Wazanzibar watunyanyase kwenye nchi yetu?Awadh ndio kila kitu kwasasa.
Ningefunguka zaidi lakini Kibatala amezidiwa na kesi na Lissu yuko ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazanzibar watunyanyase kwenye nchi yetu?Awadh ndio kila kitu kwasasa.
Ningefunguka zaidi lakini Kibatala amezidiwa na kesi na Lissu yuko ndani
jamaa maisha ya kawaida kipindi akiwa OCD Oysterbay alikua mtu sana. ila sasa naona anajitoa akili.Awadh ndio kila kitu kwasasa.
Ningefunguka zaidi lakini Kibatala amezidiwa na kesi na Lissu yuko ndani
mrangi sio mzanzibariWazanzibar watunyanyase kwenye nchi yetu?
Amesaini MzanzibariJeshi siyo chama cha Siasa hufanyi chochote hadi alie juu yako aruhusu kama amesaini Awadh ujue anamamlaka hiyo huenda jambo hilo liko chini ya kamisheni anayoongoza yeye, siyo barua zote zinasainiwa na msemaji
Ukinifahamisha Haji anatokea wapi, nitakupa jibu kwa nini uwepo mkanganyiko namna hiyo. Siyo lazima iwe ni kuutafuta u-IGP, ingawaje hicho kitakuwa kilainishi.Nini kimesababisha Mtu anayehisiwa kuyataka madaraka ya IGP atoe statement badala ya Msemaji rasmi? Je si kujipendekeza Kwa mheshimiwa Rais ili IGP aliyepo aonekane dhaifu?
Sinema tayari ni mbaya; itasafishwa vipi hii!Hii barua ya Awadhi kwa vyovyote vile ilikuwa na baraka za IGP, lkn kuna amri toka juu ya kutengua katazo la polisi.
Pia ninadhani hata tamko la katibu mkuu wa ccm limeanzia kwenye vikao vya ndani. Nchimbi hajakurupuka tu na kunena aliyoyanena. Kwani yeye haogopi yaliyomkuta Kinana? Huyu bibi siyo mtu.
Bibi ameiona hatari kubwa mbele kisiasa kwa kuwakamata wafuasi na viongozi wa chadema, hivyo akatanabaisha kuwa waachiwe.
Ndiyo maana unaona chama kinajukanyaga na polisi wanajitafuna.
Chadema imewapa watu vyeo, utajiri na vyeoBarua iliyopostiwa mtandaoni juzi na admin wa Police Tanzania kwenye mtandao wa X inaonyesha kusainiwa na Kamoshna Awadhi Juma Haji tofauti na barua nyingine zinazotolewa na Msemaji rasmi wa Polisi David Misime.
Nini kimesababisha Mtu anayehisiwa kuyataka madaraka ya IGP atoe statement badala ya Msemaji rasmi? Je si kujipendekeza Kwa mheshimiwa Rais ili IGP aliyepo aonekane dhaifu?
Tunakumbuka wakati wa IGP Simon Sirro ilianza hivi hivi majungu na maafisa kujipendekeza Ikulu Hadi mmoja akatamka Wazi anautaka uIGP akanyang'anywa uRPC Kagera.
Ni wakati wa Mh Rais kupima kama hizi tetesi zina ukweli na kujiepusha hawa wanaomsababishia aonekane kiongozi katili wakati Wameficha agenda ya Siri nyuma ya pazia.
Je, tetesi hizi zilizozagaa mitandaoni zina ukweli au watu wameamua kuzua kama ulivyo ushabiki wa Simba na Yanga?
Wanasema vyeo na uzanzibari unahusikajamaa maisha ya kawaida kipindi akiwa OCD Oysterbay alikua mtu sana. ila sasa naona anajitoa akili.
Wabongo kama mna mtindio wa ubongo vile? Usema ''mh'' rais afanye nini? Yaani unampelekea ''tatizo'' matatizo yako?Hujui haya yote yanatokea kwa sababu yake?Asante Mkuu, lakini Mimi nimeweka kama swali. Lini Taarifa nyingine ilitolewa na kamishna yeyote tofauti na Msemaji rasmi? Kwani matukio ya jinai mbona hayatokewi na kamishna wa jinai yanatolewa na Misime?
Kazi kuu ya Jeshi la Polisi ni Kuzuia uharifu usitokee! Kenya walijichanganyaBarua iliyopostiwa mtandaoni juzi na admin wa Police Tanzania kwenye mtandao wa X inaonyesha kusainiwa na Kamoshna Awadhi Juma Haji tofauti na barua nyingine zinazotolewa na Msemaji rasmi wa Polisi David Misime.
Nini kimesababisha Mtu anayehisiwa kuyataka madaraka ya IGP atoe statement badala ya Msemaji rasmi? Je si kujipendekeza Kwa mheshimiwa Rais ili IGP aliyepo aonekane dhaifu?
Tunakumbuka wakati wa IGP Simon Sirro ilianza hivi hivi majungu na maafisa kujipendekeza Ikulu Hadi mmoja akatamka Wazi anautaka uIGP akanyang'anywa uRPC Kagera.
Ni wakati wa Mh Rais kupima kama hizi tetesi zina ukweli na kujiepusha hawa wanaomsababishia aonekane kiongozi katili wakati Wameficha agenda ya Siri nyuma ya pazia.
Je, tetesi hizi zilizozagaa mitandaoni zina ukweli au watu wameamua kuzua kama ulivyo ushabiki wa Simba na Yanga?
Kwenye majeshi hakuna mzanzibar na mtanganyika wote mnapewa mafunzo pamoja na mnapangiwa kazi sehemu yoyoteAmesaini Mzanzibari
Hoja yako nzito Sana.Sinema tayari ni mbaya; itasafishwa vipi hii!
Lakini sinema za namna hii ni funzo muhimu. Hivi hali itakuwaje endapo 2025 waigizaji hawa hawa watapata nafasi ya kuendeleza picha za aina hii; si itakuwa balaa!
Duh,Awadh ndio kila kitu kwasasa.
Ningefunguka zaidi lakini Kibatala amezidiwa na kesi na Lissu yuko ndani
Mbwa asiyeng'ata.Duh,
Kwamba bosi wake ni ceremonial!
Kuna vikorokoro kibao amejipandijizia tangu apate hiyo dhamanajamaa maisha ya kawaida kipindi akiwa OCD Oysterbay alikua mtu sana. ila sasa naona anajitoa akili.
Kuna uweledi na uchawalediBarua iliyopostiwa mtandaoni juzi na admin wa Police Tanzania kwenye mtandao wa X inaonyesha kusainiwa na Kamoshna Awadhi Juma Haji tofauti na barua nyingine zinazotolewa na Msemaji rasmi wa Polisi David Misime.
Nini kimesababisha Mtu anayehisiwa kuyataka madaraka ya IGP atoe statement badala ya Msemaji rasmi? Je si kujipendekeza Kwa mheshimiwa Rais ili IGP aliyepo aonekane dhaifu?
Tunakumbuka wakati wa IGP Simon Sirro ilianza hivi hivi majungu na maafisa kujipendekeza Ikulu Hadi mmoja akatamka Wazi anautaka uIGP akanyang'anywa uRPC Kagera.
Ni wakati wa Mh Rais kupima kama hizi tetesi zina ukweli na kujiepusha hawa wanaomsababishia aonekane kiongozi katili wakati Wameficha agenda ya Siri nyuma ya pazia.
Je, tetesi hizi zilizozagaa mitandaoni zina ukweli au watu wameamua kuzua kama ulivyo ushabiki wa Simba na Yanga?
Una chuki zilizopita kiwango!! Awadhi ni Mzanzibari?Wazanzibar watunyanyase kwenye nchi yetu?
Ni kweli kabisa, kwasababu Wizara ya Ulinzi ni ya Muungano.Kwenye majeshi hakuna mzanzibar na mtanganyika wote mnapewa mafunzo pamoja na mnapangiwa kazi sehemu yoyote
Awadh namjua sio mzenji ni mrangiWanasema vyeo na uzanzibari unahusika