Vita ya Ukraine - Urusi ina hadhi ya kuziangusha serikali za Ulaya na Marekani

Vita ya Ukraine - Urusi ina hadhi ya kuziangusha serikali za Ulaya na Marekani

Je, nguvu ya kijeshi ya Ukraine sasa imedhoofika? kama lengo ni kuvuruga miundombinu kwanini viongozi wa ulaya na marekani hutembelea Kyiv muda wowote huwa wanatua kwenye viwanja vipi? niliwaona uropean union, boris johnson, katibu mkuu wa umoja wa mataifa, mke wa rais wa marekani na wengine hawa wote walipitia wapi?

Ivi hufahamu kama hayo mateka kila upande yako? kwa nini unajitoa fahamu na juzijuzi wamebadilishana? lakini Mbona Russia kama ina nguvu ilishindwa kuwaokoa wanajeshi wao karibu 1000 walikwama na kufa kwenye ule mto waliokuwa wakivuka kuingia Ukraine ukraine? kwanini walishindwa kuwaokoa? Lakini kwanini russia hawajamuokoa yule mwanajeshi wao aliefunguliwa kesi ya mauaji Kyiv? au tuseme urusi haijali raia wake?

Hili suali la putin kabla kutangaza uhuru wa majimbo ya Donbas na raia kusherehekea ule uhuru umefikia wapi naona bado ameganda Donbas kuna nini? na kwanini hasa imefikia leo mwezi 3 na tuliambiwa russia ni giant kwneye vita na silaha kali zaidi duniani
Aaaah kuwa msomi kigogo, kuna ndege ambazo zinaweza kutua hata kwenye kiwanya cha mpira tu au kidogo kuliko uwanja wa mpira tu. Kaka lile daraja ni refu sana, ni kiasi tu cha kulipiga bomu daraja na kulivunja wakati magari yako kwenye daraja tayari lazima yatatumbukia, hiyo ni common sense tu, yaani ni sawa na atokee mwendawazimu abomoe daraja la kigamboni wakati magari yanaendelea kupita kwenye daraja. Putin alijiandaa kwa vita hii na alijua NATO watajiunga na ukraine. Urusi ina silaha nyingi ambazo haijazitumia akisubiri muda mwafaka wa kuzitumia.
 
Lengo la Urusi sio kuiteka Ukraine, kama lengo lingekuwa hilo angeshaiteka kwa siku tatu tu. Lengo lake kuu sio kuisambaratisha Ukraine bali kumaliza uwezo wake wa kijeshi anaotumia kuwapiga wale wazaozungumza Kirusi wanaotaka kujitenga. Anahakikisha kuwa analenga zana na vituo vya kijeshi tu na zile njia zinazotumika kuingiza silaha kutoka NATO baaasi, hii ndio inayosababisha achukue muda mrefu kufanisha hilo bila ya kuiharibu Ukraine. Kosa alilofanya Voladymil Zelensky ni kuwatumia raia wake kama askari kwa kuwapa silaha wapigane na Urusi, hii ndio inayosababisha Russia ipige hata majengo ya kiraia wanamoishi watu wa kawaida waliopewa silaha.


Rubbish for the trashcan.
 
Aaaah kuwa msomi kigogo, kuna ndege ambazo zinaweza kutua hata kwenye kiwanya cha mpira tu au kidogo kuliko uwanja wa mpira tu. Kaka lile daraja ni refu sana, ni kiasi tu cha kulipiga bomu daraja na kulivunja wakati magari yako kwenye daraja tayari lazima yatatumbukia, hiyo ni common sense tu, yaani ni sawa na atokee mwendawazimu abomoe daraja la kigamboni wakati magari yanaendelea kupita kwenye daraja. Putin alijiandaa kwa vita hii na alijua NATO watajiunga na ukraine. Urusi ina silaha nyingi ambazo haijazitumia akisubiri muda mwafaka wa kuzitumia.
Urusi ina silaha nyingi watazitumia lini majenerali wao 10 na zaidi wameuliwa bado wanasuburi yule generali mpya aliyeletwa baadae kutoka Syria naye akatwe roho ndio watowe silaha zao mpya? ukiambiwa jiambie sasa ni 3 months, Russia hana jipya mlikuwa mnajazwa maneno tu
 
[emoji635][emoji1103] Russian gas supplies to Finland will stop at 07:00 Moscow time on May 21, the Finnish company Gasum announced
 
Urusi ina silaha nyingi watazitumia lini majenerali wao 10 na zaidi wameuliwa bado wanasuburi yule generali mpya aliyeletwa baadae kutoka Syria naye akatwe roho ndio watowe silaha zao mpya? ukiambiwa jiambie sasa ni 3 months, Russia hana jipya mlikuwa mnajazwa maneno tu
Mkuu inaonekana wewe una mahaba na Marekaninzaidi. Baadhi ya nguvu za Urusi ni hizi hapa, angalia, hao wote sio panya road bali ni askari kamili wa Ukraine na washirika wake. unataka nini hapo?



 
Tukiwambia Putin ni kichwa muwe mnaelewa [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Most EU buyers open RUBLE accounts for [emoji635] gas as ‘no other advisory options’: Gazprombank

Half of [emoji635] gas giant Gazprom's clients have opened accounts at Gazprombank, Deputy Prime Minister Alexander Novak said, as Moscow seeks to compel its clients to pay for its gas in roubles. https://t.co/OCur3mOoDs
 
Naomba orodhesha mafanikio ya Urusi toka avamie ukraine., andika kwa namba tafadhali, Umesikia ile habari ya majeshi 1000 ya urusi juzi kuzamishwa kwenye ule mto wakijarib kuvuka kuingia ukrain?

Vipi kuhusu Finland na Sweden putin alisema wakijiunga na NATO atapiga nuclear ulaya, sasa jana rasmi wamepeleka maombi NATO, hizo nuclear ziko wapi?
Urusi imeuchukua bandari muhimu ya Ukraine, Mariupol, sasa hivi Ukraine haiwezi kusafirisha wala kupokea bidhaa kwa njia ya bahari, hayo sio maendeleo makubwa ya kivita?
 
Unasema kweli, sema tu kwamba wazungu hawataruhusu Afrika iwe na policy ya pamoja hata mara moja. Gadafi alijaribu akakiona, waarabu walijaribu wakakiona. Issue ni kwamba wakati ukisubiria majibu ya msaada/mkopo ulioomba marekani kujibiwa au kutumwa kwako inatokea issue ya kupiga kura kuunga au kupinga anachokipenda marekani, Ukiwa muoga kabisa (kama Kenya) utapiga kura kumuunga mkono marekani na NATO na kuwa mkakamavu kidogo (kama Tanzania) utaacha kupiga kura ili usijulikane uko upande gani. Ni Afrikaa kusini tu peke yake iliyomuunga mkono Urusi wengine wanaogoma kusema hadharani (ufisi) kuogopa misaada isizuiwe.
Chukulia mtaani kata yenu tu mnaweza kuwa na agenda ya pamoja
mtu mwenye msimamo ni yule anaejitegemea, kama wewe ni tegemezi huwezi kuwa na msimamo wenye maana. Wazungu wamekosana sana na kiongozi au nchi inayoelekea kwenye kujitegemea. Wanapenda nchi na kiongozi ombaomba kwao maana watautumia udhaifu huo kupitisha agenda zAO ZENYE MANUFAA KWAO. usikubali kupewa msaada au mkopo na kuupeleka sehemu isiyozalisha kama vile kununua madawati, kujenga madarasa, kununua chakula, nk, ukifanya hivyo utaendelea kuwa tegemezi na ombaomba milele. hata marekani wanakopa China kwa riba ndogo na kukopesha wengine kwa riba kubwa, wanakopa na kwenda kuwekeza kwenye uzalishaji wa silaha za kivita halafu wanauza silaha hizo kwa wengine kwa bei kubwa.

Misaada yenye maslahi kwetu ni ile itakayokwenda kuwekezwa kwenye maeneo ambayo yatazalisha zaidi kama vile kwenye kilimo, kuonyeza thamani ya madini yetu, au kuboresha vivutio vyetu vya utalii na kuvitangaza. Tusikope kujenga darasa au kununua madawati au kulipana mishahara. Siku moja nilitembelea kijiji kimoja kule marekan nikakuta shule ya msingi ya serikali imeezuliwa na upepo wanafunzi wanasoma kwenye shule ya hivyo kwa muda mrefu tu, nikashikwa na bumbuazi na kwikwi. Wenzetu wanajali uzalishaji tu sio huduma kwa wananchi.


Alichokuwa akifanya JPM ndicho wazungu wanachokifanya kwao na kwa wananchi wao
Kuwa na interest nje ya nchi aina uhusiano wowote na kupokea wala kutoa misaada.

Kila nchi ina export na ku import resources muhimu kwa mahitaji ya watu wake na uchumi wake.

Either una carbon fuel reserve au auna; na chi nyingi duniani hawana. Sasa kama auna mafuta na ndio engine ya uchumi wowote utayahitaji and it’s in your interest kuhakikisha unayapata kwa uhakika na kwa bei rahisi vinginevyo hilo swala lina athari kubwa kwa uchumi wako.

Hao wazungu wana means za kuyapata hayo mafuta, mitigating strategies ya kuyapata sehemu nyingine source moja ikiaribika (be it at higher price) na uwezo wa ku diversify kwenda kwenye renewable baada ya miaka 20 na kupunguza uagizaji kwa kiasi kikubwa.

Nchi za africa hazina financial muscles za kukopi hizo strategies so for national security reasons katika kulinda interest zako uwe unakopeshwa ama vipi lazima uwe makini unapo support mambo ambayo yana madhara kwako.

Kwa maana hiyo issue sio kukataa whoever asivamiwe kama sio nchi ya Africa; ila la msingi ni kuelewa hiyo nchi kama hatuna ugomvi nayo na ni supplier mkubwa wa commodities muhimu Africa na duniani ikiacha biashara madhara yake tunayapunguza vipi kama nchi maskini.

Hayo ndio maswali waafrica wanatakiwa kujibiwa huko UN kabla ya kukubali mambo ambayo yana madhara kwao; Tanzania peke yake aiwezi hayo ni mambo ya block politics katika kutetea interet zao.
 
Urusi ina silaha nyingi watazitumia lini majenerali wao 10 na zaidi wameuliwa bado wanasuburi yule generali mpya aliyeletwa baadae kutoka Syria naye akatwe roho ndio watowe silaha zao mpya? ukiambiwa jiambie sasa ni 3 months, Russia hana jipya mlikuwa mnajazwa maneno tu
 
EU inamwona Putin kama adui zaidi kuliko China.
Inajua inahitaji umoja wao ili kubaki kuwa na sauti duniani.
Wanachama wa EU ni waumini wa demokrasia kitu ambacho Putin amekipa kisogo.
Wazungu wanajua athari za utawala wa kiimra kama wa Putin ,,,
hii vita isingetokea kama Urusi wangekuwa waumini wa democracy.
Warusi walio wengi hawapendi vita anayoiendesha Putin kwasasa.

Naweza sema hili ni game ambalo limetokea katika wakati mzuri kwa wamarekani kwani wanae Biden ,,, ni matokeo ya upuuzi wa Trump kukosa jicho la karibu kuichunga Urusi na washirika wake akiwemo China.
Kuna vitu vingi sana hufahamu kuhusu hii vita unaishia kusema petty issues.
 
Wamarekani na wazungu wengi hawajui kile serikali zao zinachokifanya kwenye mataifa mengine lakini safari hii ni tofauti sana, wameamza kuufahamu upuuzi wa wanasiasa wao. Na hii ni baada ya maisha Yao kuguswa na kupanda kwa gharama za maisha kunakotokana na uhaba wa ngano, mafuta ya kupikia, gesi ya kupikia, petrol, umeme na wakimbizi wengi ambao ni wazungu wenzao kwenye mitaa Yao.

Wazungu wengi wengi ndio kwanza wanagundua kuwa kumbe nchi zao zinakopa ili kusaidia kutoa misaada kwa nchi nyingine. Wanagundua kuwa kumbe Kodi zao hazitumiki vizuri.

Vita hii inaweza kuusambaratisha umoja wa Ulaya EU kama hawatakiwa makini, vita hii inaweza kumuondoa madarakani Joe Biden, Boris Johnson na wengine kama yule chancellor wa ujerumami.

Vikwazo vyote dhidi ya Urusi vinarudi kwenye nchi zao na watu wao, hii haijawahi kutokea kwao huko nyuma wakati wanaziwekea vikwazo nchi nyingine kama Iran, somalia, Ethiopia, north Korea, au Venezuela.

Wazungu lazima watalazimika kuachana na vita hii maana baadhi ya washirika wa NATO wamegundua kuwa vita hii inanufaisha makampuni ya silaha ya kimarekani .
Yes,vikwazo vimewarudia nchi za magharibi,Putin anadunda,..

Urusi inazidi kuchukua ardhi upande wa mashariki ya Ukraine,..

Propaganda za western countries zinaanza kufeli..
 
O
Urusi ina silaha nyingi watazitumia lini majenerali wao 10 na zaidi wameuliwa bado wanasuburi yule generali mpya aliyeletwa baadae kutoka Syria naye akatwe roho ndio watowe silaha zao mpya? ukiambiwa jiambie sasa ni 3 months, Russia hana jipya mlikuwa mnajazwa maneno tu
Ona wenzako wanavyosakwa kwenye mitaro, wewe endelea kunywa mtori na nyama ya utumbo
 
Wakati maprofesa wetu pale SUA wakipoteza muda kufuga, kulisha na kupima uzito panya wa kunusu mabomu ona kazi za mikono ya maprofesa wa Urusi katika kugundua na kutegua mabomu, tunakwama wapi?
 
Yes,vikwazo vimewarudia nchi za magharibi,Putin anadunda,..

Urusi inazidi kuchukua ardhi upande wa mashariki ya Ukraine,..

Propaganda za western countries zinaanza kufeli..
 

Hao EU wamezuia Russia isiuze mafuta lakini toka vita imeanza na hiyo habari ya mwezi uliopita walitumia €35 billion kununua Gas, wakati huo huo walitumia €1 billion kuisaidia Ukraine kwenye vita.

Ni hivi wao awaachi kutumia vitu au kufanya maamuzi bila ya kuwa mitigation strategy.

Sasa wewe una support tu vitu vya ovyo no one cares what Russia or EU/US does muhimu ni mwafrika kujifunza ala kumbe kuna swala la interest na sio ku support kila upumbavu wenye madhara kwetu bila ya kuambiwa athari zake tunazimudu.
Hii vita ni vita ya Marekani, hao EU wamejumlishwa tu kama mizoga isiyojitambua, wanaswagwa na Marekani kama kondoo wa kafara kwenye ajenda za marekani. Sikiliza hapa, henry kissinger
 
Wamarekani na wazungu wengi hawajui kile serikali zao zinachokifanya kwenye mataifa mengine lakini safari hii ni tofauti sana, wameamza kuufahamu upuuzi wa wanasiasa wao. Na hii ni baada ya maisha Yao kuguswa na kupanda kwa gharama za maisha kunakotokana na uhaba wa ngano, mafuta ya kupikia, gesi ya kupikia, petrol, umeme na wakimbizi wengi ambao ni wazungu wenzao kwenye mitaa Yao.

Wazungu wengi wengi ndio kwanza wanagundua kuwa kumbe nchi zao zinakopa ili kusaidia kutoa misaada kwa nchi nyingine. Wanagundua kuwa kumbe Kodi zao hazitumiki vizuri.

Vita hii inaweza kuusambaratisha umoja wa Ulaya EU kama hawatakiwa makini, vita hii inaweza kumuondoa madarakani Joe Biden, Boris Johnson na wengine kama yule chancellor wa ujerumami.

Vikwazo vyote dhidi ya Urusi vinarudi kwenye nchi zao na watu wao, hii haijawahi kutokea kwao huko nyuma wakati wanaziwekea vikwazo nchi nyingine kama Iran, somalia, Ethiopia, north Korea, au Venezuela.

Wazungu lazima watalazimika kuachana na vita hii maana baadhi ya washirika wa NATO wamegundua kuwa vita hii inanufaisha makampuni ya silaha ya kimarekani .
Aliyekwambia vikwazo vinarudi kwao nani? Ivi unajua russia ameomba kupunguziwa vikwazo ndio aziachie zile meli za chakula alizokuwa kazishikilia kule kwenye bahari nyeusi?? kwanini aliomba? kwanini warusi zaidi ya milioni 4 wamehama russia na kwenda kutafusha maisha sehemu nyengine duniani?

Wazungu walipokuja na wazo la kuwaekea vikwazo russia kwa kuivamia ukraine walishakaa chini na kuona watamuumiza kwa kiwango gani russia, ukiwa nje na kusikiliza propaganda hutaweza kuipata picha halisi, tafuta ndugu yako anayeishi urusi akueleze hali halisi
 
Back
Top Bottom