Mgodo Mgodoki
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 1,399
- 1,366
Hizo za Ukraine tuletee wewe ili tubalance takwimuUlizia waukraine wangapi wamekufa? Kila siku vyombo vya Ukraine vinavyotoka NATO zinaharibiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo za Ukraine tuletee wewe ili tubalance takwimuUlizia waukraine wangapi wamekufa? Kila siku vyombo vya Ukraine vinavyotoka NATO zinaharibiwa.
Na hii nayo?Hiyo picha ya pili ina zaidi ya miaka 3 inaonekana kwenye mitandao ya kijamii.
Rhinoceros acha kumpotosha mwambaTANK kama sijakosea
Hii picha ya mwaka gani?La msingi tusubilie ni nani atasalimu amri tu mengine ni kujifariji tu.
TanksRhinoceros acha kumpotosha mwamba
What is rhinoTanks
TankHV kifaru kwa kingereza kinaitaje
Nenda Serengeti ParkWhat is rhino
Russia ameshatumia mpaka hypersonic missiles, sasa hizi si za 2010's? Latest machines hizi.Despite of bias analysis...russia according to high USA official katumia silaa mingi za during cold war means outdated..sjajua hapa putin aliwaza nn ila kumu underestimate RUSSSIA ni kosa kubwa sana hadi sasa ana bomu ambalo dunia zma analo peke yake ..
(Unstoppable)
Urus wameleka vifaru hawajapeleka?Nenda Serengeti Park
RufakiHV kifaru kwa kingereza kinaitaje
Nilichokiona mm Ukraine ana wapiganaji wengi sana wa kukodi! Nato licha ya kutoa siraha ila wamepeleka watu wengi sana waipe backup Ukraine.Russia ameshatumia mpaka hypersonic missiles, sasa hizi si za 2010's? Latest machines hizi.
Pia hizi silaha unazoambiwa za 70,80,90 n.k haimaanishi ni zile zile, nooo zmefanyiwa modification ili kuendana na usasa.
Pia mkuu unataka kusema russia hatumii satellites, na teknolojia za kisasa ktk hii anaypita operation? Ukisema leo utumie majeshi ya ardhi yaende kama miaka 50 na 60 unafkiri wanaweza wakaenda hata umbali wa 5km? Thubutuuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Vitani ndo silaha huonekana, hizo zingine ni hekayaDespite of bias analysis...russia according to high USA official katumia silaa mingi za during cold war means outdated..sjajua hapa putin aliwaza nn ila kumu underestimate RUSSSIA ni kosa kubwa sana hadi sasa ana bomu ambalo dunia zma analo peke yake ..
(Unstoppable)
Mbinu za kivitaUsikute naye amepigana kitoto kwa sababu anajua anapigana na mtoto...sasa mbona Syria hapigani hivyo?
Mzee wa Kyiv majivu ndani ya masaa machache na leo ni karibia mwezi mzima upo?🙂asante kwa kuwapa View attachment 2161009warusi javlin za bureeee ha ha ha haView attachment 2161008
warusi wanajibebea tu
Tena ni hekaya za abunuwasi haswa,hii hoja ya kutumia silaha za kizamani T14 Armata Keshaipangua sana kwenye ule uzi wa LIVE,na anawawekea na ushahidi wa silaha Russia anazotumia ambazo zimedunguliwa au kukamatwa na Ukraine,lakini wakihamia kwa Uzi mwingine wanakuja na hoja hii kwa kupokezanaVitani ndo silaha huonekana, hizo zingine ni hekaya