Una mu accuse Musiba plagiarism?
Kigwangala alifanya plagiarism kutika kitabu cha "Why Nations Fail: The Origins of Power, Prosperity and Poverty", kuna sura inaongelea South Korea.
Nikamuambia hapa ume plagiarize pale, nikamuonesha neno kwa neno alivyo plagiarize.
Kwa hivyo, si kweli kwamba sijui olagiarism ni nini. I take plagiarism seriously.
Sasa Musiba ka plagiarize wapi? Tupe detailed account, neno kwa neno, si maneno ya jumla.
Kitabu gani cha Musiba kime plagiarize kitabu gani kingine?
Weka majina ya vitabu hapa tuchambue neno kwa neno.
Nimekuuliza, unachora wapi mstari wa kutenganisha originality na inspiration, hujajibu.
Sent using
Jamii Forums mobile app