Vita yetu dhidi ya ushoga ni dhaifu sana

Vita yetu dhidi ya ushoga ni dhaifu sana

Wewe leo ukiambiwa uchague uhamie kati ya (US, Canada, Ulaya) au (Urusi, Saudi Arabia, Iran, Uganda) utachagua wapi??
Wazungu wanao msemo wao maarufu usemao "nionyeshe rafiki zako ili nikwambie tabia yako", wakimaanisha kuwa kama ukiwa na marafiki shoga na wewe upo uwezekano mkubwa ni shoga vilevile au huuchukii ushoga hata kama wewe sio shoga.

Baba yangu alikuwa sheikh mkubwa lakini alikuwa na marafiki zake wengi ambao ni wachungaji, mapadre na wakristo ambao walikuwa wanamtembelea hadi nyumbani na wakati mwingine alikuwa anawaomba fedha za kujengea au kumalizia kujenga misikiti mbalimbali.

Tabia hii ya baba ilisababisha baadhi ya watoto wake kuolewa na kuoa wakristo bila kipingamizi kutoka kwa baba, yaani hakuona kama haiwezekani kabisakabisa mtoto wake kubadili dini na kuwa mkristo.

Tanzania tunapokea misaada na mikopo mingi kutoka "nchi rafiki" zetu ambazo wanaamini ushoga ni haki ya msingi ya mtu, na tunajisikia vizuri sana kuwa na marafiki kama hao wanaotusaidia fedha za kukwamua maendeleo yetu.

Binafsi sioni kama tunao uwezo wa kuwaambia kwa dhati na kwa moyo wetu wote marafiki zetu hawa kuwa ushoga kwetu hapana kwa sauti kubwa na ya mamlaka kwa kumaanisha.

Kama una rafiki shoga lazima na wewe nyuma ya pazia na off-camera unakubaliana na tabia hiyo. Kama hutaki tabia ya mtu furani lazina ukae nae mbali yeye na hata vitu vyake, vinginevyo utakumbana na msemo ule wa baniani mbaya kiatu chake dawa.

Kama tumedhamiria kupambana na ushoga kwa dhati na kwavitendo LAZIMA tukatae marafiki mashoga au wanaoamini kwenye ushoga. Kwenye hili nchi zote zinazoona ushoga sio sawa hazina budi kuzigeuzia mgongo nchi za magharibi hata kama kwa kufanya hivyo tutakosa mengi sana, yaani ni ile wachumi wanayoiita "opportunity cost".

Yaani tuchague kati hasara na faida za ushoga vs hasara na faida za kukosa misaada kutoka nchi za mashoga. vinginevyo tusidanganyane kuwa kuna kiongozi wa siasa mwenye mahusiano na nchi za magharibi anaepinga ushoga.
 
 
Ongeza sauti wasikie hadi viziwi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hakuna nchibya Africa inayoweza kujitegemea kwasasa.... so acha unafiki!
Ghadafi alianzaga ila wakammaliza mapema!
Colonialists wanajua sana mzee!
 
Msiwasingizie wazungu kwa ujinga wenu wa kupeana vifiro.

Kuna mzungu alikuja kukushikia matako ufirwe??

Mambo mengine bhana! Ujinga mtupu!
wewe endelea kuf*rwa na wanao ni jambo jema kwako, lakini sisi wenye akili tunajua kuwa unapomchukia mwizi lazima uchukie na vitu vyake alivyoviiba. Hawa jamaa wanawafundisha watoto wetu ushoga. Watoto wetu wadogo wanafundishwa polepole culture ya ushoga na vilainishi vinasambazwa kabisa. Yaani wanaiwahi jamii yetu kule kwenye mizizi kabisa (watoto na vijana). Kumbuka kuwa tabia inaanza kwa kusikia, kisha kuona, then kujaribu na mwisho tabia kamili. Vijana wetu wanasikia sana kuwa ushoga uko Marekani na mikopo na misaada iko marekani pia. Yaani kama ushoga uko marekani na misaadayetu inatoka marekani hiyo inaitwa pairing ambayo Pavlov aliita Classical conditioning (Stimulus-Response relationship) kwenye kujifunza au kwa jina lingine tunaita "stick and corrote". Baada ya ushoga kukubalika na kukolea sawasawa kwenye jamii yetu wanapunguza na kuondoa misaada na mikopo na utabakia ushoga tu. Kumbukeni kuwa Kuna kiongozi wa afrika aliwaambia watu wake zaeni tu tuwe wengi, maana watu wengi ndio uchumi wenyewe, wazungu walimind na sijui kama huko hai hadi sasa. Gadaffi alitaka kuwaamsha waafrika juu ya rasilimali zao, hatunae sasa.

Kumbuka kuwa lengo kuu kabisa la ushoga ni kupunguza idadi ya watu duniani na hasa Afrika ikiwemo tanzania, ukishapunguza idadi ya watu maana yake ardhi, misitu, maji, samaki na rasilimali nyingine zitabakia kwa wingi duniani. Wazungu walishajuwa kuwa ushoga unapunguza uwezo wao wa kuzaa hivyo kupunguza idadi yao kiasi kwamba inawalazimu kuleta watu wa mataifa mengine kwenda kufanya kazi na hata kutawala nchi zao (kama vile obama, Sunak kule marekani na Uingereza). Wanajuwa kuwa kasi ya waafika kuzaana ni kubwa sana na uwezo wao wa kupambana na mabadiliko ya mazingira ni mkubwa sana, hivyo iko siku waafrika wataijaza dunia kama kasi yao ya kuzaana na afya zao zitabaki kama zilivyo sasa.

Pili, Bara la Afrika wanaliita Potential continent, lina rasilimali nyingi sana, hivyo ndoto yao ni kwamba iko siku watarudi tena kuishi Afrika, hivyo wanataka wazikute rasilimali zote za Afrika zikiwa zipo na hai. Sasa hivi wako bize kufanya tafiti za kugundua dawa na chanjo za magonjwa ya hali ya joto (tropical diseases) ili waweze kuishi ukwenye hali ya hewa ya ukanda huu.

Wanazo njia nyingine wanazozitumia kutupunguza idadi yetu ikiwemo hii ya ushoga. Ushoga utafanya yafuatayo:
1. Vijana na wanaume wengi watapendendelea kusex na wanaume kwasababu watafurahia zaidi ule msuguano mkubwa (tightness) ya matakoni kuliko kwenye ukeni (vagina) ambako watachukua muda mfupi tu kukojoa kuliko kwenye vigina. vijana watanogewa kwenye ushoga zaidi.

2. Vijana wataepuka gharama kubwa za kutunza na kusomesha watoto. Walishafanya tafiti kuwa 80% ya wanaume wanapata watoto kwa bahati mbaya tu wakati wanafurahia sex na wapenzi wao. Hivyo ushoga utawaepusha na kupata watoto wasiowataka wala kuwatarajia.

3. Mume na mume wakioana watasaidiana gharama za maisha sawa kwa sawa, badala ya wanawake ambao wanataka watunzwe kama nyumbu kwenye mbuga.

4. Sex na starehe itakuwepo wakati wote na siku zote maana mwanaume hableed, hapati mimba, hazai wala kunyonyesha,

Hivyo wazungu wanafahamu kuwa vijana wataupokea tu ushoga watake wasitake, na wanafanya hivyo kwa kutumia misaada na mikopo, music, mitandao ya vijana, michezo (pale Qatar kombe la dunia uliona mashoga walikwenda kujitangaza), catoon na michezo ya watoto, nk)

Hii ni vita kubwa kuliko wanasisa wetu wanavyoidhania na kuichukulia.
 
Wazungu wanao msemo wao maarufu usemao "nionyeshe rafiki zako ili nikwambie tabia yako", wakimaanisha kuwa kama ukiwa na marafiki shoga na wewe upo uwezekano mkubwa ni shoga vilevile au huuchukii ushoga hata kama wewe sio shoga.

Baba yangu alikuwa sheikh mkubwa lakini alikuwa na marafiki zake wengi ambao ni wachungaji, mapadre na wakristo ambao walikuwa wanamtembelea hadi nyumbani na wakati mwingine alikuwa anawaomba fedha za kujengea au kumalizia kujenga misikiti mbalimbali.

Tabia hii ya baba ilisababisha baadhi ya watoto wake kuolewa na kuoa wakristo bila kipingamizi kutoka kwa baba, yaani hakuona kama haiwezekani kabisakabisa mtoto wake kubadili dini na kuwa mkristo.

Tanzania tunapokea misaada na mikopo mingi kutoka "nchi rafiki" zetu ambazo wanaamini ushoga ni haki ya msingi ya mtu, na tunajisikia vizuri sana kuwa na marafiki kama hao wanaotusaidia fedha za kukwamua maendeleo yetu.

Binafsi sioni kama tunao uwezo wa kuwaambia kwa dhati na kwa moyo wetu wote marafiki zetu hawa kuwa ushoga kwetu hapana kwa sauti kubwa na ya mamlaka kwa kumaanisha.

Kama una rafiki shoga lazima na wewe nyuma ya pazia na off-camera unakubaliana na tabia hiyo. Kama hutaki tabia ya mtu furani lazina ukae nae mbali yeye na hata vitu vyake, vinginevyo utakumbana na msemo ule wa baniani mbaya kiatu chake dawa.

Kama tumedhamiria kupambana na ushoga kwa dhati na kwavitendo LAZIMA tukatae marafiki mashoga au wanaoamini kwenye ushoga. Kwenye hili nchi zote zinazoona ushoga sio sawa hazina budi kuzigeuzia mgongo nchi za magharibi hata kama kwa kufanya hivyo tutakosa mengi sana, yaani ni ile wachumi wanayoiita "opportunity cost".

Yaani tuchague kati hasara na faida za ushoga vs hasara na faida za kukosa misaada kutoka nchi za mashoga. vinginevyo tusidanganyane kuwa kuna kiongozi wa siasa mwenye mahusiano na nchi za magharibi anaepinga ushoga.ushoga na uovu Mwingine Ni SAWA tuuu.
 
Hiyo vita inapaswa kufanyika ngazi ya familia. Kama unaacha watoto wako wanalelewa na TV na dada wa kazi huku wewe ukiwa bize kutafuta pesa basi usipigwe butwaa watakapoishia kuwa na tabia za ajabu ajabu.

Serikali kupambana na ushoga ni dalili za ujinga na matumizi mabaya ya rasilimali, kwa maana ni sawa na kufukuza upepo. Itakamata wangapi? Itakuwa inawasakama huko kwenye faragha zao? Si kupeteza tu muda na rasilimali! Alafu wakikamatwa wanapelekwa wapi? Gerezani? Si ndio wataolewa kabisa 🤣🤣

Mzazi lea watoto wako! Acha kuendekeza mambo ya kibeberu na uzungu uzungu wa kijinga nyumbani kwako.
Mzazi utalea vipi mtoto wako? asiende kanisani na msikitini? asiende shuleni na vyuoni? Mchungaji, maalim, mwalimu na waumini wenzake ndio waliobeba vilainishi kwenye majuba yao, ataponyoka vipi kwamfano? Mwanao ndio hapendi utajiri miongoni mwa wenzake wote, ndio hapendi kwenda Marekani kwa Greencard au scholarship? ndio hapendi ndinga kali? hebu kuwa serious
 
Ongeza sauti wasikie hadi viziwi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hachana na Afrika tuizungumzie Tanzanania yetu....Unaijuishaje Tanzania inayojikongoja na mataifa mengine yaliyokwisha kupiga hatua?.
 
Wazungu wanao msemo wao maarufu usemao "nionyeshe rafiki zako ili nikwambie tabia yako", wakimaanisha kuwa kama ukiwa na marafiki shoga na wewe upo uwezekano mkubwa ni shoga vilevile au huuchukii ushoga hata kama wewe sio shoga.

Baba yangu alikuwa sheikh mkubwa lakini alikuwa na marafiki zake wengi ambao ni wachungaji, mapadre na wakristo ambao walikuwa wanamtembelea hadi nyumbani na wakati mwingine alikuwa anawaomba fedha za kujengea au kumalizia kujenga misikiti mbalimbali.

Tabia hii ya baba ilisababisha baadhi ya watoto wake kuolewa na kuoa wakristo bila kipingamizi kutoka kwa baba, yaani hakuona kama haiwezekani kabisakabisa mtoto wake kubadili dini na kuwa mkristo.

Tanzania tunapokea misaada na mikopo mingi kutoka "nchi rafiki" zetu ambazo wanaamini ushoga ni haki ya msingi ya mtu, na tunajisikia vizuri sana kuwa na marafiki kama hao wanaotusaidia fedha za kukwamua maendeleo yetu.

Binafsi sioni kama tunao uwezo wa kuwaambia kwa dhati na kwa moyo wetu wote marafiki zetu hawa kuwa ushoga kwetu hapana kwa sauti kubwa na ya mamlaka kwa kumaanisha.

Kama una rafiki shoga lazima na wewe nyuma ya pazia na off-camera unakubaliana na tabia hiyo. Kama hutaki tabia ya mtu furani lazina ukae nae mbali yeye na hata vitu vyake, vinginevyo utakumbana na msemo ule wa baniani mbaya kiatu chake dawa.

Kama tumedhamiria kupambana na ushoga kwa dhati na kwavitendo LAZIMA tukatae marafiki mashoga au wanaoamini kwenye ushoga. Kwenye hili nchi zote zinazoona ushoga sio sawa hazina budi kuzigeuzia mgongo nchi za magharibi hata kama kwa kufanya hivyo tutakosa mengi sana, yaani ni ile wachumi wanayoiita "opportunity cost".

Yaani tuchague kati hasara na faida za ushoga vs hasara na faida za kukosa misaada kutoka nchi za mashoga. vinginevyo tusidanganyane kuwa kuna kiongozi wa siasa mwenye mahusiano na nchi za magharibi anaepinga ushoga.
Kwani kama Taifa kulishakuaga na vita serious ya hii kitu?
 
TUNAYE RAISI AMBAYE YUPO JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI NA NI MUISLAM,TUNATAKA TAMKO LAKE KUHUSU HILI SIO MUSEVENI AONGEE YEYE ANAKAA KIMYA KWA KILA KITU.
 
hakuna nchibya Africa inayoweza kujitegemea kwasasa.... so acha unafiki!
Ghadafi alianzaga ila wakammaliza mapema!
Colonialists wanajua sana mzee!

Hachana na Afrika tuizungumzie Tanzanania yetu....Unaijuishaje Tanzania inayojikongoja na mataifa mengine yaliyokwisha kupiga hatua?.
hatua zipi? maana Kuna kupiga hatua kuelekea nyumbani kwako na kupiga hatua kuelekea porini waliko fisi na mbweha.
 
Hiyo vita inapaswa kufanyika ngazi ya familia. Kama unaacha watoto wako wanalelewa na TV na dada wa kazi huku wewe ukiwa bize kutafuta pesa basi usipigwe butwaa watakapoishia kuwa na tabia za ajabu ajabu.

Serikali kupambana na ushoga ni dalili za ujinga na matumizi mabaya ya rasilimali, kwa maana ni sawa na kufukuza upepo. Itakamata wangapi? Itakuwa inawasakama huko kwenye faragha zao? Si kupeteza tu muda na rasilimali! Alafu wakikamatwa wanapelekwa wapi? Gerezani? Si ndio wataolewa kabisa
 
TUNAYE RAISI AMBAYE YUPO JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI NA NI MUISLAM,TUNATAKA TAMKO LAKE KUHUSU HILI SIO MUSEVENI AONGEE YEYE ANAKAA KIMYA KWA KILA KITU.
Hata huko kwa mu7 bado hakuna kitu. Nilifuatilia huo mswaada wa sheria unaosema mtu atakayefungwa maisha gerezani ni yule atakayetangaza kwamba yeye ni shoga. Maana yake ni kama mtu ni shoga na aendelee na ushoga bila kutangaza atakuwa salama.
 
Hata huko kwa mu7 bado hakuna kitu. Nilifuatilia huo mswaada wa sheria unaosema mtu atakayefungwa maisha gerezani ni yule atakayetangaza kwamba yeye ni shoga. Maana yake ni kama mtu ni shoga na aendelee na ushoga bila kutangaza atakuwa salama.
Kwahyo wewe unadhani ushoga unazuiliwa Kwa matamko?
 
Back
Top Bottom