Vita ya Ukraine - Urusi ina hadhi ya kuziangusha serikali za Ulaya na Marekani

Vita ya Ukraine - Urusi ina hadhi ya kuziangusha serikali za Ulaya na Marekani

Usiwasemee wamarekani, sikia wenyewe wanavyosema na wanavyotaka. Endelea kunywa mtori wako.

Marekani ni taifa kubwa lenye demokrasia iliyokomaa inayotoa uhuru wa mtu yeyote kuzungumza jambo lolote (freedom of speech). Kuna vyombo vingi sana vya habari, vingine vikirpoti habari, na vingine visambaza conspiracy theories zao wenyewe. Huyo unayemsikiliza Tulsi Gabbard alikuwa mbunge wa Hawaii, na ni mwanamke mmoja wa kuamini conspiracy theories za Foxnews sana ndiyo maana hata Urusi inatumia maneo yake kwa propaganda. Foxnews siyo chombo cha habari bali ni cha kusambza conspiracy theories nyingi sana hasa za kibaguzi, ikiwemo ile inayoitwa "Replacement Theory" kama unaijua na ile ya "Birtherism" kama unaijua.
1652866657824.png
 
TURKEY HAS BLOCKED THE START OF NATO ACCESSION TALKS FOR FINLAND AND SWEDEN - DPA
 
View attachment 2227834

Hiyo ni moja ya three pillars za EU walizokubaliana Kwenye ‘Maastricht Treaty’ wao wana foreign policy ya pamoja; among other things.

Elewa kwamba wanapoenda UN nyuma ya pazia wanakuwa washaafiki nini wana support kwenye foreign na madhara yake wana mitigating strategies za kusaidiana.

Wale sio kama waafrica wakifika UN kwenye kura huyu sijui ana abstain, huyu ana support na huyu kakataa. Wao kura yao yote moja based on continental intrest.

We mwafrika maskini unaenda huko unaambiwa usinunue mafuta Iran unaikubali tu, usinunue Venezuela haya na usinunue Russia haya; nchi zote hizo zina reserve kubwa uwepo wao sokoni bei ingeshuka sana.

Sasa kwa uchumi wetu ilipaswa tuwaambie na sisi either wafidie gharama za kupanda kwa bei ya mafuta kabla ya ku support ujinga wao; au wasitupangie soko la mafuta kwa migogoro usiyotuhusu ni uzwazwa kutokulinda continental intrests za bara kama wanavyofanya kwao.
Kaka mzungu Hana kitu Cha bure kwa yeyote, baadhi ya gharama za misaada wanayokupa ni pamoja na kukutaka uwasapoti kwenye upuuzi wao.
 
Kaka mzungu Hana kitu Cha bure kwa yeyote, baadhi ya gharama za misaada wanayokupa ni pamoja na kukutaka uwasapoti kwenye upuuzi wao.
Sawa lakini aina maana kama nchi tusiwe na national and continental interest zetu katika siasa za kimataifa na maslahi hayo yanapochezewa tuwe na mbinu za kuyalinda au kupunguza athari zake kabla ya ku-support.

Ndio mabeberu yanavyo operate lazima tujifunze na sisi; yaani dunia ya leo bado kama bara, africa tuna support kila upuuzi huko UN bila ya kuwa na risk mitigation strategies za hayo maamuzi ndani ya nchi zetu. If you ask that is just incompetence of political knowledge and national security tactics.
 
Sawa lakini aina maana kama nchi tusiwe na national and continental interest zetu katika siasa za kimataifa na maslahi hayo yanapochezewa tuwe na mbinu za kuyalinda au kupunguza athari zake kabla ya ku-support.

Ndio mabeberu yanavyo operate lazima tujifunze na sisi; yaani dunia ya leo bado kama bara, africa tuna support kila upuuzi huko UN bila ya kuwa na risk mitigation strategies za hayo maamuzi ndani ya nchi zetu. If you ask that is just incompetence of political knowledge and national security tactics.
Unachokisema wewe ni sawa na mbuzi kupatana wagome kuchinjwa na binadamu. Harakati za waafrika kuwa na msimamo dhidi ya misimamo ya wazungu zilikuwepo tangu zamani lakini hazivua dafu. Zilianzia kwa akina Mkwawa, Isike, Rumanyika, Kimweri, Kinjekitile, Nyerere na akina Nkruma, Gadaffi, nk lakini wote walishindwa. Ikabakia if you can not fight them join them. Waafrika lazima tuamue kuunga mkono upande mmoja (ujamaa au ubepari) kama tunataka hatima yetu itabirike. Nionavyo mm sisi waafrika maisha yetu na tabia zetu zinafanana zaidi na Urusi, china, India, N.Korea kuliko Marekani, UK, France, Italy, au German. Hapa lazima tuachane na uvuguvugu ili tujulikane tuko baridi au tuko moto. Let us join the Putin's side tutafika mbali sana badala ya tabia ya kuomba sukari kutoka Marekani, majani ya chai kutoka Urusi, kijiko N.Korea, kikombe na kichujio kutoka UK. Tunaonekana kama malaya, hatuaminiki kwa mabepari wala kwa wajamaa.
 
Marekani ni taifa kubwa lenye demokrasia iliyokomaa inayotoa uhuru wa mtu yeyote kuzungumza jambo lolote (freedom of speech). Kuna vyombo vingi sana vya habari, vingine vikirpoti habari, na vingine visambaza conspiracy theories zao wenyewe. Huyo unayemsikiliza Tulsi Gabbard alikuwa mbunge wa Hawaii, na ni mwanamke mmoja wa kuamini conspiracy theories za Foxnews sana ndiyo maana hata Urusi inatumia maneo yake kwa propaganda. Foxnews siyo chombo cha habari bali ni cha kusambza conspiracy theories nyingi sana hasa za kibaguzi, ikiwemo ile inayoitwa "Replacement Theory" kama unaijua na ile ya "Birtherism" kama unaijua.
View attachment 2229212
Kaka ukitaka kufahamu uongo wa marekani msikilize huyu mmarekani ambae yuko huru kabisa kuleta habari za kweli kuhusu vita ya Ukrane.
 
Unachokisema wewe ni sawa na mbuzi kupatana wagome kuchinjwa na binadamu. Harakati za waafrika kuwa na msimamo dhidi ya misimamo ya wazungu zilikuwepo tangu zamani lakini hazivua dafu. Zilianzia kwa akina Mkwawa, Isike, Rumanyika, Kimweri, Kinjekitile, Nyerere na akina Nkruma, Gadaffi, nk lakini wote walishindwa. Ikabakia if you can not fight them join them. Waafrika lazima tuamue kuunga mkono upande mmoja (ujamaa au ubepari) kama tunataka hatima yetu itabirike. Nionavyo mm sisi waafrika maisha yetu na tabia zetu zinafanana zaidi na Urusi, china, India, N.Korea kuliko Marekani, UK, France, Italy, au German. Hapa lazima tuachane na uvuguvugu ili tujulikane tuko baridi au tuko moto. Let us join the Putin's side tutafika mbali sana badala ya tabia ya kuomba sukari kutoka Marekani, majani ya chai kutoka Urusi, kijiko N.Korea, kikombe na kichujio kutoka UK. Tunaonekana kama malaya, hatuaminiki kwa mabepari wala kwa wajamaa.
Issue sio kuwa mjamaa wala bepari kwenye maswala ya national interest.

Mfano mdogo tu UK kujitoa EU kwa mabepari wenzao awakukurupuka baada ya nchi kupiga kura ya kujitoa.

Wame negotiate deal kwanza za trade kuendelea

Wameingia mikataba ya kipekee ambayo EU iliingia kwa pamoja na mataifa mengine ili uchumi wao usivurugike na mambo kibao ya interest zao.

Sasa hata kwenye hivi vita usidhani wazungu wamekurupuka tu be it sidhani kama walijua gharama zake zote.

Moja ya mitigating strategies ni kuweza kuhakikisha wana supply ya mafuta na Gas; na resources za kufidia kupunguza inflation.

Pamoja na kushindwa kuzuia inflation kabisa nchi kama UK mpaka sasa ishatumia zaidi ya $30 billion dollars kupambana inflation ya vita vya Russia; wenyewe sasa ishaanza kuwaumiza.

Wewe nchi maskini unadhani utakuwa na hali gani unapo support vita kama hiyo wakati huna financial resources za kuhimili madhara ya vita na hutoi hizo hoja UN ili ujibiwe na hao wanaokwambia piga kura resolution ya kuvamia nchi nyingine.

Kama ingekuwa swala la kuwa na foreign policy ya pamoja sio muhimu unadhani kungekuwa na EU au U.K./US special relation, au M.E allies za Sunni na Shia groups, au allies za wauza mafuta kama OPEC.

Hayo makundi yote yana one agenda amongst protecting their common interest in the global economy or politics.

Sasa sielewi wewe unachopinga africa kuanza kutengeneza common agenda na uoni faida zake kwenye international politics wakati inaburuzwa ku support agenda za wengine zenye madhara ndani ya bara.
 
Unachokisema wewe ni sawa na mbuzi kupatana wagome kuchinjwa na binadamu. Harakati za waafrika kuwa na msimamo dhidi ya misimamo ya wazungu zilikuwepo tangu zamani lakini hazivua dafu. Zilianzia kwa akina Mkwawa, Isike, Rumanyika, Kimweri, Kinjekitile, Nyerere na akina Nkruma, Gadaffi, nk lakini wote walishindwa. Ikabakia if you can not fight them join them. Waafrika lazima tuamue kuunga mkono upande mmoja (ujamaa au ubepari) kama tunataka hatima yetu itabirike. Nionavyo mm sisi waafrika maisha yetu na tabia zetu zinafanana zaidi na Urusi, china, India, N.Korea kuliko Marekani, UK, France, Italy, au German. Hapa lazima tuachane na uvuguvugu ili tujulikane tuko baridi au tuko moto. Let us join the Putin's side tutafika mbali sana badala ya tabia ya kuomba sukari kutoka Marekani, majani ya chai kutoka Urusi, kijiko N.Korea, kikombe na kichujio kutoka UK. Tunaonekana kama malaya, hatuaminiki kwa mabepari wala kwa wajamaa.

Hao EU wamezuia Russia isiuze mafuta lakini toka vita imeanza na hiyo habari ya mwezi uliopita walitumia €35 billion kununua Gas, wakati huo huo walitumia €1 billion kuisaidia Ukraine kwenye vita.

Ni hivi wao awaachi kutumia vitu au kufanya maamuzi bila ya kuwa mitigation strategy.

Sasa wewe una support tu vitu vya ovyo no one cares what Russia or EU/US does muhimu ni mwafrika kujifunza ala kumbe kuna swala la interest na sio ku support kila upumbavu wenye madhara kwetu bila ya kuambiwa athari zake tunazimudu.
 
Wamarekani na wazungu wengi hawajui kile serikali zao zinachokifanya kwenye mataifa mengine lakini safari hii ni tofauti sana, wameamza kuufahamu upuuzi wa wanasiasa wao. Na hii ni baada ya maisha Yao kuguswa na kupanda kwa gharama za maisha kunakotokana na uhaba wa ngano, mafuta ya kupikia, gesi ya kupikia, petrol, umeme na wakimbizi wengi ambao ni wazungu wenzao kwenye mitaa Yao.

Wazungu wengi wengi ndio kwanza wanagundua kuwa kumbe nchi zao zinakopa ili kusaidia kutoa misaada kwa nchi nyingine. Wanagundua kuwa kumbe Kodi zao hazitumiki vizuri.

Vita hii inaweza kuusambaratisha umoja wa Ulaya EU kama hawatakiwa makini, vita hii inaweza kumuondoa madarakani Joe Biden, Boris Johnson na wengine kama yule chancellor wa ujerumami.

Vikwazo vyote dhidi ya Urusi vinarudi kwenye nchi zao na watu wao, hii haijawahi kutokea kwao huko nyuma wakati wanaziwekea vikwazo nchi nyingine kama Iran, somalia, Ethiopia, north Korea, au Venezuela.

Wazungu lazima watalazimika kuachana na vita hii maana baadhi ya washirika wa NATO wamegundua kuwa vita hii inanufaisha makampuni ya silaha ya kimarekani .
Umepoteza muda mwingi kuandika hili porojo, kama urusi ina uwezo kuisambaratisha ulaya na marekani kwanza angefanikiwa kuiteka Ukraine japo kwa wiki moja sio sasa miezi 3 hajafanikiwa ata jampo 1 katika mahitajio yake.

Putin amejidhalilisha sana bora asingevamia ukraine mataifa ya Ulaya na Marekani wangeendelea kubaki na hofu ya Urusi lakini sasa ni kama vile uwezo wake wote ameuanika hadharani unamuumbua kutokana na ndaro zake alizokuwa akileta kabla.

Sweden na Finland wakiiogopa sana Russia na hawakutamanipo kujiunga na NATO wakihofia Russia lakini sasa baada ya uwezo wa Putin kujulikana na kila mtu jana mchana kweupee wamepeleka maombi ya kujiunga na NATO,
 
Issue sio kuwa mjamaa wala bepari kwenye maswala ya national interest.

Mfano mdogo tu UK kujitoa EU kwa mabepari wenzao awakukurupuka baada ya nchi kupiga kura ya kujitoa.

Wame negotiate deal kwanza za trade kuendelea

Wameingia mikataba ya kipekee ambayo EU iliingia kwa pamoja na mataifa mengine ili uchumi wao usivurugike na mambo kibao ya interest zao.

Sasa hata kwenye hivi vita usidhani wazungu wamekurupuka tu be it sidhani kama walijua gharama zake zote.

Moja ya mitigating strategies ni kuweza kuhakikisha wana supply ya mafuta na Gas; na resources za kufidia kupunguza inflation.

Pamoja na kushindwa kuzuia inflation kabisa nchi kama UK mpaka sasa ishatumia zaidi ya $30 billion dollars kupambana inflation ya vita vya Russia; wenyewe sasa ishaanza kuwaumiza.

Wewe nchi maskini unadhani utakuwa na hali gani unapo support vita kama hiyo wakati huna financial resources za kuhimili madhara ya vita na hutoi hizo hoja UN ili ujibiwe na hao wanaokwambia piga kura resolution ya kuvamia nchi nyingine.

Kama ingekuwa swala la kuwa na foreign policy ya pamoja sio muhimu unadhani kungekuwa na EU au U.K./US special relation, au M.E allies za Sunni na Shia groups, au allies za wauza mafuta kama OPEC.

Hayo makundi yote yana one agenda amongst protecting their common interest in the global economy or politics.

Sasa sielewi wewe unachopinga africa kuanza kutengeneza common agenda na uoni faida zake kwenye international politics wakati inaburuzwa ku support agenda za wengine zenye madhara ndani ya bara.
Unasema kweli, sema tu kwamba wazungu hawataruhusu Afrika iwe na policy ya pamoja hata mara moja. Gadafi alijaribu akakiona, waarabu walijaribu wakakiona. Issue ni kwamba wakati ukisubiria majibu ya msaada/mkopo ulioomba marekani kujibiwa au kutumwa kwako inatokea issue ya kupiga kura kuunga au kupinga anachokipenda marekani, Ukiwa muoga kabisa (kama Kenya) utapiga kura kumuunga mkono marekani na NATO na kuwa mkakamavu kidogo (kama Tanzania) utaacha kupiga kura ili usijulikane uko upande gani. Ni Afrikaa kusini tu peke yake iliyomuunga mkono Urusi wengine wanaogoma kusema hadharani (ufisi) kuogopa misaada isizuiwe.
 
Alisikika mkaazi mmoja wa manyovu aliyelewa kidogo!! akichambua vita ya Ukraine
Walevi ni wengi kule Wanging'ombe. Wazungu wanaumizwa sana na hii vita, hawaitaki. walidhani itachukua wiki moja tu kumbe sivyo:

 
Umepoteza muda mwingi kuandika hili porojo, kama urusi ina uwezo kuisambaratisha ulaya na marekani kwanza angefanikiwa kuiteka Ukraine japo kwa wiki moja sio sasa miezi 3 hajafanikiwa ata jampo 1 katika mahitajio yake.

Putin amejidhalilisha sana bora asingevamia ukraine mataifa ya Ulaya na Marekani wangeendelea kubaki na hofu ya Urusi lakini sasa ni kama vile uwezo wake wote ameuanika hadharani unamuumbua kutokana na ndaro zake alizokuwa akileta kabla.

Sweden na Finland wakiiogopa sana Russia na hawakutamanipo kujiunga na NATO wakihofia Russia lakini sasa baada ya uwezo wa Putin kujulikana na kila mtu jana mchana kweupee wamepeleka maombi ya kujiunga na NATO,
sina uhakika kama unafuatilia kwa karibu hii vita. Urusi inafanikiwa sana kwenye malengo yake. Mpaka sasa Marekani na NATO wameufyata ndio maana kila wakati wanakutana kuongeza vikwazo dhidi ya urusi, askri wa ukrane, marekani na NATO wanauawa na kutekwa kila siku, silaha wanazopeleka ukraine zinaharibiwa na zinatekwa na warusi. Sasa hivi wanalia na Putin kama watoto
 
yap kuliko kuiburuza nchi km unaongoz wasukum yaan hata waliokuwa wanaenda kuvamia hawakujia hiyo mission
Yaani uvamizi wamchongo uloratibiwa na US na NATO kule IRAQ mnauona sawa
Ila huu unaoendelea UKRAINE mnaona sio sawa
UKRAINE wapigwe mpaka wanyooke maana DUNIA imejaa UNAFIQ na RUSSIA pekeao ndio sio WANAFIQ

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini huongelei Russia kuondoa majeshi yake kwenye ardhi ya Ukraine, mbona unaongea kishabiki tu.
Akiondoa majeshi yake usalama wake dhidi ya MANAZI wenye misimamo mikali kwa taifa lake utalindwa nanani MKUU
RUSSIA asiondoe majeshi mpaka afikie malengo yake
Mungu awasimamie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu tupo current tunalenga kupunguza huu ujinga in future , kuunga mkono , uvamiz ni kukubali uvamiz uendele , hakuna kosa halijawai kufanywa ila hatuez tokomeza kwa kuunga mkono kosa kila wapo waliokosea pia
Huu sasa ndio UNAFIQ maana PALESTINA na ISRAEL yanayoendelea mnagachukulia kama yamwaka 1948

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom