Vita ya vifaru kule Vulhedar/Bakhmut ishara ya ushujaa wa Urusi

Nani aliyekuambia Russia anatumia askar wa kukodi tu? Kwa taarifa Yako Kuna makamanda wa juu kabisa wa Urusi tena wengi tu wameshapoteza maisha kwenye hii vita.
 
Sijaelewa mleta mada anasifia Russia Kwa kuwatoa askari wake kafara,,au anasifia jinsi waukraine walivyowatembezea mkong'oto askari wa urusi. ,Aliyeelewa afafanue tafadhari [emoji16]
Iko wazi kabisa kuwa tunasifia ushujaa.Iwapo wameamua kupigana na kushinda ni lazima wapigane.Pale wamekufa na wamepoteza vifaru vyao vya kizamani ambavyo vimekaa miaka mingi kwenye maghala na mwishowe wamepenya mpaka Bakhmut. Utawaita vipi askari kama wale wa Marekani waliokimbizwa mbio kule Kabul na wana ndege za kivita na vifaru na kila kitu.
 
Umejaribu kuzingatia vikwazo alivyowekewa Urusi na support anayopata Ukraine kutoka NATO na EU? Je, unajua US walishindwa kumtoa Assadi pale Syria sababu ya support ya Russia? Tuweke ushabiki pembeni twende kwenye reality.
Assad nguvu kubwa inayomlinda ni Iran.
Hata hivyo Syria imemegeka sana.
 
USA ameondoka Afghanistan sio kwasababu ameshindwa bali alishapoteza interest zake Kabul..
Na Kama ulimsikiliza Biden vizuri alishasema majeshi yao kukaa Kabul yanaongeza tu bajeti ya nchi bila manufaa yeyote.
 
Muwe mnakumbuka kutuma na salam za rambirambi
 
Labda inabidi usome tena historia ya Syrian civil war
Ongezea na ya Afghanistan na Iraq

Halafu uje uoneshe u habari nyingine wa USA 🇺🇸 kwenye vita
Hahahahahah USA hata ukigoogle sehemu yoyote wanakwambia tu kuwa hajawahi kushinda vita yeyote zaidi ya kukimbia tu 🤣🤣🤣!

Halafu wamarekani ni wazuri kwenye movie zaidi il kwenye kufa waoga sana. Mwanajeshi akishakuwa muoga kufa anakuwa sawa na 0 tu. Thats very different to Russians. Wao ni aggressive fighters na hawaogopi kifo.
 
Jiongopee, hiki kifurushi cha tanks kitakachokuja awamu hii mtaita maji mma. 🤣🤣🤣!
Uzuri Russia ni kama Magong'ole tu, watapukutishwa mbaki mnazichungulia kwa mbaali nyuzi zenu mlizowaanzishia kuwasifu🤣🤣

Ila ninacho wasifu mashabiki wa Russia ni kama Mashabiki wa Arsenal tu, mna matarajio makubwa sana na hamkati tamaa. Tangu muahidiwa vita kumalizwa ndani ya siku tatu, ikaja Victory day, ikaja winter kote hola, lakini nyie mpo tu kama mzee Wasira🤣🤣🤣.

Sasa hiyo Bakhmut tangu mwezi December wanasema by next week itakua tayari wameshaichukua, leo tayari ni mwezi March😅😅.
Mnazidi kuahidiwa kuwa kuna vifurushi vinakuja
 
Umejaribu kuzingatia vikwazo alivyowekewa Urusi na support anayopata Ukraine kutoka NATO na EU? Je, unajua US walishindwa kumtoa Assadi pale Syria sababu ya support ya Russia? Tuweke ushabiki pembeni twende kwenye reality.
Tatizo kila sehemu ambayo kuna ujinga wa viongozi kikinuka tu USA, hasa kwa madikteta wasio kuwa na dira kama akina Assad, Gaddafi, etc.

Assad wako huyo alishakataliwa na raia wake, kwa kificha aibu akaweka nchi chini ukoloni wa Urusi, so yeye ni order ndio anapokea siku wakoloni wakichoka hana chake

Kwani waliokuwa wakiandamana pale Syria walikuwa ni wamarekani au??? Acha utoto unapojadili masuala mazito haya na wakubwa zako bwashee
 
Unaumwa, sehemu zote marekani alikokwenda kuvamia peke yake alichezea kichapo na ndio maana huwa haendi peke yake.

Russia ni mbabe sana. Hapo Ukraine Russia anawachapa NATO, umojja wa ulaya na kubwa lao USA
 
Mada ni tofauti sana na maudhui ya Video.

Maudhui yanaonyesha Urusi ilichezea kichapo vibaya sana
Maudhui ni kwamba ujasili na intelligence. Cha kujiuliza, je, walitoboa?

Ulishawahi kutazama movi ingawa na ya zamani inaitwa HARD WAY??

Hapo ilikuwa kwa vyovyote vile wafike ng'ambo na huo ndio ujasiri wa jeshi/askarl
 
Ukiumia unaweza kuendelea na mchezo? au unadhani Japan walipoumia kule Hiroshima aliendelea na mchezo?
Mkuu nimeuliza tu


Uliposema Ukraine 🇺🇦 hajaumia una maanisha nini?

Please nijibu badala ya kuniuliza tena maswali
 
Maudhui ni kwamba ujasili na intelligence. Cha kujiuliza, je, walitoboa?

Ulishawahi kutazama movi ingawa na ya zamani inaitwa HARD WAY??

Hapo ilikuwa kwa vyovyote vile wafike ng'ambo na huo ndio ujasiri wa jeshi/askarl
Afadhali umemfahamisha kama ataelewa.
Katika hali kama ile askari wa kweli lazima afanye kama vile.Ukiwa unajali maisha sehemu kama ile utashindwa vita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…