Vita ya Uchumi haijawahi kuwa nyepesi, Hayati Magufuli aheshimiwe

Vita ya Uchumi haijawahi kuwa nyepesi, Hayati Magufuli aheshimiwe

Too biased.

Kwamba hujui angalau kila mkoa aliotokea Rais wa nchi hii na mikoa mikuu ya nchi kuna Ikulu ndogo za Rais?
Njoo na ushahidi wa Raisi ambaye alijijengea kwao na kutumia kodi za nchi kujijenga kwao. Alichoanzisha JPM kitaendelea tena na tena. Ni kama nchi zilizopata uhuru kwa kumwaga damu. Mpaka leo hizo nchi zina machafuko. Ukabila alioleta JPM umeendelea kuonyeshwa na Mama na Rais atakayekuja atafanya hivyo hivyo. Kikwete aliweka wakwere serikalini ? Mwinyi aliweka watu wake serikalini ? Mkapa aliweka wamakonde ? Nyenyere aliweka wazanaki ? Naongelea facts hakuna kitu kibaya kama inferiority complex. Hakuna upendeleo wa kikabila kabla ya 2015. Kuna.

Watu walikuwa wanateuliewa kupitia mchujo. JPM ndio aliyeanzisha uchawa mpaka Prof mmoja wa sheria akamwita Mungu ,😂😂😂😂. Kuhusu hiyo CRDB kulifanyika feasibility study gani kujua kuwa Chato inahitaji tawi ? Kuhusu SGR makontena mengi yanayoingia bandarini yanaenda mpaka wa Tunduma au Mwanza ? Hizo trilioni zinazojengwa SGR zitarudije ?

Wachina walikuwa wajinga kujenga reli katika njia ngumu mpaka wakafa kutoka Dar mpaka Tunduma ? Mimi siongelei ushabiki naongelea facts. Angalia ajali ya Mtwara ni faida gani ya kwenda kule na magari yote yale. Lakini kumbuka hivi vitu vilianzia wapi ? Uongozi sio kitu kirahisi.
 
Njoo na ushahidi wa Raisi ambaye alijijengea kwao na kutumia kodi za nchi kujijenga kwao. Alichoanzisha JPM kitaendelea tena na tena. Ni kama nchi zilizopata uhuru kwa kumwaga damu. Mpaka leo hizo nchi zina machafuko. Ukabila alioleta JPM
Wewe huna unakielewa zaidi hisia
 
Una ushahidi au ndio unasikiliza propaganda tu una amini ?
Unataka ushahidi gani wakati hali iliyokuwepo kila mtu anajua dhuluma, kuoneaonea watu,viroba vilikuwa vinaokotwa kila kukicha na mabaya mengine kibao.
Binafsi silioni jema lake hata moja.
 
Kinachofanyika kwa sasa juu ya hizo kesi ni mgawo,watu wana kaa meza moja na washitaki,wanapiga pasu,halafu ndio hukumu ya kisanii inatoka.
Unafikiri serikali ina uwezo wa kushinda hizo kesi?

Btw, kama ni janja ya ulaji basi labda ifanywe na serikali ya Tz na wanaoishtaki. Lakini hukumu ya mahakama ya kimataifa (ICSID) haina usanii. Inawiana na ushahidi na vielelezo vilivyotolewa. Hii sio mahakama ya “kiswahili” kama aliyoeleza Rostam.
 
Unataka ushahidi gani wakati hali iliyokuwepo kila mtu anajua dhuluma, kuoneaonea watu,viroba vilikuwa vinaokotwa kila kukicha na mabaya mengine kibao.
Binafsi silioni jema lake hata moja.
kila mtu ,mbona mimi sijui ?
 
Mbona wewe umeongea maneno mengi lkn hujasema chochote,umeishia kupinga na blabla zingine,jpm alikuwa na dhamira ya dhati ya kupigana vita ya kiuchumi,ila kwa nyie mliovaa miwani ya mbao za chuki na kupinga,ni ngumu sana kuelewa au kukubaliana na huo ukweli.
Kupigana vita kwa porojo.au unazungumzia vita gani?.Uchumi una kanuni zake je hebu sema Jpm alifanya ipi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
JPM alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania au alikuwa Rais wa Chato ? Naomba unieleweshe ndugu yangu ? 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Ukitoa Nyerere hakuna Rais ambae hakupendelea kwake kwa namna moja au nyingine kuna wengine mpaka kambi za jeshi walielekeza karibu na kwao .
 
Njoo na ushahidi wa Raisi ambaye alijijengea kwao na kutumia kodi za nchi kujijenga kwao. Alichoanzisha JPM kitaendelea tena na tena. Ni kama nchi zilizopata uhuru kwa kumwaga damu. Mpaka leo hizo nchi zina machafuko. Ukabila alioleta JPM umeendelea kuonyeshwa na Mama na Rais atakayekuja atafanya hivyo hivyo. Kikwete aliweka wakwere serikalini ? Mwinyi aliweka watu wake serikalini ? Mkapa aliweka wamakonde ? Nyenyere aliweka wazanaki ? Naongelea facts hakuna kitu kibaya kama inferiority complex. Hakuna upendeleo wa kikabila kabla ya 2015. Kuna. Watu walikuwa wanateuliewa kupitia mchujo. JPM ndio aliyeanzisha uchawa mpaka Prof mmoja wa sheria akamwita Mungu ,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Kuhusu hiyo CRDB kulifanyika feasibility study gani kujua kuwa Chato inahitaji tawi ? Kuhusu SGR makontena mengi yanayoingia bandarini yanaenda mpaka wa Tunduma au Mwanza ? Hizo trilioni zinazojengwa SGR zitarudije ? Wachina walikuwa wajinga kujenga reli katika njia ngumu mpaka wakafa kutoka Dar mpaka Tunduma ? Mimi siongelei ushabiki naongelea facts. Angalia ajali ya Mtwara ni faida gani ya kwenda kule na magari yote yale. Lakini kumbuka hivi vitu vilianzia wapi ? Uongozi sio kitu kirahisi.


Unapojadili hoja haswa hadharani jitahidi sana kuzilinda hisia zako utumie ubongo wako zaidi.




Kijiji cha Msoga unakifahamu vizuri?

Kwamba ukabila Tanzania hii umeanza 2015? Nyerere alipokua anawakemea wanasiasa waache kuchunguzana ukabila as if wanaenda kutambika ilikua ni 2016??

Kwanini kuna kipengele cha “kabila kwenye form nyingi serikalini?

Kwahiyo huyo Jamaa kumuita Mungu ni yeye ndio alimuamuru afanye hivyo? Yaani ujinga wa mwingine abebeshwe mwingine? Kisa?!


Nionyeshe “feasibility study za matawi mengine yote ya CRDB na Mimi nikuonyeshe ya Chato.

Huko ambako hutaki Mradi wa SGR ufike wanaishi manyani na sio watu?

Kwamba tusiwekeze katika miradi ya kimkakati Kisa itatuchukua miaka kurudisha mtaji wetu na faida?

Una akili timamu ndugu?
 
Ukitoa Nyerere hakuna Rais ambae hakupendelea kwake kwa namna moja au nyingine kuna wengine mpaka kambi za jeshi walielekeza karibu na kwao .
Toa mifano usiongee bila facts Leta mifano ya uwekezaji mkubwa uliofanya na marais vijijini mwao.
 
They say it's the White Man I should Fear, but its my Own kind doing all the Killing here....


Marginalization ya kweli na kipigo walipigiwa kina Nyerere, Patrice Lumumba na kina Thomas Sankara..., hawa wengine wa Sasa wanagawa mali hata bila kuombwa kwa ulafi na vijizawadi...
 
Unapojadili hoja haswa hadharani jitahidi sana kuzilinda hisia zako utumie ubongo wako zaidi.




Kijiji cha Msoga unakifahamu vizuri?

Kwamba ukabila Tanzania hii umeanza 2015? Nyerere alipokua anawakemea wanasiasa waache kuchunguzana ukabila as if wanaenda kutambika ilikua ni 2016??

Kwanini kuna kipengele cha “kabila kwenye form nyingi serikalini?

Kwahiyo huyo Jamaa kumuita Mungu ni yeye ndio alimuamuru afanye hivyo? Yaani ujinga wa mwingine abebeshwe mwingine? Kisa?!


Nionyeshe “feasibility study za matawi mengine yote ya CRDB na Mimi nikuonyeshe ya Chato.

Huko ambako hutaki Mradi wa SGR ufike wanaishi manyani na sio watu?

Kwamba tusiwekeze katika miradi ya kimkakati Kisa itatuchukua miaka kurudisha mtaji wetu na faida?

Una akili timamu ndugu?
Naomba uilinganishe Msoga na Chato kwanza. Kuhusu ukabila naomba uje na facts ya Rais ambae alijaza kabila lake katika baraza la mawaziri kumshinda JPM. Naomba tu uje na Baraza la mawaziri tu hapo sijagusa wakuu wa wilaya na mikoa. Turudi kwenye miradi chunguza kwa nini watu wanajenga reli ? kusafirisha watu au Mizigo ? Unaongea na Engineer ndugu yangu sio mwanasiasa kila miradi lazima ifanyike feasibility study. Hauwezi kujenga reli kwa ajili ya kusafirisha watu na hela ikarudi. Reli ya kwanza ilijengwa kwenda Zambia kwa ajili ya kuiongezea nguvu bandari. Hio SGR ya Mwanza haiwezi kurudisha hela ndio maana mradi huo hauwezi isha leo wala kesho ? Hauwezi kuweka tawi la banki kwenye wilaya ambayo mapato yake yapo chini sana ? Haya basi tuachane na hilo vipi kuhusu vile viwanja vya N.H.C ambavyo JPM alipitisha lami, maji na umeme? Walio nunua wamejenga ? Hizo ni hela zimetumika hapo. Eti treni ya umeme SGR mpaka Mwanza aisee ERB na CRB tulikuwa tunacheka sana kwenye vikao😂 😂 😂 😂. Yaani mtu unaanza Treni wakati mradi wa Bwawa la umeme haujaanza. Ukiwa haujasoma JPM utamwona mtu mwenye akili sana.
 
Nimetazama na kusikiliza hotuba za Nyerere na Magufuli ila nimebaini kwamba;

Nyerere ni kichwa cha kuotea mbali,kuanzia mpangilio wake wa hoja,anavyochambua,anavyo wasilisha na mwisho anavyozungumza hoja zake......unaona kabsa kama Mwamba alizaliwa kuwa Kiongozi na sio tu kuwa Kiongozi bali mbeba maono ya nchi fulani ila bahati mbaya ni vile tu alizaliwa bongo,kama angezaliwa mbele angekuwa Mtu wa maana sana hapa duniani

Magufuli (sitaki kumlaumu maana maana alishasema toka mwanzo kuwa hakujiandaa kuwa Rais) yeye anaongea lolote linalokuja akilini mwake........hana uchanganuzi wowote wa hoja zake,anaongea kwa kujiliza liza sana as if hii dunia Kuna mema kiasi hicho mpaka mtu apewe tu kirahisi rahisi bila kuyatafuta.......tukienda tu na ukweli Magu alipaswa kuishia kuwa Waziri na sio urais
 
Nimetazama na kusikiliza hotuba za Nyerere na Magufuli ila nimebaini kwamba;

Nyerere ni kichwa cha kuotea mbali,kuanzia mpangilio wake wa hoja,anavyochambua,anavyo wasilisha na mwisho anavyozungumza hoja zake......unaona kabsa kama Mwamba alizaliwa kuwa Kiongozi na sio tu kuwa Kiongozi bali mbeba maono ya nchi fulani ila bahati mbaya ni vile tu alizaliwa bongo,kama angezaliwa mbele angekuwa Mtu wa maana sana hapa duniani

Magufuli (sitaki kumlaumu maana maana alishasema toka mwanzo kuwa hakujiandaa kuwa Rais) yeye anaongea lolote linalokuja akilini mwake........hana uchanganuzi wowote wa hoja zake,anaongea kwa kujiliza liza sana as if hii dunia Kuna mema kiasi hicho mpaka mtu apewe tu kirahisi rahisi bila kuyatafuta.......tukienda tu na ukweli Magu alipaswa kuishia kuwa Waziri na sio urais
Nawwambia watu humu wanabisha bila facts
 
Naomba uilinganishe Msoga na Chato kwanza. Kuhusu ukabila naomba uje na facts ya Rais ambae alijaza kabila lake katika baraza la mawaziri kumshinda JPM. Naomba tu uje na Baraza la mawaziri tu hapo sijagusa wakuu wa wilaya na mikoa. Turudi kwenye miradi chunguza kwa nini watu wanajenga reli ? kusafirisha watu au Mizigo ? Unaongea na Engineer ndugu yangu sio mwanasiasa kila miradi lazima ifanyike feasibility study. Hauwezi kujenga reli kwa ajili ya kusafirisha watu na hela ikarudi. Reli ya kwanza ilijengwa kwenda Zambia kwa ajili ya kuiongezea nguvu bandari. Hio SGR ya Mwanza haiwezi kurudisha hela ndio maana mradi huo hauwezi isha leo wala kesho ? Hauwezi kuweka tawi la banki kwenye wilaya ambayo mapato yake yapo chini sana ? Haya basi tuachane na hilo vipi kuhusu vile viwanja vya N.H.C ambavyo JPM alipitisha lami, maji na umeme? Walio nunua wamejenga ? Hizo ni hela zimetumika hapo. Eti treni ya umeme SGR mpaka Mwanza aisee ERB na CRB tulikuwa tunacheka sana kwenye vikao😂 😂 😂 😂. Yaani mtu unaanza Treni wakati mradi wa Bwawa la umeme haujaanza. Ukiwa haujasoma JPM utamwona mtu mwenye akili sana.
Hata ukiletewa facts hutoamini
 
Hata ukiletewa facts hutoamini
Usiweke Hisia ndugu yangu JPM alikuwa ni Rais wa Wajinga na wavivu kufikiri ? Leta hizo facts. Siku zinavyozidi kusonga watu wanaerevuka miaka 100 ijayo watatafuta chanzo cha ukabila uliokithiri ndani ya serikali. Watafundisha hichi chanzo katika shule mbalimbali. Na hichi chanzo kutokana na facts zilizopo ni JPM. Huu ndio ukweli utake usitake.
 
Habari JF, vita ya Uchumi kuanzia mitaani, mirathi na makazini hata iwe ndogo haijawahi kuwa nyepesi na haijawahi acha mtu salama.

Ukiwa kiongozi wa juu nchi za Africa huwa hakuna vita nyepesi ya uchumi sababu unakuwa unapigana watu wa ndani ya nchi lakini pia na mataifa ya nje.

Magufuli pamoja na mapungufu yake yote alieonyesha jitihada katika kupambana hii vita ndani ya nchi lakini pia nje ya kwa kupitia mikataba mibovu mbali mbali na kuivunja ingawa wimbi la kesi za kushindwa kimataifa limeongezeka. Kwanini hizi kesi ni kipindi hiki? Kuna watu wana nufaika na hizi kesi?

Ukimsikiliza hapa mwalimu Nyerere kuna kitu unaweza elewa.

View attachment 2900394

Lakini JPM mwenyewe mara kadhaa kaongea kwa uchungu sana.
View attachment 2900408

Kwa kifupi kabla hatujalaumu kwa yote tuliyopitia Awamu ya Tano au Tunayopitia awamu Hii cha kwanza jiulize unaweza vaa hivyo viatu na ukapigana na Mafisadi na Mabeberu?

Binafsi huwa namlaumu Magufuli kwa kitu kimoja tu, kutotuletea Katiba Mpya.

Tumuache mzee wetu apumzike kwa Amani.​
Upuuzi.Hivi alikuwa anaijua vita ya uchumi?x%^#&*!£€¥₩ guhutufu!
 
Usiweke Hisia ndugu yangu JPM alikuwa ni Rais wa Wajinga na wavivu kufikiri ? Leta hizo facts. Siku zinavyozidi kusonga watu wanaerevuka miaka 100 ijayo watatafuta chanzo cha ukabila uliokithiri ndani ya serikali. Watafundisha hichi chanzo katika shule mbalimbali. Na hichi chanzo kutokana na facts zilizopo ni JPM. Huu ndio ukweli utake usitake.
Mama nae utasemaje ?
 
Back
Top Bottom