Vita ya Starlink na Safaricom ni somo kwa kampuni za mawasiliano Tanzania

Hapo Kenya ni Karibu sana! hivi nikiorder Starlink yangu online nikifunga ziwezi kunasa Data ?
Inawezekana kabisa. Kuna watu wanazo bongo ila wakikunasa. Halafu wabongo walivyo wambea watajua tu unayo watakuchoma na kukuchongea.

Kuna jamaa alikuwa na king'amuzi cha Canal + burundi walimchoma asee
 
TIGO is typing.................................................................
 
Wewe ni mpotoshaji. God will punish you.
 
Uzuri hio 50GB ya elon Musk inaweza kumaliza mwezi mzima bila shida. Tofauti na 50GB ya mitandao ya kibongo ambayo kiuhalisia unaweza kuta upewa 25GB ndani ya week 2 tu kifurushi kimeisha unakatiwa connection😂.

Kama 1GB itauzwa Tshs 400 basi ni wazi pamoja na kodi zote huenda ikawa Tshs 500 net. Kwa bei ya sasa ya 1GB za kitapeli ambayo ni tzs 3000/= maana yake unaweza pata 6GB ambayo ni sawa na TZS 3000/500.
 
🚮takataka hii
 
Starlink kuja Tanzania ni vigumu sababu viongozi wetu wa siasa wana hisa kwenye makampuni ya simu. Makampuni ya simu yanawanyonya sana wa Tanzania, kutuma pesa, kutoa pesa na kulipia huduma za makampuni na serikali unakatwa zaidi ya 4%
Watakuja tu mkuu, mabadiliko lazma yatatokea tu japo upinzani ni mkali🤣 ila ipo siku watu wataruhusiwa tu kuleta hardware za Starlink.

Shida ni ufisadi uliokithiri kupitia mapato ya mitandao ya simu
 
Sttarlink ni suala la muda tu.
Hawa Voda na Tigo waliokuwa wanajifanya wanabana datta ipo siku watatutafuta kwa Tochi.
Vijana wetu wa Telecom mnaokula na kusaza huko Maakampuni ya simu kaeni Mguu sawa.
Rostam na voda yake hawezi kukubali starlink ije TZ,unadhania nape alikua mjinga kuikataa
 
Ati Nape anafanana na Prof Mwandosya?
 
Warwanda na wakenya wanamiliki starlink ila hapa kwetu tukaaminishwa hatuwezi gharama za kumiliki starlink!
 
😁😁😁achana na tu na starlink connect Africa installation tu kimbembe. Ngona si tukomae na halotel fiber tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…