Vita ya U-IGP yaweza kuwa imechangia kukamatwa viongozi wa CHADEMA?

Vita ya U-IGP yaweza kuwa imechangia kukamatwa viongozi wa CHADEMA?

Jeshi siyo chama cha Siasa hufanyi chochote hadi alie juu yako aruhusu kama amesaini Awadh ujue anamamlaka hiyo huenda jambo hilo liko chini ya kamisheni anayoongoza yeye, siyo barua zote zinasainiwa na msemaji
Amesaini Mzanzibari
 
Nini kimesababisha Mtu anayehisiwa kuyataka madaraka ya IGP atoe statement badala ya Msemaji rasmi? Je si kujipendekeza Kwa mheshimiwa Rais ili IGP aliyepo aonekane dhaifu?
Ukinifahamisha Haji anatokea wapi, nitakupa jibu kwa nini uwepo mkanganyiko namna hiyo. Siyo lazima iwe ni kuutafuta u-IGP, ingawaje hicho kitakuwa kilainishi.
 
Hii barua ya Awadhi kwa vyovyote vile ilikuwa na baraka za IGP, lkn kuna amri toka juu ya kutengua katazo la polisi.

Pia ninadhani hata tamko la katibu mkuu wa ccm limeanzia kwenye vikao vya ndani. Nchimbi hajakurupuka tu na kunena aliyoyanena. Kwani yeye haogopi yaliyomkuta Kinana? Huyu bibi siyo mtu.

Bibi ameiona hatari kubwa mbele kisiasa kwa kuwakamata wafuasi na viongozi wa chadema, hivyo akatanabaisha kuwa waachiwe.

Ndiyo maana unaona chama kinajukanyaga na polisi wanajitafuna.
Sinema tayari ni mbaya; itasafishwa vipi hii!

Lakini sinema za namna hii ni funzo muhimu. Hivi hali itakuwaje endapo 2025 waigizaji hawa hawa watapata nafasi ya kuendeleza picha za aina hii; si itakuwa balaa!
 
Barua iliyopostiwa mtandaoni juzi na admin wa Police Tanzania kwenye mtandao wa X inaonyesha kusainiwa na Kamoshna Awadhi Juma Haji tofauti na barua nyingine zinazotolewa na Msemaji rasmi wa Polisi David Misime.

Nini kimesababisha Mtu anayehisiwa kuyataka madaraka ya IGP atoe statement badala ya Msemaji rasmi? Je si kujipendekeza Kwa mheshimiwa Rais ili IGP aliyepo aonekane dhaifu?

Tunakumbuka wakati wa IGP Simon Sirro ilianza hivi hivi majungu na maafisa kujipendekeza Ikulu Hadi mmoja akatamka Wazi anautaka uIGP akanyang'anywa uRPC Kagera.

Ni wakati wa Mh Rais kupima kama hizi tetesi zina ukweli na kujiepusha hawa wanaomsababishia aonekane kiongozi katili wakati Wameficha agenda ya Siri nyuma ya pazia.

Je, tetesi hizi zilizozagaa mitandaoni zina ukweli au watu wameamua kuzua kama ulivyo ushabiki wa Simba na Yanga?

Chadema imewapa watu vyeo, utajiri na vyeo
 
Asante Mkuu, lakini Mimi nimeweka kama swali. Lini Taarifa nyingine ilitolewa na kamishna yeyote tofauti na Msemaji rasmi? Kwani matukio ya jinai mbona hayatokewi na kamishna wa jinai yanatolewa na Misime?
Wabongo kama mna mtindio wa ubongo vile? Usema ''mh'' rais afanye nini? Yaani unampelekea ''tatizo'' matatizo yako?Hujui haya yote yanatokea kwa sababu yake?
 
Barua iliyopostiwa mtandaoni juzi na admin wa Police Tanzania kwenye mtandao wa X inaonyesha kusainiwa na Kamoshna Awadhi Juma Haji tofauti na barua nyingine zinazotolewa na Msemaji rasmi wa Polisi David Misime.

Nini kimesababisha Mtu anayehisiwa kuyataka madaraka ya IGP atoe statement badala ya Msemaji rasmi? Je si kujipendekeza Kwa mheshimiwa Rais ili IGP aliyepo aonekane dhaifu?

Tunakumbuka wakati wa IGP Simon Sirro ilianza hivi hivi majungu na maafisa kujipendekeza Ikulu Hadi mmoja akatamka Wazi anautaka uIGP akanyang'anywa uRPC Kagera.

Ni wakati wa Mh Rais kupima kama hizi tetesi zina ukweli na kujiepusha hawa wanaomsababishia aonekane kiongozi katili wakati Wameficha agenda ya Siri nyuma ya pazia.

Je, tetesi hizi zilizozagaa mitandaoni zina ukweli au watu wameamua kuzua kama ulivyo ushabiki wa Simba na Yanga?

Kazi kuu ya Jeshi la Polisi ni Kuzuia uharifu usitokee! Kenya walijichanganya
 
Sinema tayari ni mbaya; itasafishwa vipi hii!

Lakini sinema za namna hii ni funzo muhimu. Hivi hali itakuwaje endapo 2025 waigizaji hawa hawa watapata nafasi ya kuendeleza picha za aina hii; si itakuwa balaa!
Hoja yako nzito Sana.
 
Barua iliyopostiwa mtandaoni juzi na admin wa Police Tanzania kwenye mtandao wa X inaonyesha kusainiwa na Kamoshna Awadhi Juma Haji tofauti na barua nyingine zinazotolewa na Msemaji rasmi wa Polisi David Misime.

Nini kimesababisha Mtu anayehisiwa kuyataka madaraka ya IGP atoe statement badala ya Msemaji rasmi? Je si kujipendekeza Kwa mheshimiwa Rais ili IGP aliyepo aonekane dhaifu?

Tunakumbuka wakati wa IGP Simon Sirro ilianza hivi hivi majungu na maafisa kujipendekeza Ikulu Hadi mmoja akatamka Wazi anautaka uIGP akanyang'anywa uRPC Kagera.

Ni wakati wa Mh Rais kupima kama hizi tetesi zina ukweli na kujiepusha hawa wanaomsababishia aonekane kiongozi katili wakati Wameficha agenda ya Siri nyuma ya pazia.

Je, tetesi hizi zilizozagaa mitandaoni zina ukweli au watu wameamua kuzua kama ulivyo ushabiki wa Simba na Yanga?

Kuna uweledi na uchawaledi
 
Back
Top Bottom