Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Endelea kuwaelimishaUkishazima sasa? Si watakufukua tu? Acha ulevi tunza jamii yako shoga atubu atasamehewa ikiwa atabadilika na kuacha dhambi hiyo tatizo mnafikiri dhambi zenu ni halali ila za wenzenu ndio mbaya
Weka maandiko Ili tuione hiyo miotoLabda watakuwa kwenye mioto tofauti.
Maandiko tafadhaliAcha mambo yako?kuna dhambi utatubu,ila shoga hata akitubu na akasamehewa?radius ya kunduz inabaki vilevile!marinda hayarudi hata kwa dawa.
Mkuu kuzin hapana, kwanza hata ngono yenyewe naona ni kama uchafu...Ila unazini? Kama ni hivyo wote ni watenda dhambi
Salaam,
Niende Moja Kwa Moja kwenye hoja yangu, Kwa Imani Mimi ni mkristo napenda kuchimba sana kwenye Biblia maana naamini kabisa ni neno la MUNGU -Zaburi 119:105
Sasa Kuna watu naona wapo mstari wa mbele kupinga ushoga na hata kutaka mashoga wauawe kana kwamba uasherati na uzinzi wao sio tatizo. Watu wanajisifu kulana kimasihara, kula wake za watu kushindana ni nani kalala na idadi kubwa ya wanawake na anaona ni ufahari kabisa ila anapinga ushoga kana kwamba dhambi zake yeye ni halali
Sitetei tabia ya ushoga ila ninachotaka kusema ni kwamba dhambi ni dhambi na usifikiri dhambi yako wewe ni nzuri ila ya mwenzio ndio mbaya.
Kwa wale wenzangu ambao ni wasomaji wa Biblia turejee 1Korintho 6:9,10 dhambi zote hizo ni chukizo Kwa Muumba wetu na kila anayezifanya hataingia kwenye ufalme wa MUNGU
Rejea pia Galatia 5:19-21 kuhusu matendo ya mwili ambayo ni chukizo mbele za MUNGU
Hivyo basi ikiwa tunataka kuwa watu safi mbele za Muumba wetu mtakatifu tuache na pia tukemee dhambi zote hizo bila kubagua vinginevyo ni kwamba anayesema wema ni uovu na anayesema uovu ni wema wote hao ni chukizo mbele za MUNGU.
Amani iwe nanyi, muwe na jioni njema
Unaukubali kidogo....tuliosoma cuba tumekupata vemaHakuna jipya hapo,tangu Sodoma na Gomora watu wanachenjuana m*kundu
Siukubali ushoga kama zilivyo zambi zingine
Nasimama na wewe kwenye rufaaKwamba mimi ninayezina na toto kali lina makalio yameumuka yamejaa kwenye kipedo halafu siku ya mwisho tupangwe mstari na mtu anayetafunwa! Nitakata rufaa dhambi zangu zipitiwe upya.
Endelea na hako katabiaKwa mujibu wa andiko lipi, au ni mtazamo wako tu? Kama wewe ni mzinzi au muasherati huna tofauti na huyo shoga. Najua hampendi kuyasikia haya ila ndio ukweli
Hujui madhara ya ulevi kiongozi tabia za kishenzi zinaanzia huko acha ulevi tunza jamii yako
Lakini wote Motoni tuUmechanganya uji na mchanga sijui unachuja vipi!
Yaani shoga alietatuliwa marinda, kalegea anatembea kama gari limekatika center bolt unataka umlimganishe na mlevi??? Sasa mlevi si anauwezo wa kwenda kutubu na atabaki kuwa mwanaume ila shoga aiseee once a gay always a gay utakujaje kuwa straight tena?
Hatuhukumu as if sisi ni wasafi ila acha tuikemee kwasababu shoga hafanyi peke yake anamtafuta na asiefanya ili afanye nae ila pombe si unakunywa mwenyewe unazima mwenyewe!
Jina lakooo,? Maku za Mkumbo!Salaam,
Niende Moja Kwa Moja kwenye hoja yangu, Kwa Imani Mimi ni mkristo napenda kuchimba sana kwenye Biblia maana naamini kabisa ni neno la MUNGU -Zaburi 119:105
Sasa Kuna watu naona wapo mstari wa mbele kupinga ushoga na hata kutaka mashoga wauawe kana kwamba uasherati na uzinzi wao sio tatizo. Watu wanajisifu kulana kimasihara, kula wake za watu kushindana ni nani kalala na idadi kubwa ya wanawake na anaona ni ufahari kabisa ila anapinga ushoga kana kwamba dhambi zake yeye ni halali
Sitetei tabia ya ushoga ila ninachotaka kusema ni kwamba dhambi ni dhambi na usifikiri dhambi yako wewe ni nzuri ila ya mwenzio ndio mbaya.
Kwa wale wenzangu ambao ni wasomaji wa Biblia turejee 1Korintho 6:9,10 dhambi zote hizo ni chukizo Kwa Muumba wetu na kila anayezifanya hataingia kwenye ufalme wa MUNGU
Rejea pia Galatia 5:19-21 kuhusu matendo ya mwili ambayo ni chukizo mbele za MUNGU
Hivyo basi ikiwa tunataka kuwa watu safi mbele za Muumba wetu mtakatifu tuache na pia tukemee dhambi zote hizo bila kubagua vinginevyo ni kwamba anayesema wema ni uovu na anayesema uovu ni wema wote hao ni chukizo mbele za MUNGU.
Amani iwe nanyi, muwe na jioni njema
Wewe kama unataka kuzibuliwa marinda tafuta nchi nyingine ukafir...w e hukoKwahiyo aliangamiza mashoga akawaacha wazinzi!?
Unajua tofauti ya dhambi na laana?Mimi nazungumzia kimaandiko sio Kwa mtazamo wetu wa kibinadamu, mbele za MUNGU yote hayo ni machukizo Kwa mujibu wa maandiko matakatifu ninayoyaamini
Jibu swaliWewe kama unataka kuzibuliwa marinda tafuta nchi nyingine ukafir...w e huko
Hatujui,ebu tufafanulieUnajua tofauti ya dhambi na laana?
Nyie liweni TU hakuna shida.Wazinzi, waasherati, malaya, hawana ruhusa kuwahukumu mashoga.
Nyie mnaokata rufaa tunaomba mtuambatishie na maandiko mtakayotumia kuurgue mbele ya Mungu kupinga shoga na mzinzi na mwasherati kupigwa kiberiti tanuru mojaNasimama na wewe kwenye rufaa