Vita ya Ukraine - Urusi ina hadhi ya kuziangusha serikali za Ulaya na Marekani

Vita ya Ukraine - Urusi ina hadhi ya kuziangusha serikali za Ulaya na Marekani

Akili yako imethiliwa na fikra za Ujamaa, yaani fikra za kuamini kuwa kujikomba ni Fursa. Ni mwendawazimu tu anayeweza kuunga mkono Uwendawazimu wa Putin kutumia Jeshi na siraha zinto nzito kuuwa Wananchi wa nchi nyingine kwa kuwachoma na Moto kwenye majumba yao. Hivi ninyi chawa Akili zenu zinafananaje?
Duu sera za ushoga zimekuingia akilini kweli kweli. Kosa la Zelensky ni kuwatumia raia kama askari kwa kuwapa silaha kupambana. Hivyo ni vigumu kumtenganisha askari na raia. Wewe unadhani kwanini Marekani na Cuba haziivi? Wewe unadhani Marekani angefanya nn kwa jirani yake Mexico kama Urusi angekuwa rafiki mkubwa wa Mexico? Acha umbumbumbu kaka
 
West si Urusi , Urusi hawana uhuru wa maoni , ukikosoa kifo kinakuita
Aliyekwambia kuwa Marekani Kuna uhuru wa maoni kakudanganya. Kuna wamarekani wanakufa na kusakwa kwa kufichua ukweli
 
Yaan unawaza Russia kuziangusha nchi za ulaya ila huwazi Ukraine kumwangusha Putin upo serious mseeee? Yaan leo hii Ukraine wanashambulia mpaka ndani ya Russia tofauti na mwanzo hulioni hilo?
Huoni kuwa saiz warusi wana hasira na Putin mpaka wanasubiri waingie barabarani wamtoe kwa nguvu sababu maisha yamekuwa magumu na uwezekano wa kushinda haupo?
jana hujaona battalion nzima imepigika na Ukraine na most of them died?

In short acha story za kwenye kahawa tafuta vyanzo mbalimbali vya habari hutaleta tena humu hizi story za vijiweni
Day dream 😂😂😂
 
Wamarekani na wazungu wengi hawajui kile serikali zao zinachokifanya kwenye mataifa mengine lakini safari hii ni tofauti sana, wameamza kuufahamu upuuzi wa wanasiasa wao. Na hii ni baada ya maisha Yao kuguswa na kupanda kwa gharama za maisha kunakotokana na uhaba wa ngano, mafuta ya kupikia, gesi ya kupikia, petrol, umeme na wakimbizi wengi ambao ni wazungu wenzao kwenye mitaa Yao.

Wazungu wengi wengi ndio kwanza wanagundua kuwa kumbe nchi zao zinakopa ili kusaidia kutoa misaada kwa nchi nyingine. Wanagundua kuwa kumbe Kodi zao hazitumiki vizuri.

Vita hii inaweza kuusambaratisha umoja wa Ulaya EU kama hawatakiwa makini, vita hii inaweza kumuondoa madarakani Joe Biden, Boris Johnson na wengine kama yule chancellor wa ujerumami.

Vikwazo vyote dhidi ya Urusi vinarudi kwenye nchi zao na watu wao, hii haijawahi kutokea kwao huko nyuma wakati wanaziwekea vikwazo nchi nyingine kama Iran, somalia, Ethiopia, north Korea, au Venezuela.

Wazungu lazima watalazimika kuachana na vita hii maana baadhi ya washirika wa NATO wamegundua kuwa vita hii inanufaisha makampuni ya silaha ya kimarekani .
Point, hii vita inaenda kuwangusha Biden, Boris na chancellor wa ujerumani ktk box la kura, hili anguko lipo wazi
 
Tena Russia wamesema wanasubiri kura ya maoni ya lile jimbo la Mashariki (wakikubali kujitenga na Ukraine, watakuwa wamefanikiwa lengo lao, wataacha kupigana), lakini ukweli Urusi mambo yapo shingoni, anatafuta mlango wa kutokea bila aibu.

Ni vigumu sana Russia yenye uchumi dhaifu kiulinganifu, kuwashinda wenzake wengi wenye uchumi mzuri, walioungana.

Ndege za Urusi zilizotunguliwa, zimeonekana kutumia GPS za kawaida za kusafiria kutokana na kutokuwa na uwezo wa kifedha kuhudumia ndege zake za kivita. Kwa sasa ndege zake kila zikiruka zinadunguliwa. Wamebakia tu kurusha makombora, lakini siyo kuruka angani kama mwanzo.
Amka kumekucha mkuu usijejiharibu Bure.
 
Pumba tupu!
Watanzania wana shida ya lugha, wanashindwa kusema kile wanachotaka kusema na wanachotaka kukijua. Hii inasababisha waamini kuwa Ulaya na marekani mambo ni safii tu. Hebu msikilize mtoto wa Trump anavyosema kuhusu uhuru wa habari Marekani na matatizo yaliyoko Marekani sasa.

 
UN yenyewe ipokwa ajiri ya masilahi ya wakubwa, Haina maana yoyote kwa sisi waafrika. Ifikie pahali tutishie kujitoa Labda akili itawarudi UN.
Waafrica atuelewi haya tukifika UN haya mataifa yameshajipanga kwa hatua wanazochukua katika maazimio ya UN.

Mziki unabaki kwetu kwa maamuzi yao.

Ni wakati wa nchi za kiafrica kwenda kwa pamoja kutaka kuruhusiwa kununua mafuta ya Iran na Russia au popote kupunguza athari za madhara ya kiuchumi.

Hawa mabeberu wanatuingiza kwenye madhara ambayo wao washajipanga kupunguza madhara yake, sisi tuna support upuuzi wako ilhali hatuna resources za kutosha za kupunguza madhara.

Na chi moja moja awawezi pambana na haya mambo inatakiwa kuwa msimamo wa African Union.

Yaani wewe kabisa usikilize hadithi za marekani mwenye reserve za miaka miwili bila ya kuagiza wala kutumia mafuta yake na bado anavisima vya kujizalishia mafuta kwa miaka mingi.

Something is wrong with the African Union kununua mafuta ya Iran, Venezuela na Russia is our right kwa hali zetu za uchumi; hawa majamaa wanatubebesha mzigo mzito kwa siasa ambazo azituhusu na wala sisi kununua huko hakuna impact vile kama wao wakitoka.

Something is wrong kwenye policies za African Union.
 
Kwanza anatakiwa aelewe kwamba vyanzo vyote vya habari zinazohusu vita vya Ukraine vimedhibitiwa na nchi za MAGHARIBI (NATO) kwahiyo habari nyingi eti za kushindwa Russia ni propaganda za NATO !! Naye alishawaambia na anarudia Mara kwa Mara kwamba atakayejiingiza kwenye hiyo vita atapiga nyumbani kwao within half an hour atavuruga Nchi yao kiasi ambacho hawajapata kuona katika maisha yao !!
Tumwagie analysis yako yenye afya hapa. Vinginevyo wewe ndiye kanjanja uliyetunukiwa cheti bandia
 
Sio kweli, wamarekani wanaagiza baadhi ya vyakula na bidhaa. Wamarekani wanaagiza pamba na nguo, wanaagiza ndizi na baadhi ya tropical fruits. Wacha kutochomesha mahindi. Nenda kwenye maduka yote ya Marekani utakuta bidhaa nyingi sana kutoka Uchina, Banana republic na kwingineko kwingi.
Post hiyo haikusema Marekani hawaagizi vitu kutoka nje, bali imejibu madai ya kutegemea mafuta na chakula kutoka nje. Kuna bidhaa nyingi ambazo ni labor intensive ambazo wanategemea kutoka nje, hata hivyo nyingi za biadhaa hizo zinatoka kwenye makampuni ya marekani yanayozizalisha kutoka nje. Kwa mfano mashamba mengi ya matunda katika nchi za Amerika ya kati na Carribean ni ya makampuni kimarekani, viwanda vingi vya kushona nguo huko Asia, Amerika ya kusini, na katika baadhi ya nchi za Afrika iwemo Kenya na Tanzania ni ya kimarekani. Kenya kuna kampuni ya kushona nguo za Lee ambayo ni ya Kimarekani, Tanzania pia kuna kampuni ya kushona nguo za Levi's ambayo ni ya kimarekani.
 
Wamarekani na wazungu wengi hawajui kile serikali zao zinachokifanya kwenye mataifa mengine lakini safari hii ni tofauti sana, wameamza kuufahamu upuuzi wa wanasiasa wao. Na hii ni baada ya maisha Yao kuguswa na kupanda kwa gharama za maisha kunakotokana na uhaba wa ngano, mafuta ya kupikia, gesi ya kupikia, petrol, umeme na wakimbizi wengi ambao ni wazungu wenzao kwenye mitaa Yao.

Wazungu wengi wengi ndio kwanza wanagundua kuwa kumbe nchi zao zinakopa ili kusaidia kutoa misaada kwa nchi nyingine. Wanagundua kuwa kumbe Kodi zao hazitumiki vizuri.

Vita hii inaweza kuusambaratisha umoja wa Ulaya EU kama hawatakiwa makini, vita hii inaweza kumuondoa madarakani Joe Biden, Boris Johnson na wengine kama yule chancellor wa ujerumami.

Vikwazo vyote dhidi ya Urusi vinarudi kwenye nchi zao na watu wao, hii haijawahi kutokea kwao huko nyuma wakati wanaziwekea vikwazo nchi nyingine kama Iran, somalia, Ethiopia, north Korea, au Venezuela.

Wazungu lazima watalazimika kuachana na vita hii maana baadhi ya washirika wa NATO wamegundua kuwa vita hii inanufaisha makampuni ya silaha ya kimarekani .
Tena hao GERMAN wanateseka kwel kweli asee
Kila siku Olaf visimu simu kwa PUT IN acha iendelee kunyesha tuone wapi panavuja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maamuzi ya bunge sio miungu ni watu nao wanakosea au sometimes ni bendera fuata upepo.
ndio maana misaada yao inaidhinishwa bungeni sio km urusi mtu mmoja anaamua kila kitu sio kwa ushirikiano na vyombo vya dola

NB : Bunge linawakilisha wananchi wa kila kona ya nchi
 
Akili yako imethiliwa na fikra za Ujamaa, yaani fikra za kuamini kuwa kujikomba ni Fursa. Ni mwendawazimu tu anayeweza kuunga mkono Uwendawazimu wa Putin kutumia Jeshi na siraha zinto nzito kuuwa Wananchi wa nchi nyingine kwa kuwachoma na Moto kwenye majumba yao. Hivi ninyi chawa Akili zenu zinafananaje?
Anachokifanya RUSSIA sikama nachokifanya US nashost zake kule LIBYA !!?
Mbna hampigi keleleeee !!!??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tena hao GERMAN wanateseka kwel kweli asee
Kila siku Olaf visimu simu kwa PUT IN acha iendelee kunyesha tuone wapi panavuja

Sent using Jamii Forums mobile app
Ujerumami haipendi kushiriki kwenye vita hii kwa njia yoyote lakini inalazimishwa na Marekani na uingereza ili ishushe uzalishaji hatimae ishushe kiuchumi ndani ya EU. Baada ya kuondoka kwa UK kwenye EU kushindwa kuusambaratisha umoja wa Ulaya Sasa wamekuja na mbinu hii ya Ukraine. EU isipokuwa makini itasambaratika kabisa.
 
Ujerumami haipendi kushiriki kwenye vita hii kwa njia yoyote lakini inalazimishwa na Marekani na uingereza ili ishushe uzalishaji hatimae ishushe kiuchumi ndani ya EU. Baada ya kuondoka kwa UK kwenye EU kushindwa kuusambaratisha umoja wa Ulaya Sasa wamekuja na mbinu hii ya Ukraine. EU isipokuwa makini itasambaratika kabisa.
 
Back
Top Bottom