Vita ya vifaru kule Vulhedar/Bakhmut ishara ya ushujaa wa Urusi

Vita ya vifaru kule Vulhedar/Bakhmut ishara ya ushujaa wa Urusi

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Bosi wa Wagner Prigozin sasa ametangaza rasmi kuikalia Bakhmut. Hata mkuu wa NATO naye japo hajasema kwa wazi naye amekubali kazi ya Bakhmut imeisha kwani yeye ametabiri kuanguka kwa Bakhmut baada ya siku tatu.

Sijui kama alichosema raisi Zelensky kama ni kweli dhidi ya uvumi kwamba ana msuguano mkubwa na makamanda wake waliotaka kuuachia mji huo mapema zaidi ili madhara kwa upande wao yasiongezeke.

Pamoja na hayo ni kweli Urusi imepata hasara kubwa na kuonesha ushujaa mkubwa katika vita kinyume na matangazo ya Uiengereza.

Imetajwa kwamba eneo la Vulhedar ilikuwa ni lazima warusi wapite ili kuingiza askari wake wa miguu katikati ya mji. Eneo lote likiwa limetegeshwa mabomu ya kuripua mizinga na huku wanajeshi wa Ukraine wakiwa wamejifcha maeneo ya vilima wakivizia vifaru hivyo kwa msaada wa upelelezi wa droni.

Walichofanya Urusi ni kuvurumisha vifaru vyake usawa huo huo hata kikiripuliwa kingine kinafuata njia hiyo hiyo kama kwamba cha mbele yake ndio kimesafisha njia.

Wanachosema Ukraine jumla ya vifaru 130 vya Urujsi siku hiyo viliripuliwa lakini hatimae vya nyuma vilifika mjini. Angalia vidio hapo chini Hao askari wa miguu nao waliofika huko walijipanga vikosi vidogo 20 ishirini.

Waukraine wanadai wakifika 20 wanawauwa lakini baada dakika 20 wanakuja wengine ishirini mpaka wakajichokea na kumaliza silaha zao. Kwa hakika hii ya Urusi ni dalili ya ushujaa wa hali ya juu katika vita na sidhani kama America ina askari kama hao.

Alichotabiri Zelenksy kuhusu Bakmut na kwamba wanasubiri vifaru vya NATO vifike wiki ijayo itakuwa ni dalili kuvujisha siri za vita na vilivyoipa mbinu Urusi kumalizia kazi yake mjini humo.
 
Duuh iyo video kibokoo aiseee

Tatizo na eneo lenyewe lipo open sana hapo lazima muwe targeted tu ila jamaa kwa kujitoa sadaka hawajambo[emoji119][emoji119][emoji119]mpaka wamefanikiwa lengo lao
Njia zote zilikuwa zimezibwa na kutegeshwa.Hapo kwenye bonde napo pia Lakini kifaru kinapenya. Jamaa anaona cha mwenzake kimesharipuka na yeye anapeleka hapo hapo.Na kifaru chake kikipigwa sio anasimama.Kinyume chake anaongeza mwendo ili kikaripukie na kuungua mbele kwa mbele.Ni ushujaa wa aina yake.
 
Njia zote zilikuwa zimezibwa na kutegeshwa.Hapo kwenye bonde napo pia Lakini kifaru kinapenya. Jamaa anaona cha mwenzake kimesharipuka na yeye anapeleka hapo hapo.Na kifaru chake kikipigwa sio anasimama.Kinyume chake anaongeza mwendo ili kikaripukie na kuungua mbele kwa mbele.Ni ushujaa wa aina yake.
Zilizotangulia ni unmaned
 
Kwa upande wangu tukiacha ushabiki pembeni, naona kama mwisho wa vita Kati ya Russia na Ukraine inakwenda kuishia pabaya zaidi.
Ukraine bado hajarusha silahaa ndani ya Russia kwasababu bado anajilinda...sababu anajua yeye.

Russia bado anatumia Askari wa kukodi kwa wingi pamoja na wafungwa akijua kuwa vita bado mbichi sana...sijui siku akiwaingiza askari wake kamili.

Nchi zinazomuunga Ukraine bado wanapeleka msaada interns of Money na Silaa siku...je siku wakiamua kuingiza askari wao pamoja na silahaa zao?

Nchi zinazomuunga Russia bado wanatoa msaada wa silahaa...je siku wakiamua kuingiza msaada wa askari na wataalam wao?

Sioni vita hii ikiacha Dunia sehemu salama pa kuishi tena.
Mmoja ataumia sana either Russia au Ukraine ndo vita itaisha, kwasasa Ukraine bado hajaumia sana kwasababu Russia anaumiza miundombinu kama majengo nk.
Russia hajaumia mpaka sasa kwasababu ajaanza kushambuliwa nyumbani kwake na yeye aanze kujilinda.

Tuombe vita iishe ili Dunia iwe sehemu salama pa kuishi.
 
Mwenyewe nimejiuliza hili maana jamaa hawawezi jitoa kafara kiboya ivyo



Na hata pale jamaa anasema wanatembea 20 wakiuwawa wanakuja wengine nahisi ni roboti izo
Nafikiri kuna msukumo mkubwa wa nguvu za rohoni ktk vita hivi. Ni kama vile kuzimu imekinga bakuli ili kunywa damu za watu.

Kila siku wanadondoka mamia ya watu kufa huko.
 
Bosi wa Wagner Prigozin sasa ametangaza rasmi kuikalia Bakhmut. Hata mkuu wa NATO naye japo hajasema kwa wazi naye amekubali kazi ya Bakhmut imeisha kwani yeye ametabiri kuanguka kwa Bakhmut baada ya siku tatu.

Sijui kama alichosema raisi Zelensky kama ni kweli dhidi ya uvumi kwamba ana msuguano mkubwa na makamanda wake waliotaka kuuachia mji huo mapema zaidi ili madhara kwa upande wao yasiongezeke.

Pamoja na hayo ni kweli Urusi imepata hasara kubwa na kuonesha ushujaa mkubwa katika vita kinyume na matangazo ya Uiengereza.

Imetajwa kwamba eneo la Vulhedar ilikuwa ni lazima warusi wapite ili kuingiza askari wake wa miguu katikati ya mji. Eneo lote likiwa limetegeshwa mabomu ya kuripua mizinga na huku wanajeshi wa Ukraine wakiwa wamejifcha maeneo ya vilima wakivizia vifaru hivyo kwa msaada wa upelelezi wa droni.

Walichofanya Urusi ni kuvurumisha vifaru vyake usawa huo huo hata kikiripuliwa kingine kinafuata njia hiyo hiyo kama kwamba cha mbele yake ndio kimesafisha njia.

Wanachosema Ukraine jumla ya vifaru 130 vya Urujsi siku hiyo viliripuliwa lakini hatimae vya nyuma vilifika mjini. Angalia vidio hapo chini Hao askari wa miguu nao waliofika huko walijipanga vikosi vidogo 20 ishirini.

Waukraine wanadai wakifika 20 wanawauwa lakini baada dakika 20 wanakuja wengine ishirini mpaka wakajichokea na kumaliza silaha zao. Kwa hakika hii ya Urusi ni dalili ya ushujaa wa hali ya juu katika vita na sidhani kama America ina askari kama hao.

Alichotabiri Zelenksy kuhusu Bakmut na kwamba wanasubiri vifaru vya NATO vifike wiki ijayo itakuwa ni dalili kuvujisha siri za vita na vilivyoipa mbinu Urusi kumalizia kazi yake mjini humo.

Tumekusikia msemaji wa Wagner group na Urusi, muhimu unashindwa kuutambua nguvu na ujasiri wa Ukraine hapo tu ndo unapokosea msemaji.

Ukraine ni mbabe wa Russia, enzi za kuogopwa mrusi na majirani zake zimepitwa na wakati, mwaka umekata Putin ameshindwa kutwa Kyiv, alijaribu kupeleka pua yake Kyiv alichokipata hatamani kurudia tena.

Urusi anaendelea kupata hasara kila kukicha, jaribu kuwa mkweli ndg msemaji USA is another level, angekuwa ni USA mda huu tungekuwa tunazungumzia kusafisha safisha tu na kutoa msaada kwa raia wa huko baada ya mkong'oto mkali.

Urusi wamefeli bwashee, tuweke ushabiki maandazi pembeni, eb twende kiuhalisia, sioni kama mrusi atafanikiwa kilichobaki ni kujaribu kufuta aibu tu
 
Kwa upande wangu tukiacha ushabiki pembeni, naona kama mwisho wa vita Kati ya Russia na Ukraine inakwenda kuishia pabaya zaidi.
Ukraine bado hajarusha silahaa ndani ya Russia kwasababu bado anajilinda...sababu anajua yeye.

Russia bado anatumia Askari wa kukodi kwa wingi pamoja na wafungwa akijua kuwa vita bado mbichi sana...sijui siku akiwaingiza askari wake kamili.

Nchi zinazomuunga Ukraine bado wanapeleka msaada interns of Money na Silaa siku...je siku wakiamua kuingiza askari wao pamoja na silahaa zao?

Nchi zinazomuunga Russia bado wanatoa msaada wa silahaa...je siku wakiamua kuingiza msaada wa askari na wataalam wao?

Sioni vita hii ikiacha Dunia sehemu salama pa kuishi tena.
Mmoja ataumia sana either Russia au Ukraine ndo vita itaisha, kwasasa Ukraine bado hajaumia sana kwasababu Russia anaumiza miundombinu kama majengo nk.
Russia hajaumia mpaka sasa kwasababu ajaanza kushambuliwa nyumbani kwake na yeye aanze kujilinda.

Tuombe vita iishe ili Dunia iwe sehemu salama pa kuishi.
Ukraine kuna kitu anamuandalia Russia, ipo siku mtu atatumia nuke kwa lazima
 
Back
Top Bottom