sikiliza bhana, anajutia kwenda kuipigania Ukraine sasa yamemkuta makubwaNawewe tafuta ndugu yako anaeishi ulaya akuelezee vyema
Watu wanalalama huko mavitu yanapanda bei halaf mnataka kusema nini !!!??
Kuhusu RUSSIA kutaka kuondolewa vikwazo hili lipo kimkakati zaidi je EU wapo tayar kufuata matakwa ya RUSSIA nakudhataulika zaidi na DUNIA
Kiufupi RUSSIA anatumia huo msosi aloukamata hapo UKRAINE kama aina fulani ya vikwazo kwa waliomuekea
Muda utaamua
Sent using Jamii Forums mobile app
sikiliza bhana, anajutia kwenda kuipigania Ukraine sasa yamemkuta makubwaNawewe tafuta ndugu yako anaeishi ulaya akuelezee vyema
Watu wanalalama huko mavitu yanapanda bei halaf mnataka kusema nini !!!??
Kuhusu RUSSIA kutaka kuondolewa vikwazo hili lipo kimkakati zaidi je EU wapo tayar kufuata matakwa ya RUSSIA nakudhataulika zaidi na DUNIA
Kiufupi RUSSIA anatumia huo msosi aloukamata hapo UKRAINE kama aina fulani ya vikwazo kwa waliomuekea
Muda utaamua
Sent using Jamii Forums mobile app
pole, ona huyu mtoto anatia huruma sana, naomba Putin amsaidia kumpa kazi hukohuko Russia.Naona hata hujaelewa hoja yangu , umejibu OP kbs , ushabiki ni mzuri ila sio yakikukuta ww
Kama kujua huko kama unavyojua wewe bora niendelee kutokujuaWewe huna ujualo hizo meli za chakula tayari russia amelazimika kuziachia kila nchi wenye hicho chakula walituma manuari kwenye kugomboa meli zao na tayari kimeshatoka toka wiki iliyopita, putini hana lolote ni kelele tu, yeye alijaribu kutingisha aondolewe vikwazo akaambiwa sisi tunakuja wewe kama utapiga piga uone meli zimetoka tayari mkuu
Pumba ziko hapa, sikiliza propaganda za wenzio kama wewe. Walishajua vikwazo havifanyi kazi, wananchi wa EU na Marekani wamechoshwa na upuuzi wa Ukraine, viongozi wao wako hatarini kupoteza kazi, Boris Johnson alikiona cha moto, Biden yuko hoi, SCHOLZ anahangaika.Pumba tupu!
Ni kweli hata ushoga tu kifo kinakuita tumewaachia west uo uhuruWest si Urusi , Urusi hawana uhuru wa maoni , ukikosoa kifo kinakuita
kavulata mrusi wa Manzese!Pumba ziko hapa, sikiliza propaganda za wenzio kama wewe. Walishajua vikwazo havifanyi kazi, wananchi wa EU na Marekani wamechoshwa na upuuzi wa Ukraine, viongozi wao wako hatarini kupoteza kazi, Boris Johnson alikiona cha moto, Biden yuko hoi, SCHOLZ anahangaika.
ndo tatizo la kushinda Facebook... sijui hizi habari umezichimba wapi!!Wewe huna ujualo hizo meli za chakula tayari russia amelazimika kuziachia kila nchi wenye hicho chakula walituma manuari kwenye kugomboa meli zao na tayari kimeshatoka toka wiki iliyopita, putini hana lolote ni kelele tu, yeye alijaribu kutingisha aondolewe vikwazo akaambiwa sisi tunakuja wewe kama utapiga piga uone meli zimetoka tayari mkuu
Chimbo la kijiwe cha kahawa 😆😆😆... sijui hizi habari umezichimba wapi!!
#Update
Four big nations announce economic alliance with Russia after its victory in Ukraine
======
What was the narrative that you were being served by the likes of Joe Biden and other Western leaders when the Ukraine war started? Well, you were being told that Russia would be flooded with tough sanctions and ultimately, the Russian economy will be damaged beyond repair as a consequence for invading Ukraine.
However, Putin has carried through his military operation in Ukraine without any significant problems. And now, he could even sign some grand economic pacts with some major economies despite Western sanctions.
Russia announces new economic agreements
Russian President Vladimir Putin said on Friday that Moscow is looking to sign an economic integration agreement with the United Arab Emirates (UAE). He made the announcement during a speech at the Eurasian Supreme Economic Council, which consists of Russia, Belarus, Kazakhstan, Armenia, and Kyrgyzstan.
He also announced that Moscow was considering signing free trade agreements with Egypt, Indonesia, and Iran.
Slamming the West for its sanctions on the Russian economy, Putin asserted that Western sanctions have harmed the West more than they have harmed Russia. He claimed that Russia is flexible in the face of “external challenges”.
The development gives us two messages- firstly, some of the major economies are ready to strengthen their ties with Russia with Putin emerging victorious in the ongoing Ukraine war. And secondly, Western sanctions have failed to ravage the Russian economy and Russia hasn’t lost its appeal as an economy to other countries.
Russia not getting isolated
Russia’s plans to sign trade deals and other agreements with four major economies in the world thrash Biden’s claims of totally isolating and cutting off Russia in world politics.
And to be honest, this was clear from the very outset. In April itself, Sylvie Matelly, an International Relations expert, had said, “There’s a very clear isolation of Russia from the Western bloc, especially due to the series of successive sanctions that have complicated commercial and financial exchanges.” She had added, “As for Russia’s isolation on the international scene, the situation is quite different, with a number of very cautious countries that have refused to give in to Western pressure.”
Countries like India, China, Indonesia, and the Arab world have maintained friendly ties with Moscow despite all the pressure that the West kept exerting on them.
The West is living in a delusional world. With attempts to cancel Russia and censor even any mention of Moscow, it is living in the illusion that Russia is isolated. However, the agreement that Moscow is close to signing with four major economies shows that this is far from true.
Russia’s economy shows resilience
The other message for the West is that its sanctions have failed and failed terribly. The likes of the UAE, Egypt, and Indonesia aren’t just strengthening their ties with Russia but they are improving their economic ties and trade relations with Moscow. And they are doing it even though they have pre-existing economic ties with the West.
If Russia is arguably the most sanctioned economy in the world, it would seem that the West needs to find a new weapon of economic warfare. The sanctions weapon simply doesn’t work. For Putin, the weak character of Western sanctions isn’t just a victory in the warzone but also in the arena of economic warfare.
Mafanikio yake ni haya hapa, wanaume wanapiga gwaride kwa amani na furaha hapa UkraineNaomba orodhesha mafanikio ya Urusi toka avamie ukraine., andika kwa namba tafadhali, Umesikia ile habari ya majeshi 1000 ya urusi juzi kuzamishwa kwenye ule mto wakijarib kuvuka kuingia ukrain?
Vipi kuhusu Finland na Sweden putin alisema wakijiunga na NATO atapiga nuclear ulaya, sasa jana rasmi wamepeleka maombi NATO, hizo nuclear ziko wapi?
Hizi sio ramli, sisi tuna vision kubwa kuliko unavyodhania, ona hii hapa.Hizo ni ramli tuu mlisema pia raisi wa ufaransa atakosa uraisi akapata kwa kishindo na issue ya Ukraine ndio ilimpa kura nyingi
Wazungu wengi hawaipendi urusi wanaipenda Ukraine hivyo wanaunga mkono juhudi zote za kuisaidia Ukraine..
Hivyo tuu jifanye unaipinga Ukraine alafu kagombee
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app