matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Kipigo cha Iraq wakuu kilikuwa ni cha kikatili sana.
Ziliruka ndege mamia juu ya Anga Siku ya kwanza zikadondosha mabomu kama mvua Baghdad. Hata sisimizi wa Iraq walijua kuna wanadamu katili.
Uchunguzi wa UN ulipuuzwa. Anapigwa MTU bila kuonyesha uhalali wa upigwa. Na dunia nzima ilishangilia.
Hakukuwa na MTU anayetoa taarifa za kinachoendelea isipokuwa mpigaji tu.
URUSI.
Amepigana kiupendo sana.
Anagawa vyakula.
Mashambulizi yake ni ya kudonoadonoa tangu mwanzo.
Licha ya Kuwa nchi yeye ndege nyingi duniani za kivita ukiacha US lakini hajampiga vzr kwa kishindo maana anaupendo.
Wakuu tusiwadharau warusi wangefanya tunavyotaka wafanye tena kwa kushtukiza vita hivi vingeisha kwa Siku NNE tu.
Naomba kutumia fursa hii kumpongeza Putin. Hao wazungu wangemuacha Putin ampe adamu Ukraine kwa sayansi na sanaa aliyoipaga Wenda wote tungependa vita. Maana angepigwa vizuri na damage kidogo tu.
Hawa wanaopenyeza silaha na wajeshi kuharibu equilibrium ya vita wa nataka Putin aonekane ni Katili kama wao.
Putin ni MTU Mwema sana.
Tumuombee maisha marefu
Ziliruka ndege mamia juu ya Anga Siku ya kwanza zikadondosha mabomu kama mvua Baghdad. Hata sisimizi wa Iraq walijua kuna wanadamu katili.
Uchunguzi wa UN ulipuuzwa. Anapigwa MTU bila kuonyesha uhalali wa upigwa. Na dunia nzima ilishangilia.
Hakukuwa na MTU anayetoa taarifa za kinachoendelea isipokuwa mpigaji tu.
URUSI.
Amepigana kiupendo sana.
Anagawa vyakula.
Mashambulizi yake ni ya kudonoadonoa tangu mwanzo.
Licha ya Kuwa nchi yeye ndege nyingi duniani za kivita ukiacha US lakini hajampiga vzr kwa kishindo maana anaupendo.
Wakuu tusiwadharau warusi wangefanya tunavyotaka wafanye tena kwa kushtukiza vita hivi vingeisha kwa Siku NNE tu.
Naomba kutumia fursa hii kumpongeza Putin. Hao wazungu wangemuacha Putin ampe adamu Ukraine kwa sayansi na sanaa aliyoipaga Wenda wote tungependa vita. Maana angepigwa vizuri na damage kidogo tu.
Hawa wanaopenyeza silaha na wajeshi kuharibu equilibrium ya vita wa nataka Putin aonekane ni Katili kama wao.
Putin ni MTU Mwema sana.
Tumuombee maisha marefu