Unaona unavosikiliza uongo wa biblia n'a kuran .nani kakuambia ni lazima maadili yawe n'a maandiko? Ni wapi imeandikwa mama yako ni Mama yakoTupe maandiko kwenye uafrika wako yanayosapoti hoja yako
Si mnakula chips nyie??Itakuwa dar es laam maeneo ya kinondoni, Mbagala na viunga vyake
Pia na baadhi ya wanaume wa mikoani wakija dar wengine wanabadilika sana
Manzese tupo ma hardcore hatunaga ujinga huo
Dhambi kuna maimamu na wachungaji. Ushoga haupingwi sababu ni dhambi unapingwa sababu ni ushoga.Hatujakataa usipingwe ila mpinge na dhambi nyingine sio hiyo Moja tu
Kipande cha kutunu hujakiona. Mda ambao wote mko duniani. Mmoja anaweza kwenda kutubu na maisha yakaendelea huyu mwengine hata akitubu atabaki mchicha mwiba bwana weeLakini wote Motoni tu
Dhambi ya kula mbumbusi ni common kwa Dunia nzima😅.. vijana mmekazana kusapoti huu upuuzi dah... Hongereni kufukuana matopeni.Hakuna anayesaport dhambi, dhambi ni dhambi tu bila kujali ni dhambi ya aina Gani usifikiri Mungu atakupunguzia mapigo eti kisa hukua shoga ila ni mzinifu mkubwa.
Kwa mtazamo wako wa kibinadamu unaona shoga ndiye mdhambi sana ilhali wewe mzinifu huna tofauti nae? Tuache dhambi tumrudie MUNGU muda ungalipo, Asante, karibu sana
Mkuu we acha tu ukubwa jalalaUna maana Gani mkuu?
Mkuu we acha tu ukubwa jalalaUna maana Gani mkuu?
NI UNAFIKI.Yes kwa hiyo mtu anapopinga ushoga aelezee mtazamo wake sio maandiko.... Utashangaa kuona mtu mzinzi mkubwa ana mchepuko kila kona ya mtaa ila yuko busy kuquote maandiko kukemea ushoga
WATU WANACHOTA MATRILIONI.Miafrika imepewa ishu ya ushoga ipambane nayo huku mambo ya msingi yakiwapita kama hawaoni.
View attachment 2561962