Kinengunengu
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 1,716
- 4,375
Hapana bro usijihukumu. Mungu wetu hayupo hivyo. Kukupa uzima na kuiona siku nyingine ina maanisha urekebishe pale pa leo na jana ulipokosea. Bro bado una nafasi ya kurekebisha. Yeye hapendezwi na kufa kwake mwenye dhambi. Chukua hatua sasa bro na tafakari njia zako na mrudie Mungu wako. Neema yake ni kubwa sana na inatimilika katika udhaifu wetu. Yesu anakupenda sana bro. Hii comment yako imeniumiza sana.Kazi kwao wanaojidanganya kuwa wataiona pepo wakati nafsi zao zinawasuta.
Mie nafsi yangu inaniambia kabisa mzabzab wee ni motoni moja kwa moja maana jtendayo ni kinyume na maagizo ya muumba wako.
Tatizo kila ukitaka kujirekebisha shetani nae anapitisha mrembo mwenye tako. Hapo ndio challenge inapoanzaHapana bro usijihukumu. Mungu wetu hayupo hivyo. Kukupa uzima na kuiona siku nyingine ina maanisha urekebishe pale pa leo na jana ulipokosea. Bro bado una nafasi ya kurekebisha. Yeye hapendezwi na kufa kwake mwenye dhambi. Chukua hatua sasa bro na tafakari njia zako na mrudie Mungu wako. Neema yake ni kubwa sana na inatimilika katika udhaifu wetu. Yesu anakupenda sana bro. Hii comment yako imeniumiza sana.
Hahahaha. Na ww huwezi acha lipite tu. Kazi ipo.Tatizo kila ukitaka kujirekebisha shetani nae anapitisha mrembo mwenye tako. Hapo ndio challenge inapoanza
Bro hayo majaribu hata mimi nilikuwa nayo na inawezekana ni zaidi yako ila neema ya Mungu ilinivuta, kuniokoa na kunibadilisha. Hizo za kutamani na kudandia kila mwanamke ni Roho kamili ya Ibilisi ifanyayo kazi na sio wewe. Tulipotoka ni mbali sana na huwa nikiwaza hivi courage ya kununua wanawake kipindi kile kule Kahumba Morogoro au Mririna au madanguro ya Tanga na kutumia mapazia kujifutia ilitoka wapi? Ni roho hiyo bro ila Mungu ni muaminifu ukimkabidhi njia zako ataziondoa hizo Roho. Bro, Mungu yupo na ni kweli kabisa.Tatizo kila ukitaka kujirekebisha shetani nae anapitisha mrembo mwenye tako. Hapo ndio challenge inapoanza
We shogaSalaam,
Niende Moja Kwa Moja kwenye hoja yangu, Kwa Imani Mimi ni mkristo napenda kuchimba sana kwenye Biblia maana naamini kabisa ni neno la MUNGU -Zaburi 119:105
Sasa Kuna watu naona wapo mstari wa mbele kupinga ushoga na hata kutaka mashoga wauawe kana kwamba uasherati na uzinzi wao sio tatizo. Watu wanajisifu kulana kimasihara, kula wake za watu kushindana ni nani kalala na idadi kubwa ya wanawake na anaona ni ufahari kabisa ila anapinga ushoga kana kwamba dhambi zake yeye ni halali
Sitetei tabia ya ushoga ila ninachotaka kusema ni kwamba dhambi ni dhambi na usifikiri dhambi yako wewe ni nzuri ila ya mwenzio ndio mbaya.
Kwa wale wenzangu ambao ni wasomaji wa Biblia turejee 1Korintho 6:9,10 dhambi zote hizo ni chukizo Kwa Muumba wetu na kila anayezifanya hataingia kwenye ufalme wa MUNGU
Rejea pia Galatia 5:19-21 kuhusu matendo ya mwili ambayo ni chukizo mbele za MUNGU
Hivyo basi ikiwa tunataka kuwa watu safi mbele za Muumba wetu mtakatifu tuache na pia tukemee dhambi zote hizo bila kubagua vinginevyo ni kwamba anayesema wema ni uovu na anayesema uovu ni wema wote hao ni chukizo mbele za MUNGU.
Amani iwe nanyi, muwe na jioni njema
Bora mlevi kuliko shogaSalaam,
Niende Moja Kwa Moja kwenye hoja yangu, Kwa Imani Mimi ni mkristo napenda kuchimba sana kwenye Biblia maana naamini kabisa ni neno la MUNGU -Zaburi 119:105
Sasa Kuna watu naona wapo mstari wa mbele kupinga ushoga na hata kutaka mashoga wauawe kana kwamba uasherati na uzinzi wao sio tatizo. Watu wanajisifu kulana kimasihara, kula wake za watu kushindana ni nani kalala na idadi kubwa ya wanawake na anaona ni ufahari kabisa ila anapinga ushoga kana kwamba dhambi zake yeye ni halali
Sitetei tabia ya ushoga ila ninachotaka kusema ni kwamba dhambi ni dhambi na usifikiri dhambi yako wewe ni nzuri ila ya mwenzio ndio mbaya.
Kwa wale wenzangu ambao ni wasomaji wa Biblia turejee 1Korintho 6:9,10 dhambi zote hizo ni chukizo Kwa Muumba wetu na kila anayezifanya hataingia kwenye ufalme wa MUNGU
Rejea pia Galatia 5:19-21 kuhusu matendo ya mwili ambayo ni chukizo mbele za MUNGU
Hivyo basi ikiwa tunataka kuwa watu safi mbele za Muumba wetu mtakatifu tuache na pia tukemee dhambi zote hizo bila kubagua vinginevyo ni kwamba anayesema wema ni uovu na anayesema uovu ni wema wote hao ni chukizo mbele za MUNGU.
Amani iwe nanyi, muwe na jioni njema
Mkuu acha tuuu....fear women regardless of their decent looks of being wife materialsUligeuziwa? Ukatemea mate?
Ww jamaa mbona una kichwa kigumu ukifanya ushoga utaenda motoni na pia ukifanya uzinzi utaenda motoni vilevile sasa hapo mnakuwa na tofauti gani?Ushoga haukutwajwa kwa sababu Mungu, hakumuumba mwanamme kuwa shoga, ispokua tendo ni kwa mwanamme na Mwanamke. kwa masharti mpaka waoane
Mbele za Mungu ni kitu kimojaKwahiyo uzinzi na ushoga ni kitu kimoja![emoji15][emoji15]
Hauko serious mkuu.
Tungekuwa mbali sana aiseeTanzania mngekuwa mnapigia kelele rushwa kama mlivyoshupalia ushoga tungekuwa mbali sana
Kwa hiyo Mungu alimuumba mtu kuwa mzinzi, muuaji, mgomvi n.k?Ushoga haukutwajwa kwa sababu Mungu, hakumuumba mwanamme kuwa shoga, ispokua tendo ni kwa mwanamme na Mwanamke. kwa masharti mpaka waoane
[emoji16][emoji16][emoji16] wanajitoa ufahamuMzinzi Motoni ,mfiraji Motoni
Wazinzi wa Tz hawana Akili hata moja wao wanajiona watakatifu wakati lazima waingie Motoni so mzinzi Motoni , mfiraji Motoni ,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tatizo kila ukitaka kujirekebisha shetani nae anapitisha mrembo mwenye tako. Hapo ndio challenge inapoanza
Acha kukurupuka hakuna sehemu mtoa mada ametetea ushoga ,bali amewakumbusha kuwa kipindi mnapiga kelele ushoga pia msipuuze na uzinzi ambao kimsingi nao una madhara makubwa ndani ya jamii.Embu fikiria umepata mtt wa kiume unajinasibu umepata mrithi wako kidume Cha nguvu mara paaa , anapumuliwa.hivi utajisikiaje ,simama kama mzazi mwanao anafanyiwa hivyo siyo unaleta quote za bibilia ambazo hata we mwenyew hujuwi maana yako.mashoga wote na nyinyi supporters wore ni wakupiga risasi tu
Nani amekwambia kuwa mnywaji wa pombe ni dhambi?