeokoa maisha ya wengi sana.
Mzee wa Box bana acha hiyo mikwara ya kina mzee Hashim Rungwe...!
 
Unataka niweke hadharani nikuoneshe Bank statements na financial status zangu humu za Swiss bank, Swiss Credit, HSBC na Deutsch bank? Ma offshore tax haven huko. Niziweke hadharani?? Nikuwekee humu hadharani mkataba nilioingia wa miaka 10 na price water coopers katika maswala ya kunishauri kulipa kodi na auditing? Niweke hapa stocks zangu lukuki Amazon, Microsoft na Tesla?
Muhaya ndani ya jiji
 
Zamani vijana walikua wakitaka kusalimia wakubwa, walikua wanavua kofia alafu wanasalimia...😐
Skuizi vijana wakitaka kusalimia wakubwa, kwanza wanatoa headphone moja ndipo wanasalimia..🤨
Mimi mpaka leo nikisalimia walionizidi umri sharti nitoe kofia hayo ndo maadili niliyofundishwa huko kijijini kwetu nyibhuko kiwira mwankenja
 
Mwandiko wako haunishawishi sana kama unastahili. Mimi nina wana wakipiga simu kukopa hela siulizi unarudisha lini wala unafanyia nini, najua ziko mikono salama.
Wapo wengine ambao bila kujiridhisha anaenda kufanya nini, utakuta anaenda kut0mb£a mkopo na hajui hela atarejeshaje. Hivyo ni lazima niwaulize kwa kina wanaenda kufanya nini, na evidence nione.

It's very likely ungeniomba hiyo hela (assume ni kiwango kidogo chini ya hapo) kwa maelezo hayohayo nisingekupa. Juzi Jumamosi nilichukua hela ofisi ya rafiki yangu niirudishe jioni, mvua ikanyesha nikaenda hivyohivyo usiku kabla msaidizi wake hajafunga, kumbe ile hela alibidi aongezee kesho yake aitume nje kuongeza mzigo. Na mimi kesho yake Jumapili (jana) nilitoka usiku kupiga kazi moja niliyomaliza usiku hata match ya Chelsea vs Man City sijaona. Sasa imagine nisingepeleka ile hela Jmosi.
Una maanisha uaminifu sio.. katika hao watatu wameshachukua kwangu na kurudisha kwa mbinde wawili nimechukua kwa o na kurudisha on time...na hao wawili pia walishachukua siku za nyuma pia mmoja ndio alikua mpya ila tunajuana vizuri sana..muandiko sio ishu sana..mm sio mzuri kwenye content writing..!
 
Back
Top Bottom