Vita ya UKRAINE ukilinganisha na IRAQ inaonyesha Ukatili wa US/NATO na upendo wa Urusi

Vita ya UKRAINE ukilinganisha na IRAQ inaonyesha Ukatili wa US/NATO na upendo wa Urusi

Kipigo cha Iraq wakuu kilikuwa ni cha kikatili sana.

Ziliruka ndege mamia juu ya Anga Siku ya kwanza zikadondosha mabomu kama mvua Baghdad. Hata sisimizi wa Iraq walijua kuna wanadamu katili.

Uchunguzi wa UN ulipuuzwa. Anapigwa MTU bila kuonyesha uhalali wa upigwa. Na dunia nzima ilishangilia.

Hakukuwa na MTU anayetoa taarifa za kinachoendelea isipokuwa mpigaji tu.

URUSI.
Amepigana kiupendo sana.
Anagawa vyakula.
Mashambulizi yake ni ya kudonoadonoa tangu mwanzo.

Licha ya Kuwa nchi yeye ndege nyingi duniani za kivita ukiacha US lakini hajampiga vzr kwa kishindo maana anaupendo.

Wakuu tusiwadharau warusi wangefanya tunavyotaka wafanye tena kwa kushtukiza vita hivi vingeisha kwa Siku NNE tu.


Naomba kutumia fursa hii kumpongeza Putin. Hao wazungu wangemuacha Putin ampe adamu Ukraine kwa sayansi na sanaa aliyoipaga Wenda wote tungependa vita. Maana angepigwa vizuri na damage kidogo tu.

Hawa wanaopenyeza silaha na wajeshi kuharibu equilibrium ya vita wa nataka Putin aonekane ni Katili kama wao.

Putin ni MTU Mwema sana.
Tumuombee maisha marefu
Unaifahamu javelin ww
 
Kipigo cha Iraq wakuu kilikuwa ni cha kikatili sana.

Ziliruka ndege mamia juu ya Anga Siku ya kwanza zikadondosha mabomu kama mvua Baghdad. Hata sisimizi wa Iraq walijua kuna wanadamu katili.

Uchunguzi wa UN ulipuuzwa. Anapigwa MTU bila kuonyesha uhalali wa upigwa. Na dunia nzima ilishangilia.

Hakukuwa na MTU anayetoa taarifa za kinachoendelea isipokuwa mpigaji tu.

URUSI.
Amepigana kiupendo sana.
Anagawa vyakula.
Mashambulizi yake ni ya kudonoadonoa tangu mwanzo.

Licha ya Kuwa nchi yeye ndege nyingi duniani za kivita ukiacha US lakini hajampiga vzr kwa kishindo maana anaupendo.

Wakuu tusiwadharau warusi wangefanya tunavyotaka wafanye tena kwa kushtukiza vita hivi vingeisha kwa Siku NNE tu.

Naomba kutumia fursa hii kumpongeza Putin. Hao wazungu wangemuacha Putin ampe adamu Ukraine kwa sayansi na sanaa aliyoipaga Wenda wote tungependa vita. Maana angepigwa vizuri na damage kidogo tu.

Hawa wanaopenyeza silaha na wajeshi kuharibu equilibrium ya vita wa nataka Putin aonekane ni Katili kama wao.

Putin ni MTU Mwema sana.
Tumuombee maisha marefu
Majitu mengine yanasema Putin katiri, au hawajui ukatiri maana yake nini?
 
Iraq ilipigwa kinyama sana Marekani alijipanga kama anapigana na dunia bajeti kubwa sana ilitumika.
 
Media za magharibi hasa zile maarufu tunazozifahamu ziko more independent katika kukusanya, kuripoti na kuchambua taarifa. Wakati mwingine hata makosa yanayofanywa na serikali za mataifa husika utayakuta yakiripotiwa ama kujadiliwa na hizohizo media za ndani.

Sasa, nenda upande wa pili! Gazeti dogo tu likiripoti jambo lolote baya la serikali ama kukosoa mwenendo wa kiutawala na sera za serikali husika, kesho yake hulioni mtaani. Wewe ungependa dunia itegemee habari za kutoka TASS ama RT?
Wangekua wapo huru wasingekuja kutuomba msamaha baada yakutulisha natango kuhusiana na IRAQ na silaha za maangamizi
Western media sio zakuziamini hata robo yaani
 
Wangekua wapo huru wasingekuja kutuomba msamaha baada yakutulisha natango kuhusiana na IRAQ na silaha za maangamizi
Western media sio zakuziamini hata robo yaani
Na hao wote waliumbuliwa na Putin kwenye kikao kimoja cha UN, akidai evidence hazikupelekwa UN, kuonesha uhalali wa kuipiga Iraq kwa kigezo cha kuwa na silaha za maangamizi. Na Putin aliyasema hayo kukiwa na tuhuma kuwa Iran ina silaha za maangamizi kama ilivyokuwa Iraq.

Hatimaye baada ya miaka mingi kupita, ndio wakaanza kushkana mashati wenyewe kwa wenyewe, ikianzia kwa aliyekua Rais wa Ufaransa wa wakati huo, had leo sijui ilifikia wapi. Na aliyekua waziri mkuu wa Uingereza Tony Blair
 
Na hao wote waliumbuliwa na Putin kwenye kikao kimoja cha UN, akidai evidence hazikupelekwa UN, kuonesha uhalali wa kuipiga Iraq kwa kigezo cha kuwa na silaha za maangamizi. Na Putin aliyasema hayo kukiwa na tuhuma kuwa Iran ina silaha za maangamizi kama ilivyokuwa Iraq.

Hatimaye baada ya miaka mingi kupita, ndio wakaanza kushkana mashati wenyewe kwa wenyewe, ikianzia kwa aliyekua Rais wa Ufaransa wa wakati huo, had leo sijui ilifikia wapi. Na aliyekua waziri mkuu wa Uingereza Tony Blair
Media zakimagharibi zakishenzi sanaa
PUT IN na RUSSIA ndio wanaifanya hii dunia iwe naamani
La sivyo hao wapuuzi wangekua wanajiona wao ndio special sanaaa!!!
 
Hivi ni Kwa nini silaha zote za Wahalifu na magaidi Duniani ni AK 47?

Kuna nchi mpaka watoto na Wanawake wamiliki Bunduki aina ya AK 47.

Inaelekea Kuna nchi inaziuza hizo silaha Kwa Wahalifu kama karanga .
Mtengenezaji na msambazaji wa hizo AK-47 si mwingine, ni Mrusi🙄
 
IMG_20220418_153238_610.jpg

Askari mateka wa Ukraine wakinywa maji safi na salama na mikate yenye afya ya brown baada ya kukamatwa na jeshi zuri na staarabu la Urusi
 
Kipigo cha Iraq wakuu kilikuwa ni cha kikatili sana.

Ziliruka ndege mamia juu ya Anga Siku ya kwanza zikadondosha mabomu kama mvua Baghdad. Hata sisimizi wa Iraq walijua kuna wanadamu katili.

Uchunguzi wa UN ulipuuzwa. Anapigwa MTU bila kuonyesha uhalali wa upigwa. Na dunia nzima ilishangilia.

Hakukuwa na MTU anayetoa taarifa za kinachoendelea isipokuwa mpigaji tu.

URUSI.
Amepigana kiupendo sana.
Anagawa vyakula.
Mashambulizi yake ni ya kudonoadonoa tangu mwanzo.

Licha ya Kuwa nchi yeye ndege nyingi duniani za kivita ukiacha US lakini hajampiga vzr kwa kishindo maana anaupendo.

Wakuu tusiwadharau warusi wangefanya tunavyotaka wafanye tena kwa kushtukiza vita hivi vingeisha kwa Siku NNE tu.

Naomba kutumia fursa hii kumpongeza Putin. Hao wazungu wangemuacha Putin ampe adamu Ukraine kwa sayansi na sanaa aliyoipaga Wenda wote tungependa vita. Maana angepigwa vizuri na damage kidogo tu.

Hawa wanaopenyeza silaha na wajeshi kuharibu equilibrium ya vita wa nataka Putin aonekane ni Katili kama wao.

Putin ni MTU Mwema sana.
Tumuombee maisha marefu
Iraq hawana undugu na Marekani na Urusi na Ukraine ni ndugu kabisa sasa unataka vita zao zifanane? Russia anajua kuwa anapiga ndugu yake wakati US alikuwa anapiga mtu wa mbali na Nyumbani. Itakuwa kama hivi siku US akipigana na Canada.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hivi ni Kwa nini silaha zote za Wahalifu na magaidi Duniani ni AK 47?

Kuna nchi mpaka watoto na Wanawake wamiliki Bunduki aina ya AK 47.

Inaelekea Kuna nchi inaziuza hizo silaha Kwa Wahalifu kama karanga .

Hizi ngozi nyeupe sio rafiki Kwa kiumbe yeyote hata siku Moja mbele ya maslahi yao.

Lakini hata hivyo Marekani ni nchi ya Pili au ya tatu Duniani yenye Waafrika wengi baada ya Nigeria. Kwa hiyo Wamarekani ni ndugu zetu. Tutasimama nao zaidi mana ndugu zetu waafrika wapo wengi kule.

Sio Uarabuni Wala Israel Wala China Wala India Wala Urusi ambapo wanaishi waafrika wanaofikia hata Mili Tano. Ni wabaguzi na hawana habari kabisa kama mtu mweusi naye ni binadamu anayefaa kupata hata ajira kwenye majeshi yao.

Urusi tunaishabikia TU kama simba mana hakuna namna Kwa sababu upende usipende urusi ni baba lao na anagawa mkongoto mpaka Kwa ndugu zake wa Ukrein. Wanauana wenyewe Kwa wenyewe.

Achana nao hawana msaada wowote zaidi ya kutuuzia silaha za kuuana na kukandamizana TU mana anajua waafrika na waarabu ni wapumbavu wanaopenda ngono TU kuliko maisha yao.

Marekani na washirika wake ndio wanatumia nchi nyingi kuzinunua na kuwapa wanaopigana dhidi ya Russia

Nakumbuka vita ya Afghan/Russia ya 1979- 1989 America walizitumia nchi kadhaa kununua silaha toka kwa Mrusi halafu zinapita Pakistan mpaka Afghanistan
Mrusi alikuwa akishangaa kila anapouwa Waafghan au kuwashika mateka anawakuta wana AK

Yote hiyo wazungu walikuwa wanaogopa kujulikana wanamsaidia Afghan kwa silaha

Ila sasa unaona dhahir wanampa silaha Ukraine
Mambo yamebadilika sana
Ila vita ya so called dunia vs Iraq walimuonea sana kwani nilikuwepo huko jamaa ni mbwa hao wasiokuwa na chembe ya huruma

Ila nilipoa ile invasion ya Somalia 1993 nilifurahi sana watoto wa baba walichokifanya kwa majeshi yanayojitamba duniani kuwa ni the best
Ila kile walichokipata kiliwapoza wengi
 
Hivi ni Kwa nini silaha zote za Wahalifu na magaidi Duniani ni AK 47?

Kuna nchi mpaka watoto na Wanawake wamiliki Bunduki aina ya AK 47.

Inaelekea Kuna nchi inaziuza hizo silaha Kwa Wahalifu kama karanga .

Hizi ngozi nyeupe sio rafiki Kwa kiumbe yeyote hata siku Moja mbele ya maslahi yao.

Lakini hata hivyo Marekani ni nchi ya Pili au ya tatu Duniani yenye Waafrika wengi baada ya Nigeria. Kwa hiyo Wamarekani ni ndugu zetu. Tutasimama nao zaidi mana ndugu zetu waafrika wapo wengi kule.

Sio Uarabuni Wala Israel Wala China Wala India Wala Urusi ambapo wanaishi waafrika wanaofikia hata Mili Tano. Ni wabaguzi na hawana habari kabisa kama mtu mweusi naye ni binadamu anayefaa kupata hata ajira kwenye majeshi yao.

Urusi tunaishabikia TU kama simba mana hakuna namna Kwa sababu upende usipende urusi ni baba lao na anagawa mkongoto mpaka Kwa ndugu zake wa Ukrein. Wanauana wenyewe Kwa wenyewe.

Achana nao hawana msaada wowote zaidi ya kutuuzia silaha za kuuana na kukandamizana TU mana anajua waafrika na waarabu ni wapumbavu wanaopenda ngono TU kuliko maisha yao.
Kwa taarifa tu AK 47 no dola 6 Afghanstan. Hata huku kama tusingekuwa tunaamin silaha ya kurogana kila mtu aweza kuwa nayo
 
Yaani Russia inabidi Awasukumie Moto hao Nyambafu mpaka washike Adabu zao, Na watambue kuwa Binadamu wote ni sawa.
 
Mimi nilisha mchukia mrusi,anafikaje mji mkuu halafu anarudi nyuma bila kumaliza mchezo?alitakiwa ageuze chini juu,juu chini, Putin ni mpuuzi kweli,ramzani alimwambia tuirarue Ukraine mchezo uishe mapema bado analemba,vimaneno vya vya zele vingekuwa vimesha sahaulika,
 
Marekani na washirika wake ndio wanatumia nchi nyingi kuzinunua na kuwapa wanaopigana dhidi ya Russia

Nakumbuka vita ya Afghan/Russia ya 1979- 1989 America walizitumia nchi kadhaa kununua silaha toka kwa Mrusi halafu zinapita Pakistan mpaka Afghanistan
Mrusi alikuwa akishangaa kila anapouwa Waafghan au kuwashika mateka anawakuta wana AK

Yote hiyo wazungu walikuwa wanaogopa kujulikana wanamsaidia Afghan kwa silaha

Ila sasa unaona dhahir wanampa silaha Ukraine
Mambo yamebadilika sana
Ila vita ya so called dunia vs Iraq walimuonea sana kwani nilikuwepo huko jamaa ni mbwa hao wasiokuwa na chembe ya huruma

Ila nilipoa ile invasion ya Somalia 1993 nilifurahi sana watoto wa baba walichokifanya kwa majeshi yanayojitamba duniani kuwa ni the best
Ila kile walichokipata kiliwapoza wengi
Kwa hiyo Urus inauza silaha Kwa njia HARAMU.
Mana tulitegemea iziuze kwenye majeshi halali na sio Kwa njia HARAMU .
Hata kama Marekani imewapa pesa.

Lazima tujiulize Marekani utoe pesa halafu pesa hizo zikanufsishe viwanda vya Urusi vya silaha na kuongeza pata la Urus.

Ukweli ni kwamba Urusi imewekeza sana kwenye silaha na ndiyo biashara yao kuu Dunia nzima.
Ndio maana Urusi Haina haja na Dunia yenye Demokrasia mana penye Demokrasia ya kweli hakuwezi kuwa na vita Wala uasi.

Mfano Kenya. Leo hii Kenya ingekua Bado inatawaliwa na Ule udikteta wa Moi wa kuwaua watu wote wenye ushawishi wa kisiasa na kusema kila mtu lazima afuate Nyayo ,Kenya ingeingia kwenye civil war na silaha za mitaani zingetoka Urusi. Jeshi la Kenya wanatumia silaha Toka nchi za magharibi.

Kwa Taarifa yako hata silaha za Kongo zinaingizwa kinyemela na zunafadhiliwa na nchi jirani kuingia kama silaha halali kwenye nchi hizo lakini zinanunuliwa na Waasi Kwa manufaa ya nchi jirani na sio Marekani Wala Nini .

Marekani hawezi kutoa pesa za Kununua silaha Toka Urusi wakati uchumi wa Urusi unategemea silaha hizo.

Yaani Marekani atoe pesa wanunue silaha Urusi halafu Marekani huyo huyu atoe pesa nyingi kuisapoti UN kwenda kuwanyanya silaha hao aliowapa silaha kama Sudani na Kongo na Somalia ilivyo Sasa na miaka karibu 20.

Hebu fikiri vikosi vya Tanzania ,Rwanda,Nigeria,Kenya, Ghana nk. vilivyopo Sudani na Kongo wanavyolipwa mabilioni ya Dola Kwa ufadhili wa Marekani ili kuwanyanganya silaha Waasi , na silaha zote ni AK na nyinginezo Toka Urusi halafu hao hao watoe tena Pesa wakanunue silaha Urusi.
Waafrika tunatstizo la kulishwa vitu kichwani badala ya kufikiria wenyewe na kukataa kudanganywa.
Tulitegemea Kongo na Somalia pawe na silaha nyingi za nchi za magharibi ili tuamini kuwa wanatuchonganisha ili watuuzie silaha lakini sio hivyo badala yake silaha ni Toka China na Urusi na wanaofadhili pambano ni nchi jirani.

Nani alimsaidia Kagame kuanzisha vita vya uasi?
Silaha zilipita wapi?
Zilitokea wapi?
Alikua anajificha wapi ?
Je,nani alimsaidia Museveni kufanya uasi?
Nani alimsaidia Kabila?
Lazima tujiulize maswali hayo.

Nchi za magharibi Zina matajiri wengi sana wanaohitaji kuzunguka Duniani na kuwekeza au kutalii na kula Bata. Hawahitaji Dunia yenye vita na machafuko. Ndio maana wanataka Demokrasia ili hata Mwafrika akiwa na uwezo akakae kokote bila kuvunja Sheria.
Mzungu anatamani kuishi popote alimradi pawe na amani na uhuru.
Ndio maana Afrika kusini hutasikia wazungu wakipita mitaani wakipora Mali za watu lakini waafrika wanapora Mali za Waafrika wenzao. Wazungu hawawabagui Wageni lakini waafrika wanawabagua waafrika wenzao. Wanafikiri Afrika kusini ni Mali yao wakati wanashindwa kujiletea maendeleo hata baada ya uhuru. Walipata Uhuru viongozi wao wakawa wanaojimilikisha Mali TU ili nao waishi kama wazungu badala ya kuwainua waafrika kiuchumi ili watoke nje kutafuta fursa wanaodanganyana kuwa wazungu ndio wanawaibia hata pale ambapo makimosa ni yao waafrika hawakubali ili wajirekebishe.

Afrika na Asia Bado wanatumia utawala kama sehemu ya kutajirika Kwa haraka,ndio maana anagombania madaraka na kuuana. Wenzetu wa magharibi walishatoka Huko. Hata china ya Sasa haitaki vita ya kutumia nguvu.

Nchi Moja ya Kiafrika au Kiarabu kama kweli ina watu wanaokubali kutumiwa na nchi za magharibi za wazungu ili kuua waarabu wenzao au waafrika wenzao wenye Lugha Moja na jamii na Mila Moja basi hizo nchi Zina watu wapumbavu na malofa acha wauane waishe mana hawafai kukaa kwenye Dunia hii.

Yani aje Mzungu aniambie nimuue Mwafrika mwenzangu. ? Shenzi kabisa.
Mwafrika anaambiwa na Mwafrika Mwenzake na anaahidiwa madaraka na Mwafrika Mwenzake kumuua Mwenzake.
Tuliona uchaguzi wa 2020 watanzania walikua wanawakata mapanga watanzania wenzao. Walikua wanawakaba na kupora fomu za uchaguzi, walikua wanabadili matokeo na kutumia Polisi na Jeshi lenye askari watanzania dhidi ya Watanzania wenzao Kwa sababu ya ulafi wa madaraka. Sikuona Mzungu akiamuru wakurugenzi wavuruge uchaguzi na Polisi wapige na kujeruhi watu. Sasa ingetokea vita Tungeihusisha Vipi Marekani ?
Huoni kuwa watawala na Waasi wanazirushia mzigo nchi za magharibi ili kuhalalusha uovu wao na kukwepa kutupiwa lawama.?
 
Back
Top Bottom