Vita ya Starlink na Safaricom ni somo kwa kampuni za mawasiliano Tanzania

Vita ya Starlink na Safaricom ni somo kwa kampuni za mawasiliano Tanzania

Ni kweli kabsa! Wanaona ni threat kwa pesa na uwekezaji wao

Ile ya kusambaza mkonga wa Taifa alipewa nani? Imefikia wapi? Kwanini tusiende kwenye technogy ya uhakika ambayo haina gharama kubwa?
 
Thed weld dwellers bana FANYENI kazi nyie acheni kuendekeza na kupenda anasa. Internet ni anasa tu kwenu kuchat chat na madem na umbea mtandaoni.

Hii nchi unaweza kusafiri zaidi ya kilomita 500 ukakutana na maripori manene yasiondelezwa yapoyapo tu kizembe. Nendendo huko mkayasafishe mjishughulishe.

Jerry komaa hapo hapo kama Nape.

Panueni wigo mpana.
We jamaa unatia aibu sana. Yaani ktk karne ya 21 unawaza mapori ?. Hayo mapori unaenda kukata kwa mikono ?
Kwa hio kilimo hakiitaji technolojia ?
Kupitia internet nilijifunza jinsi mkenya alivyoweza kuzalisha mahindi gunia 35 kwa heka wakat bongo wanajadli gunia 25. Bila internet hio elimu ningeipata wapi ?
Wewe ndio upo nyuma ya wakati, ndio unaestahili kuchekwa na kuelimishwa.
Eti unawabeza vijana wanaodai teknolojia upo sawa kweli ?
Kilimo cha sasa hakihitaji mapori hata mjini unalima.
Endelea kujidanganya kuwa kumiliki mapoti ndio kilimo.
Watu wameanza kufanya vertical farming wewe unawahimiza waende maporini wakapambane na nyani na ngedere.
Nenda kalime Njombe DC baadhi ya maeneo kama utavuna mazao, labda unajadili utani, haupo serious.
Siamini kama upo serious na ndio mtazamo wako. Kama ndio basi fanya mwenyewe vjana waache waamue future yao wasije achwa nyuma kama hadzabe. Yaani wewe huna tofauti na wahdzabe na bushmen kimtazamo.
Hayo mapori yatakuwa welk mechanized iwapo internet na technolojia zingune zitatakuwa full realized in TZ.
Mtazamo wako upo sahihi kwa upande wako kama hadzabe walivyo sahihi kwa upande wao. Uzuri wa duniani hulazimishwi kuwa civilized ukichagua kuwa uncivilized ni wewe tu, no one care.
 
Thed weld dwellers bana FANYENI kazi nyie acheni kuendekeza na kupenda anasa. Internet ni anasa tu kwenu kuchat chat na madem na umbea mtandaoni.

Hii nchi unaweza kusafiri zaidi ya kilomita 500 ukakutana na maripori manene yasiondelezwa yapoyapo tu kizembe. Nendendo huko mkayasafishe mjishughulishe.

Jerry komaa hapo hapo kama Nape.

Panueni wigo mpana.
Wote tungekuwa wakulima huko maporini leo ungeijua na ku comment hapa JF? Kama wewe haujui kutumia internet in more productive way that's your problem.
 
nape mbona kafukuzwa uwaziri au nape wa nyankunde
Hajafukuzwa ameenguliwa.Wewe hujui lugha za nchi yetu? ngoja nikupe mifano ucheke kidogo
Enzi ya Magufuli ilikuwa marufuku kusema mgonjwa alikuwa anaumwa Covid unasema changamoto za kupumua.
Wakati flani miaka ya 90 CCM wakikwaruzana walikuwa hawasemi kuna migongano wanasema tofauti za kimawazo.
Mfano mwingine nchini kwetu wakitaka kusema mwanasiasa flani amepigwa risasi na majambazi lugha inayotumia ni apigwa risasi na wasiojulikana.yaani unknown assainlants.
Kustaafu siasa kutokana na umri unasema kung'atuka

hebu ongezeeni na nyie
 
Ile ya kusambaza mkonga wa Taifa alipewa nani? Imefikia wapi? Kwanini tusiende kwenye technogy ya uhakika ambayo haina gharama kubwa?
Tatizo kila kiongozi ameshaweka mkono wake katika makampuni haya hivyo hakuna any positive impact wanaifanya
 
Hajafukuzwa ameenguliwa.Wewe hujui lugha za nchi yetu? ngoja nikupe mifano ucheke kidogo
Enzi ya Magufuli ilikuwa marufuku kusema mgonjwa alikuwa anaumwa Covid unasema changamoto za kupumua.
Wakati flani miaka ya 90 CCM wakikwaruzana walikuwa hawasemi kuna migongano wanasema tofauti za kimawazo.
Choice of words 😃
 
Sttarlink ni suala la muda tu.
Hawa Voda na Tigo waliokuwa wanajifanya wanabana datta ipo siku watatutafuta kwa Tochi.
Vijana wetu wa Telecom mnaokula na kusaza huko Maakampuni ya simu kaeni Mguu sawa.
Nani aliyekudanganya adui yako ni TIGO au VODA ? kwa taarifa yako ADUI yako mkubwa ni Serikali kwa kupitia TCRA
 
Nani aliyekudanganya adui yako ni TIGO au VODA ? kwa taarifa yako ADUI yako mkubwa ni Serikali kwa kupitia TCRA
Ni kweli kabsa Mkuu! Hawa waliokaa hapo juu!
 
Maskini wengi wanadhani Starlink inawahusu. Hata ikiletwa leo watakaomudu gharama za Starlink ni wachache mno. Starlink hawana bundles za buku. Unalipia kwa mwezi sio chini ya laki. Na pia lazima ununue vifaa vyao ni zaidi ya Tsh 2m. Starlink iliingia Zambia mapema ila hadi leo raia wengi hawaitumii internet yao. Kwa Tanzania ni bei tu ya bundles zishuke ndo suluhisho. Starlink sio suluhisho
Okay,ije tu ivyoivyo,watu wenyewe watachagua watumie ipi.
 
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Sttarlink ni suala la muda tu.
Hawa Voda na Tigo waliokuwa wanajifanya wanabana datta ipo siku watatutafuta kwa Tochi.
Vijana wetu wa Telecom mnaokula na kusaza huko Maakampuni ya simu kaeni Mguu sawa.
 
Back
Top Bottom