Tangu kitambo tu mbona.
Makundi yote ya kigaidi mfadhili mkuu ni USA
Yeye ndie aliunda Alqaeda kwa kumtrain Osama walipozulumiana Osama akajifichia kwenye uislam ili kupata wapigaji cheap au mental slaves akawabrain wash eti anapigania dini jihad,hakuna ugaidi kwenye uislam ni propaganda tu za kuuchafua uislam ili kuleta order Chao off order.
Kundi la kigaidi la ISIS liliundwa na USA ili kumwondoa sadam Hussein lilipomuondoa Osama, USA akashindwa kulidhibiti likasambaa hadi Syria ili kumtoa Al Saad likijiita ISIL kwa msaada wa Wagner Group USA plus ISIL walichezea kichapo Cha mbwa mwitu Allepo Syria hadi wakapotea,huku kundi la ISIS likiwahishwa kuzimu kuwahi bikira 72 na marubani wanawake wa Kirusi walizitendea kazi vizur ndege vita sukoh kuwafyekelea mbali magaidi wa ISIL na ISIS.