Vita ya Ukraine - Urusi ina hadhi ya kuziangusha serikali za Ulaya na Marekani

Vita ya Ukraine - Urusi ina hadhi ya kuziangusha serikali za Ulaya na Marekani

EU inamwona Putin kama adui zaidi kuliko China.
Inajua inahitaji umoja wao ili kubaki kuwa na sauti duniani.
Wanachama wa EU ni waumini wa demokrasia kitu ambacho Putin amekipa kisogo.
Wazungu wanajua athari za utawala wa kiimra kama wa Putin ,,,
hii vita isingetokea kama Urusi wangekuwa waumini wa democracy.
Warusi walio wengi hawapendi vita anayoiendesha Putin kwasasa.

Naweza sema hili ni game ambalo limetokea katika wakati mzuri kwa wamarekani kwani wanae Biden ,,, ni matokeo ya upuuzi wa Trump kukosa jicho la karibu kuichunga Urusi na washirika wake akiwemo China.
 
Yaan unawaza Russia kuziangusha nchi za ulaya ila huwazi Ukraine kumwangusha Putin upo serious mseeee? Yaan leo hii Ukraine wanashambulia mpaka ndani ya Russia tofauti na mwanzo hulioni hilo?
Huoni kuwa saiz warusi wana hasira na Putin mpaka wanasubiri waingie barabarani wamtoe kwa nguvu sababu maisha yamekuwa magumu na uwezekano wa kushinda haupo?
jana hujaona battalion nzima imepigika na Ukraine na most of them died?

In short acha story za kwenye kahawa tafuta vyanzo mbalimbali vya habari hutaleta tena humu hizi story za vijiweni
Leta chanzo wanashambulia ndani ya Russia
 
Wamarekani na wazungu wengi hawajui kile serikali zao zinachokifanya kwenye mataifa mengine lakini safari hii ni tofauti sana, wameamza kuufahamu upuuzi wa wanasiasa wao. Na hii ni baada ya maisha Yao kuguswa na kupanda kwa gharama za maisha kunakotokana na uhaba wa ngano, mafuta ya kupikia, gesi ya kupikia, petrol, umeme na wakimbizi wengi ambao ni wazungu wenzao kwenye mitaa Yao.

Wazungu wengi wengi ndio kwanza wanagundua kuwa kumbe nchi zao zinakopa ili kusaidia kutoa misaada kwa nchi nyingine. Wanagundua kuwa kumbe Kodi zao hazitumiki vizuri.

Vita hii inaweza kuusambaratisha umoja wa Ulaya EU kama hawatakiwa makini, vita hii inaweza kumuondoa madarakani Joe Biden, Boris Johnson na wengine kama yule chancellor wa ujerumami.

Vikwazo vyote dhidi ya Urusi vinarudi kwenye nchi zao na watu wao, hii haijawahi kutokea kwao huko nyuma wakati wanaziwekea vikwazo nchi nyingine kama Iran, somalia, Ethiopia, north Korea, au Venezuela.

Wazungu lazima watalazimika kuachana na vita hii maana baadhi ya washirika wa NATO wamegundua kuwa vita hii inanufaisha makampuni ya silaha ya kimarekani .
Hebu tuwekee na CV yako hapa ili tujue tunajadili na mtu wa aina gani!
 
Wamarekani na wazungu wengi hawajui kile serikali zao zinachokifanya kwenye mataifa mengine lakini safari hii ni tofauti sana, wameamza kuufahamu upuuzi wa wanasiasa wao. Na hii ni baada ya maisha Yao kuguswa na kupanda kwa gharama za maisha kunakotokana na uhaba wa ngano, mafuta ya kupikia, gesi ya kupikia, petrol, umeme na wakimbizi wengi ambao ni wazungu wenzao kwenye mitaa Yao.

Wazungu wengi wengi ndio kwanza wanagundua kuwa kumbe nchi zao zinakopa ili kusaidia kutoa misaada kwa nchi nyingine. Wanagundua kuwa kumbe Kodi zao hazitumiki vizuri.

Vita hii inaweza kuusambaratisha umoja wa Ulaya EU kama hawatakiwa makini, vita hii inaweza kumuondoa madarakani Joe Biden, Boris Johnson na wengine kama yule chancellor wa ujerumami.

Vikwazo vyote dhidi ya Urusi vinarudi kwenye nchi zao na watu wao, hii haijawahi kutokea kwao huko nyuma wakati wanaziwekea vikwazo nchi nyingine kama Iran, somalia, Ethiopia, north Korea, au Venezuela.

Wazungu lazima watalazimika kuachana na vita hii maana baadhi ya washirika wa NATO wamegundua kuwa vita hii inanufaisha makampuni ya silaha ya kimarekani .
Acha Uwongo,,Chancellor wa Ujerumani alitangaza muda kwamba Hatogombea tena...Russia nu muda tu utasema. USA NA ULAYA Magharibi haijawahi kushindwa,,unajua sababu ni nini?? Vijana kutoka nchi zinazofuata siasa za mkono.wa chuma kama Russia, China,Ulaya mashariki,na hata Uarabuni,,wanapenda mtindo na siasa za Kimagharibi...Putin atatoka kama alivyokwenda Mikhail Gorberchiv...Mtindo na siasa za Kimagharibi zinzavutia Vijana weengi kutoka nchi za Kikomunisti na Ki shoshalist.
 
Wamarekani na wazungu wengi hawajui kile serikali zao zinachokifanya kwenye mataifa mengine lakini safari hii ni tofauti sana, wameamza kuufahamu upuuzi wa wanasiasa wao. Na hii ni baada ya maisha Yao kuguswa na kupanda kwa gharama za maisha kunakotokana na uhaba wa ngano, mafuta ya kupikia, gesi ya kupikia, petrol, umeme na wakimbizi wengi ambao ni wazungu wenzao kwenye mitaa Yao.

Wazungu wengi wengi ndio kwanza wanagundua kuwa kumbe nchi zao zinakopa ili kusaidia kutoa misaada kwa nchi nyingine. Wanagundua kuwa kumbe Kodi zao hazitumiki vizuri.

Vita hii inaweza kuusambaratisha umoja wa Ulaya EU kama hawatakiwa makini, vita hii inaweza kumuondoa madarakani Joe Biden, Boris Johnson na wengine kama yule chancellor wa ujerumami.

Vikwazo vyote dhidi ya Urusi vinarudi kwenye nchi zao na watu wao, hii haijawahi kutokea kwao huko nyuma wakati wanaziwekea vikwazo nchi nyingine kama Iran, somalia, Ethiopia, north Korea, au Venezuela.

Wazungu lazima watalazimika kuachana na vita hii maana baadhi ya washirika wa NATO wamegundua kuwa vita hii inanufaisha makampuni ya silaha ya kimarekani .
Biden na Scholz hawatapata awamu zao za 2 kila mmoja. Hilo liko wazi.
Boris anaweza kutokana na asili ya siasa za Uingereza. Zimekaa sana kivyama kama huku Stanza.
 
Hizo ni ramli tuu mlisema pia raisi wa ufaransa atakosa uraisi akapata kwa kishindo na issue ya Ukraine ndio ilimpa kura nyingi

Wazungu wengi hawaipendi urusi wanaipenda Ukraine hivyo wanaunga mkono juhudi zote za kuisaidia Ukraine..

Hivyo tuu jifanye unaipinga Ukraine alafu kagombee

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Wazungu hawampendi mtu. Wale ni monsters wa rasilimali. Pale Ukraine kuna natural gas, kuna coal, kuna chuma, kuna mafuta, wazungu wanataka hizo rasilimali.
Pia ni eneo muhimu kiusalama ili kumthibiti Urusia.
Ingewezekana Ukraine ingefanywa pori tupu lisilokuwa na watu ili kuwa kama DMZ(Dimilitarized zone kati ya Urussi na Marekani akiwa na vibaraka wake wa Ulaya Magharibi.
 
Kaka hii ndio ujue kwamba misaada tunayopewa ndio ndoano ya kuvulia rasilimali zetu. Tusifurahie kupewa misaada na mikopo na wazungu. Mikopo na misaada Yao ni ghali sana. Ogopa sana mtu aliyekupa pesa aliyokopa.
Taratibu watu wataanza kujifunza na kuwa na ufahamu mzuri juu ya haya mambo.

Nchi zetu zinapojiuza kama malaya kwa hawa watu, na kusahau kwamba wajibu ni wetu kujiletea maendeleo, pengine hata hao wanaotuuza nao wataanza kuingiwa na akili kichwani.
 
Wamarekani na wazungu wengi hawajui kile serikali zao zinachokifanya kwenye mataifa mengine lakini safari hii ni tofauti sana, wameamza kuufahamu upuuzi wa wanasiasa wao. Na hii ni baada ya maisha Yao kuguswa na kupanda kwa gharama za maisha kunakotokana na uhaba wa ngano, mafuta ya kupikia, gesi ya kupikia, petrol, umeme na wakimbizi wengi ambao ni wazungu wenzao kwenye mitaa Yao.

Wazungu wengi wengi ndio kwanza wanagundua kuwa kumbe nchi zao zinakopa ili kusaidia kutoa misaada kwa nchi nyingine. Wanagundua kuwa kumbe Kodi zao hazitumiki vizuri.

Vita hii inaweza kuusambaratisha umoja wa Ulaya EU kama hawatakiwa makini, vita hii inaweza kumuondoa madarakani Joe Biden, Boris Johnson na wengine kama yule chancellor wa ujerumami.

Vikwazo vyote dhidi ya Urusi vinarudi kwenye nchi zao na watu wao, hii haijawahi kutokea kwao huko nyuma wakati wanaziwekea vikwazo nchi nyingine kama Iran, somalia, Ethiopia, north Korea, au Venezuela.

Wazungu lazima watalazimika kuachana na vita hii maana baadhi ya washirika wa NATO wamegundua kuwa vita hii inanufaisha makampuni ya silaha ya kimarekani .
Ukisikiliza vyombo vya western na wapambe wao humu JF ni kama Russia kapigwa vibaya sana na tayari ameshindwa vita.
 
Wamarekani na wazungu wengi hawajui kile serikali zao zinachokifanya kwenye mataifa mengine lakini safari hii ni tofauti sana, wameamza kuufahamu upuuzi wa wanasiasa wao. Na hii ni baada ya maisha Yao kuguswa na kupanda kwa gharama za maisha kunakotokana na uhaba wa ngano, mafuta ya kupikia, gesi ya kupikia, petrol, umeme na wakimbizi wengi ambao ni wazungu wenzao kwenye mitaa Yao.

Wazungu wengi wengi ndio kwanza wanagundua kuwa kumbe nchi zao zinakopa ili kusaidia kutoa misaada kwa nchi nyingine. Wanagundua kuwa kumbe Kodi zao hazitumiki vizuri.

Vita hii inaweza kuusambaratisha umoja wa Ulaya EU kama hawatakiwa makini, vita hii inaweza kumuondoa madarakani Joe Biden, Boris Johnson na wengine kama yule chancellor wa ujerumami.

Vikwazo vyote dhidi ya Urusi vinarudi kwenye nchi zao na watu wao, hii haijawahi kutokea kwao huko nyuma wakati wanaziwekea vikwazo nchi nyingine kama Iran, somalia, Ethiopia, north Korea, au Venezuela.

Wazungu lazima watalazimika kuachana na vita hii maana baadhi ya washirika wa NATO wamegundua kuwa vita hii inanufaisha makampuni ya silaha ya kimarekani .
Hata yule katuni anaetumiwa na mabeberu wa ulaya na America yupo usingizi wa pono mara akizinduka nchi yake yote ilishaliwa himaya ya mrusi🤸
 
Wamarekani na wazungu wengi hawajui kile serikali zao zinachokifanya kwenye mataifa mengine lakini safari hii ni tofauti sana, wameamza kuufahamu upuuzi wa wanasiasa wao. Na hii ni baada ya maisha Yao kuguswa na kupanda kwa gharama za maisha kunakotokana na uhaba wa ngano, mafuta ya kupikia, gesi ya kupikia, petrol, umeme na wakimbizi wengi ambao ni wazungu wenzao kwenye mitaa Yao.

Wazungu wengi wengi ndio kwanza wanagundua kuwa kumbe nchi zao zinakopa ili kusaidia kutoa misaada kwa nchi nyingine. Wanagundua kuwa kumbe Kodi zao hazitumiki vizuri.

Vita hii inaweza kuusambaratisha umoja wa Ulaya EU kama hawatakiwa makini, vita hii inaweza kumuondoa madarakani Joe Biden, Boris Johnson na wengine kama yule chancellor wa ujerumami.

Vikwazo vyote dhidi ya Urusi vinarudi kwenye nchi zao na watu wao, hii haijawahi kutokea kwao huko nyuma wakati wanaziwekea vikwazo nchi nyingine kama Iran, somalia, Ethiopia, north Korea, au Venezuela.

Wazungu lazima watalazimika kuachana na vita hii maana baadhi ya washirika wa NATO wamegundua kuwa vita hii inanufaisha makampuni ya silaha ya kimarekani .
Mtanzania akujua tu kusoma, kuandika na kuhesabu, anajiona amekuwa nabii, na mtambuzi wa kila kitu.

Mtu anabwabwaja toka mwanzo mpaka mwisho, bila ya ushahidi wowote!!
 
Yaan unawaza Russia kuziangusha nchi za ulaya ila huwazi Ukraine kumwangusha Putin upo serious mseeee? Yaan leo hii Ukraine wanashambulia mpaka ndani ya Russia tofauti na mwanzo hulioni hilo?
Huoni kuwa saiz warusi wana hasira na Putin mpaka wanasubiri waingie barabarani wamtoe kwa nguvu sababu maisha yamekuwa magumu na uwezekano wa kushinda haupo?
jana hujaona battalion nzima imepigika na Ukraine na most of them died?

In short acha story za kwenye kahawa tafuta vyanzo mbalimbali vya habari hutaleta tena humu hizi story za vijiweni
Tena Russia wamesema wanasubiri kura ya maoni ya lile jimbo la Mashariki (wakikubali kujitenga na Ukraine, watakuwa wamefanikiwa lengo lao, wataacha kupigana), lakini ukweli Urusi mambo yapo shingoni, anatafuta mlango wa kutokea bila aibu.

Ni vigumu sana Russia yenye uchumi dhaifu kiulinganifu, kuwashinda wenzake wengi wenye uchumi mzuri, walioungana.

Ndege za Urusi zilizotunguliwa, zimeonekana kutumia GPS za kawaida za kusafiria kutokana na kutokuwa na uwezo wa kifedha kuhudumia ndege zake za kivita. Kwa sasa ndege zake kila zikiruka zinadunguliwa. Wamebakia tu kurusha makombora, lakini siyo kuruka angani kama mwanzo.
 
EU inamwona Putin kama adui zaidi kuliko China.
Inajua inahitaji umoja wao ili kubaki kuwa na sauti duniani.
Wanachama wa EU ni waumini wa demokrasia kitu ambacho Putin amekipa kisogo.
Wazungu wanajua athari za utawala wa kiimra kama wa Putin ,,,
hii vita isingetokea kama Urusi wangekuwa waumini wa democracy.
Warusi walio wengi hawapendi vita anayoiendesha Putin kwasasa.

Naweza sema hili ni game ambalo limetokea katika wakati mzuri kwa wamarekani kwani wanae Biden ,,, ni matokeo ya upuuzi wa Trump kukosa jicho la karibu kuichunga Urusi na washirika wake akiwemo China.
Wewe hata huna ukijuacho kwenye hili. Huu ni
EU inamwona Putin kama adui zaidi kuliko China.
Inajua inahitaji umoja wao ili kubaki kuwa na sauti duniani.
Wanachama wa EU ni waumini wa demokrasia kitu ambacho Putin amekipa kisogo.
Wazungu wanajua athari za utawala wa kiimra kama wa Putin ,,,
hii vita isingetokea kama Urusi wangekuwa waumini wa democracy.
Warusi walio wengi hawapendi vita anayoiendesha Putin kwasasa.

Naweza sema hili ni game ambalo limetokea katika wakati mzuri kwa wamarekani kwani wanae Biden ,,, ni matokeo ya upuuzi wa Trump kukosa jicho la karibu kuichunga Urusi na washirika wake akiwemo China.
Huu ni mwendelezo wa vita baridi kati ya Marekani na Soviet. Urusi ni kikwazo kikuu kwa Marekani kufanya inavyotaka kwa mataifa mengine. Urusi ni kikwazo kwa nchi za kibeberu. Kumbuka kuwa Urusi ni chanzo Cha Marekani kushindwa vita zake kama kule Syria, Vietnam, somalia, Afghanistan. Ukomnozi wa Afrika dhidi ya western countries uliitegemea Urusi. Mataifa kama N.Korea, uchina, Venezuela na Iran vinategemea Urusi. Urusi ni mwiba mkali kwa western countries.
 
Back
Top Bottom