Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
How did USA manage to "kill" Afghanistan?Nimeona hii habari sehemu. Jana ilikuwa mwisho wa muda ambao serikali ya Niger iliyompindua Rais ilitakiwa kuachia madaraka au ukabiliwe na kipigo kutoka ECOWAS. Mali na Burkina Faso zimesema kuwa zitasimama na utawala wa Niger.
Sasa Niger wamefunga anga lao. Hakuna ndege kupita. Na ndege kutoka Ulaya kwenda Nigeria hupita Niger. Sasa itabidi zizunguke. Mali nao wakifunga itazibidi zizunguke mbali kabisa na kuongeza gharama kwa wasafiri. Vita hata ukiwa mkubwa lazima ikuathiri.
View attachment 2710780
Au hata kupata umeme kutoka nchi rafiki kama hivyo Mali na bukina fasowakifunga anga zote za Mali na Niger watakuwa wamemjibu vizuri Nigeria.
watumie muda huu vizuri waongee na Urusi wajenge umeme wa nyuklia.
Putin alilia nyuma ya matako yako ?No Putin anafurahia Mapinduzi ya Africa wakati Wagner walipotaka kumpindua alibaki kulia Lia hadi Luka Shenko akaingilia kati ili asipunduliwe.
Urusi kujikita Africa ni kumaliza kabisa hata ile aman robo tuliyobakiwa nayo.
Rafiki hivi kwa akili Yako unaamini hao Vagner wangeweza kumpindua Putin?No Putin anafurahia Mapinduzi ya Africa wakati Wagner walipotaka kumpindua alibaki kulia Lia hadi Luka Shenko akaingilia kati ili asipunduliwe.
Urusi kujikita Africa ni kumaliza kabisa hata ile aman robo tuliyobakiwa nayo.
USA!?.. it's NATO and USA,north of Afghanistan was ruled by dostamHow did USA manage to "kill" Afghanistan?
Ambayo imeharibiwa na Marekani na vikundi vyake vya kigaidi!!? Ila mnampongeza .... Bora wazazi wako wangetumia kondomu tu...kuliko kuleta kiumbe hovyo kama wewe humu duniani...No Putin anafurahia Mapinduzi ya Africa wakati Wagner walipotaka kumpindua alibaki kulia Lia hadi Luka Shenko akaingilia kati ili asipunduliwe.
Urusi kujikita Africa ni kumaliza kabisa hata ile aman robo tuliyobakiwa nayo.
Sawa. Ngoja nitumie uwepo wangu wa bahati mbaya kukupa elimu.Ambayo imeharibiwa na Marekani na vikundi vyake vya kigaidi!!? Ila mnampongeza .... Bora wazazi wako wangetumia kondomu tu...kuliko kuleta kiumbe hovyo kama wewe humu duniani...
Hao ndio wanmgambo wanaofadhiliwa na ufaransa hakuna cha alqaeda wala alshabab wanaanzisha vikundi mpigane muwe bize na kuuwana wao wanazoa maliKimeshaanza kunuka jana zilipigwa mpakani mwa Niger na Mali kati ya Al Qaeda na Wagner
Una uhakika alilia nyuma ya matako yake?Putin alilia nyuma ya matako yake
Duh, kifupi wagna ni sehemu ya jeshi kivuli la urusi na prigozhin kateuliwa tu, huu no mwamvuli wa kuweza kuingia popote muda wowote bila kuvunja sheria za kimataifa ndio maana Wagner hawanunui silaha kutoka rushia ila wana demand supplyNo Putin anafurahia Mapinduzi ya Africa wakati Wagner walipotaka kumpindua alibaki kulia Lia hadi Luka Shenko akaingilia kati ili asipunduliwe.
Urusi kujikita Africa ni kumaliza kabisa hata ile aman robo tuliyobakiwa nayo.
Makundi yote ya kigaidi mfadhili mkuu ni USAHao ndio wanmgambo wanaofadhiliwa na ufaransa hakuna cha alqaeda wala alshabab wanaanzisha vikundi mpigane muwe bize na kuuwana wao wanazoa mali
Ugaidi ni sera na mipango ya wakuu wa dunia kupitisha ajenda zao sawa na ilivyo ushoga, corona,nk.Sawa. Ngoja nitumie uwepo wangu wa bahati mbaya kukupa elimu.
Ugaidi wa Africa chanzo ni middle east countries kwa kushirikiana na ngozi nyeusi.
Uhovyo unahisi mimi ninao ndiyo umefunga akili zako hata uoni namba ukutani.
Tukutane Calvary.
wajuaji ktk ubora, mnajua kila kitu mpaka mambo ya nchi nyingine. Sasa watu km nyie rais asubiri maoni yenu kweli?wakifunga anga zote za Mali na Niger watakuwa wamemjibu vizuri Nigeria.
watumie muda huu vizuri waongee na Urusi wajenge umeme wa nyuklia.
How did USA manage to "kill" Afghanistan?
Urusi wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuistabilize Afrika. Popote wanapokuwepo ni watu wa vitendo na si hila hila na kujitia ujanja. Siwatetei kuwa ni wema ila wana afadhali sana. Kama Patrice Lumumba asingekuwa kichwa ngumu Warusi walishamshikia nchi, na hata asingeuwawa. Hapa CAR wameleta amani ambayo ilikuwa ni ndoto. Ni jini fulani afadhali.No Putin anafurahia Mapinduzi ya Africa wakati Wagner walipotaka kumpindua alibaki kulia Lia hadi Luka Shenko akaingilia kati ili asipunduliwe.
Urusi kujikita Africa ni kumaliza kabisa hata ile aman robo tuliyobakiwa nayo.