Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Zambi hutofautiana,Zambi nyenginezo ni hatari hata kwa afya yako kabsa tena ina athari za mapema mfano pombe ndio Zambi kubwa maana ukinywa ,utazini au kulawiti,kuiba,kunyonga n.k


Ushoga ni dhambi kubwa ambayo ilifanya hata kaimu ya Nuhu kupinduliwa juu chini,haiwezi kufosi maumbile na matumizi.
 
Kila mtu hujikuta mtukufu anapomnanga mwenzie.
Suala ni Moja tuache kupausha maovu na kuona yako ni kawaida ya flani ni ajabu ilimradi yote ni ubatili.
Tuache kuishi kinafiki.
Kama ushoga ni sawa na uzinzi wa kawaida wewe unaufanya?. Maana kusapoti kitu usichokifanya no unafiki wa kiwango kikubwa sana.
 
Kama ushoga ni sawa na uzinzi wa kawaida wewe unaufanya?. Maana kusapoti kitu usichokifanya no unafiki wa kiwango kikubwa sana.
Dunian dhambi ni Moja tu hayo mengine yoote ni matokeo ya dhambi Hiyo ambayo ni kuishi kinyume na maagizo yale.
Msikomae tu ushoga mkapotezea uzinzi kana kwamba hauna madhara na unapoandika punguza mihemko babu.
 
Kazi kwao wanaojidanganya kuwa wataiona pepo wakati nafsi zao zinawasuta.
Mie nafsi yangu inaniambia kabisa mzabzab wee ni motoni moja kwa moja maana jtendayo ni kinyume na maagizo ya muumba wako.
Kuna mtu haamini katika dini, ila ushoga anaupinga, anakwambia amemzaa mwanawe wa kiume, akitemea kuwa mwanamme.

Alafu mzazi huyo huyo asiemini katika dini, anafurahi sana anaposhuhudia binti yake, akipata mwenza.
 
Mimi naamini dhambi sio zote sio Sasa ktk gravity na consequently effect. Pia punishment zake hazilingani. This both logically and faithwise
 
Wewe endelea kufokolewa mavi kwa Raha zako
 
 
Kwenye uafrica bora muuaji kuliko shoga .Africa sio ya kiislamu wala kikristo ni ya kiafrica
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…