Vita ya Ukraine - Urusi ina hadhi ya kuziangusha serikali za Ulaya na Marekani

Vita ya Ukraine - Urusi ina hadhi ya kuziangusha serikali za Ulaya na Marekani

Taratibu watu wataanza kujifunza na kuwa na ufahamu mzuri juu ya haya mambo.

Nchi zetu zinapojiuza kama malaya kwa hawa watu, na kusahau kwamba wajibu ni wetu kujiletea maendeleo, pengine hata hao wanaotuuza nao wataanza kuingiwa na akili kichwani.
unaandika ukwel ila ttzo 2po vzr kwny kuandik kuliko utendaj kituko ni kuwa hata ww ukipewa fursa ya kuwatumikia wananchi utaishia kulitumikia kwanz tumbo lako , UJINGA bado kamudu kuwa adui wa kwanza kwa mtu mweusi
 
Hata yule katuni anaetumiwa na mabeberu wa ulaya na America yupo usingizi wa pono mara akizinduka nchi yake yote ilishaliwa himaya ya mrusi[emoji1732]
duh kuvamiwa ni kutumika ? fisiemu idumu asee
 
Leta chanzo chako Cha taarifa. Kwanini ndani ya miezi 2 TU Marekani imetumia Dola 60 bil kwenye vita hii? Ukweli ni kwamba silaha za western zinatekwa na kuunguzwa.
upo kitengo gan pale kwenye ardhi ya Comedy ? maana upo nyet sana
 
Umeongea ukweli kabisa angekuwepo Angela Merkel asingekubali huu upuuzi wa maamuzi ya hisia ambayo yangeimuza ujeremani nchi anbayo ni heavily dependant wa nishati za Russia; chini yake US kuweka military base Ukraine in kitu ambacho kisingewezekana under her watch kwa sababu anaelewa athari zake kwa uchumi wa nchi yake na bara.

Hawa viongozi wengine wa EU ni US puppets bila ya Mrs Merkel na huu mziki unawaumiza kweli uzuri wao ni watu wa kujifunza. Mfano U.K. washatumia zaidi ya £20 billion katika miezi mitatu kama subsidisation ya kupambana na inflation ya energy sector alone sasa hivi hizo hela zimezua mjadala kumbuka hawa wana reserve zao za mafuta ya kutosha North Sea wakiamua kujitegemea inapobidi they don’t have to import, na wana storage za miezi sita dunia ikikosa mafuta kabisa ya kuwatosheleza bila ya kuagiza mafuta. Achilia mbali North Sea ambayo na yenyewe reserve inauwezo wa kuwahudumia kati ya miaka 35-40 peke yao wasipo export (hayatumiwi sana kwa sababu ni Brent crude, crude zinatofautiana ika ukisikia hilo neno jua ni mafuta ya U.K. ambayo ni very high quality, kama ilivyo kwa mafuta ya Uganda) sasa ukiona watu wanazungumzia Tanzania kununua mafuta ya Uganda elewa ni wazimu tu huo. Vinginevyo utauziwa litre tsh 5000 maana ni very high quality.

Upuuzi upo African Union as a continent we don’t know how to protect our interest sisi tukifika UN tunabariki kila sanctions hatuna agenda za pamoja na wala atujifunzi madhara ya maamuzi.

Sasa hivi kinachoendelea kwenye hizi sanction AU walitakiwa kuitisha crisis meeting na kuja na agenda ya pamoja to save the continent woes. Wawarudie hao mabeberu wao ndio volumes kubwa za trade za mafuta na nchi zilizo kwenye sanctions so kuacha kwao kununua ndio muhimu kuwaumiza kiuchumi na wana mitigating strategies tayari za kupambana na uhaba wa mafuta.

Sisi waafrica hatuna shida na siasa za Arab-Israel wala ideological wars za West and East na hatuna impact ivyo; so kwenye hizi sanctions watutoe tununue mafuta popote kwa bei rahisi vinginevyo wanatubebesha mzigo mkubwa kuliko uwezo wetu wa kiuchumi wao wana resources na mitigating strategies ambazo sisi hatuna.

Somo ni nini hapo AU ni chombo tu ambacho kipo lakini hakina agenda za pamoja; haya mambo uwezi kukuta EU ambao wana assess risk zao za pamoja kabla ya kuamua wakati protecting their interest is at foremost.
ila wahanga wa kuvamiwa ni sisi , tukijifanya tunajuwa interests ipo siku na wao watajifanya wana interests , ukiwa nje ya siasa unaeza ona viongoz wajinga sana , ila ukiingia ndo utaelewa ulikuwa una mitizamo ya kitoto
 
Waafrica atuelewi haya tukifika UN haya mataifa yameshajipanga kwa hatua wanazochukua katika maazimio ya UN.

Mziki unabaki kwetu kwa maamuzi yao.

Ni wakati wa nchi za kiafrica kwenda kwa pamoja kutaka kuruhusiwa kununua mafuta ya Iran na Russia au popote kupunguza athari za madhara ya kiuchumi.

Hawa mabeberu wanatuingiza kwenye madhara ambayo wao washajipanga kupunguza madhara yake, sisi tuna support upuuzi wako ilhali hatuna resources za kutosha za kupunguza madhara.

Na chi moja moja awawezi pambana na haya mambo inatakiwa kuwa msimamo wa African Union.

Yaani wewe kabisa usikilize hadithi za marekani mwenye reserve za miaka miwili bila ya kuagiza wala kutumia mafuta yake na bado anavisima vya kujizalishia mafuta kwa miaka mingi.

Something is wrong with the African Union kununua mafuta ya Iran, Venezuela na Russia is our right kwa hali zetu za uchumi; hawa majamaa wanatubebesha mzigo mzito kwa siasa ambazo azituhusu na wala sisi kununua huko hakuna impact vile kama wao wakitoka.

Something is wrong kwenye policies za African Union.
hujavamiwa
 
Kwa ivyo siasa zao sisi zinatuhusu nini kukubali wananchi wa Tanzania waumie, wakitaka ata kulipuana bara zima la ulaya na wachina hayo sio matatizo yetu wachague na mbinu za kuuwana kama kunyongana, kuchomana moto, kukamatana kutundikana kwenye posts na kupigana risasi hayo sio matatizo yetu.

Wao wafanye yao katika power struggle sisi waafrica atufungamani na upande wowote ila lazima tuelewane maamuzi yao isiwe sababu ya kuumiza uchumi wetu.

Wafanye yao sisi watuache tupate nishati kwa bei nafuu kutokana na uwezo wetu; kwanini bara la Africa liumie kwa siasa na struggle za kupigania world dominance ambazo hazituhusu.

Ni ujinga ku support western dominant ideologies ambazo azijali changamoto zetu; wapigane ata nuclear wakiamua lakini waafrica tusilazimishwe kuumia katika dispute zao ambazo hazituhusu.

Watuache tukanunue mafuta yalipo rahisi awataki basi walipie subsiding costs za serikali zetu hawa jamaa wanatuvurugia maendeleo yetu kwa siasa ambazo hazituhusu halafu wanatulazimisha kwa gharama zetu.

Wachina, wazungu, waarabu, warusi na wengineo yao hayatuhusu ni muda wetu na sisi wa kusema African interest fist katika hiyo mizozo yao sio kuingizwa kwenye kila upuuzi ambao autuhusu and paying the heavy price of their decision.
hujavamiwa
 
unaandika ukwel ila ttzo 2po vzr kwny kuandik kuliko utendaj kituko ni kuwa hata ww ukipewa fursa ya kuwatumikia wananchi utaishia kulitumikia kwanz tumbo lako , UJINGA bado kamudu kuwa adui wa kwanza kwa mtu mweusi
Mkuu, mbona unanitukana bila kunijua mimi ni nani?

Kama ninaandika ukweli kama ulivyosema, kwa nini uwe na mashaka juu ya ninachosimamia kama binaadam mwenye msimamo ninaouamini.
Tuliwahi kukutana popote ukaona matendo yangu ni tofauti na maneno yangu?

Lakini basi, si hata ungejaribu kujiridhisha, ukaangalia maandiko yangu humu JF kama yana dalili zozote za kuyumbayumba kiasi cha kutoweza kuaminiwa ninachosema?

Mwisho nimalizie kwa kusema, haitatokea mimi nitamani kuongoza nchi yetu, lakini niko tayari kuunga mkono yeyote anayejali maslahi ya nchi hii na wananchi wake na kuwaweka mbele katika mipango yake ya uongozi.

Na hawa wanaotapanya mali za nchi yetu, hatutaacha kuwasema eti kwa sababu hata sisi tukipewa nafasi tutatafuta kujinufaisha wenyewe na kusahau maslahi ya nchi yetu.
 
Sio kweli, wamarekani wanaagiza baadhi ya vyakula na bidhaa. Wamarekani wanaagiza pamba na nguo, wanaagiza ndizi na baadhi ya tropical fruits. Wacha kutochomesha mahindi. Nenda kwenye maduka yote ya Marekani utakuta bidhaa nyingi sana kutoka Uchina, Banana republic na kwingineko kwingi.
a nation with different nationalities , with different traditions ( dressing + Eating ) then utegemee vyote vipatikane ndani ya USA ?
 
ila wahanga wa kuvamiwa ni sisi , tukijifanya tunajuwa interests ipo siku na wao watajifanya wana interests , ukiwa nje ya siasa unaeza ona viongoz wajinga sana , ila ukiingia ndo utaelewa ulikuwa una mitizamo ya kitoto
Huu ni upuuzi. Kwani wewe unadhani kila binaadam ni muigizaji?
 
Yaani ukiitizama picha kubwa ya mabeberu ni kuitawala tena dunia kama makoloni Yao tena, ila Urusi, Uchina na Sasa India ndio kinakuwa kikwazo Chao. Lengo ni kuifuta Russia, lakini lengo lao ni vigumu sana kulifikia Putin akiwepo madarakani.
kwan West ndio waliovamia Ukraine ? siku ukivamiwa utawashukur tu uwepo wao dunian
 
Duu sera za ushoga zimekuingia akilini kweli kweli. Kosa la Zelensky ni kuwatumia raia kama askari kwa kuwapa silaha kupambana. Hivyo ni vigumu kumtenganisha askari na raia. Wewe unadhani kwanini Marekani na Cuba haziivi? Wewe unadhani Marekani angefanya nn kwa jirani yake Mexico kama Urusi angekuwa rafiki mkubwa wa Mexico? Acha umbumbumbu kaka
duh umehishiwa hoja ?
 
Aliyekwambia kuwa Marekani Kuna uhuru wa maoni kakudanganya. Kuna wamarekani wanakufa na kusakwa kwa kufichua ukweli
hao mnaowa quote washatafutwa ? aya niambie yule mpinzan wa Putin yupo wap ? pia yule mwandishi aliyepinga vita yupo wap ?
 
Vita hii ni mpango wa Marekani na UK kuivuruga E.U hasa baada ya UK kujitenga na EU. Lengo ni kuvuruga uchumi wa German, France na Italy mataifa ambayo ndiyo nguvu ya EU
wakifanikiwa hilo watanufaika na nini ?
 
Point, hii vita inaenda kuwangusha Biden, Boris na chancellor wa ujerumani ktk box la kura, hili anguko lipo wazi
duh upo jimbo gan hapo kwa obama ? unatupa vitu nyeti sana msemaji wa wa wazungu
 
Watanzania wana shida ya lugha, wanashindwa kusema kile wanachotaka kusema na wanachotaka kukijua. Hii inasababisha waamini kuwa Ulaya na marekani mambo ni safii tu. Hebu msikilize mtoto wa Trump anavyosema kuhusu uhuru wa habari Marekani na matatizo yaliyoko Marekani sasa.

kila uhuru una mipaka yake , tambua hilo kwanza , unapewa uhuru wa kufanya jambo lenye maslai kwa taifa sio kutoa nyeti za nchi hlf useme uhuru
 
UN yenyewe ipokwa ajiri ya masilahi ya wakubwa, Haina maana yoyote kwa sisi waafrika. Ifikie pahali tutishie kujitoa Labda akili itawarudi UN.
kutwa kuomba , hata kweny ukoo wenu hauez mjali mliaji kila siku , mchango hana ila anataka kuchangiwa kila shughuli
 
Kwanza anatakiwa aelewe kwamba vyanzo vyote vya habari zinazohusu vita vya Ukraine vimedhibitiwa na nchi za MAGHARIBI (NATO) kwahiyo habari nyingi eti za kushindwa Russia ni propaganda za NATO !! Naye alishawaambia na anarudia Mara kwa Mara kwamba atakayejiingiza kwenye hiyo vita atapiga nyumbani kwao within half an hour atavuruga Nchi yao kiasi ambacho hawajapata kuona katika maisha yao !!
tulikubaliana kuwa Urusi ndio superpower lkn
 
Back
Top Bottom