Vita ya Uchumi haijawahi kuwa nyepesi, Hayati Magufuli aheshimiwe

Vita ya Uchumi haijawahi kuwa nyepesi, Hayati Magufuli aheshimiwe

Magulifu just hakuwa na upeo wa ku-deal na issues kubwa kubwa, huu ni ukweli mchungu. Kujua matatizo na kuyashughulikia ni vitu viliwi tofauti.
Hilo ndio pungufu lake kubwa. Hilo Mimi binafsi nakubali. Hakuna na shule ya kudeal na haya madubwana. Aliya underestimate sana. Angekua yeye ndio Rais wa China Taiwan kingekua kimeshanuka kitambo sana.
 
Mbona wewe umeongea maneno mengi lkn hujasema chochote,umeishia kupinga na blabla zingine,jpm alikuwa na dhamira ya dhati ya kupigana vita ya kiuchumi,ila kwa nyie mliovaa miwani ya mbao za chuki na kupinga,ni ngumu sana kuelewa au kukubaliana na huo ukweli.
Wanaelewa sanatu sema wanajitoa akili kwasababu moja ama mbili, huenda wajombazao ama wao wenyewe walitumbuliwa kwa sababu ya vyeti feki ama ufisadi uchwara.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Nyie watu vita vya kiuchumi mnavijua kweli au propaganda za yule jamaa yenu wa chato.

Hebu katazame U.S - China trade war ndio ujue vita vya kiuchumi vipoje sio huu upuuzi wenu wa jamaa yule wa chato.

Tazama sasa magharibi na Russia wanavyo pigana kiuchumi

Hivyo ndivyo vita vya kiuchumi sio vya jamaa wa chato vya maneno ya majukwaani.

Unaita vita vya kiuchumi hata kiwazo hata kimoja cha kumiza kichwa hujapigwa hivi ni vichekesho
Ni nchi ngapi zilisitisha misaada?
Ni Nchi ngapi zilisitisha mikopo?
Nchi zilizoinyima mkopo Ile kampuni ya Egypt isishiriki ujenzi wa Bwawa?
Hicho kitu tukiitaje?
Vita vya nini?

Au ulitaka list of sanctions ndio ujue ni vita?
We fought, we Lost.
 
Ujinga wa kulaumu wengine wakati mikataba tunaandika sisi ni wa kizamani mno. Bandari mnayotaka kumpa mwarabu kaja kuichukuwa kwa nguvu? Kama kosa ni la viongozi mbona raia wamelemaa bila kuchukuwa hatua? Mwafrika anajiangamiza mwenyewe na hakuna wa kumlamu.
Mikataba wanaandaa wao, wanawaletea viongozi wenu wasome. Haiandaliwi na wanasheria wenu.

Kabla ya kuleta huo mkataba Kuna kua na Ile tunaita chachandu. Utasikia rais kaenda kule Leo kesho kutwa kaenda kule Tena. Hata mara kumi kabla ya huo mkataba kuandikwa. Wanampa na chake kabisa. Akikataa anakua sio mwenzao.

Kipindi hicho wanakua na watu wao wa kuwapa ABC. Watafatilia nani kasababisha ukatae na Kwa nini. Unajikuta upo katika risk kubwa.

Wasiowajasiri hukubali kuepusha shari Ili maisha yaendelee na familia zao zineemeke. Watu kama JPM hawakubali.
 
Na yule Prof alivyokuwa anajiuma uma .......
Unataka kuniambia alikuwa hajui kiingereza au hana cha kuongea?
Jitihada za kweli zimefanywa ili kushinda kesi? Au ndio tumejiangusha tu kwenye Box.....
Kuna kitu hakiko sawa katika hizi kesi ,kuna wazawa zinawanufaisha
 
Mikataba wanaandaa wao, wanawaletea viongozi wenu wasome. Haiandaliwi na wanasheria wenu.

Kabla ya kuleta huo mkataba Kuna kua na Ile tunaita chachandu. Utasikia rais kaenda kule Leo kesho kutwa kaenda kule Tena. Hata mara kumi kabla ya huo mkataba kuandikwa. Wanampa na chake kabisa. Akikataa anakua sio mwenzao.

Kipindi hicho wanakua na watu wao wa kuwapa ABC. Watafatilia nani kasababisha ukatae na Kwa nini. Unajikuta upo katika risk kubwa.

Wasiowajasiri hukubali kuepusha shari Ili maisha yaendelee na familia zao zineemeke. Watu kama JPM hawakubali.
Hamna hoja. Nilidhani huwa wanakuja na silaha kupora. Kumbe ni tamaa za viongozi wetu ndiyo zinasababisha haya yote? Sasa unalia nini?
 
Ni nchi ngapi zilisitisha misaada?
Ni Nchi ngapi zilisitisha mikopo?
Nchi zilizoinyima mkopo Ile kampuni ya Egypt isishiriki ujenzi wa Bwawa?
Hicho kitu tukiitaje?
Vita vya nini?

Au ulitaka list of sanctions ndio ujue ni vita?
We fought, we Lost.
Nani aliwanyima hivyo unavyo andika hapa hivi unajua unacho ongea au unaropoka ?

Vita vya kiuchumi unavijua wewe au unaropoka tu kwa kelele za wanasiasa.

Nchi hamna mnacho zalisha cha kujitosheleza unasema tulikuwa na vita vya kiuchumi mkipigwa vita vya kiuchumi nyie na kisarafu chenu kisicho na thamani yoyote si mtaanza kula majani.

Vita vya kiuchumi achia warusi, wachina, Iran, NK , Venezuela at least Zimbabwe akiongea Nita muelewa.

Vita vya kiuchumi tena ni bora usitake kabisa hivyo vitu viwatokee muanze kushona viraka kama wakati wa Mwalimu.

Vita vya kiuchumi Tanzania na nani ? Chadema au 🤡
 
Nani aliwanyima hivyo unavyo andika hapa hivi unajua unacho ongea au unaropoka ?

Vita vya kiuchumi unavijua wewe au unaropoka tu kwa kelele za wanasiasa.

Nchi hamna mnacho zalisha cha kujitosheleza unasema tulikuwa na vita vya kiuchumi mkipigwa vita vya kiuchumi nyie na kisarafu chenu kisicho na thamani yoyote si mtaanza kula majani.

Vita vya kiuchumi achia warusi, wachina, Iran, NK , Venezuela at least Zimbabwe akiongea Nita muelewa.

Vita vya kiuchumi tena ni bora usitake kabisa hivyo vitu viwatokee muanze kushona viraka kama wakati wa Mwalimu.

Vita vya kiuchumi Tanzania na nani ? Chadema au 🤡
Kwa mitazamo hii nchi itachukua muda sana kuendelea
 
Hujui hata nazungumzia nini.

Nilijua tu kuwa huelewi nazungumzia nini ndio maana unanijibu kama mlevi.

Kama kweli unaelewa nilichokuwa namaanisha ,

Elezea ni nini nilikua namaanisha, halafu tutaendelea tokea hapo.
Sheria alitunga JPM 2017 ila kuanzia 2018 kufikia 2020 zilifanyiwa ammendments za sheria kadhaa ikiwemo Permanent sovereign act, PPP act na Arbitration act ambazo ziliruhusu foreign commercial Arbitration kusikilizwa popote na sio lazima mahakama za ndani.

Nimeweka hiyo excerpt ya gazeti sababu inaonyesha kwamba kuna mashauri yalifunguliwa London, ICSID na Johannesburg sasa if at all sheria bado ililkataza how on earth hayo mashauri yalikubaliwa kufunguliwa???

Kasome ammendments za section 11 ya Permanent sovereign act na pia isome sheria nzima ya Arbitration ya 2020 then ukiona bado msimamo ni ule ule rudi niite mpuuzi ntakubali
 
Na yule Prof alivyokuwa anajiuma uma .......
Unataka kuniambia alikuwa hajui kiingereza au hana cha kuongea?
Jitihada za kweli zimefanywa ili kushinda kesi? Au ndio tumejiangusha tu kwenye Box.....
Mkuu si tuliambiwa mruma na ossoro ndio wazalendo namba one na wakapewa cheti na Magufuli. Kama hatuwaamini waliopewa tuzo za uzalendo tutamuamini nani sasa?
 
Wakuu hoja zenu wote ziko sahihi ila anaeunga mkono hoja ya vita ya kiuchumi yuko sahihi zaidi changamoto inakuja anakosa namna sahihi ya kuwakilisha hoja yake na anakosa mifano halisi ya kujazia hoja.

Hii yote ni kwasababu katika vita za kiuchumi mataifa mengi huwa wanatumia Taasisi za siri za usalama, na kama mnavyojua Taasisi za usalama watu wao wanakuaga ni selection of talented elites (Akili nyingi)... Yaani wanapiga tukio ambalo kiratiba liko mbele ya muda arafu limesukwa kwaustadi mkubwa kiasi kwamba raia wa kawaida akikutana na tukio hilo kwanza anakua too late, pili anahisi tukio hilo ni lakimazingara(nguvu za giza zimehusika). Yaani liko beyond na upeo wake wa fikra.

Sasa watu kama hawa wakija kwenye suala la ujasusi wa kiuchumi wanatumia mifumo mingi tu lakini moja ya mfumo wanaocheza nao kwa weledi na ustadi wa hali ya juu ni mfumo ulio katika sector ya sheria,

Wanapitia vizuri kabisa katiba na sheria ya nchi ambayo wameitarget then wanaenda specific kwenye vifungu vinavyohusu resource wanayoitaka wao, lazima watakutana na mwanya tu (weakness) hata wakikosa hiyo weakness watafanya namna tu kupata mazingira favourable kwao.

Baada ya hapo wazee wa kazi wanaingia kazini... Unasukwa mkataba konki ulioshiba(mama mkanye mwanao). My friend hiiiii!!! Kama unavyoona engine za magari zilivyosuka kwa weledi na ustadi mkubwa hadi gari inatembea basi ndio hivyo hivyo mkataba inasukwa na inakuja imepakwa asali kama chambo tu, Sasa wewe jichanganye ingia kwenye mkataba kama huo utakuja kushtuka tayari umeshachelewa na kila ukitafuta namna ya kujitoa vifungu vinakubana.

Na hawa watu hawawezi kuacha clue yoyote ambayo wewe unaweza kuitumia kama evidence mahakamani.

Hiyo kitaalamu tunaita "ulipo lala leo wenzako wameamkia jana kama sio mwaka jana" yaani unakua kama panya alienasa kwenye ule mtego ambao kuingia rahisi ila kutoka Sasa ndio changamoto, mpaka aje mwenye mtego.

Sisemi kwamba kung'amua njama kama hizi kunahitaji rocket science lakini umakini unahitajika na wala hakuna haja yakuharakisha mambo, kuna msemo unasema "ukiona unaitwa kwenye fursa basi ujue fursa ni wewe mwenyewe"
Aiseee!!! Hii siyo mchezo
 
Sheria alitunga JPM 2017 ila kuanzia 2018 kufikia 2020 zilifanyiwa ammendments za sheria kadhaa ikiwemo Permanent sovereign act, PPP act na Arbitration act ambazo ziliruhusu foreign commercial Arbitration kusikilizwa popote na sio lazima mahakama za ndani.

Nimeweka hiyo excerpt ya gazeti sababu inaonyesha kwamba kuna mashauri yalifunguliwa London, ICSID na Johannesburg sasa if at all sheria bado ililkataza how on earth hayo mashauri yalikubaliwa kufunguliwa???

Kasome ammendments za section 11 ya Permanent sovereign act na pia isome sheria nzima ya Arbitration ya 2020 then ukiona bado msimamo ni ule ule rudi niite mpuuzi ntakubali
Wala hata sikua nazungumzia hizo sheria ulizozitaja.

Nilikua nazungumzia sheria ya kulinda rasilimali za Taifa.

The National Wealth and Resources Permanent Sovereignty Act, 2017.
 
Sababu ni nyingi na moja ya muendelezo ni huu hapa ushahidi
Tuna Mbuga kibao nchini lakini wakatafuta mbinu za kuiba na wakafanikiwa

Mkuu kuna watu huwa wanasoma heading na kujibu kwa mihemko kama iwe siasa, mpira na hata masuala ya uchumi wa nchi na mambo mazito kama haya
Sintashangaa kama utashambuliwa bila hoja
Nimemsikiliza Mwalimu na ameongea maneno mazito mno

Kuwa kuna maraisi waliwekwa na wazungu kwa maslahi yao na kuwatahadharisha watanzania

Watanzania wengi (haswa vijana) wamegeukia kazi ya ushabiki (uchawa) kwa wanasiasa kiasi hawajali tena maslahi mapana ya kitaifa ila itikadi za kichama na kisiasa.



Na hao vibaraka ndio mwiba haswa kwenye moyo wa Tanzania. Kibaya zaidi siku hizi ukibaraka wao hawaufichi tena, mabwana zao wanawaita eti investors. Very disgusting.
 
Back
Top Bottom