Vita ya vifaru kule Vulhedar/Bakhmut ishara ya ushujaa wa Urusi

Vita ya vifaru kule Vulhedar/Bakhmut ishara ya ushujaa wa Urusi

Yaonekana ni watu,kuna watu wanaonekana wakiruka baada ya kulipuliwa,
Inaonekana ni hivyo.Ni watu.Robot lisingetoka mwishoni kifaru kinapomalizikia kuungua na kukosa mwendo.
Hawa askari wa vifaru hivi ndio wale waliolalamikiwa na Ukraine kuwa sasa Urusi inatumia askari wake wenye uzoefu na utaalamu zaidi kutupiga. .Hao ndio wale waliokula viapo vya kijeshi na kukaa na ujuzi wao pengine tangu wajiunge na jeshi bila kuutumia. Pale vifaru vimepangwa kwenye mstari unapewa amri moja,....mbili....tatu ....Ondoa !. Ukitekeleza kule mbele unaweza ukaripuliwa ukafa au ukavuka na kufika nga'mbo ya pili,Lakini ukikataa amri unauliwa moja kwa moja.Uchaguzi wa kishujaa wa mwanzo ni bora kuliko kupigwa risasi au kupigwa na nyundo za kupasulia mawe ambazo Prigozin anazo.
 
Tumekusikia msemaji wa Wagner group na Urusi, muhimu unashindwa kuutambua nguvu na ujasiri wa Ukraine hapo tu ndo unapokosea msemaji.

Ukraine ni mbabe wa Russia, enzi za kuogopwa mrusi na majirani zake zimepitwa na wakati, mwaka umekata Putin ameshindwa kutwa Kyiv, alijaribu kupeleka pua yake Kyiv alichokipata hatamani kurudia tena.

Urusi anaendelea kupata hasara kila kukicha, jaribu kuwa mkweli ndg msemaji USA is another level, angekuwa ni USA mda huu tungekuwa tunazungumzia kusafisha safisha tu na kutoa msaada kwa raia wa huko baada ya mkong'oto mkali.

Urusi wamefeli bwashee, tuweke ushabiki maandazi pembeni, eb twende kiuhalisia, sioni kama mrusi atafanikiwa kilichobaki ni kujaribu kufuta aibu tu
Nakuona USA wa buza [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Tumekusikia msemaji wa Wagner group na Urusi, muhimu unashindwa kuutambua nguvu na ujasiri wa Ukraine hapo tu ndo unapokosea msemaji.

Ukraine ni mbabe wa Russia, enzi za kuogopwa mrusi na majirani zake zimepitwa na wakati, mwaka umekata Putin ameshindwa kutwa Kyiv, alijaribu kupeleka pua yake Kyiv alichokipata hatamani kurudia tena.

Urusi anaendelea kupata hasara kila kukicha, jaribu kuwa mkweli ndg msemaji USA is another level, angekuwa ni USA mda huu tungekuwa tunazungumzia kusafisha safisha tu na kutoa msaada kwa raia wa huko baada ya mkong'oto mkali.

Urusi wamefeli bwashee, tuweke ushabiki maandazi pembeni, eb twende kiuhalisia, sioni kama mrusi atafanikiwa kilichobaki ni kujaribu kufuta aibu tu

Us kwenye vita ni habari nyingine mzee! Kule Syria mamluki wa Wagner pamoja na askari wa Syria walijaribu kushambulia base ya Wamarekani kwenye mji khasham.

Kipigo walichopata ilibidi watubu tu.
 
Kwa upande wangu tukiacha ushabiki pembeni, naona kama mwisho wa vita Kati ya Russia na Ukraine inakwenda kuishia pabaya zaidi.
Ukraine bado hajarusha silahaa ndani ya Russia kwasababu bado anajilinda...sababu anajua yeye.

Russia bado anatumia Askari wa kukodi kwa wingi pamoja na wafungwa akijua kuwa vita bado mbichi sana...sijui siku akiwaingiza askari wake kamili.

Nchi zinazomuunga Ukraine bado wanapeleka msaada interns of Money na Silaa siku...je siku wakiamua kuingiza askari wao pamoja na silahaa zao?

Nchi zinazomuunga Russia bado wanatoa msaada wa silahaa...je siku wakiamua kuingiza msaada wa askari na wataalam wao?

Sioni vita hii ikiacha Dunia sehemu salama pa kuishi tena.
Mmoja ataumia sana either Russia au Ukraine ndo vita itaisha, kwasasa Ukraine bado hajaumia sana kwasababu Russia anaumiza miundombinu kama majengo nk.
Russia hajaumia mpaka sasa kwasababu ajaanza kushambuliwa nyumbani kwake na yeye aanze kujilinda.

Tuombe vita iishe ili Dunia iwe sehemu salama pa kuishi.
Ukisema Ukraine 🇺🇦 Hajaumia una maanisha nini?
 
Us kwenye vita ni habari nyingine mzee! Kule Syria mamluki wa Wagner pamoja na askari wa Syria walijaribu kushambulia base ya Wamarekani kwenye mji khasham.

Kipigo walichopata ilibidi watubu tu.
Labda inabidi usome tena historia ya Syrian civil war
Ongezea na ya Afghanistan na Iraq

Halafu uje uoneshe u habari nyingine wa USA 🇺🇸 kwenye vita
 
Inaonekana ni hivyo.Ni watu.Robot lisingetoka mwishoni kifaru kinapomalizikia kuungua na kukosa mwendo.
Hawa askari wa vifaru hivi ndio wale waliolalamikiwa na Ukraine kuwa sasa Urusi inatumia askari wake wenye uzoefu na utaalamu zaidi kutupiga. .Hao ndio wale waliokula viapo vya kijeshi na kukaa na ujuzi wao pengine tangu wajiunge na jeshi bila kuutumia. Pale vifaru vimepangwa kwenye mstari unapewa amri moja,....mbili....tatu ....Ondoa !. Ukitekeleza kule mbele unaweza ukaripuliwa ukafa au ukavuka na kufika nga'mbo ya pili,Lakini ukikataa amri unauliwa moja kwa moja.Uchaguzi wa kishujaa wa mwanzo ni bora kuliko kupigwa risasi au kupigwa na nyundo za kupasulia mawe ambazo Prigozin anazo.
Kumbe umeona kama nilivoona,yani wambele yako kifaru kimelipuliwa alafu nawewe unatafuta upenyo usonge mbele zaidi,hawa ni binadamu kabisa na sio roboti, nimeiona kadhaa baada ya mlipuko wanaluka
 
Sijaelewa mleta mada anasifia Russia Kwa kuwatoa askari wake kafara,,au anasifia jinsi waukraine walivyowatembezea mkong'oto askari wa urusi. ,Aliyeelewa afafanue tafadhari [emoji16]
 
Tumekusikia msemaji wa Wagner group na Urusi, muhimu unashindwa kuutambua nguvu na ujasiri wa Ukraine hapo tu ndo unapokosea msemaji.

Ukraine ni mbabe wa Russia, enzi za kuogopwa mrusi na majirani zake zimepitwa na wakati, mwaka umekata Putin ameshindwa kutwa Kyiv, alijaribu kupeleka pua yake Kyiv alichokipata hatamani kurudia tena.

Urusi anaendelea kupata hasara kila kukicha, jaribu kuwa mkweli ndg msemaji USA is another level, angekuwa ni USA mda huu tungekuwa tunazungumzia kusafisha safisha tu na kutoa msaada kwa raia wa huko baada ya mkong'oto mkali.

Urusi wamefeli bwashee, tuweke ushabiki maandazi pembeni, eb twende kiuhalisia, sioni kama mrusi atafanikiwa kilichobaki ni kujaribu kufuta aibu tu
Kama vile iraq afghanstan vietnam ilikua masaa tu eti
 
Tumekusikia msemaji wa Wagner group na Urusi, muhimu unashindwa kuutambua nguvu na ujasiri wa Ukraine hapo tu ndo unapokosea msemaji.

Ukraine ni mbabe wa Russia, enzi za kuogopwa mrusi na majirani zake zimepitwa na wakati, mwaka umekata Putin ameshindwa kutwa Kyiv, alijaribu kupeleka pua yake Kyiv alichokipata hatamani kurudia tena.

Urusi anaendelea kupata hasara kila kukicha, jaribu kuwa mkweli ndg msemaji USA is another level, angekuwa ni USA mda huu tungekuwa tunazungumzia kusafisha safisha tu na kutoa msaada kwa raia wa huko baada ya mkong'oto mkali.

Urusi wamefeli bwashee, tuweke ushabiki maandazi pembeni, eb twende kiuhalisia, sioni kama mrusi atafanikiwa kilichobaki ni kujaribu kufuta aibu tu
Umejaribu kuzingatia vikwazo alivyowekewa Urusi na support anayopata Ukraine kutoka NATO na EU? Je, unajua US walishindwa kumtoa Assadi pale Syria sababu ya support ya Russia? Tuweke ushabiki pembeni twende kwenye reality.
 
Kwa upande wangu tukiacha ushabiki pembeni, naona kama mwisho wa vita Kati ya Russia na Ukraine inakwenda kuishia pabaya zaidi.
Ukraine bado hajarusha silahaa ndani ya Russia kwasababu bado anajilinda...sababu anajua yeye.

Russia bado anatumia Askari wa kukodi kwa wingi pamoja na wafungwa akijua kuwa vita bado mbichi sana...sijui siku akiwaingiza askari wake kamili.

Nchi zinazomuunga Ukraine bado wanapeleka msaada interns of Money na Silaa siku...je siku wakiamua kuingiza askari wao pamoja na silahaa zao?

Nchi zinazomuunga Russia bado wanatoa msaada wa silahaa...je siku wakiamua kuingiza msaada wa askari na wataalam wao?

Sioni vita hii ikiacha Dunia sehemu salama pa kuishi tena.
Mmoja ataumia sana either Russia au Ukraine ndo vita itaisha, kwasasa Ukraine bado hajaumia sana kwasababu Russia anaumiza miundombinu kama majengo nk.
Russia hajaumia mpaka sasa kwasababu ajaanza kushambuliwa nyumbani kwake na yeye aanze kujilinda.

Tuombe vita iishe ili Dunia iwe sehemu salama pa kuishi.
Siku Russia akishambuliwa nyumbani naenda kulala bar na kufanya sherehe hapa Picnic ARUSHA nimetenga elfu 50000 mkuu
 
Back
Top Bottom