Vitabu vilivyoandikwa na Waandishi wa Tanzania

Vitabu vilivyoandikwa na Waandishi wa Tanzania

Duh! Naona makosa ya kisarufi tu mengi mengi!anywys hongera!
Huwezi andika "sija kuelewa".. Ni sentensi nzima moja hiyo imeungana!😅 hata id yako nna mashaka kama spelling ndo zenyewe!
Kyakyakya Kyakyakya kaka ww kishwahili ulipata A mwenzako nina d yakupewa ndio maana nilikwenda engineer na kuandika vitabu ni kupenda tuuu haitaji uwena cheti cha Bakita
 
Ofcz nduguu pia mm ni muandishi ila wa tz hatukuwai fundishwa tujisomee zaid ni kuweka miguuu kweny maji tukikeshea mtihani ndooo maana wish yetu ndogo sana ndugu nilibahatika kwenda Australia 2yrs ago kule mtoto wa 5 yrs unakuta room kwake kuna documents makubwa kama yote ukimuliza anasema nikiwa niko board nasomaa vitabu kama interesting vile njoo black land ni vice versa yani
Nipe jina lako na majina ya vitabu vyako inbox uongezeka kwenye list ya hao waandishi.

Na kama unawajua waandishi wengine ambao hawapo katika hiyo list unaweza ntajia ili niwaweke
 
Nipe jina lako na majina ya vitabu vyako inbox uongezeka kwenye list ya hao waandishi.

Na kama unawajua waandishi wengine ambao hawapo katika hiyo list unaweza ntajia ili niwaweke
Dini ya siasa professor nelson g kisamo udsm
 
Dini ya siasa professor nelson g kisamo udsm
Nilikumbia utume inbox ili kuficha ID yako, Pia ingekuwa poa ungeandika kama una-cite. Ili nipate jina vizuri kuhakiki uwepo wake
 
Kitabu cha Adam Shafi, 'Haini', ni kitabu chenye mkasa wa kufikirika wenye kufanana na mauaji ya Karume. Na ni kitabu kizuri kwa mwenye nia ya kupanua misamiati na uelewa wa lugha ya Kiswahili. Mfano ni kupitia hicho kitabu nikaweza kufahamu breakfast kwa lugha yetu ni 'kisebeho' n.k.
 
Kuna kitabu cha Adam Shafi, 'Haini', ni kitabu chenye mkasa wa kufikirika ni -kitamu sana. Na ni kitabu kizuri kwa mwenye nia ya kupanua misamiati na uelewa wa lugha ya Kiswahili. Mfano ni kupitia hicho kitabu nikaweza kufahamu breakfast kwa lugha yetu ni 'kisebeho' n.k.
Moja, kitabu haini kipo kwenye list na kwa taarifa ni kuwa hiko sio kitabu cha kufikirika,
Shafii ameandika maisha ya jela za Zanzibar, kwa mfumo wa siasa za muda ule ambapo Karume aliuawa
 
Nilikumbia utume inbox ili kuficha ID yako, Pia ingekuwa poa ungeandika kama una-cite. Ili nipate jina vizuri kuhakiki uwepo wake
Hakuna shida ndugu naelewa kila kitu ndoo maana mm ni new member ulinzi wakutosha upo
 
Vingine elimu ya giza dr elimasi sokoine , majuto ya maisha mongali Mwakizila, pesa za mkopo elison mwabaga udsm lecture polical science
Hivi vitabu sivioni kokote, Ni labda hauzingatii uandishi wa kutofautisha jina la Muandishi na jina la kitabu.

Au hauandiki kiusahihi moja kti ya hivyo.

Mfano unaweza kuandika

Kitabu: Mhariri msalabani,
Muandishi: Ben Mtobwa
 
Moja, kitabu haini kipo kwenye list na kwa taarifa ni kuwa hiko sio kitabu cha kufikirika,
Shafii ameandika maisha ya jela za Zanzibar, kwa mfumo wa siasa za muda ule ambapo Karume aliuawa
Nimekupata. Ukikisoma ni kweli kabisa kinasadifu hayo ya mapinduzi.
Lakini mwandishi ameweka wazi kuwa ni kisa cha kubuni kwenye kurasa za awali.
 
Mkuu una maktaba nikija napata hvo vitabu? Kila maktaba ya mkoa nayotembelea nakuta vingi vipo vya kizungu tu.. ukipata cha kiswahili kikechakaa.
Vyuoni ndio kabisa..hupati.
 
OEDIPUS,

Kwanza nikuope sana hongera kwa hili. Umenisaidia sana kupata orodha ya vitabu ambavyo awali sikua navijua. Namna hii umenisaidia kwends kuvitafuta.

Mwandishi Mchungaji Kamara Kusupa nilipata kusoma vitabu vyake vyote 3, na zaidi niliwahi kuonana naye na kupata naye wasaa. Hakika aliyoyaandika yanahuzunisha na kufikirisha.
 
Mkuu una maktaba nikija napata hvo vitabu? Kila maktaba ya mkoa nayotembelea nakuta vingi vipo vya kizungu tu.. ukipata cha kiswahili kikechakaa.
Vyuoni ndio kabisa..hupati.
Vitabu vingi havipo kwenye maktaba za vyuo(mara nyingi) lakini unaweza kuvipata kwenye maktaba ya taifa au maktaba za mkoa. Swala ni kuwa iwe ni Tanzania Library Service, utapata vingi katika hivyo
 
Back
Top Bottom