1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
Zinatokaje kwenye viwanda vya Jeshi Urusi na kuzagaa Kwa Waasi Dunia nzima??Kwa taarifa tu AK 47 no dola 6 Afghanstan. Hata huku kama tusingekuwa tunaamin silaha ya kurogana kila mtu aweza kuwa nayo
achana na masuala ya between the lines na blabla za kimchongo .Kwamba, kuna kipigo cha kikatili, pia kuna kipigo cha upendo! Au sio?!
Mashambulizi ya "kudonoadonoa" ndiyo yakoje hayo? Huo upendo unathibitikaje? Kwa kugawa chakula? Yaani, mtu akikushambulia kwa makusudi, kisha akatoa chakula, ni uthibitisho kuwa anakupenda? How?
Unasema, wakati wa vita ya Iraq, UN ilipuuzwa maana vita haikuwa halali. Sahihi! Wakati wa vita hii ya sasa je? UN ilisapoti?
Vita ya Iraq haukuripotiwa na yeyote zaidi ya Marekani/NATO? Seriously?!
Umemalizia kwa kumsifia Putin, umempongeza n.k. Wakati huohuo unasema kwamba hauna upande katika mgogoro uliopo!
Mimi nimeusoma uzi between the lines bila kubadilisha maneno wala kupunguza ama kuongeza chochote.
Mjinga kweli wewe umagharibi inakusumbua Tu kiazi kabisaa sijui ata iyo elimu uliyopata imekusaidia nnKwa hiyo Urus inauza silaha Kwa njia HARAMU.
Mana tulitegemea iziuze kwenye majeshi halali na sio Kwa njia HARAMU .
Hata kama Marekani imewapa pesa.
Lazima tujiulize Marekani utoe pesa halafu pesa hizo zikanufsishe viwanda vya Urusi vya silaha na kuongeza pata la Urus.
Ukweli ni kwamba Urusi imewekeza sana kwenye silaha na ndiyo biashara yao kuu Dunia nzima.
Ndio maana Urusi Haina haja na Dunia yenye Demokrasia mana penye Demokrasia ya kweli hakuwezi kuwa na vita Wala uasi.
Mfano Kenya. Leo hii Kenya ingekua Bado inatawaliwa na Ule udikteta wa Moi wa kuwaua watu wote wenye ushawishi wa kisiasa na kusema kila mtu lazima afuate Nyayo ,Kenya ingeingia kwenye civil war na silaha za mitaani zingetoka Urusi. Jeshi la Kenya wanatumia silaha Toka nchi za magharibi.
Kwa Taarifa yako hata silaha za Kongo zinaingizwa kinyemela na zunafadhiliwa na nchi jirani kuingia kama silaha halali kwenye nchi hizo lakini zinanunuliwa na Waasi Kwa manufaa ya nchi jirani na sio Marekani Wala Nini .
Marekani hawezi kutoa pesa za Kununua silaha Toka Urusi wakati uchumi wa Urusi unategemea silaha hizo.
Yaani Marekani atoe pesa wanunue silaha Urusi halafu Marekani huyo huyu atoe pesa nyingi kuisapoti UN kwenda kuwanyanya silaha hao aliowapa silaha kama Sudani na Kongo na Somalia ilivyo Sasa na miaka karibu 20.
Hebu fikiri vikosi vya Tanzania ,Rwanda,Nigeria,Kenya, Ghana nk. vilivyopo Sudani na Kongo wanavyolipwa mabilioni ya Dola Kwa ufadhili wa Marekani ili kuwanyanganya silaha Waasi , na silaha zote ni AK na nyinginezo Toka Urusi halafu hao hao watoe tena Pesa wakanunue silaha Urusi.
Waafrika tunatstizo la kulishwa vitu kichwani badala ya kufikiria wenyewe na kukataa kudanganywa.
Tulitegemea Kongo na Somalia pawe na silaha nyingi za nchi za magharibi ili tuamini kuwa wanatuchonganisha ili watuuzie silaha lakini sio hivyo badala yake silaha ni Toka China na Urusi na wanaofadhili pambano ni nchi jirani.
Nani alimsaidia Kagame kuanzisha vita vya uasi?
Silaha zilipita wapi?
Zilitokea wapi?
Alikua anajificha wapi ?
Je,nani alimsaidia Museveni kufanya uasi?
Nani alimsaidia Kabila?
Lazima tujiulize maswali hayo.
Nchi za magharibi Zina matajiri wengi sana wanaohitaji kuzunguka Duniani na kuwekeza au kutalii na kula Bata. Hawahitaji Dunia yenye vita na machafuko. Ndio maana wanataka Demokrasia ili hata Mwafrika akiwa na uwezo akakae kokote bila kuvunja Sheria.
Mzungu anatamani kuishi popote alimradi pawe na amani na uhuru.
Ndio maana Afrika kusini hutasikia wazungu wakipita mitaani wakipora Mali za watu lakini waafrika wanapora Mali za Waafrika wenzao. Wazungu hawawabagui Wageni lakini waafrika wanawabagua waafrika wenzao. Wanafikiri Afrika kusini ni Mali yao wakati wanashindwa kujiletea maendeleo hata baada ya uhuru. Walipata Uhuru viongozi wao wakawa wanaojimilikisha Mali TU ili nao waishi kama wazungu badala ya kuwainua waafrika kiuchumi ili watoke nje kutafuta fursa wanaodanganyana kuwa wazungu ndio wanawaibia hata pale ambapo makimosa ni yao waafrika hawakubali ili wajirekebishe.
Afrika na Asia Bado wanatumia utawala kama sehemu ya kutajirika Kwa haraka,ndio maana anagombania madaraka na kuuana. Wenzetu wa magharibi walishatoka Huko. Hata china ya Sasa haitaki vita ya kutumia nguvu.
Nchi Moja ya Kiafrika au Kiarabu kama kweli ina watu wanaokubali kutumiwa na nchi za magharibi za wazungu ili kuua waarabu wenzao au waafrika wenzao wenye Lugha Moja na jamii na Mila Moja basi hizo nchi Zina watu wapumbavu na malofa acha wauane waishe mana hawafai kukaa kwenye Dunia hii.
Yani aje Mzungu aniambie nimuue Mwafrika mwenzangu. ? Shenzi kabisa.
Mwafrika anaambiwa na Mwafrika Mwenzake na anaahidiwa madaraka na Mwafrika Mwenzake kumuua Mwenzake.
Tuliona uchaguzi wa 2020 watanzania walikua wanawakata mapanga watanzania wenzao. Walikua wanawakaba na kupora fomu za uchaguzi, walikua wanabadili matokeo na kutumia Polisi na Jeshi lenye askari watanzania dhidi ya Watanzania wenzao Kwa sababu ya ulafi wa madaraka. Sikuona Mzungu akiamuru wakurugenzi wavuruge uchaguzi na Polisi wapige na kujeruhi watu. Sasa ingetokea vita Tungeihusisha Vipi Marekani ?
Huoni kuwa watawala na Waasi wanazirushia mzigo nchi za magharibi ili kuhalalusha uovu wao na kukwepa kutupiwa lawama.?
Kwa hiyo Urus inauza silaha Kwa njia HARAMU.
Mana tulitegemea iziuze kwenye majeshi halali na sio Kwa njia HARAMU .
Hata kama Marekani imewapa pesa.
Lazima tujiulize Marekani utoe pesa halafu pesa hizo zikanufsishe viwanda vya Urusi vya silaha na kuongeza pata la Urus.
Ukweli ni kwamba Urusi imewekeza sana kwenye silaha na ndiyo biashara yao kuu Dunia nzima.
Ndio maana Urusi Haina haja na Dunia yenye Demokrasia mana penye Demokrasia ya kweli hakuwezi kuwa na vita Wala uasi.
Mfano Kenya. Leo hii Kenya ingekua Bado inatawaliwa na Ule udikteta wa Moi wa kuwaua watu wote wenye ushawishi wa kisiasa na kusema kila mtu lazima afuate Nyayo ,Kenya ingeingia kwenye civil war na silaha za mitaani zingetoka Urusi. Jeshi la Kenya wanatumia silaha Toka nchi za magharibi.
Kwa Taarifa yako hata silaha za Kongo zinaingizwa kinyemela na zunafadhiliwa na nchi jirani kuingia kama silaha halali kwenye nchi hizo lakini zinanunuliwa na Waasi Kwa manufaa ya nchi jirani na sio Marekani Wala Nini .
Marekani hawezi kutoa pesa za Kununua silaha Toka Urusi wakati uchumi wa Urusi unategemea silaha hizo.
Yaani Marekani atoe pesa wanunue silaha Urusi halafu Marekani huyo huyu atoe pesa nyingi kuisapoti UN kwenda kuwanyanya silaha hao aliowapa silaha kama Sudani na Kongo na Somalia ilivyo Sasa na miaka karibu 20.
Hebu fikiri vikosi vya Tanzania ,Rwanda,Nigeria,Kenya, Ghana nk. vilivyopo Sudani na Kongo wanavyolipwa mabilioni ya Dola Kwa ufadhili wa Marekani ili kuwanyanganya silaha Waasi , na silaha zote ni AK na nyinginezo Toka Urusi halafu hao hao watoe tena Pesa wakanunue silaha Urusi.
Waafrika tunatstizo la kulishwa vitu kichwani badala ya kufikiria wenyewe na kukataa kudanganywa.
Tulitegemea Kongo na Somalia pawe na silaha nyingi za nchi za magharibi ili tuamini kuwa wanatuchonganisha ili watuuzie silaha lakini sio hivyo badala yake silaha ni Toka China na Urusi na wanaofadhili pambano ni nchi jirani.
Nani alimsaidia Kagame kuanzisha vita vya uasi?
Silaha zilipita wapi?
Zilitokea wapi?
Alikua anajificha wapi ?
Je,nani alimsaidia Museveni kufanya uasi?
Nani alimsaidia Kabila?
Lazima tujiulize maswali hayo.
Nchi za magharibi Zina matajiri wengi sana wanaohitaji kuzunguka Duniani na kuwekeza au kutalii na kula Bata. Hawahitaji Dunia yenye vita na machafuko. Ndio maana wanataka Demokrasia ili hata Mwafrika akiwa na uwezo akakae kokote bila kuvunja Sheria.
Mzungu anatamani kuishi popote alimradi pawe na amani na uhuru.
Ndio maana Afrika kusini hutasikia wazungu wakipita mitaani wakipora Mali za watu lakini waafrika wanapora Mali za Waafrika wenzao. Wazungu hawawabagui Wageni lakini waafrika wanawabagua waafrika wenzao. Wanafikiri Afrika kusini ni Mali yao wakati wanashindwa kujiletea maendeleo hata baada ya uhuru. Walipata Uhuru viongozi wao wakawa wanaojimilikisha Mali TU ili nao waishi kama wazungu badala ya kuwainua waafrika kiuchumi ili watoke nje kutafuta fursa wanaodanganyana kuwa wazungu ndio wanawaibia hata pale ambapo makimosa ni yao waafrika hawakubali ili wajirekebishe.
Afrika na Asia Bado wanatumia utawala kama sehemu ya kutajirika Kwa haraka,ndio maana anagombania madaraka na kuuana. Wenzetu wa magharibi walishatoka Huko. Hata china ya Sasa haitaki vita ya kutumia nguvu.
Nchi Moja ya Kiafrika au Kiarabu kama kweli ina watu wanaokubali kutumiwa na nchi za magharibi za wazungu ili kuua waarabu wenzao au waafrika wenzao wenye Lugha Moja na jamii na Mila Moja basi hizo nchi Zina watu wapumbavu na malofa acha wauane waishe mana hawafai kukaa kwenye Dunia hii.
Yani aje Mzungu aniambie nimuue Mwafrika mwenzangu. ? Shenzi kabisa.
Mwafrika anaambiwa na Mwafrika Mwenzake na anaahidiwa madaraka na Mwafrika Mwenzake kumuua Mwenzake.
Tuliona uchaguzi wa 2020 watanzania walikua wanawakata mapanga watanzania wenzao. Walikua wanawakaba na kupora fomu za uchaguzi, walikua wanabadili matokeo na kutumia Polisi na Jeshi lenye askari watanzania dhidi ya Watanzania wenzao Kwa sababu ya ulafi wa madaraka. Sikuona Mzungu akiamuru wakurugenzi wavuruge uchaguzi na Polisi wapige na kujeruhi watu. Sasa ingetokea vita Tungeihusisha Vipi Marekani ?
Huoni kuwa watawala na Waasi wanazirushia mzigo nchi za magharibi ili kuhalalusha uovu wao na kukwepa kutupiwa lawama.?
Unaweza kunijibu,Punguza uongo kijana. Japo napenda kuandika kwa kina ili kumuelimisha mtu lakini wewe sitafanya hivyo Bali nitakujibu kwa kifupi Sana.
Marekani haikuingiza ndege Nchini Iraq kuanzia siku ya Kwanza mpaka ya nne.
Siku ya 1 : Marekani alirusha Makombora ya Tomahawk Missiles kutoka kwenye Destroyers Zilizokuwa Maditeranian Sea. Siku hiyo ya Kwanza,Marekani alirusha Makombora zaidi ya 1500 ndani ya Iraq ili kuharimu Mifumo ya Ulinzi wa Anga wa Iraq (Air Defence Systems)
Siku ya Pili : Marekani ilirusha Makombora ya Standard Missiles-6(SM6) ili kuharibu Underground Millitary Storage Facilities. Zaidi ya Makombora 120 ya SM6 yalipigwa Nchini Iraq.
Siku ya 3 : Marekani aliingiza Ndege za Kivita 40 Aina ya F-18A Falcon,Zilirudi 29 TU Kwenye Kambi ya Jeshi la Marekani iliyoko Kuwait,Zingine 11 zilitunguliwa na Mifumo ya Ulinzi wa Anga wa Iraq. Hapo ndipo Marekani ikaamini kumbe Bado Iraq ina Mifumo ya Ulinzi wa Anga ambayo Bado inafanya kazi Licha ya Mashambulizi Makali ya Manowari za Marekani. Wazo lililokuwa ni Kuli-SATURATE Anga la Iraq kwa Mizinga ya Masafa Marefu.
Siku ya 4 : Marekani alituma ndege za Kivita 120 Aina ya B-52,F-15,B-1B na Ndege nne za B-2. Baada ya Anga la Iraq kuzidiwa ndipo Saddam Hussein akaviamuru vikosi vyake Virushe SCUD MISSILES Nchini Israel. Lengo la Kufanya hivyo ni Kuilazimisha Israel iingie Vitani dhidi ya Iraq.
Kipindi hicho mwaka 2003 Israel ilikuwa na uaduwi na nchi Nyingi za Kiarabu,hivyo Endapo Israel ingeliingia Vitani,Basi Nchi za Kiarabu zingeliingia Kumsaidia Saddam Hussein na Hilo ndilo lilikuwa Lengo la Saddam Hussein kuishambulia Israel. Intelligence ya Marekani ililijua Hilo,hivyo ili kuzuia Vita kuwa kuwa Mashariki ya Kati,Basi Marekani ilipeleka Washauri wa kijeshi 300 na Mifumo 6 ya PAC-3 Nchini Israel ili kuzuia Israel isijibu mashambulizi Bali Ijikinge TU dhidi ya Makombora ya Iraq.
Umeongea fact tupu[emoji4][emoji106]Urusi anajua vzr Ukraine kuliko US alivyoijua Iraq ya Sadam. Angesema Putin atumie approach ile dunia nzima ingeandamana kumkamata Putin anyongwe.
Na Approach hii US wangeitumia Iraq hadi Leo Saddam angekuwa hai au angekufa kifo cha asili kama Mullar mtalibani.
Maana vita vingehamia mitaani informal ambavyo US wangeshindwa kujua tofauti ya nesi, mkulima, house girl , mwanajeshi etc.
Mfano hadi kwenye chekechea Ukraine zinakutwa silaha za kutungulia ndege. Mama mmoja wa nyumbani tu anajisifu kadungua ndege tatu za Urusi kwa zile misaada ya Uingereza. Wananchi na wanajeshi haijulikani nani ni nani.
Somalia case study (Black Hawk down), US walikimbia maana ilikuwa ni kama Ukraine wanachi na wanajeshi haijulikani nani ni nani.
Hii Urban War ni ngumu labda uamue kufyeka pori ili uue nyoka mmoja.
HakikaBado jibu nililelile Putin muungwana sana anafanya oparation ya kindugu.
Wangeangalia alichokufanya marekani kule Yugoslavia Basi wangejua marekani na urusi Nani katiliMajitu mengine yanasema Putin katiri, au hawajui ukatiri maana yake nini?
Marekani alishajiona kiranja wa Dunia.Media zakimagharibi zakishenzi sanaa
PUT IN na RUSSIA ndio wanaifanya hii dunia iwe naamani
La sivyo hao wapuuzi wangekua wanajiona wao ndio special sanaaa!!!
Urusi anafanya biashara kubwa ya silaha duniani kote, ak47 ndo silaha Bora tangu enzi na enzi.Pamoja anatengeneza na kuzisambaza, mbona USA ndio kuna matukio ya hovyo kuliko sehem nyingine au nyie mnavyanzo vyenu vya habari, ambazo mimi sina?
Tatizo Putin Ni mwingi wa huruma Sana,Mimi nilisha mchukia mrusi,anafikaje mji mkuu halafu anarudi nyuma bila kumaliza mchezo?alitakiwa ageuze chini juu,juu chini, Putin ni mpuuzi kweli,ramzani alimwambia tuirarue Ukraine mchezo uishe mapema bado analemba,vimaneno vya vya zele vingekuwa vimesha sahaulika,
Huo ndio ukweliKipigo cha Iraq wakuu kilikuwa ni cha kikatili sana.
Ziliruka ndege mamia juu ya Anga Siku ya kwanza zikadondosha mabomu kama mvua Baghdad. Hata sisimizi wa Iraq walijua kuna wanadamu katili.
Uchunguzi wa UN ulipuuzwa. Anapigwa MTU bila kuonyesha uhalali wa upigwa. Na dunia nzima ilishangilia.
Hakukuwa na MTU anayetoa taarifa za kinachoendelea isipokuwa mpigaji tu.
URUSI.
Amepigana kiupendo sana.
Anagawa vyakula.
Mashambulizi yake ni ya kudonoadonoa tangu mwanzo.
Licha ya Kuwa nchi yeye ndege nyingi duniani za kivita ukiacha US lakini hajampiga vzr kwa kishindo maana anaupendo.
Wakuu tusiwadharau warusi wangefanya tunavyotaka wafanye tena kwa kushtukiza vita hivi vingeisha kwa Siku NNE tu.
Naomba kutumia fursa hii kumpongeza Putin. Hao wazungu wangemuacha Putin ampe adamu Ukraine kwa sayansi na sanaa aliyoipaga Wenda wote tungependa vita. Maana angepigwa vizuri na damage kidogo tu.
Hawa wanaopenyeza silaha na wajeshi kuharibu equilibrium ya vita wa nataka Putin aonekane ni Katili kama wao.
Putin ni MTU Mwema sana.
Tumuombee maisha marefu
USA anatakiwa kulipa alich I fanya Iraq.. View attachment 2194175Kipigo cha Iraq wakuu kilikuwa ni cha kikatili sana.
Ziliruka ndege mamia juu ya Anga Siku ya kwanza zikadondosha mabomu kama mvua Baghdad. Hata sisimizi wa Iraq walijua kuna wanadamu katili.
Uchunguzi wa UN ulipuuzwa. Anapigwa MTU bila kuonyesha uhalali wa upigwa. Na dunia nzima ilishangilia.
Hakukuwa na MTU anayetoa taarifa za kinachoendelea isipokuwa mpigaji tu.
URUSI.
Amepigana kiupendo sana.
Anagawa vyakula.
Mashambulizi yake ni ya kudonoadonoa tangu mwanzo.
Licha ya Kuwa nchi yeye ndege nyingi duniani za kivita ukiacha US lakini hajampiga vzr kwa kishindo maana anaupendo.
Wakuu tusiwadharau warusi wangefanya tunavyotaka wafanye tena kwa kushtukiza vita hivi vingeisha kwa Siku NNE tu.
Naomba kutumia fursa hii kumpongeza Putin. Hao wazungu wangemuacha Putin ampe adamu Ukraine kwa sayansi na sanaa aliyoipaga Wenda wote tungependa vita. Maana angepigwa vizuri na damage kidogo tu.
Hawa wanaopenyeza silaha na wajeshi kuharibu equilibrium ya vita wa nataka Putin aonekane ni Katili kama wao.
Putin ni MTU Mwema sana.
Tumuombee maisha marefu
Wewe hujui chochote kuhusu propaganda za kivita.Mjinga kweli wewe umagharibi inakusumbua Tu kiazi kabisaa sijui ata iyo elimu uliyopata imekusaidia nn
Vita vya Kongo vinafadhiliwa na nani kama siyo ufaransa na Marekani vita vya Mali, Nigeria, Libya, central Africa, Kiazi ww
Kwahiyo kuwa huru ni kutokuomba msamaha pale ambapo umekosea?Wangekua wapo huru wasingekuja kutuomba msamaha baada yakutulisha natango kuhusiana na IRAQ na silaha za maangamizi
Western media sio zakuziamini hata robo yaani
Kitendo cha kuona kilichofanywa na USA ni makosa kisha kuona kinachofanywa na Russia hivi sasa ni sahihi ndiyo "blabla za kimchongo".achana na masuala ya between the lines na blabla za kimchongo .
Jamaa kanena ukweli haswaa acha ubishi wa kindezi US anaongoza kwa mass killing innocent people hasa iraq