Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Hayo tegemea kwenye serikali za kidemokrasia ila sio nchi kama urusi, china na korea kaskazini hao viongozi watatoka kwa sababu zingine ila sio wananchiHata saidia kitu maana anakuwa katikq hatar ya kunduliwa
Hakuna msafara wa Urusi ulioteketezwa,achana na propaganda na video game."Haiwezekani nipeleke msafara wa vifaru wenye urefu wa km 64 kwenda kupigana na comedian harafu msafara wote uteketezwe . kuna hujuma nafanyiwa hapa.Nimeamua kubadirisha makamanda . kwa kweli msiniangushe " alisikika kichaa Putin waπ·πΊπ·πΊπ·πΊπ·πΊπ·πΊπ·πΊ.ππππππ
Wengi wamekupongeza bila kufikiri kwa mfano wako.Kumbe ulikuwa hujamuoa wakati huo.Muda huu hata kama yupo jirani nimuone akikenua na mke wangu.Kwa lugha rahisi utakayoielewa:
Ukraine kujiunga NATO na kumsogeza USA sebuleni ni sawa na mshkaji aliyekuwa amamgonga mkeo kabla hujamuoa kuhamia nyumba opposite kabisa na hapo kwenu huku wewe ukiwa mfanyabiashara unayesafiri sana.
Umenisoma au nifafanue zaidi?
Kwa mipasho hujambo ningekuwa Putin ningekupiga kwa Bomu la nyuklia la peke yako una shombo mingi sana wwmzee puto kapagawa mwezi na nusu sasa ameshindwa kumaliza mchezo, na majeshi yake yamekula mkong'oto yamerudi nyuma, sasa imebidi ajipange tena maana alifikiri vita ingekuwa rahisi kwake amebweeka mara ohh naweka makombora ya nyuklia kwenye high alert wanaume wanamtazama tu wala hawatishiki, mara ohh wanajeshi wa ukraine wajisalimishe wenyewe, wanaume wakakaza, mara ohh atakayemsaidia ukraine nitadeal nae, ukraine kasaidiwa na anaendelea kusaidiwa, sasa chawa wa russia wakasema ohh zelensky ashakimbia nchi, Boris jana alikuwa naye kyiev anagonga mvinyo huku wakilicheka babu puto kwa zerauu, na Italy ashasema soon anareopen ubalozi wake, huku finland na sweden inatarajiwa soon watajoin nato. Kwa kifupi putin kwa sasa anachezeshwa kama mwanasesere kufanya regime change aweke kibaraka wake ameshindwa, kwenye uchumi amefeli, rafikiye mchina amamtazama kwa mbaaaaali maana anajua kwa sasa russia ananuka nuksi na shombo laana so hataki kujiungamnisha naye kwa 100% maana anajua urusi kiuchumi si size yake yeye kwa sasa anataka ampiku US. Huku rafikiye Imran Khan wa pakistan naye kafurushwa yaan ni sheeeda. Sasa hapo anapambana na ukraine anatokwa na jasho la nywele halafu eti ndo awe na uwezo wa kuikabili nato thubutuuuu ingawa warusi wa mchambawima na matombo watabisha maana wana mahaba sana na babu puto na watakwambia babu puto ana akili nyingi sanaaaaa.
Kwa mipasho hujambo ningekuwa Putin ningekupiga kwa Bomu la nyuklia la peke yako una shombo mingi sana ww
Wanaua watu wengi hata hesabu ni shida kupatikana kwenye matanga na harusi na tume hazileti majibu yoyote na wala haiwi nongwa.Lakini waliokufa kituo cha treni imekuwa shida zaidi.Naamini haikukusudiwa kama anavyofanya Marekani.Hivi puttin angeamua kuuwa innocent people tena kwa mabomu kama wafanyavyo marekani na Nato kwenye nchi za kiarabu, i think masaa 72 tu angeshamaliza kazi.
Kweli duniani hatari sana. Kwa iyo Russia anataka kusema vita ikiisha ataweza kukalia UkraineWanaua watu wengi hata hesabu ni shida kupatikana kwenye matanga na harusi na tume hazileti majibu yoyote na wala haiwi nongwa.Lakini waliokufa kituo cha treni imekuwa shida zaidi.Naamini haikukusudiwa kama anavyofanya Marekani.