Vita ya Uchumi haijawahi kuwa nyepesi, Hayati Magufuli aheshimiwe

Vita ya Uchumi haijawahi kuwa nyepesi, Hayati Magufuli aheshimiwe

Sijahitaji msaada wako mie,ninachotaka ujenge hoja ili ueleweke hata kwa wale wanao amini jpm alipigana vita ya kiuchumi.
It seems your comprehension skills are still learning to crawl. Don't worry, though, everyone learns at their own pace! Keep at it, and one day you'll get there. For now, let's stick to the basics, shall we?
 
Vita gani na mabeberu? Ufisadi unatumaliza kila siku alafu tunasingizia wazungu. Mfano kwa mwaka tu unakuta 30% ya makusanyo yanatapanywa je hapo vita ya kiuchumi inaingiaje. Huu ni msemo ulitungwa na CCM ili kutafuta mtu wa kumtupia lawama kwa failures zao. No wonder hata awamu ya 5 ilidai wapinzani walituchelewesha sana ilihali hawajawahi kusanya kodi au kupanga bajeti tokea uhuru!!


Ni hivi mikataba inafuata sheria sio hisia au mihemko. Mfano tulidai Acacia wanatorosha makinikia. Ilipaswa twende ICSID tufungue kesi ya madai alafu tuweke ushahidi wa vifungu vilivyokiukwa mbona tungelipwa matrillion yote yale. Sasa cha ajabu tukaenda zuia makontena mara kamata kamata ya viongozi wa Acacia n.k. Kwa style ile wakifungua kesi hutoboi maana as much as wana makosa ila expropriation ya mali za mwekezaji ni serious offence!!

Kwa hiyo huyo huyo unayemsifia ilibidi atumie akili kuliko miguvu ili kupata popularity ya wapiga kura. So hatuna vita yoyote ila incompetence yetu ikiwa exposed tunalialia eti vita.
🗼💐📜🎁🆒
 
Mbona wewe umeongea maneno mengi lkn hujasema chochote,umeishia kupinga na blabla zingine,jpm alikuwa na dhamira ya dhati ya kupigana vita ya kiuchumi,ila kwa nyie mliovaa miwani ya mbao za chuki na kupinga,ni ngumu sana kuelewa au kukubaliana na huo ukweli.
Mkuu vita kiuchumi ipi? Na nani? Wapi? Kwa jeshi gani? Silaha zipi? Nyerere alipigana vita na Iddi amin wa Uganda.
 
Awamu ya sita ya kishetani imeondoa sheria iliyokua inalinda rasilimali zetu kwa kufuta kifungu kinachotaka mashauri yote kusikilizwa mahakama za ndani.

Awamu hii ya sita ndio inaongoza kwa kugawa ardhi yetu kwa matapeli ya kimataifa yanayojifanya wawekezaji.

Baada ya awamu hii kuisha na aliyepo kuondoka na mambo yake tutabakia sisi kulipa hasara za ujinga waliofanya waliopo sasa.
 
Vita ya uchumi ni changamoto kubwa ambayo inahitaji uongozi thabiti na mikakati madhubuti. Hayati John Pombe Magufuli, Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alikuwa kiongozi aliyefahamika kwa ufanisi wake katika kutekeleza sera za maendeleo na mapambano dhidi ya rushwa. Baadhi ya sera na mikakati aliyoiweka ililenga kuimarisha uchumi wa nchi, kudhibiti matumizi yasiyo ya lazima, na kukuza maendeleo ya miradi ya miundombinu.
Ni muhimu kutambua kwamba maoni kuhusu utendaji wa kiongozi fulani yanaweza kutofautiana kulingana na mtazamo wa kisiasa na maoni ya watu binafsi. Wapo wanaomsifia kwa hatua zake za kufanya mageuzi na kuchochea maendeleo, wakati wengine wanaweza kuwa na wasiwasi kuhusu madhara yoyote au athari za sera zake.
Katika kumuenzi Hayati Magufuli, ni muhimu kuchambua matokeo ya sera na mikakati aliyoiweka, pamoja na kujadili mafanikio na changamoto zilizojitokeza. Kila kiongozi ana athari zake kwa uchumi na jamii, na mjadala juu ya mchango wake unaweza kutoa mwanga zaidi kuhusu njia zinazofaa kwa maendeleo ya nchi.
Ni vizuri kuzingatia umuhimu wa mjadala wa wazi, heshima kwa maoni tofauti, na kutafuta mbinu za kuendeleza maendeleo na ustawi wa nchi. Historia ya kiongozi yeyote inahitaji kuangaliwa kwa kina na kwa uwazi ili kuweza kutoa tathmini yenye busara na haki.
Viongozi style ya JPM, huwa wanafanikiwa mwanzon ila mbele lazima wakwame tu
 
Awamu ya sita ya kishetani imeondoa sheria iliyokua inalinda rasilimali zetu kwa kufuta kifungu kinachotaka mashauri yote kusikilizwa mahakama za ndani.

Awamu hii ya sita ndio inaongoza kwa kugawa ardhi yetu kwa matapeli ya kimataifa yanayojifanya wawekezaji.

Baada ya awamu hii kuisha na aliyepo kuondoka na mambo yake tutabakia sisi kulipa hasara za ujinga waliofanya waliopo sasa.
tumia akili na uwe unafuatilia mambo
 
Hiyo dhana ya ''vita ya uchumi'' ni moja ya vitu ambavyo Magufuli alifanikiwa kuwaaminisha wafuasi wake na mpaka kesho bado wataendelea kumsujudia. Ni kama vijijini, watu maskini wanavyoaminishwa na waganga au wenyewe kwa wenyewe kuwa umaskini wao unatokana na husda, vijicho na ulozi wanavyofanyiwa na maadui zao. Unakuta mtu ana nyumba ya nyasi na watoto 15, fedha yake yote inaishia kwa waganga kwa kuamini kuwa magonjwa, umaskini na kila aina ya masahibu yake yanatokana na kijicho cha maadui.

Vita gani na mabeberu? Ufisadi unatumaliza kila siku alafu tunasingizia wazungu. Mfano kwa mwaka tu unakuta 30% ya makusanyo yanatapanywa je hapo vita ya kiuchumi inaingiaje. Huu ni msemo ulitungwa na CCM ili kutafuta mtu wa kumtupia lawama kwa failures zao. No wonder hata awamu ya 5 ilidai wapinzani walituchelewesha sana ilihali hawajawahi kusanya kodi au kupanga bajeti tokea uhuru!!


Ni hivi mikataba inafuata sheria sio hisia au mihemko. Mfano tulidai Acacia wanatorosha makinikia. Ilipaswa twende ICSID tufungue kesi ya madai alafu tuweke ushahidi wa vifungu vilivyokiukwa mbona tungelipwa matrillion yote yale. Sasa cha ajabu tukaenda zuia makontena mara kamata kamata ya viongozi wa Acacia n.k. Kwa style ile wakifungua kesi hutoboi maana as much as wana makosa ila expropriation ya mali za mwekezaji ni serious offence!!

Kwa hiyo huyo huyo unayemsifia ilibidi atumie akili kuliko miguvu ili kupata popularity ya wapiga kura. So hatuna vita yoyote ila incompetence yetu ikiwa exposed tunalialia eti vita.
Habari JF, vita ya Uchumi kuanzia mitaani, mirathi na makazini hata iwe ndogo haijawahi kuwa nyepesi na haijawahi acha mtu salama.

Ukiwa kiongozi wa juu nchi za Africa huwa hakuna vita nyepesi ya uchumi sababu unakuwa unapigana watu wa ndani ya nchi lakini pia na mataifa ya nje.

Magufuli pamoja na mapungufu yake yote alieonyesha jitihada katika kupambana hii vita ndani ya nchi lakini pia nje ya kwa kupitia mikataba mibovu mbali mbali na kuivunja ingawa wimbi la kesi za kushindwa kimataifa limeongezeka. Kwanini hizi kesi ni kipindi hiki? Kuna watu wana nufaika na hizi kesi?

Ukimsikiliza hapa mwalimu Nyerere kuna kitu unaweza elewa.

View attachment 2900394

Lakini JPM mwenyewe mara kadhaa kaongea kwa uchungu sana.
View attachment 2900408

Kwa kifupi kabla hatujalaumu kwa yote tuliyopitia Awamu ya Tano au Tunayopitia awamu Hii cha kwanza jiulize unaweza vaa hivyo viatu na ukapigana na Mafisadi na Mabeberu?

Binafsi huwa namlaumu Magufuli kwa kitu kimoja tu, kutotuletea Katiba Mpya.

Tumuache mzee wetu apumzike kwa Amani.​
Wakuu hoja zenu wote ziko sahihi ila anaeunga mkono hoja ya vita ya kiuchumi yuko sahihi zaidi changamoto inakuja anakosa namna sahihi ya kuwakilisha hoja yake na anakosa mifano halisi ya kujazia hoja.

Hii yote ni kwasababu katika vita za kiuchumi mataifa mengi huwa wanatumia Taasisi za siri za usalama, na kama mnavyojua Taasisi za usalama watu wao wanakuaga ni selection of talented elites (Akili nyingi)... Yaani wanapiga tukio ambalo kiratiba liko mbele ya muda arafu limesukwa kwaustadi mkubwa kiasi kwamba raia wa kawaida akikutana na tukio hilo kwanza anakua too late, pili anahisi tukio hilo ni lakimazingara(nguvu za giza zimehusika). Yaani liko beyond na upeo wake wa fikra.

Sasa watu kama hawa wakija kwenye suala la ujasusi wa kiuchumi wanatumia mifumo mingi tu lakini moja ya mfumo wanaocheza nao kwa weledi na ustadi wa hali ya juu ni mfumo ulio katika sector ya sheria,

Wanapitia vizuri kabisa katiba na sheria ya nchi ambayo wameitarget then wanaenda specific kwenye vifungu vinavyohusu resource wanayoitaka wao, lazima watakutana na mwanya tu (weakness) hata wakikosa hiyo weakness watafanya namna tu kupata mazingira favourable kwao.

Baada ya hapo wazee wa kazi wanaingia kazini... Unasukwa mkataba konki ulioshiba(mama mkanye mwanao). My friend hiiiii!!! Kama unavyoona engine za magari zilivyosuka kwa weledi na ustadi mkubwa hadi gari inatembea basi ndio hivyo hivyo mkataba inasukwa na inakuja imepakwa asali kama chambo tu, Sasa wewe jichanganye ingia kwenye mkataba kama huo utakuja kushtuka tayari umeshachelewa na kila ukitafuta namna ya kujitoa vifungu vinakubana.

Na hawa watu hawawezi kuacha clue yoyote ambayo wewe unaweza kuitumia kama evidence mahakamani.

Hiyo kitaalamu tunaita "ulipo lala leo wenzako wameamkia jana kama sio mwaka jana" yaani unakua kama panya alienasa kwenye ule mtego ambao kuingia rahisi ila kutoka Sasa ndio changamoto, mpaka aje mwenye mtego.

Sisemi kwamba kung'amua njama kama hizi kunahitaji rocket science lakini umakini unahitajika na wala hakuna haja yakuharakisha mambo, kuna msemo unasema "ukiona unaitwa kwenye fursa basi ujue fursa ni wewe mwenyewe"
 
Wakuu hoja zenu wote ziko sahihi ila anaeunga mkono hoja ya vita ya kiuchumi yuko sahihi zaidi changamoto inakuja anakosa namna sahihi ya kuwakilisha hoja yake na anakosa mifano halisi ya kujazia hoja.

Hii yote ni kwasababu katika vita za kiuchumi mataifa mengi huwa wanatumia Taasisi za siri za usalama, na kama mnavyojua Taasisi za usalama watu wao wanakuaga ni selection of talented elites (Akili nyingi)... Yaani wanapiga tukio ambalo kiratiba liko mbele ya muda arafu limesukwa kwaustadi mkubwa kiasi kwamba raia wa kawaida akikutana na tukio hilo kwanza anakua too late, pili anahisi tukio hilo ni lakimazingara(nguvu za giza zimehusika). Yaani liko beyond na upeo wake wa fikra.

Sasa watu kama hawa wakija kwenye suala la ujasusi wa kiuchumi wanatumia mifumo mingi tu lakini moja ya mfumo wanaocheza nao kwa weledi na ustadi wa hali ya juu ni mfumo ulio katika sector ya sheria,

Wanapitia vizuri kabisa katiba na sheria ya nchi ambayo wameitarget then wanaenda specific kwenye vifungu vinavyohusu resource wanayoitaka wao, lazima watakutana na mwanya tu (weakness) hata wakikosa hiyo weakness watafanya namna tu kupata mazingira favourable kwao.

Baada ya hapo wazee wa kazi wanaingia kazini... Unasukwa mkataba konki ulioshiba(mama mkanye mwanao). My friend hiiiii!!! Kama unavyoona engine za magari zilivyosuka kwa weledi na ustadi mkubwa hadi gari inatembea basi ndio hivyo hivyo mkataba inasukwa na inakuja imepakwa asali kama chambo tu, Sasa wewe jichanganye ingia kwenye mkataba kama huo utakuja kushtuka tayari umeshachelewa na kila ukitafuta namna ya kujitoa vifungu vinakubana.

Na hawa watu hawawezi kuacha clue yoyote ambayo wewe unaweza kuitumia kama evidence mahakamani.

Hiyo kitaalamu tunaita "ulipo lala leo wenzako wameamkia jana kama sio mwaka jana" yaani unakua kama panya alienasa kwenye ule mtego ambao kuingia rahisi ila kutoka Sasa ndio changamoto, mpaka aje mwenye mtego.

Sisemi kwamba kung'amua njama kama hizi kunahitaji rocket science lakini umakini unahitajika na wala hakuna haja yakuharakisha mambo, kuna msemo unasema "ukiona unaitwa kwenye fursa basi ujue fursa ni wewe mwenyewe"
Mazee huwezi kukaa na kulialia na kusingizia vitu ambavyo ni dhahiri, hiyo ndiyo hoja ya wengi. Yaani ni kwamba, ukipewa nchi kuongoza, unatakiwa kujua kuwa kuna foreign spies wanaokuja kwa malengo mbali mbali (ikiwemo vita ya uchumi ambayo sahihi zaidi inaitwa ushindani wa nchi kwa nchi). Hii ni changamoto ya nchi zote duniani na siyo Tanzania tu. Kwa hiyo kama rais, badala ya kulia lia na kusema kila kitu ni vita ya uchumi, unatakiwa uongoze nchi yako kwenye ustawi huku ukiunda mifumo yenye ku-minimize hayo mambo.
 
Wakuu hoja zenu wote ziko sahihi ila anaeunga mkono hoja ya vita ya kiuchumi yuko sahihi zaidi changamoto inakuja anakosa namna sahihi ya kuwakilisha hoja yake na anakosa mifano halisi ya kujazia hoja.

Hii yote ni kwasababu katika vita za kiuchumi mataifa mengi huwa wanatumia Taasisi za siri za usalama, na kama mnavyojua Taasisi za usalama watu wao wanakuaga ni selection of talented elites (Akili nyingi)... Yaani wanapiga tukio ambalo kiratiba liko mbele ya muda arafu limesukwa kwaustadi mkubwa kiasi kwamba raia wa kawaida akikutana na tukio hilo kwanza anakua too late, pili anahisi tukio hilo ni lakimazingara(nguvu za giza zimehusika). Yaani liko beyond na upeo wake wa fikra.

Sasa watu kama hawa wakija kwenye suala la ujasusi wa kiuchumi wanatumia mifumo mingi tu lakini moja ya mfumo wanaocheza nao kwa weledi na ustadi wa hali ya juu ni mfumo ulio katika sector ya sheria,

Wanapitia vizuri kabisa katiba na sheria ya nchi ambayo wameitarget then wanaenda specific kwenye vifungu vinavyohusu resource wanayoitaka wao, lazima watakutana na mwanya tu (weakness) hata wakikosa hiyo weakness watafanya namna tu kupata mazingira favourable kwao.

Baada ya hapo wazee wa kazi wanaingia kazini... Unasukwa mkataba konki ulioshiba(mama mkanye mwanao). My friend hiiiii!!! Kama unavyoona engine za magari zilivyosuka kwa weledi na ustadi mkubwa hadi gari inatembea basi ndio hivyo hivyo mkataba inasukwa na inakuja imepakwa asali kama chambo tu, Sasa wewe jichanganye ingia kwenye mkataba kama huo utakuja kushtuka tayari umeshachelewa na kila ukitafuta namna ya kujitoa vifungu vinakubana.

Na hawa watu hawawezi kuacha clue yoyote ambayo wewe unaweza kuitumia kama evidence mahakamani.

Hiyo kitaalamu tunaita "ulipo lala leo wenzako wameamkia jana kama sio mwaka jana" yaani unakua kama panya alienasa kwenye ule mtego ambao kuingia rahisi ila kutoka Sasa ndio changamoto, mpaka aje mwenye mtego.

Sisemi kwamba kung'amua njama kama hizi kunahitaji rocket science lakini umakini unahitajika na wala hakuna haja yakuharakisha mambo, kuna msemo unasema "ukiona unaitwa kwenye fursa basi ujue fursa ni wewe mwenyewe"
aione Erythrocyte
 
Ni sahihi kabisa hata hivyo JPM alionyesha nia na alikua anachukua hatua kupunguza hizo harakati nchini kwetu,

Na pengine kutamka waziwazi na hadharani kwa uzalendo mkubwa ni moja ya mbinu ya kimkakati (nawaza tu).
Mazee huwezi kukaa na kulialia na kusingizia vitu ambavyo ni dhahiri, hiyo ndiyo hoja ya wengi. Yaani ni kwamba, ukipewa nchi kuongoza, unatakiwa kujua kuwa kuna foreign spies wanaokuja kwa malengo mbali mbali (ikiwemo vita ya uchumi ambayo sahihi zaidi inaitwa ushindani wa nchi kwa nchi). Hii ni changamoto ya nchi zote duniani na siyo Tanzania tu. Kwa hiyo kama rais, badala ya kulia lia na kusema kila kitu ni vita ya uchumi, unatakiwa uongoze nchi yako kwenye ustawi huku ukiunda mifumo yenye ku-minimize hayo mambo.
 
Ni sahihi kabisa hata hivyo JPM alionyesha nia na alikua anachukua hatua kupunguza hizo harakati nchini kwetu,

Na pengine kutamka waziwazi na hadharani kwa uzalendo mkubwa ni moja ya mbinu ya kimkakati (nawaza tu).
Sio vita. Ni ushindani wa kiuchumi. Unatakiwa kutumia akili, sio nguvu. Kwa mfano, magufuli angemwita lisu, ampe jukumu fulani labda kusaidia nchi ktk masuala fulani ya kisheria. Badala yake alituma wasiojulikana wakafanye yasiyojulikana.
 
Nyie watu vita vya kiuchumi mnavijua kweli au propaganda za yule jamaa yenu wa chato.

Hebu katazame U.S - China trade war ndio ujue vita vya kiuchumi vipoje sio huu upuuzi wenu wa jamaa yule wa chato.

Tazama sasa magharibi na Russia wanavyo pigana kiuchumi

Hivyo ndivyo vita vya kiuchumi sio vya jamaa wa chato vya maneno ya majukwaani.

Unaita vita vya kiuchumi hata kiwazo hata kimoja cha kumiza kichwa hujapigwa hivi ni vichekesho
 
Back
Top Bottom