Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Barua iliyopostiwa mtandaoni juzi na admin wa Police Tanzania kwenye mtandao wa X inaonyesha kusainiwa na Kamoshna Awadhi Juma Haji tofauti na barua nyingine zinazotolewa na Msemaji rasmi wa Polisi David Misime.
Nini kimesababisha Mtu anayehisiwa kuyataka madaraka ya IGP atoe statement badala ya Msemaji rasmi? Je si kujipendekeza Kwa mheshimiwa Rais ili IGP aliyepo aonekane dhaifu?
Tunakumbuka wakati wa IGP Simon Sirro ilianza hivi hivi majungu na maafisa kujipendekeza Ikulu Hadi mmoja akatamka Wazi anautaka uIGP akanyang'anywa uRPC Kagera.
Ni wakati wa Mh Rais kupima kama hizi tetesi zina ukweli na kujiepusha hawa wanaomsababishia aonekane kiongozi katili wakati Wameficha agenda ya Siri nyuma ya pazia.
Je, tetesi hizi zilizozagaa mitandaoni zina ukweli au watu wameamua kuzua kama ulivyo ushabiki wa Simba na Yanga?
Nini kimesababisha Mtu anayehisiwa kuyataka madaraka ya IGP atoe statement badala ya Msemaji rasmi? Je si kujipendekeza Kwa mheshimiwa Rais ili IGP aliyepo aonekane dhaifu?
Tunakumbuka wakati wa IGP Simon Sirro ilianza hivi hivi majungu na maafisa kujipendekeza Ikulu Hadi mmoja akatamka Wazi anautaka uIGP akanyang'anywa uRPC Kagera.
Ni wakati wa Mh Rais kupima kama hizi tetesi zina ukweli na kujiepusha hawa wanaomsababishia aonekane kiongozi katili wakati Wameficha agenda ya Siri nyuma ya pazia.
Je, tetesi hizi zilizozagaa mitandaoni zina ukweli au watu wameamua kuzua kama ulivyo ushabiki wa Simba na Yanga?