Nahonyo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 5,550
- 5,379
Wewe kama ni Muumini mkristo ama Muislamu, utakubaliana nami, hakuna maandiko yanayo kubaliana na ndoa ya jinsia moja.Jamaa yuko sawa kabisa ushoga iko kwenye kundi la wazinifu na ndio maana kwenye amri kumi za mungu hakuna sehemu inayo sema usimfanye ushoga, bali inasema usizini ina maana mashoga wamewekwa kundi moja na wazinzi.
Hapa duniani ushoga anaweza onekana ni mtu muovu ukilinganisha na mzinifu lakini mbele ya mungu madaraja yao yako sawa nikiwa na maana kuwa adhabu atayo pata shoga ndo hiyo hiyo atayo pata mzinzi.
Ila Mwamme na Mwanamke Mungu amekuonyesha amezuia njia hii, kulifikia tendo ila amekufungulia njia nyingine, yaani sawa mtu anaepita pasipo mlango, wakati mlango anauona.
Hivyo ukizani uzinzi na ushoga ni kitu kimoja pole sana.