Vita zina mambo mengi sana. Niger wamefunga anga lao. Mali nao wakifunga wanigeria watapata tabu sana kusafiri

Vita zina mambo mengi sana. Niger wamefunga anga lao. Mali nao wakifunga wanigeria watapata tabu sana kusafiri

Urusi wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuistabilize Afrika. Popote wanapokuwepo ni watu wa vitendo na si hila hila na kujitia ujanja. Siwatetei kuwa ni wema ila wana afadhali sana. Kama Patrice Lumumba asingekuwa kichwa ngumu Warusi walishamshikia nchi, na hata asingeuwawa. Hapa CAR wameleta amani ambayo ilikuwa ni ndoto. Ni jini fulani afadhali.
Makundi ya ant balaka na seleka bado yapo hapo Central Africa au kazi ya Wagner Group imewafyekelea mbali
 
Hawauwezi mziki wa Wagner

Dunia haitaosha unafiki leo USA anaisupport Al Qaeda kwa masilahi yao
Tangu kitambo tu mbona.
Makundi yote ya kigaidi mfadhili mkuu ni USA
Yeye ndie aliunda Alqaeda kwa kumtrain Osama walipozulumiana Osama akajifichia kwenye uislam ili kupata wapigaji cheap au mental slaves akawabrain wash eti anapigania dini jihad,hakuna ugaidi kwenye uislam ni propaganda tu za kuuchafua uislam ili kuleta order Chao off order.
Kundi la kigaidi la ISIS liliundwa na USA ili kumwondoa sadam Hussein lilipomuondoa Osama, USA akashindwa kulidhibiti likasambaa hadi Syria ili kumtoa Al Saad likijiita ISIL kwa msaada wa Wagner Group USA plus ISIL walichezea kichapo Cha mbwa mwitu Allepo Syria hadi wakapotea,huku kundi la ISIS likiwahishwa kuzimu kuwahi bikira 72 na marubani wanawake wa Kirusi walizitendea kazi vizur ndege vita sukoh kuwafyekelea mbali magaidi wa ISIL na ISIS.
 
Tangu kitambo tu mbona.
Makundi yote ya kigaidi mfadhili mkuu ni USA
Yeye ndie aliunda Alqaeda kwa kumtrain Osama walipozulumiana Osama akajifichia kwenye uislam ili kupata wapigaji cheap au mental slaves akawabrain wash eti anapigania dini jihad,hakuna ugaidi kwenye uislam ni propaganda tu za kuuchafua uislam ili kuleta order Chao off order.
Kundi la kigaidi la ISIS liliundwa na USA ili kumwondoa sadam Hussein lilipomuondoa Osama, USA akashindwa kulidhibiti likasambaa hadi Syria ili kumtoa Al Saad likijiita ISIL kwa msaada wa Wagner Group USA plus ISIL walichezea kichapo Cha mbwa mwitu Allepo Syria hadi wakapotea,huku kundi la ISIS likiwahishwa kuzimu kuwahi bikira 72 na marubani wanawake wa Kirusi walizitendea kazi vizur ndege vita sukoh kuwafyekelea mbali magaidi wa ISIL na ISIS.
Nazungumzia kabla ya hapa alipoenda kuvamia mashariki ya kati alikuwa dhidi ya Al Qaeda
 
Tangu kitambo tu mbona.
Makundi yote ya kigaidi mfadhili mkuu ni USA
Yeye ndie aliunda Alqaeda kwa kumtrain Osama walipozulumiana Osama akajifichia kwenye uislam ili kupata wapigaji cheap au mental slaves akawabrain wash eti anapigania dini jihad,hakuna ugaidi kwenye uislam ni propaganda tu za kuuchafua uislam ili kuleta order Chao off order.
Kundi la kigaidi la ISIS liliundwa na USA ili kumwondoa sadam Hussein lilipomuondoa Osama, USA akashindwa kulidhibiti likasambaa hadi Syria ili kumtoa Al Saad likijiita ISIL kwa msaada wa Wagner Group USA plus ISIL walichezea kichapo Cha mbwa mwitu Allepo Syria hadi wakapotea,huku kundi la ISIS likiwahishwa kuzimu kuwahi bikira 72 na marubani wanawake wa Kirusi walizitendea kazi vizur ndege vita sukoh kuwafyekelea mbali magaidi wa ISIL na ISIS.
Watu walikuwa wanaichukulia poa RUSSIA ila alichokifanya Syria watu wote wakabaki wameduwaa waasi syria walikuwa wameshaiteka mikoa yote ukabaki mji mkuu tu Damascus pekee..yani fikiria kama Tanzania apa yani miji yote itekwe ibaki dar pekee unatoboaje? RUSSIA alivyotia timu tu mpaka leo hii Assad anaenda mpaka sokoni bila ulinzi faa masiala nini[emoji23][emoji23] hakuna cha ISIS wala Al Qaeda wote walifyekelewa mbali leo hii tunavyoongea Syria karudishwa Kwenye jumuiya ya umoja wa kiarabu..leo hii Asad anatoka mpaka nje ya nchi..
 
Nazungumzia kabla ya hapa alipoenda kuvamia mashariki ya kati alikuwa dhidi ya Al Qaeda
Alqaeda ilianzia Taliban baada ya wataliban kumchapa kwa msaada wa USA,Mrusi miaka ya 70 alipoivamia Afghanistan.
Ugomvi wa USA na Mrusi ni hadi mwisho wa Dunia japo wote members wa freemason ndio wapo nyuma ya hii michezo yote
 
Alqaeda ilianzia Taliban baada ya wataliban kumchapa kwa msaada wa USA,Mrusi miaka ya 70 alipoivamia Afghanistan.
Ugomvi wa USA na Mrusi ni hadi mwisho wa Dunia japo wote members wa freemason ndio wapo nyuma ya hii michezo yote
Marekani waliliita Al Qaeda kundi la kigaidi walipoenda kuivamia Afghanistan
 
Sawa. Ngoja nitumie uwepo wangu wa bahati mbaya kukupa elimu.
Ugaidi wa Africa chanzo ni middle east countries kwa kushirikiana na ngozi nyeusi.
Uhovyo unahisi mimi ninao ndiyo umefunga akili zako hata uoni namba ukutani.
Tukutane Calvary.
Daaah, utakuta wewe ni baba unayetegemewa kwenye familia,
 
Daaah, utakuta wewe ni baba unayetegemewa kwenye familia,
Tena si Baba jina tu, bali Baba wajibu.
25 sina mtoto wa damu ila nina mtoto wa ku adopt hadi leo yupo na anajua mimi ndiye his biological father na hamjui mwingine ila mimi.
Uki- doubt uwezo wangu wa kupambanua mambo basi jua unaweza doubt jibu la kuwa 1+1 =2.
Uwe na asubuhi njema.
 
Tena si Baba jina tu, bali Baba wajibu.
25 sina mtoto wa damu ila nina mtoto wa ku adopt hadi leo yupo na anajua mimi ndiye his biological father na hamjui mwingine ila mimi.
Uki- doubt uwezo wangu wa kupambanua mambo basi jua unaweza doubt jibu la kuwa 1+1 =2.
Uwe na asubuhi njema.
Aahaaa,jibu zuri sana
 
Sawa. Ngoja nitumie uwepo wangu wa bahati mbaya kukupa elimu.
Ugaidi wa Africa chanzo ni middle east countries kwa kushirikiana na ngozi nyeusi.
Uhovyo unahisi mimi ninao ndiyo umefunga akili zako hata uoni namba ukutani.
Tukutane Calvary.
Friend! God bless you. Unautulivu mzuri sana unaokuwezesha kuwasadia wale wenye matatizo ya afya ya akili. Mko wachache sana msiolipa tusi kwa tusi. Barikiwa sana.
 
Back
Top Bottom