Vita ya Ukraine na Urusi: Mwisho wa zama za vifaru umefika

Get u! Putin ali play mind game nli m quote retired general wa USA ..alisemaa ameshanga Russia wanapiga kwa huruma sana
 
Jamaa ameshusha nondo za CCM ya Jiwe na vyombo vya habari vya Bongo ....one side story
 
Asichapike nani.... Russia paka kama paka wengine kachezea za kichwa kakimbia
 
Jamaa ameshusha nondo za CCM ya Jiwe na vyombo vya habari vya Bongo ....one side story
Mkuu jarbu kuangalia date ya story imechapishwa lini , hata hvyo kama kuna story mpya unaweza ukaweka pia tukabalance story ...!!
 
Mpaka Leo Russia hajakamata mji wowote Bado anahangaika!
 
Huu uzi bado una mashiko!!??
URaaaaaaaaa,
Zelensky acha maigizo kweny maish ya watu,
 

Cyber and Biotechnology wars is the current and future!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…