Wacha yasambaratike; labda itafika pahala dunia iwe na amani.UK kujitoa EU ni njama za US, baada ya Uingereza kujitoa EU wakabuni vita ya Ukraine ili kuiangusha EU, hasa Germany and France and Italy (giants of EU).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha yasambaratike; labda itafika pahala dunia iwe na amani.UK kujitoa EU ni njama za US, baada ya Uingereza kujitoa EU wakabuni vita ya Ukraine ili kuiangusha EU, hasa Germany and France and Italy (giants of EU).
Haya majitu kweli yamelaaniwa. Majira ya joto yanakufa kwa kuzidiwa na kupanda kwa joto lisiloweza kuhimiliwa na mwili.Mungu hawapendi wazungu, amewavulimia sasa amechoka
Yanachafua mazingira walidhani kuwa tutakufa sisi kwa mabadiliko ya hali ya hewa. Kinyume chake yanaathirika yenyewe.Haya majitu kweli yamelaaniwa. Majira ya joto yanakufa kwa kuzidiwa na kupanda kwa joto lisiloweza kuhimiliwa na mwili.
Msimu ujao wa baridi ndio yatapukutika kama sisimizi Putin atapofunga mabomba ya gesi 😆😆😆.
Haya majitu kweli yamelaaniwa. Majira ya joto yanakufa kwa kuzidiwa na kupanda kwa joto lisiloweza kuhimiliwa na mwili.
Msimu ujao wa baridi ndio yatapukutika kama sisimizi Putin atapofunga mabomba ya gesi 😆😆😆.
😆😆😆Mungu kiboko, Sasa hivi mbung'o, mbu na inzi wote wanahamia Ulaya kutoka Africa.
Kaka nchi yoyote duniani ikiwemo Afrika kama ikifanya uchaguzi huru na wa haki leo lazima kiongozi/chama kilichoko madarani kitashindwa tu, hali ni mbaya sana kupitiliza wakati kuna mafuta na chakula rahisi pale Urusi. Huu ndio ule wakati wa Rais JPM (rip) tunaoukosa. Hata Kenyatta/Odinga wameangukia pua kwenye uchaguzi kwasababu hiihii ya Ukraine.imefarijika kuona kumbe hili la gharama za maisha ni mpaka Ulaya. Nilidhani ni hapa kwetu kwa mama 'dhaifu'