Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana


Hapo umetuongopea mkuu, Mashoga huwa hawapendi/hawaenjoy kufanya mapenzi na wanawake. Kwa wanawake wanafata kampani tu na si mahusiano. Unless otherwise una lako jambo.
 
Hapo umetuongopea mkuu, Mashoga huwa hawapendi/hawaenjoy kufanya mapenzi na wanawake. Kwa wanawake wanafata kampani tu na si mahusiano. Unless otherwise una lako jambo.
Soma vizuri nilichosema
 
Hlo apo Moja[emoji35]
 
Siasa za kuhalalisha...mbona hawaot maziwa.mbona hawaw na saut A kike....inamana hzo chromosomes zmeona zihamie mata.kon pekw yake...nasemaje.. hko ulichosema ni controversial na kina bishiwa kiiila siki hata huko ulaya na marekan...msitake halalisha ushetan hapa .kweeenda
 
Usiniambie mimi muambie blaza wako wa mama moja shoga
 
Usiniambie mimi muambie blaza wako wa mama moja shoga
Utetez wako unafikirisha sana..uwenda wew mtoto si riziki ..hakyanan..na kwa jins mlivyo desperate..na wajuaj..najua siwez bishana na nyie hata sku1..huwez shindana bishana na shoga ukashinda...hyaa umeshinda dada..ooh sory ..kaka
 
Si kwamba umeongezeka ila ulikuwepo siku zote, sema sasa hivi kuna utandawazi kwa hiyo kwa namna moja ama nyingine unapata "exposure".
 
Wale wanazaliwa hivyo hivyo hakuna cha ukatili mkuu, wana ulemavu na walemavu kama walemavu wengine.

Katika hali ya kawaida tu mwanaume ambaye uko sawa kabisa, huwez kubali kupumuliwa kisogoni kwanza ni udhalilishaji usio na mfano aisee.

Sasa wewe jiulize inakuwaje mtu atake kabisa kupumuliwa kisogoni hata ile aiubu yeye haioni.

Ndo maana nasema ni ulemavu kama sio wa kihisia basi kiakili.
 
Utetez wako unafikirisha sana..uwenda wew mtoto si riziki ..hakyanan..na kwa jins mlivyo desperate..na wajuaj..najua siwez bishana na nyie hata sku1..huwez shindana bishana na shoga ukashinda...hyaa umeshinda dada..ooh sory ..kaka
Ukiona mtu anataabika sana kupinga ushoga ni dalili kubwa sana kwamba na yeye anapakuliwa. Unatumia nguvu nyingi sana kuficha siri zako.
 
Tuishi nao kama tunavyoishi na wala vitimoto na wanywa bia
 
ushoga ni pepo, shetani. hakuna anayezaliwa nao ila anayeamua kuingiliwa akishaingiliwa tu hilo pepo likimwingia ndio basi tena kuacha ngumu. hata walioacha wanakuambia kabisa kuwa haikuta kazi rahisi na hadi leo wanaishi kwa mabishano makubwa. chukulia mfano mwanamke wa kawaida kabisa, anazaliwa na homon zote za kike na hana hisia kabisa za kuingiliwa kinyume na maumbile, anafanya ngono tangu abalehe hadi miaka 25 mfano. siku akija kuzoeshwa kuingiliwa kinyume na maumbile tu haji kuacha huo mchezo. kwasababu ni pepo limemwingia. hao wanawake mnawaona wengi wamependeza mjini, wengi tu hawafiki kileleleni bila kuingiliwa kwenye kinyesi. dunia imeisha. msitetee ushoga.
 
hivi yule mpumbavu wa saluni ya mama kimbo, nilikuta watoto wangu wanaangalia, yule kijana kwanini wanamruhusu uanaigiza ujinga ule?
 
Ni vyote viwili, kihisia na kiakili na vyote vinauwezo wa kusababishwa na ukatili niliouongelea Mkuu
 
Wewe kijana nina mashaka makubwa sana na wewe. Aidha unajihusisha nao kwa kufanya au unashughulika na zile taasisi za siri zinazopromote homosexuals.

Ila unaonyesha wazi wewe sio m'moja wetu.

So koma tena ukome ukomae kujiingiza katika mijadala ya watanzania tunaokemea hilo tatizo la kiakili. Wewe kama haya mambo yanakufurahisha nenda ubalozi wa mataifa yanayoruhusu uende ukale bata na hao mnaosapoti ila usituletee hizi stories za kipuuzi.

Tena ukome ukome na ukomee.
 
Huyu instagram ni muongo nambari moja. Mwambie alete hapa ushahidi wenye vielelezo.

Kwa nijuacho mimi hakunaga remix ya jinsia hata iweje. Mwanamke ni mwanamke tuu na mwanaume ni mwanaume tuu.

Kinachotokea ni matatizo ya mvurugo wa kimalezi na makuzi inayokuja kudhuru tabia za watu......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…