Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Kama ushoga ni sawa na uzinzi wa kawaida wewe unaufanya?. Maana kusapoti kitu usichokifanya no unafiki wa kiwango kikubwa sana.Kila mtu hujikuta mtukufu anapomnanga mwenzie.
Suala ni Moja tuache kupausha maovu na kuona yako ni kawaida ya flani ni ajabu ilimradi yote ni ubatili.
Tuache kuishi kinafiki.
Dunian dhambi ni Moja tu hayo mengine yoote ni matokeo ya dhambi Hiyo ambayo ni kuishi kinyume na maagizo yale.Kama ushoga ni sawa na uzinzi wa kawaida wewe unaufanya?. Maana kusapoti kitu usichokifanya no unafiki wa kiwango kikubwa sana.
Kuna mtu haamini katika dini, ila ushoga anaupinga, anakwambia amemzaa mwanawe wa kiume, akitemea kuwa mwanamme.Kazi kwao wanaojidanganya kuwa wataiona pepo wakati nafsi zao zinawasuta.
Mie nafsi yangu inaniambia kabisa mzabzab wee ni motoni moja kwa moja maana jtendayo ni kinyume na maagizo ya muumba wako.
Uligeuziwa? Ukatemea mate?Nimekuja kugundua kumbe kula ndogo ni kipaji na mtu anakua destinated kwa ajili ya hayo mambo na mimi sio mmoja wao.
Yan juz kati nimelithibitisha hili kwamba mimi sio wa huko.
Amefeli pakubwa sana.Yaan mkuu umefeli yaan anayechakata mbususu unamfananisha na anayechakatwa 0715
Sio sawa kumwita hanidhi mkuuYaan mkuu umefeli yaan anayechakata mbususu unamfananisha na anayechakatwa 0715
Mimi naamini dhambi sio zote sio Sasa ktk gravity na consequently effect. Pia punishment zake hazilingani. This both logically and faithwiseSalaam,
Niende Moja Kwa Moja kwenye hoja yangu, Kwa Imani Mimi ni mkristo napenda kuchimba sana kwenye Biblia maana naamini kabisa ni neno la MUNGU -Zaburi 119:105
Sasa Kuna watu naona wapo mstari wa mbele kupinga ushoga na hata kutaka mashoga wauawe kana kwamba uasherati na uzinzi wao sio tatizo. Watu wanajisifu kulana kimasihara, kula wake za watu kushindana ni nani kalala na idadi kubwa ya wanawake na anaona ni ufahari kabisa ila anapinga ushoga kana kwamba dhambi zake yeye ni halali
Sitetei tabia ya ushoga ila ninachotaka kusema ni kwamba dhambi ni dhambi na usifikiri dhambi yako wewe ni nzuri ila ya mwenzio ndio mbaya.
Kwa wale wenzangu ambao ni wasomaji wa Biblia turejee 1Korintho 6:9,10 dhambi zote hizo ni chukizo Kwa Muumba wetu na kila anayezifanya hataingia kwenye ufalme wa MUNGU
Rejea pia Galatia 5:19-21 kuhusu matendo ya mwili ambayo ni chukizo mbele za MUNGU
Hivyo basi ikiwa tunataka kuwa watu safi mbele za Muumba wetu mtakatifu tuache na pia tukemee dhambi zote hizo bila kubagua vinginevyo ni kwamba anayesema wema ni uovu na anayesema uovu ni wema wote hao ni chukizo mbele za MUNGU.
Amani iwe nanyi, muwe na jioni njema
Wewe endelea kufokolewa mavi kwa Raha zakoSalaam,
Niende Moja Kwa Moja kwenye hoja yangu, Kwa Imani Mimi ni mkristo napenda kuchimba sana kwenye Biblia maana naamini kabisa ni neno la MUNGU -Zaburi 119:105
Sasa Kuna watu naona wapo mstari wa mbele kupinga ushoga na hata kutaka mashoga wauawe kana kwamba uasherati na uzinzi wao sio tatizo. Watu wanajisifu kulana kimasihara, kula wake za watu kushindana ni nani kalala na idadi kubwa ya wanawake na anaona ni ufahari kabisa ila anapinga ushoga kana kwamba dhambi zake yeye ni halali
Sitetei tabia ya ushoga ila ninachotaka kusema ni kwamba dhambi ni dhambi na usifikiri dhambi yako wewe ni nzuri ila ya mwenzio ndio mbaya.
Kwa wale wenzangu ambao ni wasomaji wa Biblia turejee 1Korintho 6:9,10 dhambi zote hizo ni chukizo Kwa Muumba wetu na kila anayezifanya hataingia kwenye ufalme wa MUNGU
Rejea pia Galatia 5:19-21 kuhusu matendo ya mwili ambayo ni chukizo mbele za MUNGU
Hivyo basi ikiwa tunataka kuwa watu safi mbele za Muumba wetu mtakatifu tuache na pia tukemee dhambi zote hizo bila kubagua vinginevyo ni kwamba anayesema wema ni uovu na anayesema uovu ni wema wote hao ni chukizo mbele za MUNGU.
Amani iwe nanyi, muwe na jioni njema
Tena ya mwanaume mwenzakeYaan mkuu umefeli yaan anayechakata mbususu unamfananisha na anayechakatwa 0715
Salaam,
Niende Moja Kwa Moja kwenye hoja yangu, Kwa Imani Mimi ni mkristo napenda kuchimba sana kwenye Biblia maana naamini kabisa ni neno la MUNGU -Zaburi 119:105
Sasa Kuna watu naona wapo mstari wa mbele kupinga ushoga na hata kutaka mashoga wauawe kana kwamba uasherati na uzinzi wao sio tatizo. Watu wanajisifu kulana kimasihara, kula wake za watu kushindana ni nani kalala na idadi kubwa ya wanawake na anaona ni ufahari kabisa ila anapinga ushoga kana kwamba dhambi zake yeye ni halali
Sitetei tabia ya ushoga ila ninachotaka kusema ni kwamba dhambi ni dhambi na usifikiri dhambi yako wewe ni nzuri ila ya mwenzio ndio mbaya.
Kwa wale wenzangu ambao ni wasomaji wa Biblia turejee 1Korintho 6:9,10 dhambi zote hizo ni chukizo Kwa Muumba wetu na kila anayezifanya hataingia kwenye ufalme wa MUNGU
Rejea pia Galatia 5:19-21 kuhusu matendo ya mwili ambayo ni chukizo mbele za MUNGU
Hivyo basi ikiwa tunataka kuwa watu safi mbele za Muumba wetu mtakatifu tuache na pia tukemee dhambi zote hizo bila kubagua vinginevyo ni kwamba anayesema wema ni uovu na anayesema uovu ni wema wote hao ni chukizo mbele za MUNGU.
Amani iwe nanyi, muwe na jioni njema
Sodoma iliponzwa na nyie machoko na sio wazinziWazinzi, waasherati, malaya, hawana ruhusa kuwahukumu mashoga.
Hakuna wewe hawezi kuwa sawa, tunajifanganya, kudhani dhambi zote ni sawa.Mkuu ushoga uko kwenye kundi la uzinifu yaani shoga na mzinzi mbele ya mwenyezi mungu wana daraja moja.
Leta mada za kupiga vita rushwa, tutachangia. kero ziko nyingi, kila mtu huja na kero yake.Tanzania mngekuwa mnapigia kelele rushwa kama mlivyoshupalia ushoga tungekuwa mbali sana
Jitahidi usitoke nje ya mada.Kwahiyo waache kusema kisa wewe unahusika?. Ukiona hawasemi sema wewe kuhusu rushwa.....!!
Kwenye uafrica bora muuaji kuliko shoga .Africa sio ya kiislamu wala kikristo ni ya kiafricaSalaam,
Niende Moja Kwa Moja kwenye hoja yangu, Kwa Imani Mimi ni mkristo napenda kuchimba sana kwenye Biblia maana naamini kabisa ni neno la MUNGU -Zaburi 119:105
Sasa Kuna watu naona wapo mstari wa mbele kupinga ushoga na hata kutaka mashoga wauawe kana kwamba uasherati na uzinzi wao sio tatizo. Watu wanajisifu kulana kimasihara, kula wake za watu kushindana ni nani kalala na idadi kubwa ya wanawake na anaona ni ufahari kabisa ila anapinga ushoga kana kwamba dhambi zake yeye ni halali
Sitetei tabia ya ushoga ila ninachotaka kusema ni kwamba dhambi ni dhambi na usifikiri dhambi yako wewe ni nzuri ila ya mwenzio ndio mbaya.
Kwa wale wenzangu ambao ni wasomaji wa Biblia turejee 1Korintho 6:9,10 dhambi zote hizo ni chukizo Kwa Muumba wetu na kila anayezifanya hataingia kwenye ufalme wa MUNGU
Rejea pia Galatia 5:19-21 kuhusu matendo ya mwili ambayo ni chukizo mbele za MUNGU
Hivyo basi ikiwa tunataka kuwa watu safi mbele za Muumba wetu mtakatifu tuache na pia tukemee dhambi zote hizo bila kubagua vinginevyo ni kwamba anayesema wema ni uovu na anayesema uovu ni wema wote hao ni chukizo mbele za MUNGU.
Amani iwe nanyi, muwe na jioni njema
Mm sifanyi ushoga lakini pia sifanyi uzinzi.Wewe unaufanya huo ushoga?.