Vita ya Urusi na Ukraine: Putin aonya “Yeyote atakayeingilia atapata pigo la kihistoria”

Vita ya Urusi na Ukraine: Putin aonya “Yeyote atakayeingilia atapata pigo la kihistoria”


Rais wa Urusi, Vladimir Putin mara baada ya kutangaza mashambulizi dhidi ya Ukraine, ametoa onyo kwa mataifa ya Magharibi kuwa yeyote ambaye atajaribu kuingilia kinachoendelea baina ya mataifa hayo mawili atakutana na kitu ambacho hajawahi kukutana nacho.

Milipuko ilisikika Mji Mkuu wa Ukraine, Kiev ambapo Putin akanukuliwa akisema: “Kwa yeyote atakayeingilia kutoka nje, atakutana na matokeo ambayo hajakutana nayo katika historia.

Baraza la Usala la Umoja wa Mataifa liliitisha kikao cha dharura Jumatano Februari 23, 2022 mara baada ya Urusi kuanza mashambulizi.

======

After Russian President Vladimir Putin announced he had ordered military action in Ukraine early Thursday, he threatened "those who may be tempted to intervene" on Ukraine's behalf. "Now a few important, very important words for those who may be tempted to intervene in ongoing events from the outside," Putin said.

"Whoever tries to interfere with us, and even more so to create threats to our country, to our people, should know that Russia's response will be immediate and will lead you to such consequences as you have never experienced in your history. We are ready for any development of events. All necessary decisions in this regard have been made. I hope that I will be heard."

The President of the European Council and the President of the European Commission issued a joint statement Thursday condemning Russian military action in Ukraine "in the strongest possible terms."

"Russia is grossly violating international law and undermining European and global security and stability," European Council President Charles Michel and European Commission President Ursula von der Leyen said in the statement.

Source: CNN
Ukisikia beat ndo hili sasa
 
Russian FM Lavrov says Moscow wants:

  • Our expectations of Kyiv remain the same, Russia doesn’t change its position “like a girl”
  • We want to 'free Ukraine from oppression'
  • President Putin will hold several int phone calls
  • We want to ensure demilitarisation of Ukraine https://t.co/AT8CWuePp8
 
Mbona NATO kama wanaufyata hivii!!!??
Ni kweli Urusi ina Nguvu kubwa Sana za Kijeshi Tena Sana. Lakini hawezi hata siku moja kuthubutu kutumia kombola la Nyuklia kwenye Vita. Kombola la Nyuklia ni kwa ajili ya Duterrence(Kutishia). Kinachosababisha mpaka Sasa NATO washindwe Kuingia vitani kuisaidia Ukraine ni kwasababu Russia ana Nyuklia Waepons ambazo zikitumika Basi NO WINNER,All are LOSSERS.

Urusi ina Makombora 7500 ya Nyuklia kwa takwimu za NIT. Makombora 2500 yako tayari kufyatuliwa kuelekea Endeo lolote Lile Duniani litakapotumwa. Marekani ina Miji mikubwa 358 na Majimbo 54. Kombora Moja linaugeuza mji kuwa Majivu kabisa. Kama Mrusi akituma Makombora yote 2500 kuelekea Marekani,Basi ndani ya dakika 30 hakutakuwa na USA Duniani.

Kwa Upande Mwingine,Marekani ina Makombora ya Nyuklia 6800. Kati ya hayo, 3500 yako tayari kufyatuliwa ndani ya Dakika 5 wakipokea Order na Direction ya kuyafurumusha. Urusi ina Miji mikubwa 43. Endapo USA akiona Russia kashatuma Makombora Yake kuelekea Marekani na hakuna jinsi Basi ndani ya Dakika 5, Makombora 3500 ya Marekani yatakuwa njiani kuelekea Urusi kuteketeza Miji 43,Ndani ya Nusu saa hakutakuwa na Urusi Tena. Hiyo inaitwa MUTUAL ASSURED DESTRUCTION(MAD).

Haya Sasa,Tuseme wewe ni Raisi wa Russia,utarusha hayo Makombora kuelekea Marekani au utafanya juhudi za majadiliano?

Mwishoni mwa Vita baridi kabisa (1988) Nchi za Marekani na Urusi Zilikuwa na Akiba ya Makombora 127,000 (Laki moja na elfu ishirini na Saba). Kati ya hayo, 58,000 ya Urusi na 69,000 ya USA. Embu fikilia. Kombora Moja linafuta mji mmoja wa Dar. Je,Dunia ina Miji 127,000? Jibu ni Hapana.

Kwahiyo ndugu yangu usiwe na tempa unapokuwa unachangia hizi maada,tumia Logic utaelewa tu.

Urusi na Marekani wanajuana,wakikutana Anga Furani Kila mmoja anaangalia Nani anamaslahi makubwa na anamwachia ili kuepusha Vita.

Georgia Mwaka 2008 Marekani hakuingiza mguu kusaidia Nchi hiyo dhidi ya Uvamizi wa Russia kwasababu Marekani anajua hapo Russia ana maslahi Makubwa.

Iraq mwaka 2003 Russia hakutia Mguu kwasababu Marekani alikuwa na Maslahi Makubwa.

Libya mwaka 2011 Russia hakutia Mguu kwasababu USA alikuwa na Maslahi Makubwa.

Venezuera Marekani aliogopa Msululu wa wakimbizi kumiminika nchini Marekani hata Kama angeliamua Vita Urusi angelipisha Coz pale ni Maslahi Makubwa ya kiusalama kwa USA.

Syria pale Wote Urusi na USA wanamaslahi na ndio maana mpaka Sasa wameigawana kijanja. Urusi inamhitaji Assad kwasababu Anamdai pesa ndefu. Marekani anahitaji Mafuta ndio maana mpaka leo Majeshi ya Marekani yapo Syria kulinda Visima vya Mafuta.

Kuhusu Ukraine,hata Marekani anajua kabisa Maslahi ya Urusi ni Makubwa kwahiyo lazima akae pembeni. Atashiriki tu kijanja lakini sio moja kwa moja.

MTz 255Dar.
 
Mbona NATO kama wanaufyata hivii!!!
Ni kweli Urusi ina Nguvu kubwa Sana za Kijeshi Tena Sana. Lakini hawezi hata siku moja kuthubutu kutumia kombola la Nyuklia kwenye Vita. Kombola la Nyuklia ni kwa ajili ya Duterrence(Kutishia). Kinachosababisha mpaka Sasa NATO washindwe Kuingia vitani kuisaidia Ukraine ni kwasababu Russia ana Nyuklia Waepons ambazo zikitumika Basi NO WINNER,All are LOSSERS.

Urusi ina Makombora 7500 ya Nyuklia kwa takwimu za NIT. Makombora 2500 yako tayari kufyatuliwa kuelekea Endeo lolote Lile Duniani litakapotumwa. Marekani ina Miji mikubwa 358 na Majimbo 54. Kombora Moja linaugeuza mji kuwa Majivu kabisa. Kama Mrusi akituma Makombora yote 2500 kuelekea Marekani,Basi ndani ya dakika 30 hakutakuwa na USA Duniani.

Kwa Upande Mwingine,Marekani ina Makombora ya Nyuklia 6800. Kati ya hayo, 3500 yako tayari kufyatuliwa ndani ya Dakika 5 wakipokea Order na Direction ya kuyafurumusha. Urusi ina Miji mikubwa 43. Endapo USA akiona Russia kashatuma Makombora Yake kuelekea Marekani na hakuna jinsi Basi ndani ya Dakika 5, Makombora 3500 ya Marekani yatakuwa njiani kuelekea Urusi kuteketeza Miji 43,Ndani ya Nusu saa hakutakuwa na Urusi Tena. Hiyo inaitwa MUTUAL ASSURED DESTRUCTION(MAD).

Haya Sasa,Tuseme wewe ni Raisi wa Russia,utarusha hayo Makombora kuelekea Marekani au utafanya juhudi za majadiliano?

Mwishoni mwa Vita baridi kabisa (1988) Nchi za Marekani na Urusi Zilikuwa na Akiba ya Makombora 127,000 (Laki moja na elfu ishirini na Saba). Kati ya hayo, 58,000 ya Urusi na 69,000 ya USA. Embu fikilia. Kombora Moja linafuta mji mmoja wa Dar. Je,Dunia ina Miji 127,000? Jibu ni Hapana.

Kwahiyo ndugu yangu usiwe na tempa unapokuwa unachangia hizi maada,tumia Logic utaelewa tu.

Urusi na Marekani wanajuana,wakikutana Anga Furani Kila mmoja anaangalia Nani anamaslahi makubwa na anamwachia ili kuepusha Vita.

Georgia Mwaka 2008 Marekani hakuingiza mguu kusaidia Nchi hiyo dhidi ya Uvamizi wa Russia kwasababu Marekani anajua hapo Russia ana maslahi Makubwa.

Iraq mwaka 2003 Russia hakutia Mguu kwasababu Marekani alikuwa na Maslahi Makubwa.

Libya mwaka 2011 Russia hakutia Mguu kwasababu USA alikuwa na Maslahi Makubwa.

Venezuera Marekani aliogopa Msululu wa wakimbizi kumiminika nchini Marekani hata Kama angeliamua Vita Urusi angelipisha Coz pale ni Maslahi Makubwa ya kiusalama kwa USA.

Syria pale Wote Urusi na USA wanamaslahi na ndio maana mpaka Sasa wameigawana kijanja. Urusi inamhitaji Assad kwasababu Anamdai pesa ndefu. Marekani anahitaji Mafuta ndio maana mpaka leo Majeshi ya Marekani yapo Syria kulinda Visima vya Mafuta.

Kuhusu Ukraine,hata Marekani anajua kabisa Maslahi ya Urusi ni Makubwa kwahiyo lazima akae pembeni. Atashiriki tu kijanja lakini sio moja kwa moja.

MTz 255Dar.
Perfectly authenticated 👍🏻👍🏻💯💯🙏🙏
 

Rais wa Urusi, Vladimir Putin mara baada ya kutangaza mashambulizi dhidi ya Ukraine, ametoa onyo kwa mataifa ya Magharibi kuwa yeyote ambaye atajaribu kuingilia kinachoendelea baina ya mataifa hayo mawili atakutana na kitu ambacho hajawahi kukutana nacho.

Milipuko ilisikika Mji Mkuu wa Ukraine, Kiev ambapo Putin akanukuliwa akisema: “Kwa yeyote atakayeingilia kutoka nje, atakutana na matokeo ambayo hajakutana nayo katika historia.

Baraza la Usala la Umoja wa Mataifa liliitisha kikao cha dharura Jumatano Februari 23, 2022 mara baada ya Urusi kuanza mashambulizi.

======

After Russian President Vladimir Putin announced he had ordered military action in Ukraine early Thursday, he threatened "those who may be tempted to intervene" on Ukraine's behalf. "Now a few important, very important words for those who may be tempted to intervene in ongoing events from the outside," Putin said.

"Whoever tries to interfere with us, and even more so to create threats to our country, to our people, should know that Russia's response will be immediate and will lead you to such consequences as you have never experienced in your history. We are ready for any development of events. All necessary decisions in this regard have been made. I hope that I will be heard."

The President of the European Council and the President of the European Commission issued a joint statement Thursday condemning Russian military action in Ukraine "in the strongest possible terms."

"Russia is grossly violating international law and undermining European and global security and stability," European Council President Charles Michel and European Commission President Ursula von der Leyen said in the statement.

Source: CNN
Ezekiel Kamwaga

Mchambuzi

Chanzo cha picha, Getty Images

[https://res]

Maelezo ya picha, Kumekuwa na msururu mrefu huku wakazi wa Kiev wakijaribu kuutoroka mji kutokana na mashambulio ya makombora ya vikosi vya Urusi

WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson na Rais wa Marekani, Joe Biden, tayari wameeleza hatua ya Russia kuivamia Ukraine kijeshi kama "janga na doa katika masuala ya uhusiano wa kimataifa". Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, ameelezea uvamizi huo kama ni hatua ya mwanzo ya mlolongo wa vita zitakazofuata katika eneo la Ulaya Mashariki.

Ni rahisi kuona kwa upande wa Ulaya na Marekani ni kwa vipi uvamizi huo ni tukio la kihistoria. Tangu kumalizika kwa Vita Kuu vya pili vya Dunia 1939-1945, hakuna nchi ya Ulaya iliyoivamia kijeshi nchi nyingine na kwa kiasi kikubwa ilionekana masuala ya kupigana vita yatabaki katika vitabu vya historia pekee.

Hotuba ya Rais Vladmir Putin alfajiri ya Februari 24 mwaka huu imebadili upepo. Katika hotuba yake ya kutangaza uvamizi, Rais huyo wa Russia alitoa sababu kubwa mbili za uvamizi - mosi kutimiza matakwa ya kimkakati ya kijeshi na pili kuondoa hatari ya siasa za kibaguzi kwa nchi hiyo jirani.

Katika dunia ya sasa ya utandawazi, ni wazi kwamba eneo muhimu kidunia kama Ulaya Mashariki likipata 'chafya' ya namna hii, ni lazima maeneo mengine dunia yashikwe na 'mafua'. Pasi na shaka yoyote, Afrika, kama ilivyo kwingineko duniani, itaathirika na mgogoro huu.

Ni kwa vipi Afrika itaathirika?

Mpaka sasa, sauti kubwa rasmi ambayo imepigwa na Afrika kuhusiana na mgogoro wa Ukraine ni hotuba ya Mwakilishi wa Kenya katika Umoja wa Mataifa (UN), Martin Kimani, aliyeonya kwamba hatua ya Urusi kutoheshimu mipaka iliyowekwa kwa sheria za kimataifa ni hatari kwa amani na utulivu wa dunia.

[https://res]

Chanzo cha picha, Getty Images

Ukraine ilikuwa sehemu ya Urusi ya Kisovieti kwenye miaka ya nyuma na Kimani alionya kwamba kwa bara kama la Afrika ambalo mipaka baina ya nchi zake iliwekwa na wakoloni, Russia inaweza kuchochoea nchi nyingine nazo ziamue kuvamiana kwa kuzingatia historia za miaka ya nyuma badala ya taratibu za kisasa zinazohusika na masuala ya mipaka.

Huo ni upande mmoja wa shilingi. Matatizo ya mipaka yanaweza kutokea kwenye miaka ijayo lakini kwa sasa - kwa wakati huu ambapo tayari vita vimelipuka huko Ukraine, Afrika tayari imeingia katika matatizo ambayo haikuwa nayo mwishoni mwa mwaka jana.

Jambo la kwanza ambalo litaanza kuiumiza Afrika ni kupanda kwa bei za mafuta. Mara tu baada ya kuanza kwa vita, bei ya mafuta tayari imepanda kufikia zaidi ya dola 100 kwa pipa - kiwango kikubwa zaidi cha kupanda kwa bei tangu mwaka 2014. Urusi ni miongoni mwa wasambazaji wakubwa wa nishati ya gesi na mafuta duniani na mgogoro huu utaathiri uzalishaji wake ama kwa vikwazo ambavyo tayari vimewekwa na taifa moja moja kama vila Marekani na Uingereza pamoja na Umoja wa Ulaya au kwa changamoto za kivita.

Afrika tayari inapitia katika kipindi kigumu kiuchumi. Wiki iliyopita, BBC Swahili iliripoti kuhusu kupanda kwa gharama za uchumi nchini Kenya kiasi cha kuzua malalamiko makubwa kutoka kwa wananchi. Ni wazi kupanda kwa bei ya mafuta kutaongeza bei zaidi ya bidhaa mbalimbali na kufanya hali kuwa ngumu zaidi.

Wiki tatu zilizopita, Waziri wa Nishati wa Tanzania, January Makamba, alionya bungeni jijini Dodoma kuhusu uwezekano wa kupanda zaidi kwa bei ya mafuta kutokana na mgogoro huu. Kupanda kwa bei ya mafuta huanzisha mnyororo wa kupanda kwa bei za uzalishaji na usafirishaji wa bidhaa. Tatizo kubwa zaidi kiuchumi ni kwamba sasa nchi zitalazimika kutumia fedha nyingi zaidi za kigeni kuagiza mafuta kuliko kawaida na hili huathiri akiba ya fedha za kigeni ya nchi na kupunguza matumizi ya fedha ambazo zingetumika kwenye mambo mengine muhimu.

Hali ni mbaya zaidi Kaskazini mwa Afrika

[https://res]

Chanzo cha picha, BASHIR AHMED/TWITTER

Pengine kuliko eneo lolote la Afrika, upande wa Kaskazini utaathirika zaidi kiuchumi na vita hivi kuliko eneo lingine lolote. Jambo la kwanza kuzingatia ni kwamba kwa mujibu wa takwimu za Wizara ya Kilimo ya Marekani, kabla hata ya vita hivi, viwango vya mfumuko wa bei vilivyopo sasa katika eneo hilo vinakaribiana na vile vilivyokuwepo wakati wa mapinduzi yaliyopewa jina la Arab Springs takribani miaka 11 iliyopita.

Urusi na Ukraine ndiyo wasambazaji wakuu wa ngano na mazao mengine ya nafaka duniani. Misri, nchi yenye watu wengi na ushawishi mkubwa zaidi katika eneo la Kaskazini mwa Afrika ndiyo mwagizaji mkuu wa ngano duniani. Ngano ni muhimu kwa taifa hilo kiasi kwamba waandamanaji waliomng'oa madarakani Rais Hosni Mubarak walikuwa wakililia zaidi mambo mawili tu; mkate na uhuru.

Uagizwaji wa bidhaa na nafaka nyingi kutoka Urusi na Ukraine hufanyikia kupitia Bahari Nyeusi (Black Sea) na kama vita hivi vitasababisha vikwazo au masharti ya usafirishaji kupitia njia hiyo, itabidi njia nyingine itafutwe. Hilo litaongeza gharama maradufu kwa kutumia njia tofauti katika mazingira ambayo bei tayari zitakuwa zimepanda.

Tayari Mpango wa Chakula Duniani (WFP) umeonya kwamba mgogoro wa Urusi na Ukraine unaweza kuwa na athari mbaya za kupandisha bei za vyakula na kusababisha njaa kwa masikini katika eneo la Kaskazini mwa Afrika. Taarifa iliyotolewa na WFP hivi karibuni iliweka bayana kwamba pengine huu ni wakati mbaya zaidi kuwa na mgogoro wa kivita kwenye eneo muhimu kwa uzalishaji wa chakula.

Chanzo cha picha, Getty Images

[https://res]

Maelezo ya picha, Biashara ya mauzo ya chai ya Kenya kwa Urusi inaingia shakani kutokana na vita ya Ukraine

Katika eneo la Afrika Mashariki, Kenya itapata pia athari za kiuchumi. Yenyewe ni mwagizaji mkuu wa ngano kutoka Urusi katika ukanda huu lakini yenyewe pia ni muuzaji mkubwa wa chai yake kwa taifa hilo. Mwaka 2021 pekee, Kenya iliuza chai yenye thamani ya shilingi za Kenya bilioni 6.2 kwa Urusi katika kipindi cha kati ya Januari mpaka Novemba 2021. Biashara hii sasa inaingia shakani kutokana na vita hivi.

Masuala ya Kijeshi, Diplomasia na Usalama kwa Afrika

Vita ya Russia na Ukraine vinaliweka bara la Afrika katika nafasi ngumu kwenye uhusiano wake na nchi kubwa duniani. Ingawa inaonekana kama ni mgogoro baina ya nchi mbili, lakini huu ni mgogoro kati ya Russia na nchi za Magharibi.

Katika miaka ya karibuni, Urusi imeanza kujitanua Afrika. Imeanza kutoa misaada ya kijeshi kwa nchi za Afrika kuanzia katika eneo la Mashariki, Pembe ya Afrika na Afrika ya Kati. Nchi nyingi za Afrika tayari zina makubaliano na mikataba ya kijeshi na nchi za Magharibi kama Uingereza na Marekani ambazo ziko tofauti na Urusi kwenye mgogoro huu.

Isivyo bahati, Afrika haina nchi yenye hadhi ya taifa kubwa (super power) na kuchagua upande katika mgogoro huu si jambo lenye afya kidiplomasia. Namna pekee ya kuendelea kubaki na marafiki wote ni kufuata siasa za kutofungamana na upande wowote. Kwa namna hii, nchi za Afrika zitakuwa na urafiki wa kuendelea na mikataba na makubaliano yake ya awali na mahasimu wote wanaopambana katika vita hii.

Chanzo cha picha, AFP

[https://res]

Maelezo ya picha, Sanamu za jeshi la Urusi zilisimikwa katika mji mku wa Jamuhuri ya Afrika ya Kati, (CAR), Bangui, mwaka jana, alama ya ushirikiano wa kiusalama wa Urusi barani Afrika.

Tatizo kubwa zaidi kwa Afrika sasa litakuwa ni namna mgogoro huu utakavyohamisha matatizo yote ya dunia katika eneo moja. Kihistoria, maisha ya watu wa Ulaya huwa na thamani kuliko ya Waafrika au kwingine duniani na hili litafanya jitihada zote za masuala ya haki za binadamu, njaa, ulinzi na usalama kuangalia kwenye eneo hilo la Bahari Nyeusi.

Hii maana yake ni kwamba maeneo kama Sudan, Somalia, Sudan Kusini, Mali, Msumbiji na kwingine ambako kulianza kutazamwa kwa kina, sasa kutapunguzwa umuhimu wakati jamii ya kimataifa ikitazama Ukraine. Ni vigumu kubashiri kwa kina nini hasa itakuwa athari ya hili kwenye masuala ya ulinzi na usalama kwa Afrika.

Kwa sababu Urusi na Ukraine ni ndugu, hakuna msemo wa Kiswahili unaosadifu nyakati hizi kama ule usemao; "ndugu wakigombana chukua jembe ukalime, na wakipatana chukua kapu ukavune". Huu ni wakati wa Afrika kujikita kwenye mambo ya kuondoa utegemezi wa nafaka na mazao kutoka Ulaya, kupunguza matumizi yasiyo ya lazima na kutumia vyema akiba yake ya fedha za kigeni iliyopo.

Jambo moja ambalo liko wazi ni kwamba chafya ya Ukraine tayari italeta mafua makali.
 
Safi wapigwe maana wao NAto ndio wamefikisha vita hapo. Walikua na room ya kuzuia njia yoyote ya ukraine kutaka kujiunga kwao.

Uzuri vita ya sasa itakua ni mabomu tuu.

Madalali wa magomeni tujiandae kupangisha wazungu kina rambo[emoji3]
Ezekiel Kamwaga

Mchambuzi

Chanzo cha picha, Getty Images

[https://res]

Maelezo ya picha, Kumekuwa na msururu mrefu huku wakazi wa Kiev wakijaribu kuutoroka mji kutokana na mashambulio ya makombora ya vikosi vya Urusi

WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson na Rais wa Marekani, Joe Biden, tayari wameeleza hatua ya Russia kuivamia Ukraine kijeshi kama "janga na doa katika masuala ya uhusiano wa kimataifa". Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, ameelezea uvamizi huo kama ni hatua ya mwanzo ya mlolongo wa vita zitakazofuata katika eneo la Ulaya Mashariki.

Ni rahisi kuona kwa upande wa Ulaya na Marekani ni kwa vipi uvamizi huo ni tukio la kihistoria. Tangu kumalizika kwa Vita Kuu vya pili vya Dunia 1939-1945, hakuna nchi ya Ulaya iliyoivamia kijeshi nchi nyingine na kwa kiasi kikubwa ilionekana masuala ya kupigana vita yatabaki katika vitabu vya historia pekee.

Hotuba ya Rais Vladmir Putin alfajiri ya Februari 24 mwaka huu imebadili upepo. Katika hotuba yake ya kutangaza uvamizi, Rais huyo wa Russia alitoa sababu kubwa mbili za uvamizi - mosi kutimiza matakwa ya kimkakati ya kijeshi na pili kuondoa hatari ya siasa za kibaguzi kwa nchi hiyo jirani.

Katika dunia ya sasa ya utandawazi, ni wazi kwamba eneo muhimu kidunia kama Ulaya Mashariki likipata 'chafya' ya namna hii, ni lazima maeneo mengine dunia yashikwe na 'mafua'. Pasi na shaka yoyote, Afrika, kama ilivyo kwingineko duniani, itaathirika na mgogoro huu.

Ni kwa vipi Afrika itaathirika?

Mpaka sasa, sauti kubwa rasmi ambayo imepigwa na Afrika kuhusiana na mgogoro wa Ukraine ni hotuba ya Mwakilishi wa Kenya katika Umoja wa Mataifa (UN), Martin Kimani, aliyeonya kwamba hatua ya Urusi kutoheshimu mipaka iliyowekwa kwa sheria za kimataifa ni hatari kwa amani na utulivu wa dunia.

[https://res]

Chanzo cha picha, Getty Images

Ukraine ilikuwa sehemu ya Urusi ya Kisovieti kwenye miaka ya nyuma na Kimani alionya kwamba kwa bara kama la Afrika ambalo mipaka baina ya nchi zake iliwekwa na wakoloni, Russia inaweza kuchochoea nchi nyingine nazo ziamue kuvamiana kwa kuzingatia historia za miaka ya nyuma badala ya taratibu za kisasa zinazohusika na masuala ya mipaka.

Huo ni upande mmoja wa shilingi. Matatizo ya mipaka yanaweza kutokea kwenye miaka ijayo lakini kwa sasa - kwa wakati huu ambapo tayari vita vimelipuka huko Ukraine, Afrika tayari imeingia katika matatizo ambayo haikuwa nayo mwishoni mwa mwaka jana.

Jambo la kwanza ambalo litaanza kuiumiza Afrika ni kupanda kwa bei za mafuta. Mara tu baada ya kuanza kwa vita, bei ya mafuta tayari imepanda kufikia zaidi ya dola 100 kwa pipa - kiwango kikubwa zaidi cha kupanda kwa bei tangu mwaka 2014. Urusi ni miongoni mwa wasambazaji wakubwa wa nishati ya gesi na mafuta duniani na mgogoro huu utaathiri uzalishaji wake ama kwa vikwazo ambavyo tayari vimewekwa na taifa moja moja kama vila Marekani na Uingereza pamoja na Umoja wa Ulaya au kwa changamoto za kivita.

Afrika tayari inapitia katika kipindi kigumu kiuchumi. Wiki iliyopita, BBC Swahili iliripoti kuhusu kupanda kwa gharama za uchumi nchini Kenya kiasi cha kuzua malalamiko makubwa kutoka kwa wananchi. Ni wazi kupanda kwa bei ya mafuta kutaongeza bei zaidi ya bidhaa mbalimbali na kufanya hali kuwa ngumu zaidi.

Wiki tatu zilizopita, Waziri wa Nishati wa Tanzania, January Makamba, alionya bungeni jijini Dodoma kuhusu uwezekano wa kupanda zaidi kwa bei ya mafuta kutokana na mgogoro huu. Kupanda kwa bei ya mafuta huanzisha mnyororo wa kupanda kwa bei za uzalishaji na usafirishaji wa bidhaa. Tatizo kubwa zaidi kiuchumi ni kwamba sasa nchi zitalazimika kutumia fedha nyingi zaidi za kigeni kuagiza mafuta kuliko kawaida na hili huathiri akiba ya fedha za kigeni ya nchi na kupunguza matumizi ya fedha ambazo zingetumika kwenye mambo mengine muhimu.

Hali ni mbaya zaidi Kaskazini mwa Afrika

[https://res]

Chanzo cha picha, BASHIR AHMED/TWITTER

Pengine kuliko eneo lolote la Afrika, upande wa Kaskazini utaathirika zaidi kiuchumi na vita hivi kuliko eneo lingine lolote. Jambo la kwanza kuzingatia ni kwamba kwa mujibu wa takwimu za Wizara ya Kilimo ya Marekani, kabla hata ya vita hivi, viwango vya mfumuko wa bei vilivyopo sasa katika eneo hilo vinakaribiana na vile vilivyokuwepo wakati wa mapinduzi yaliyopewa jina la Arab Springs takribani miaka 11 iliyopita.

Urusi na Ukraine ndiyo wasambazaji wakuu wa ngano na mazao mengine ya nafaka duniani. Misri, nchi yenye watu wengi na ushawishi mkubwa zaidi katika eneo la Kaskazini mwa Afrika ndiyo mwagizaji mkuu wa ngano duniani. Ngano ni muhimu kwa taifa hilo kiasi kwamba waandamanaji waliomng'oa madarakani Rais Hosni Mubarak walikuwa wakililia zaidi mambo mawili tu; mkate na uhuru.

Uagizwaji wa bidhaa na nafaka nyingi kutoka Urusi na Ukraine hufanyikia kupitia Bahari Nyeusi (Black Sea) na kama vita hivi vitasababisha vikwazo au masharti ya usafirishaji kupitia njia hiyo, itabidi njia nyingine itafutwe. Hilo litaongeza gharama maradufu kwa kutumia njia tofauti katika mazingira ambayo bei tayari zitakuwa zimepanda.

Tayari Mpango wa Chakula Duniani (WFP) umeonya kwamba mgogoro wa Urusi na Ukraine unaweza kuwa na athari mbaya za kupandisha bei za vyakula na kusababisha njaa kwa masikini katika eneo la Kaskazini mwa Afrika. Taarifa iliyotolewa na WFP hivi karibuni iliweka bayana kwamba pengine huu ni wakati mbaya zaidi kuwa na mgogoro wa kivita kwenye eneo muhimu kwa uzalishaji wa chakula.

Chanzo cha picha, Getty Images

[https://res]

Maelezo ya picha, Biashara ya mauzo ya chai ya Kenya kwa Urusi inaingia shakani kutokana na vita ya Ukraine

Katika eneo la Afrika Mashariki, Kenya itapata pia athari za kiuchumi. Yenyewe ni mwagizaji mkuu wa ngano kutoka Urusi katika ukanda huu lakini yenyewe pia ni muuzaji mkubwa wa chai yake kwa taifa hilo. Mwaka 2021 pekee, Kenya iliuza chai yenye thamani ya shilingi za Kenya bilioni 6.2 kwa Urusi katika kipindi cha kati ya Januari mpaka Novemba 2021. Biashara hii sasa inaingia shakani kutokana na vita hivi.

Masuala ya Kijeshi, Diplomasia na Usalama kwa Afrika

Vita ya Russia na Ukraine vinaliweka bara la Afrika katika nafasi ngumu kwenye uhusiano wake na nchi kubwa duniani. Ingawa inaonekana kama ni mgogoro baina ya nchi mbili, lakini huu ni mgogoro kati ya Russia na nchi za Magharibi.

Katika miaka ya karibuni, Urusi imeanza kujitanua Afrika. Imeanza kutoa misaada ya kijeshi kwa nchi za Afrika kuanzia katika eneo la Mashariki, Pembe ya Afrika na Afrika ya Kati. Nchi nyingi za Afrika tayari zina makubaliano na mikataba ya kijeshi na nchi za Magharibi kama Uingereza na Marekani ambazo ziko tofauti na Urusi kwenye mgogoro huu.

Isivyo bahati, Afrika haina nchi yenye hadhi ya taifa kubwa (super power) na kuchagua upande katika mgogoro huu si jambo lenye afya kidiplomasia. Namna pekee ya kuendelea kubaki na marafiki wote ni kufuata siasa za kutofungamana na upande wowote. Kwa namna hii, nchi za Afrika zitakuwa na urafiki wa kuendelea na mikataba na makubaliano yake ya awali na mahasimu wote wanaopambana katika vita hii.

Chanzo cha picha, AFP

[https://res]

Maelezo ya picha, Sanamu za jeshi la Urusi zilisimikwa katika mji mku wa Jamuhuri ya Afrika ya Kati, (CAR), Bangui, mwaka jana, alama ya ushirikiano wa kiusalama wa Urusi barani Afrika.

Tatizo kubwa zaidi kwa Afrika sasa litakuwa ni namna mgogoro huu utakavyohamisha matatizo yote ya dunia katika eneo moja. Kihistoria, maisha ya watu wa Ulaya huwa na thamani kuliko ya Waafrika au kwingine duniani na hili litafanya jitihada zote za masuala ya haki za binadamu, njaa, ulinzi na usalama kuangalia kwenye eneo hilo la Bahari Nyeusi.

Hii maana yake ni kwamba maeneo kama Sudan, Somalia, Sudan Kusini, Mali, Msumbiji na kwingine ambako kulianza kutazamwa kwa kina, sasa kutapunguzwa umuhimu wakati jamii ya kimataifa ikitazama Ukraine. Ni vigumu kubashiri kwa kina nini hasa itakuwa athari ya hili kwenye masuala ya ulinzi na usalama kwa Afrika.

Kwa sababu Urusi na Ukraine ni ndugu, hakuna msemo wa Kiswahili unaosadifu nyakati hizi kama ule usemao; "ndugu wakigombana chukua jembe ukalime, na wakipatana chukua kapu ukavune". Huu ni wakati wa Afrika kujikita kwenye mambo ya kuondoa utegemezi wa nafaka na mazao kutoka Ulaya, kupunguza matumizi yasiyo ya lazima na kutumia vyema akiba yake ya fedha za kigeni iliyopo.

Jambo moja ambalo liko wazi ni kwamba chafya ya Ukraine tayari italeta mafua makali.
 
Kuna watu waridhani Putin anaiogopa NATO na waliomba avamie sasa kavamia, sijui mtapitaje hapa.

Kwa kifupi media zilizo Africa, Ulaya na america taarifa mnazipata moja kwa moja kwa kingereza au kifaransa muda mwingine hata kwa kiswahili.

Ila nauhakika kuna watu hawajui kama china alishatangaza yupo na urus, pamoja na north korea wapo pamoja kwa shida na raha.

Na moja kubwa kuna makampuni ya marekani yamewekewa vikwazo china ni siku tatu nne nyuma ila watu hawajui kama wanachaguliwa taarifa za kusikia.

"Mwisho russia sababu anazo, nguvu anayo na uwezo anao ".

Mpaka putin kaamua ndio mjue marekani wamevunja mikataba kupitiliza zaidi ya miaka kumi russia kavumilia na marekani anajifanya superpower kwa superpower mwenzake wakati ile ni ardhi ya mrusi subir muone hlf bado madude ya kiduku.

Kwa asiyejua na anaesikiliza media za magharibi lazima amchukie Putin na amuone dictator ila ukimfatilia unajua dunia bila yeye dunia itafika mwisho haraka sana.

Long live Vladimir Putin Chuma.
Ezekiel Kamwaga

Mchambuzi

Chanzo cha picha, Getty Images

[https://res]

Maelezo ya picha, Kumekuwa na msururu mrefu huku wakazi wa Kiev wakijaribu kuutoroka mji kutokana na mashambulio ya makombora ya vikosi vya Urusi

WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson na Rais wa Marekani, Joe Biden, tayari wameeleza hatua ya Russia kuivamia Ukraine kijeshi kama "janga na doa katika masuala ya uhusiano wa kimataifa". Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, ameelezea uvamizi huo kama ni hatua ya mwanzo ya mlolongo wa vita zitakazofuata katika eneo la Ulaya Mashariki.

Ni rahisi kuona kwa upande wa Ulaya na Marekani ni kwa vipi uvamizi huo ni tukio la kihistoria. Tangu kumalizika kwa Vita Kuu vya pili vya Dunia 1939-1945, hakuna nchi ya Ulaya iliyoivamia kijeshi nchi nyingine na kwa kiasi kikubwa ilionekana masuala ya kupigana vita yatabaki katika vitabu vya historia pekee.

Hotuba ya Rais Vladmir Putin alfajiri ya Februari 24 mwaka huu imebadili upepo. Katika hotuba yake ya kutangaza uvamizi, Rais huyo wa Russia alitoa sababu kubwa mbili za uvamizi - mosi kutimiza matakwa ya kimkakati ya kijeshi na pili kuondoa hatari ya siasa za kibaguzi kwa nchi hiyo jirani.

Katika dunia ya sasa ya utandawazi, ni wazi kwamba eneo muhimu kidunia kama Ulaya Mashariki likipata 'chafya' ya namna hii, ni lazima maeneo mengine dunia yashikwe na 'mafua'. Pasi na shaka yoyote, Afrika, kama ilivyo kwingineko duniani, itaathirika na mgogoro huu.

Ni kwa vipi Afrika itaathirika?

Mpaka sasa, sauti kubwa rasmi ambayo imepigwa na Afrika kuhusiana na mgogoro wa Ukraine ni hotuba ya Mwakilishi wa Kenya katika Umoja wa Mataifa (UN), Martin Kimani, aliyeonya kwamba hatua ya Urusi kutoheshimu mipaka iliyowekwa kwa sheria za kimataifa ni hatari kwa amani na utulivu wa dunia.

[https://res]

Chanzo cha picha, Getty Images

Ukraine ilikuwa sehemu ya Urusi ya Kisovieti kwenye miaka ya nyuma na Kimani alionya kwamba kwa bara kama la Afrika ambalo mipaka baina ya nchi zake iliwekwa na wakoloni, Russia inaweza kuchochoea nchi nyingine nazo ziamue kuvamiana kwa kuzingatia historia za miaka ya nyuma badala ya taratibu za kisasa zinazohusika na masuala ya mipaka.

Huo ni upande mmoja wa shilingi. Matatizo ya mipaka yanaweza kutokea kwenye miaka ijayo lakini kwa sasa - kwa wakati huu ambapo tayari vita vimelipuka huko Ukraine, Afrika tayari imeingia katika matatizo ambayo haikuwa nayo mwishoni mwa mwaka jana.

Jambo la kwanza ambalo litaanza kuiumiza Afrika ni kupanda kwa bei za mafuta. Mara tu baada ya kuanza kwa vita, bei ya mafuta tayari imepanda kufikia zaidi ya dola 100 kwa pipa - kiwango kikubwa zaidi cha kupanda kwa bei tangu mwaka 2014. Urusi ni miongoni mwa wasambazaji wakubwa wa nishati ya gesi na mafuta duniani na mgogoro huu utaathiri uzalishaji wake ama kwa vikwazo ambavyo tayari vimewekwa na taifa moja moja kama vila Marekani na Uingereza pamoja na Umoja wa Ulaya au kwa changamoto za kivita.

Afrika tayari inapitia katika kipindi kigumu kiuchumi. Wiki iliyopita, BBC Swahili iliripoti kuhusu kupanda kwa gharama za uchumi nchini Kenya kiasi cha kuzua malalamiko makubwa kutoka kwa wananchi. Ni wazi kupanda kwa bei ya mafuta kutaongeza bei zaidi ya bidhaa mbalimbali na kufanya hali kuwa ngumu zaidi.

Wiki tatu zilizopita, Waziri wa Nishati wa Tanzania, January Makamba, alionya bungeni jijini Dodoma kuhusu uwezekano wa kupanda zaidi kwa bei ya mafuta kutokana na mgogoro huu. Kupanda kwa bei ya mafuta huanzisha mnyororo wa kupanda kwa bei za uzalishaji na usafirishaji wa bidhaa. Tatizo kubwa zaidi kiuchumi ni kwamba sasa nchi zitalazimika kutumia fedha nyingi zaidi za kigeni kuagiza mafuta kuliko kawaida na hili huathiri akiba ya fedha za kigeni ya nchi na kupunguza matumizi ya fedha ambazo zingetumika kwenye mambo mengine muhimu.

Hali ni mbaya zaidi Kaskazini mwa Afrika

[https://res]

Chanzo cha picha, BASHIR AHMED/TWITTER

Pengine kuliko eneo lolote la Afrika, upande wa Kaskazini utaathirika zaidi kiuchumi na vita hivi kuliko eneo lingine lolote. Jambo la kwanza kuzingatia ni kwamba kwa mujibu wa takwimu za Wizara ya Kilimo ya Marekani, kabla hata ya vita hivi, viwango vya mfumuko wa bei vilivyopo sasa katika eneo hilo vinakaribiana na vile vilivyokuwepo wakati wa mapinduzi yaliyopewa jina la Arab Springs takribani miaka 11 iliyopita.

Urusi na Ukraine ndiyo wasambazaji wakuu wa ngano na mazao mengine ya nafaka duniani. Misri, nchi yenye watu wengi na ushawishi mkubwa zaidi katika eneo la Kaskazini mwa Afrika ndiyo mwagizaji mkuu wa ngano duniani. Ngano ni muhimu kwa taifa hilo kiasi kwamba waandamanaji waliomng'oa madarakani Rais Hosni Mubarak walikuwa wakililia zaidi mambo mawili tu; mkate na uhuru.

Uagizwaji wa bidhaa na nafaka nyingi kutoka Urusi na Ukraine hufanyikia kupitia Bahari Nyeusi (Black Sea) na kama vita hivi vitasababisha vikwazo au masharti ya usafirishaji kupitia njia hiyo, itabidi njia nyingine itafutwe. Hilo litaongeza gharama maradufu kwa kutumia njia tofauti katika mazingira ambayo bei tayari zitakuwa zimepanda.

Tayari Mpango wa Chakula Duniani (WFP) umeonya kwamba mgogoro wa Urusi na Ukraine unaweza kuwa na athari mbaya za kupandisha bei za vyakula na kusababisha njaa kwa masikini katika eneo la Kaskazini mwa Afrika. Taarifa iliyotolewa na WFP hivi karibuni iliweka bayana kwamba pengine huu ni wakati mbaya zaidi kuwa na mgogoro wa kivita kwenye eneo muhimu kwa uzalishaji wa chakula.

Chanzo cha picha, Getty Images

[https://res]

Maelezo ya picha, Biashara ya mauzo ya chai ya Kenya kwa Urusi inaingia shakani kutokana na vita ya Ukraine

Katika eneo la Afrika Mashariki, Kenya itapata pia athari za kiuchumi. Yenyewe ni mwagizaji mkuu wa ngano kutoka Urusi katika ukanda huu lakini yenyewe pia ni muuzaji mkubwa wa chai yake kwa taifa hilo. Mwaka 2021 pekee, Kenya iliuza chai yenye thamani ya shilingi za Kenya bilioni 6.2 kwa Urusi katika kipindi cha kati ya Januari mpaka Novemba 2021. Biashara hii sasa inaingia shakani kutokana na vita hivi.

Masuala ya Kijeshi, Diplomasia na Usalama kwa Afrika

Vita ya Russia na Ukraine vinaliweka bara la Afrika katika nafasi ngumu kwenye uhusiano wake na nchi kubwa duniani. Ingawa inaonekana kama ni mgogoro baina ya nchi mbili, lakini huu ni mgogoro kati ya Russia na nchi za Magharibi.

Katika miaka ya karibuni, Urusi imeanza kujitanua Afrika. Imeanza kutoa misaada ya kijeshi kwa nchi za Afrika kuanzia katika eneo la Mashariki, Pembe ya Afrika na Afrika ya Kati. Nchi nyingi za Afrika tayari zina makubaliano na mikataba ya kijeshi na nchi za Magharibi kama Uingereza na Marekani ambazo ziko tofauti na Urusi kwenye mgogoro huu.

Isivyo bahati, Afrika haina nchi yenye hadhi ya taifa kubwa (super power) na kuchagua upande katika mgogoro huu si jambo lenye afya kidiplomasia. Namna pekee ya kuendelea kubaki na marafiki wote ni kufuata siasa za kutofungamana na upande wowote. Kwa namna hii, nchi za Afrika zitakuwa na urafiki wa kuendelea na mikataba na makubaliano yake ya awali na mahasimu wote wanaopambana katika vita hii.

Chanzo cha picha, AFP

[https://res]

Maelezo ya picha, Sanamu za jeshi la Urusi zilisimikwa katika mji mku wa Jamuhuri ya Afrika ya Kati, (CAR), Bangui, mwaka jana, alama ya ushirikiano wa kiusalama wa Urusi barani Afrika.

Tatizo kubwa zaidi kwa Afrika sasa litakuwa ni namna mgogoro huu utakavyohamisha matatizo yote ya dunia katika eneo moja. Kihistoria, maisha ya watu wa Ulaya huwa na thamani kuliko ya Waafrika au kwingine duniani na hili litafanya jitihada zote za masuala ya haki za binadamu, njaa, ulinzi na usalama kuangalia kwenye eneo hilo la Bahari Nyeusi.

Hii maana yake ni kwamba maeneo kama Sudan, Somalia, Sudan Kusini, Mali, Msumbiji na kwingine ambako kulianza kutazamwa kwa kina, sasa kutapunguzwa umuhimu wakati jamii ya kimataifa ikitazama Ukraine. Ni vigumu kubashiri kwa kina nini hasa itakuwa athari ya hili kwenye masuala ya ulinzi na usalama kwa Afrika.

Kwa sababu Urusi na Ukraine ni ndugu, hakuna msemo wa Kiswahili unaosadifu nyakati hizi kama ule usemao; "ndugu wakigombana chukua jembe ukalime, na wakipatana chukua kapu ukavune". Huu ni wakati wa Afrika kujikita kwenye mambo ya kuondoa utegemezi wa nafaka na mazao kutoka Ulaya, kupunguza matumizi yasiyo ya lazima na kutumia vyema akiba yake ya fedha za kigeni iliyopo.

Jambo moja ambalo liko wazi ni kwamba chafya ya Ukraine tayari italeta mafua makali.
 
Wew kangamoko warusi sio waarabu hizo ak47 ni zao Sasa unawalinganisha na Hao wafuga ndevu
Wewe huna tofauti na mbuni anayejichimbia kichwa mchangani akidhani mwili nao hauto onekana
 
.
Screenshot_20220226-125632.jpg
Screenshot_20220226-124824.jpg
 
Kuna watu waridhani Putin anaiogopa NATO na waliomba avamie sasa kavamia, sijui mtapitaje hapa.

Kwa kifupi media zilizo Africa, Ulaya na america taarifa mnazipata moja kwa moja kwa kingereza au kifaransa muda mwingine hata kwa kiswahili.

Ila nauhakika kuna watu hawajui kama china alishatangaza yupo na urus, pamoja na north korea wapo pamoja kwa shida na raha.

Na moja kubwa kuna makampuni ya marekani yamewekewa vikwazo china ni siku tatu nne nyuma ila watu hawajui kama wanachaguliwa taarifa za kusikia.

"Mwisho russia sababu anazo, nguvu anayo na uwezo anao ".

Mpaka putin kaamua ndio mjue marekani wamevunja mikataba kupitiliza zaidi ya miaka kumi russia kavumilia na marekani anajifanya superpower kwa superpower mwenzake wakati ile ni ardhi ya mrusi subir muone hlf bado madude ya kiduku.

Kwa asiyejua na anaesikiliza media za magharibi lazima amchukie Putin na amuone dictator ila ukimfatilia unajua dunia bila yeye dunia itafika mwisho haraka sana.

Long live Vladimir Putin Chuma.
Kwa hiyo kwa uelewa wako unafikiri haya MATAIFA matatu wanaweza kufanya chochote wanachotaka?. Nikusaidie kitu shetani anapotaka kukuangusha anakukweza sana kwanza. Baadaye utapata anguko kuu.
 
Hana uwezo wa kutawala dunia, Yeye kama Superpower amefanya nini alipowekewa vikwazo?

Putin amefanya nini kwa ustawi wa dunia? Dunia ya wastaarabu hawapendi vita ndio maana wanamuona kama kichaa mmoja, Unafikiri US na NATO wakiingia nini kitatokea? Vita ya Dunia ya 3.
Sasa hao unaowatetea si ndio waharibifu wakubwa. Au zile nchi za kiarabu alizoenda kuchafua US wao sio binadamu?
Msijitie hamnazo, mgogoro wa Ukraine ipo wazi chokochoko wamezianzisha wamarekani. Kwanini wazidi kusogeza na kuweka kambi kwenye mpaka wa Ukraine na Russia. Hili aah mainstream za magharibi hawalisemi. Kunya anye Russia, akinya US ni sawa.
Russia aliheshimu akaondoa jeshi mpaka wa Cuba na US, sasa iweje wao wafanye kilekile tena mpaka wa Ukraine na Russia?
 
Back
Top Bottom