Vita ya Uchumi haijawahi kuwa nyepesi, Hayati Magufuli aheshimiwe

Mama nae utasemaje ?
Mama ameiga kutoka kwa JPM chato imekuwa Kizimkazi. Na sukuma gang imekuwa wazanzibari huoni ? Ulikuwa hausomi post zangu huko juu nilikuwa naelezea kuwa JPM ndio chanzo cha ukabila na mpasuko serikalini. Pia Rais atakyefuatia baada ya Mama atafanya kama JPM.
 



Kwahiyo kwa hoja hii na wewe unajisimamisha katika kundi la wasomi??!


Huoni aibu?!
 
Sawa
 
Kwahiyo kwa hoja hii na wewe unajisimamisha katika kundi la wasomi??!


Huoni aibu?!
Nioneshe sehemu niliotumia kujigamba kuwa msomi. Wasomi wa nchi yetu wengi ni wa makaratasi. Hadi Prof alithubutu kukiita chuo kilichompa nafasi ya kusoma na kupata P.H.D jalálani. Akamuita Rais Mheshimiwa Mungu Tanzania tunazalisha wasomi kweli ? Je vyuo vyetu vimefanya tafiti ngapi hivi karibuni na kushirikiana na vyuo gani vinajvyojulikana kimataifa ? Naomba uje ulete facts unatumia hisia kulazimisha uongo kuwa ukweli. Rais unayemtetea angekaa chini na ajiulize anataka nini na anatakiwa afanye nini. Sasa mbadala yake alikurupuka kiasi cha kuipitisha Tanzania katika matukio ambayo Kenya, Uganda na Rwanda ilishapitia. Ukabila unaanza kimasihara unakuja kushtuka mambo yameshaharibika kabisa.
 
Akili ndogo una comply na mabeberu wanakomba Nchi watu wako wanaishi kimaskini ukiondoka tunasema ulikuwa mzalendo sana, boosheet
 
Tunachotaka ni maendeleo yenye tija.

Ni upuuzi na dharau kutuambia watanzania kua unaenda kutafuta wawekezaji huku nchin kwako hujaandaa facilities za uwekezaji. Huo ni ushamba. Hii hupelekea waje wawekezaji ambao ni matapeli wapige dili tu. hamna kingine. Real investors wanaangalia mazingira ya uwekezaji kama umeme wa uhakika, sera za kibiashara zisizobadilikabadilika zenye tija kwa wote.

Ni upuuzi na dharau kutuambia sababu za kwa nin miradi ya ki mkakati haiendele mara sijii crane ya kuinua gate haipo hadi iagizwe ulaya, mara maji hayatoshi kwenue bwawa ( kipindi hiki ni masika ) mara maji yamebadili mkondo ndio maana mgao wa umeme na blablabla

Tunataka maendeleo yenye tija kwa wote na sio maendeleo kwa wapiga dili tu.

Sukari imekuja lakin bei bado haishuki.

Dola haipo mara sababu ya korona mara vita ya ukrain na sasa kule midle east. Yaan duuhh.
 
Uko sahihi sana
 
Soma kuhusu economic hit man ndani ya nchi utaelewa
 
Umeniudhi na hiyo sentensi ya mwisho ungejua ungerekebisha mapema hiyo sentensi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…