Vita ya U-IGP yaweza kuwa imechangia kukamatwa viongozi wa CHADEMA?

Vita ya U-IGP yaweza kuwa imechangia kukamatwa viongozi wa CHADEMA?

Barua iliyopostiwa mtandaoni juzi na admin wa Police Tanzania kwenye mtandao wa X inaonyesha kusainiwa na Kamoshna Awadhi Juma Haji tofauti na barua nyingine zinazotolewa na Msemaji rasmi wa Polisi David Misime.

Nini kimesababisha Mtu anayehisiwa kuyataka madaraka ya IGP atoe statement badala ya Msemaji rasmi? Je si kujipendekeza Kwa mheshimiwa Rais ili IGP aliyepo aonekane dhaifu?

Tunakumbuka wakati wa IGP Simon Sirro ilianza hivi hivi majungu na maafisa kujipendekeza Ikulu Hadi mmoja akatamka Wazi anautaka uIGP akanyang'anywa uRPC Kagera.

Ni wakati wa Mh Rais kupima kama hizi tetesi zina ukweli na kujiepusha hawa wanaomsababishia aonekane kiongozi katili wakati Wameficha agenda ya Siri nyuma ya pazia.

Je, tetesi hizi zilizozagaa mitandaoni zina ukweli au watu wameamua kuzua kama ulivyo ushabiki wa Simba na Yanga?

Hii nchi ina mambo ya kipumbavu sana lakini poliCCM wana mambo ya kipimbi sana.
 
Awadh anatafuta u IGP tunajua mbinu zake na tabia zake za ufirauni tunazijua tutamuanika hadharani
 
Wakati Wa Sirro Aliyekuwa Anaitaka Hiyo Nafasi
Alikuwa Anaitwa Wankyo Ramadhani Nyegesa



Sasa Wameanza Tena Vita Ni Vita
Hapo Iigiipii Ajipange Sawa Vinginevyo Oops
 
Awadh anatafuta u IGP tunajua mbinu zake na tabia zake za ufirauni tunazijua tutamuanika hadharani
Yule jamaa anahonga vyeo.
Akipewa chiu anampa mtu cheo.
 
Barua iliyopostiwa mtandaoni juzi na admin wa Police Tanzania kwenye mtandao wa X inaonyesha kusainiwa na Kamoshna Awadhi Juma Haji tofauti na barua nyingine zinazotolewa na Msemaji rasmi wa Polisi David Misime.

Nini kimesababisha Mtu anayehisiwa kuyataka madaraka ya IGP atoe statement badala ya Msemaji rasmi? Je si kujipendekeza Kwa mheshimiwa Rais ili IGP aliyepo aonekane dhaifu?

Tunakumbuka wakati wa IGP Simon Sirro ilianza hivi hivi majungu na maafisa kujipendekeza Ikulu Hadi mmoja akatamka Wazi anautaka uIGP akanyang'anywa uRPC Kagera.

Ni wakati wa Mh Rais kupima kama hizi tetesi zina ukweli na kujiepusha hawa wanaomsababishia aonekane kiongozi katili wakati Wameficha agenda ya Siri nyuma ya pazia.

Je, tetesi hizi zilizozagaa mitandaoni zina ukweli au watu wameamua kuzua kama ulivyo ushabiki wa Simba na Yanga?

Dawa ya haya yote ni Katiba Mpya. Hizi power struggle zimeanza kuingia mpaka kwenye majeshi only because tuna Katiba mbovu inayowapa nguvu wanasiasa kuliko kuipa nguvu mifumo dhidi ya Wanasiasa.
 
Back
Top Bottom